Sinaga Swagga Session 7 - Msukuma Mjanja

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Hudba

Komentáře • 1,5K

  • @EarningsEdge101
    @EarningsEdge101 Před 28 dny +209

    Sjawahi kuomba like, ila kwa ukali wa hii ngoma naombeni ata moja tu

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv Před 28 dny +220

    Kwa mara ya kwanza nimecomment kwenye goma la mwaka nikiwa wa 3 hili goma ni kali Paragraph na Young K....... wakisikia hii watajichimbia sehemu walie

  • @princenebs8734
    @princenebs8734 Před 26 dny +48

    Mimi fan ya huyu jamaa tanguy dear gambe...nawaombeni likes from KENYA😊😊

    • @isharashukuru
      @isharashukuru Před 25 dny +1

      Disi yanga izi extravaganza 💪

    • @Mr_movie255
      @Mr_movie255 Před 15 dny

      Ongea vizur wewe unatuaribia lungha yetu

    • @Mr_movie255
      @Mr_movie255 Před 15 dny

      Kwanza nyie c ndo mlisema mziki wetu upo kimya

  • @user-jt9kz7kl5q
    @user-jt9kz7kl5q Před 28 dny +47

    Kutoa ni moyo,,,so Figo ni kujumlisha,,,like zake jmn

  • @chibo666
    @chibo666 Před 28 dny +229

    walio sikiliza mala mbili kama mimi tujuane kwa like

  • @kibinda
    @kibinda Před 28 dny +100

    Naombeni hizo like mimi ndo wa kwanza kucoment hapa 👑

  • @Young-Valentin
    @Young-Valentin Před 27 dny +22

    Mr sinaga swagga mm Leo ndo nime anza Ku kufatiya naomba like Ili moyo🫀🫀 uzame kwako miLele Amina boy from DRcongo 🇨🇩🇨🇩

  • @chuserkibavu
    @chuserkibavu Před 28 dny +8

    Alafu kuna kijamaa kibana pua kelele nyingi kina kuja kushindana hapa chizi kweli yule KING msodoki 1 tuu........SINAGA SWAGGA 7💥💥🔥🔥

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 Před 28 dny +70

    Acheni Kumfananisha Huyu Msukuma Na Rappers Wenu Wa Ajabu Ajabu!! ✊🏾

  • @Uan_Twentiey
    @Uan_Twentiey Před 28 dny +184

    Kama unatoka Kenya 🇰🇪 na unamkubali killer weka like

    • @SammyTv-zx7by
      @SammyTv-zx7by Před 28 dny +1

      We mpumbav huon tumedisiwa 😂😂😂

    • @Immahjr
      @Immahjr Před 27 dny

      ​@@SammyTv-zx7bynae alidiss pia

    • @isharashukuru
      @isharashukuru Před 25 dny

      Disi yanga izi extravaganza 💪

  • @RamadhaniKipimo
    @RamadhaniKipimo Před 26 dny +22

    Oya huu ugaidii tuliukosa kitambo sana 👊 SKUDAI TENA🚶

    • @isharashukuru
      @isharashukuru Před 25 dny

      Disi yanga izi extravaganza 💪

    • @SidniAlly
      @SidniAlly Před 16 dny

      Huu ni ugaidi sana huu🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @YohanaMsungu-talent0220
    @YohanaMsungu-talent0220 Před 22 dny +5

    Jamani naombeni na mm like zangu huyu jamaa fire 🔥

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona Před 28 dny +49

    Tulio rudia kuskilza zaid ya mara 5 tujuane😅 kunawatu wametajwa humu😂

  • @Josamjosam8
    @Josamjosam8 Před 28 dny +49

    Yule young nasikia " kwao ana BA KWA NYUMA" HIyo imeenda kabisaa😊

  • @user-dt8es1qr9y
    @user-dt8es1qr9y Před 28 dny +10

    😂😂😂😂usinitunishie kifua kilicho jaa uji wa ulezi😂😂 young killer 🙌

  • @CinderBoy-dk3gt
    @CinderBoy-dk3gt Před 28 dny +15

    Sasa msodoki ww babalao from now and on kama unamkubali mwanetu gonga lake zetu hapa mwanza mwaza 💪

  • @markovuruga86
    @markovuruga86 Před 28 dny +84

    Young killer stail zako za video huwa zinanikosha.... Kama wiz khalifa vile🙌🙌🙌🙌

  • @MAXMILLIANMAXLLA-fx6ph
    @MAXMILLIANMAXLLA-fx6ph Před 28 dny +14

    Leo naenda nawakati kesho naenda na wapembeni........asa shuka la nini wakati mgeni mwenyewe maaasai.....kifua cha uji wa ulezi.......roma wa nini huyu kwanza unamficha kwa voko acha wadiscuss.uhisi unacho ambacho huna .......10/10 unajua mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅

  • @teldoh_Lartist
    @teldoh_Lartist Před 27 dny +29

    From drc🇨🇩 kama unamkubali youg killer msodoki weka like apa 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gangstarmsafi-vz9vs
    @gangstarmsafi-vz9vs Před 28 dny +13

    Félicitations Artistes Young msukuma Im from Congo drc 🎉🎉 🇨🇩 On ensemble

  • @SidniAlly
    @SidniAlly Před 28 dny +102

    Haturudishi walioenda tuko bize na waliopo🔥🔥🔥🔥

    • @Georgevasco-ld8be
      @Georgevasco-ld8be Před 28 dny +1

      Mzigo WA🔥 saaana

    • @SidniAlly
      @SidniAlly Před 28 dny +1

      @@Georgevasco-ld8be 🔥🔥 hizi ndo Ngoma zinazoishi

    • @Georgevasco-ld8be
      @Georgevasco-ld8be Před 28 dny +2

      @@SidniAlly hukuti ikichuja Leo wala kesho🔥

    • @SidniAlly
      @SidniAlly Před 28 dny +2

      Yaaah mahn🔥🔥

    • @eliusjohn3242
      @eliusjohn3242 Před 28 dny +2

      Usiwe kama stranger mwili huwez jengwa Kwa kokooto 😅😅

  • @AlbaSnepa-lr4bp
    @AlbaSnepa-lr4bp Před 28 dny +31

    💥✌ mu uwe alafu uni atchiye ni mzike oyo dogo na izi rapu kiswahili zakongo zilizo na machango ya lingala

  • @CrownPrince2099
    @CrownPrince2099 Před 28 dny +24

    Hakuna kinachosalia mfukoni kwa sababu hakuna kanisa, nipeni hizo like sasa

  • @Lad_MASUBA
    @Lad_MASUBA Před 28 dny +8

    USAMAKI sio UNYAMA 😂😂😂😂😂
    ❤❤❤❤❤
    We kweli sukuma😂😂

  • @SidniAlly
    @SidniAlly Před 28 dny +43

    Tushanyoa vichwa vya habar afu mipango tukasuka🔥🔥

  • @SidniAlly
    @SidniAlly Před 28 dny +29

    Hawana vigezo vya kuwa wapinzanu🔥🔥🔥

  • @happylimo5766
    @happylimo5766 Před 28 dny +11

    Kuna mstari mmoja sizan kama kuna yeyote kauelewa kanasema ... Mwenyekiti si ukae, au kauka nikuvae... daah killer ni muuaji

    • @TaffMtumbi
      @TaffMtumbi Před 28 dny

      Hapo ana mana gn

    • @roseshauri6399
      @roseshauri6399 Před 27 dny +1

      Kuna mxtar unaxema. No cap no mzula ki alhaj🙌🙌🙌🙌

    • @suleymanjusem8076
      @suleymanjusem8076 Před 27 dny

      .nguo n moja kila siku anavaa iyoyo..ndio maana ya kauka nikuvae so hapa mwenyekiti hawezi kukaa coz nguo alovaa bado mbichi haijakauka vizur 🙌🙌🙌

    • @JumaHusein-xe3uh
      @JumaHusein-xe3uh Před 24 dny

      😂😂🙌🙌🙌🇹🇿

    • @SidniAlly
      @SidniAlly Před 16 dny

      Mwenyekiti siukae😂😂 ameomba sana kiti Aya akae sasa😂 afu dogo kauka nikuvae mama mamaee

  • @mikeogk8480
    @mikeogk8480 Před 28 dny +12

    Rap shit wakina naniii waje waibe maujuzi na album zao mnovuuuu,,,gaddam hii ni like shwaaa😂😂

  • @nelsonmarwa-ni9nq
    @nelsonmarwa-ni9nq Před 28 dny +28

    Sanaaa msodokii🔥🔥🔥

  • @collinsmalila
    @collinsmalila Před 28 dny +78

    nime sikiliza mala 100 naombeni like zangu

  • @andrewmalekela3577
    @andrewmalekela3577 Před 26 dny +2

    🔥🔥🔥
    Kwenye ukweli tuongee...
    Dude kali...
    #competition muhimu lakini ✌🏻

  • @explorer_255
    @explorer_255 Před 8 dny +1

    Nilizani friend, kumbe we-kundu wa msimbaz 🔥🙌🙌😂

  • @methodyrn_arts
    @methodyrn_arts Před 28 dny +23

    Sijawah pata like wakuu ata hii asee...sema me mchoraji nipeni subscription wakuu wekeni na Oda ✏️🫶🏾🇰🇪🇹🇿🇹🇿

  • @Tripo7unLocked7000
    @Tripo7unLocked7000 Před 28 dny +8

    Naamm Hii nyenyewe kabisa.hii ndo Ngoma bora ya rap Kwa mwaka 2024

  • @Tanakabj
    @Tanakabj Před 28 dny +3

    Hili goma kweli halinaga swaga ila ni msumali wa moto kwa wanaolopokalopoka kama mtoto wanaokiita lunya ila sijaelewa ishu ya Loma hapo dah ila hili ni jiwe ❤❤❤❤
    Kama Kuna anaepingana na hiii ngoma basi kaenda na wapembeni akati sisi tunaenda na wakati🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HAJIMTOGOLE
    @HAJIMTOGOLE Před 27 dny +2

    😭 I can't stop crying like a kid, We jamaa unajuha mpaka unakera. unajua..kuandika mamae!
    Namuomba ..mungu Afanye tufe siku moja.

  • @Kalifikra
    @Kalifikra Před 28 dny +13

    Sio kila Young ni Killer!!! Sio Michano tu hata Futaa hawakuwezi.. 🎉🎉🎉

  • @JustinBisimwa-yh1oh
    @JustinBisimwa-yh1oh Před 28 dny +32

    Mkali sana uyu jamaa

  • @MohamedHakibu
    @MohamedHakibu Před 26 dny +7

    Tuliorudisha rudisha tena kusikilizia mstari wa nyuma like hapo.... Me sinaga shobo hata Kwa nasibu abduli..😂

  • @EinsteinFromEastern-vh6lo
    @EinsteinFromEastern-vh6lo Před 28 dny +16

    Eti ana-bakwa-nyuma "ana bar kwa nyuma" punchline 🔥

  • @marselsirlema681
    @marselsirlema681 Před 28 dny +32

    Asiyemwelewa huyu dogo akapimwe akilo

  • @Theone12673
    @Theone12673 Před 25 dny +5

    Gonga like acha udwanzi ww ,,,Ngoma ya moto hii🔥🔥🔥

  • @kazinjaally5992
    @kazinjaally5992 Před 27 dny +2

    Content hatr saan mkal!killer always killing bro
    Gonga like kwa killer wanang🙌🤝

  • @jomiAfrica
    @jomiAfrica Před 28 dny +33

    Unajua sana mwanangu hii ngomaa ni album ya mbuzi kagoma kwenda😂😂😂😂

    • @saleheabdallah5461
      @saleheabdallah5461 Před 28 dny +2

      Naona mbuzi kajisfia mmemsema ila young killer kajisifia ila mmenyamaza

    • @jomiAfrica
      @jomiAfrica Před 28 dny +1

      @@saleheabdallah5461 wenye uelewa mdogo ndo huwa wanamshabikia mbuzi sikiliza verse ya kwanza ni album mbuzi kagoma kwenda 😀😀😀😀👇👇👇czcams.com/video/4IIgtXoVtQg/video.htmlsi=MzNKfGkrMHv17B-V

    • @tabasamutv24
      @tabasamutv24 Před 27 dny

      Hahaha we jamaa umefanya nimecheka sana

    • @Lu_keng
      @Lu_keng Před 26 dny

      Mbuzi kila ngoma anajisifia

    • @Lu_keng
      @Lu_keng Před 26 dny +1

      ​@@saleheabdallah5461ujue killer anaongea facts ila lunya kila ngoma jau😂

  • @kissengababa
    @kissengababa Před 28 dny +16

    Huyu jamaa anamjua sana kuimba❤❤

  • @humtomreyson5032
    @humtomreyson5032 Před 27 dny +3

    It’s time to wake up!!! Young killer msodooookiiii shoutout Sanaa kaka 🤛🤛

  • @matugarecords
    @matugarecords Před 27 dny +4

    Hili goma ni kali sana, naomba likes za killer na producer wake palla midundo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 28 dny +3

    Nyieeeeee 🙌🙌 we here again Msodokiii mwanangu wewe haunaga shobo naelewa kbs

  • @heiskann
    @heiskann Před 28 dny +23

    Huyu ndo kendrick lamar wa 255😈🔥🔥🔥

    • @dadyvypa
      @dadyvypa Před 28 dny +2

      Hamna Kendrick apo😅😅😅

    • @user-je1bi2tq4k
      @user-je1bi2tq4k Před 27 dny

      Mtoto wajana huijui hip hop bola uvunge tuu😂😂​@@dadyvypa

  • @kingabala1933
    @kingabala1933 Před 18 dny +2

    """Mwenye kiti si ukae,, au kauka nikuvae"""
    Tunaanza na kauka nikuvae.. maana yake ukivaa nguo ambayo nikauka nikuvae, haijakauka vizuri inakuwa inawasha mwilini,,, na ule ubichiubichi.....
    Kuna Madogo wa hip-hop wanajiona ndo wenye kiti Cha hip hop....
    Ndo anamwambia,,, Si ukae au ndo unawashwa.... Maana yake mtu anaewashwa anahangaika mara akae mara ajigeuzegeuze,,,, Yani anarukaruka
    ..... 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MwidadySayyid
    @MwidadySayyid Před 28 dny +4

    kama kutoa ni moyo basi figo ni kujumlisha,,,mkali wetu a big fan from 🇰🇪❤😂

  • @MuadhRamadhan
    @MuadhRamadhan Před 28 dny +25

    Bongo hiphop ni mmoja tu MSODOKI

  • @Ommymidungo
    @Ommymidungo Před 27 dny +3

    Dude la mwaka sio wale wanna jiita buumzii 😅😅😅😅 msukuma mjanjaaa 🙌🙌🙌🙌📌🔥🔥🔥🔥👑👑👑👑👑 NIMMOJA TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @tedychriss
    @tedychriss Před 28 dny +6

    ngoma ni kali sasa na shangaa huwa mnaomba like zanini kwani zina wasaidia nni come on guys 🙌

  • @SilasCharles-os2hv
    @SilasCharles-os2hv Před 28 dny +2

    Sawa kabisa ila umekawia kuwa jibu...💣💣💣🔥🔥🔥🔥🙌🙌ingine kama hiyo msukuma mjanja

  • @TheUpdatemedia
    @TheUpdatemedia Před 28 dny +13

    Wanaonipanda kichwani wananipa siti ya dirisha💥💥

  • @leonardgreyson3196
    @leonardgreyson3196 Před 28 dny +39

    Ningekua na uwezo ningemueka msodoki na con boi kwenye biti ya lufa

  • @YnFTaroe
    @YnFTaroe Před 26 dny +2

    kama unaamini msodoki is the rap God leteni likes. From kenya young Lunya tunamvalisha dera

  • @filbetdaud4597
    @filbetdaud4597 Před 28 dny +1

    Oyaaa weeh nimesubir sana hii midondoko ya mzee killer aiseee oya ni moto tu kmk💥💥🔥

  • @yassersalleh8409
    @yassersalleh8409 Před 28 dny +12

    Na waamini wasukuma ndio wa kwanza kugonga pas nakuingia Nairobi 😎

  • @wiper92
    @wiper92 Před 28 dny +4

    😂😂😂 rapper wangu Bora wamda wote 😢 nakubari 🔥🔥🔥🔥✊ day yes tutasimama ote on stage

  • @user-oc3we8gm4n
    @user-oc3we8gm4n Před 27 dny +1

    This work is the masterpiece, killer anajua mno.no body like this dude

  • @Mnyaksi134
    @Mnyaksi134 Před 28 dny +3

    Dream come true unatak kuwek heshima baa kwa buku🎉

  • @bendachi_the_artist
    @bendachi_the_artist Před 28 dny +32

    Young Killer Mwanza Mwanza

  • @georgekitaponda7407
    @georgekitaponda7407 Před 28 dny +20

    msukuma mjanja haturudishi walioende tuko bize na waliopo

  • @IsackLameck-wc4fv
    @IsackLameck-wc4fv Před 28 dny +2

    THe GREATER RAP of Tanzania 🇹🇿 msodoki❤❤❤❤ no swager kabisa🎉🎉🎉

  • @user-mt4lb9sp8c
    @user-mt4lb9sp8c Před 28 dny +4

    Wakukaya🙌 super mwenye nyota sio waganga wa tangawizi😀

  • @babagwamaka1105
    @babagwamaka1105 Před 28 dny +14

    Kumbe We Kundu wa msimbazi 😂😂😂😂

  • @JunokizzyTz-ph2ck
    @JunokizzyTz-ph2ck Před 28 dny +8

    Huyu ndo msanii wa hiphop ,tunae mheshimu,

  • @DuncanNdegwa-v9k
    @DuncanNdegwa-v9k Před 15 dny

    Shida kanguza kubaya..Kenya mko wapi wamekuza tena mtoto wetu....nagoja OJ aseme kitu...bt chuma Kali...

  • @oxyMahewa
    @oxyMahewa Před 25 dny +1

    hili pini nilikuwa sijalisikiliza khaa.. ni🔥🔥🔥 mbuzi kagoma ajipange kwakwer sio young ni killer tofaut na killer mwenyewe.

  • @GracewizMsodoki
    @GracewizMsodoki Před 28 dny +5

    Classic sounds sio kila young ni killer 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤜🤛💪

  • @dreamz16349
    @dreamz16349 Před 27 dny +4

    Nilidhani friend kumbe we-kundu wa msimbazi😂😂😂😂

  • @aziziabdulrahman3914
    @aziziabdulrahman3914 Před 27 dny +1

    Young killer najiskia fahar sana nikimwita young Pele maana hip hop inamjua mpaka inampa siti ya mbele. ❤❤❤❤ salute young Pele killer.

  • @allymwihuva7473
    @allymwihuva7473 Před 25 dny +1

    UZURI NI KWAMBA HUYU MSUKUMA HAJAWAHI KUKISS AZZ YA MDAU YOYOTE ANAAMINI KWENYE TALENT YAKE..... something many Tz cats cannot live without. binafsi im happy we still have main stream rappers who can speak their minds without hesitating about wadau fake waliojaa drama. (mamae akina Petwoman)

  • @WINNER_BITE
    @WINNER_BITE Před 28 dny +3

    My favorite rapper 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @chanbaraha1418
    @chanbaraha1418 Před 28 dny +4

    🎉🎉🎉🎉 oya hupingwi mzeee kkkaleee sanaaaaaa

  • @GodloveKomba
    @GodloveKomba Před 24 dny +1

    Msodokiiiiiiii 😂😂😂😂
    The sun 🔥🔥🔥🔥🔥
    Nilichokaliliumuuu mpak saiviii we kundu msimbaziii na maku😂😂😂

  • @tjay_tz
    @tjay_tz Před 9 dny +1

    Baada ya wiki mbili mmeondoka wote😢 Nan bado yupo🙌

  • @smokietz9851
    @smokietz9851 Před 28 dny +9

    Kendrick Lamar wa bongo💪

  • @mchattachattanoga7795
    @mchattachattanoga7795 Před 27 dny +5

    Tunao sema ngoma kali like hapa

  • @RajabMussa-qj2om
    @RajabMussa-qj2om Před 28 dny +1

    Achana na anavocha chana hanaga swaga kabixa, big killer num one, leo kivumbi leo mtazamaji haya kula chuma 😮

  • @Tulizombago7633
    @Tulizombago7633 Před 28 dny +2

    Yani minaga swaga kabisa😂😂😂 Young killer

  • @Nzota50ty
    @Nzota50ty Před 28 dny +4

    Kumbi leo mtazamaji Kula chuma😂😂 mama maeeee

  • @zungubhahehi6403
    @zungubhahehi6403 Před 28 dny +4

    My G young killer since day one 🙌🔥

  • @AlviinGhost
    @AlviinGhost Před 15 dny

    Ahhhhhhhhh❤❤❤ bhana killer upwe dunia yko tu

  • @kiddybrown7154
    @kiddybrown7154 Před 4 dny +1

    Unataka kueka heshima Baa kwa buku 😂😂😂😂😂i miss you to 🤞😂

  • @aboubalo8129
    @aboubalo8129 Před 26 dny +3

    KUMAMAMAMAAMAMAEEEEE KILLLER 🔥FIRE

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 28 dny +5

    killer mtu makini muda wote na ngoma kali imetulia 🔥🔥🫂✅✈️🇺🇸

  • @roseshauri6399
    @roseshauri6399 Před 27 dny

    Daaaaaaah aixeee Yani nataman utoe mikwaju kila wakat sio wa mwixho🙆🙆📌📌📌

  • @Razy2626
    @Razy2626 Před 28 dny +2

    Always kaka we ni mkali nakukubali sana na mimi ninaimba kama wewe young killer forever sinaga swagger

  • @emmanuelnashon9290
    @emmanuelnashon9290 Před 28 dny +7

    Album nzima imejibiwa na ngoma moja😂
    Ameweka maji ya ugali wageni wamekuja kayaogea😂

    • @DeeDan-sj1mr
      @DeeDan-sj1mr Před 28 dny

      😂😂😂😂 uyu mtoto mxenge xan

    • @EmmanuelLucas-bh8hu
      @EmmanuelLucas-bh8hu Před 24 dny

      Hapa bongo huyu jamaaa hana upinzani kuanzia kuandika hadi kwenye kazi

  • @samuelhiribae6072
    @samuelhiribae6072 Před 28 dny +3

    Young killer 🔥🔥🔥
    Tupa like from 254

  • @shaculabdul8242
    @shaculabdul8242 Před 26 dny +1

    Ni ni mr rapa na raba unaweza hadi umezidi kipimo bro 💯🤸‍♂️

  • @Dkg_environmental_001
    @Dkg_environmental_001 Před 28 dny +2

    Mamaeee hapa kama vita tyu✌️✌️💯

  • @godwinloburu8646
    @godwinloburu8646 Před 28 dny +12

    Kali sana bob

  • @SaimonLinza-nf4zo
    @SaimonLinza-nf4zo Před 28 dny +7

    Atariiiiii msodokiiiiii 💥🔥🔥🔥

  • @MohamedJuma-wn5hh
    @MohamedJuma-wn5hh Před 27 dny +2

    Bado levels zako chini (village)khaligraph international 💪💪

  • @ElvisIrakoze-pj8ym
    @ElvisIrakoze-pj8ym Před 28 dny +3

    "Kama kutoa ni moyo basi figo ni kujumuisha"🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Ufunuo97
    @Ufunuo97 Před 28 dny +8

    Umekunya sanaa humu😊😊😊😊