Leo naenda nawakati kesho naenda na wapembeni........asa shuka la nini wakati mgeni mwenyewe maaasai.....kifua cha uji wa ulezi.......roma wa nini huyu kwanza unamficha kwa voko acha wadiscuss.uhisi unacho ambacho huna .......10/10 unajua mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
Hili goma kweli halinaga swaga ila ni msumali wa moto kwa wanaolopokalopoka kama mtoto wanaokiita lunya ila sijaelewa ishu ya Loma hapo dah ila hili ni jiwe ❤❤❤❤ Kama Kuna anaepingana na hiii ngoma basi kaenda na wapembeni akati sisi tunaenda na wakati🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@@saleheabdallah5461 wenye uelewa mdogo ndo huwa wanamshabikia mbuzi sikiliza verse ya kwanza ni album mbuzi kagoma kwenda 😀😀😀😀👇👇👇czcams.com/video/4IIgtXoVtQg/video.htmlsi=MzNKfGkrMHv17B-V
"""Mwenye kiti si ukae,, au kauka nikuvae""" Tunaanza na kauka nikuvae.. maana yake ukivaa nguo ambayo nikauka nikuvae, haijakauka vizuri inakuwa inawasha mwilini,,, na ule ubichiubichi..... Kuna Madogo wa hip-hop wanajiona ndo wenye kiti Cha hip hop.... Ndo anamwambia,,, Si ukae au ndo unawashwa.... Maana yake mtu anaewashwa anahangaika mara akae mara ajigeuzegeuze,,,, Yani anarukaruka ..... 🔥🔥🔥🔥🔥
UZURI NI KWAMBA HUYU MSUKUMA HAJAWAHI KUKISS AZZ YA MDAU YOYOTE ANAAMINI KWENYE TALENT YAKE..... something many Tz cats cannot live without. binafsi im happy we still have main stream rappers who can speak their minds without hesitating about wadau fake waliojaa drama. (mamae akina Petwoman)
Sjawahi kuomba like, ila kwa ukali wa hii ngoma naombeni ata moja tu
Disi yanga izi extravaganza 💪
Kwa mara ya kwanza nimecomment kwenye goma la mwaka nikiwa wa 3 hili goma ni kali Paragraph na Young K....... wakisikia hii watajichimbia sehemu walie
Kichaa katoka mirembe watoto wadg wot tulieni 😂😂
Yeah
Lunya kajichanganya kwa ngosha
Msodokiiii
Naona mipira inachezewa sheli
Mimi fan ya huyu jamaa tanguy dear gambe...nawaombeni likes from KENYA😊😊
Disi yanga izi extravaganza 💪
Ongea vizur wewe unatuaribia lungha yetu
Kwanza nyie c ndo mlisema mziki wetu upo kimya
Kutoa ni moyo,,,so Figo ni kujumlisha,,,like zake jmn
Nyimbo Zake kumi ni sawa na iyeeeee
Disi yanga izi extravaganza 💪
walio sikiliza mala mbili kama mimi tujuane kwa like
mie zaidi ya mara tano
ivyo yani
Dangerous
Disi yanga izi extravaganza 💪
Bonge ngoma
Naombeni hizo like mimi ndo wa kwanza kucoment hapa 👑
Disi yanga izi extravaganza 💪
Disi yanga izi extravaganza 💪
Mr sinaga swagga mm Leo ndo nime anza Ku kufatiya naomba like Ili moyo🫀🫀 uzame kwako miLele Amina boy from DRcongo 🇨🇩🇨🇩
Disi yanga izi extravaganza 💪
Alafu kuna kijamaa kibana pua kelele nyingi kina kuja kushindana hapa chizi kweli yule KING msodoki 1 tuu........SINAGA SWAGGA 7💥💥🔥🔥
Acheni Kumfananisha Huyu Msukuma Na Rappers Wenu Wa Ajabu Ajabu!! ✊🏾
Sure
Mtaje tu kutomfananisha na lunya😅
Disi yanga izi extravaganza 💪
Kama unatoka Kenya 🇰🇪 na unamkubali killer weka like
We mpumbav huon tumedisiwa 😂😂😂
@@SammyTv-zx7bynae alidiss pia
Disi yanga izi extravaganza 💪
Oya huu ugaidii tuliukosa kitambo sana 👊 SKUDAI TENA🚶
Disi yanga izi extravaganza 💪
Huu ni ugaidi sana huu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamani naombeni na mm like zangu huyu jamaa fire 🔥
Tulio rudia kuskilza zaid ya mara 5 tujuane😅 kunawatu wametajwa humu😂
Yule young nasikia " kwao ana BA KWA NYUMA" HIyo imeenda kabisaa😊
Mhuni sana huyu mwamba hapo basata hata kwa tebo ya 2 haishi hiyo 😂😂😂
Home. Boi
nilikuwa naitafuta hii comment
Su - MAKU
Bila d mbili
😂😂😂😂usinitunishie kifua kilicho jaa uji wa ulezi😂😂 young killer 🙌
Sasa msodoki ww babalao from now and on kama unamkubali mwanetu gonga lake zetu hapa mwanza mwaza 💪
👏👏👏👏
Young killer stail zako za video huwa zinanikosha.... Kama wiz khalifa vile🙌🙌🙌🙌
Disi yanga izi extravaganza 💪
Leo naenda nawakati kesho naenda na wapembeni........asa shuka la nini wakati mgeni mwenyewe maaasai.....kifua cha uji wa ulezi.......roma wa nini huyu kwanza unamficha kwa voko acha wadiscuss.uhisi unacho ambacho huna .......10/10 unajua mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅
From drc🇨🇩 kama unamkubali youg killer msodoki weka like apa 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥
Disi yanga izi extravaganza 💪
Félicitations Artistes Young msukuma Im from Congo drc 🎉🎉 🇨🇩 On ensemble
Haturudishi walioenda tuko bize na waliopo🔥🔥🔥🔥
Mzigo WA🔥 saaana
@@Georgevasco-ld8be 🔥🔥 hizi ndo Ngoma zinazoishi
@@SidniAlly hukuti ikichuja Leo wala kesho🔥
Yaaah mahn🔥🔥
Usiwe kama stranger mwili huwez jengwa Kwa kokooto 😅😅
💥✌ mu uwe alafu uni atchiye ni mzike oyo dogo na izi rapu kiswahili zakongo zilizo na machango ya lingala
Hakuna kinachosalia mfukoni kwa sababu hakuna kanisa, nipeni hizo like sasa
Hapa akimaanisha nini?
USAMAKI sio UNYAMA 😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
We kweli sukuma😂😂
Tushanyoa vichwa vya habar afu mipango tukasuka🔥🔥
Nilijua ni mwana kumbe we kundu-wamzimbazii😅😅
Disi yanga izi extravaganza 💪
Hawana vigezo vya kuwa wapinzanu🔥🔥🔥
Kuna mstari mmoja sizan kama kuna yeyote kauelewa kanasema ... Mwenyekiti si ukae, au kauka nikuvae... daah killer ni muuaji
Hapo ana mana gn
Kuna mxtar unaxema. No cap no mzula ki alhaj🙌🙌🙌🙌
.nguo n moja kila siku anavaa iyoyo..ndio maana ya kauka nikuvae so hapa mwenyekiti hawezi kukaa coz nguo alovaa bado mbichi haijakauka vizur 🙌🙌🙌
😂😂🙌🙌🙌🇹🇿
Mwenyekiti siukae😂😂 ameomba sana kiti Aya akae sasa😂 afu dogo kauka nikuvae mama mamaee
Rap shit wakina naniii waje waibe maujuzi na album zao mnovuuuu,,,gaddam hii ni like shwaaa😂😂
Sanaaa msodokii🔥🔥🔥
nime sikiliza mala 100 naombeni like zangu
Unafki utakuua..
Disi yanga izi extravaganza 💪
🔥🔥🔥
Kwenye ukweli tuongee...
Dude kali...
#competition muhimu lakini ✌🏻
Nilizani friend, kumbe we-kundu wa msimbaz 🔥🙌🙌😂
Sijawah pata like wakuu ata hii asee...sema me mchoraji nipeni subscription wakuu wekeni na Oda ✏️🫶🏾🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Disi yanga izi extravaganza 💪
Naamm Hii nyenyewe kabisa.hii ndo Ngoma bora ya rap Kwa mwaka 2024
Hili goma kweli halinaga swaga ila ni msumali wa moto kwa wanaolopokalopoka kama mtoto wanaokiita lunya ila sijaelewa ishu ya Loma hapo dah ila hili ni jiwe ❤❤❤❤
Kama Kuna anaepingana na hiii ngoma basi kaenda na wapembeni akati sisi tunaenda na wakati🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😭 I can't stop crying like a kid, We jamaa unajuha mpaka unakera. unajua..kuandika mamae!
Namuomba ..mungu Afanye tufe siku moja.
Sio kila Young ni Killer!!! Sio Michano tu hata Futaa hawakuwezi.. 🎉🎉🎉
Mkali sana uyu jamaa
Tuliorudisha rudisha tena kusikilizia mstari wa nyuma like hapo.... Me sinaga shobo hata Kwa nasibu abduli..😂
Eti ana-bakwa-nyuma "ana bar kwa nyuma" punchline 🔥
Asiyemwelewa huyu dogo akapimwe akilo
Gonga like acha udwanzi ww ,,,Ngoma ya moto hii🔥🔥🔥
Content hatr saan mkal!killer always killing bro
Gonga like kwa killer wanang🙌🤝
Unajua sana mwanangu hii ngomaa ni album ya mbuzi kagoma kwenda😂😂😂😂
Naona mbuzi kajisfia mmemsema ila young killer kajisifia ila mmenyamaza
@@saleheabdallah5461 wenye uelewa mdogo ndo huwa wanamshabikia mbuzi sikiliza verse ya kwanza ni album mbuzi kagoma kwenda 😀😀😀😀👇👇👇czcams.com/video/4IIgtXoVtQg/video.htmlsi=MzNKfGkrMHv17B-V
Hahaha we jamaa umefanya nimecheka sana
Mbuzi kila ngoma anajisifia
@@saleheabdallah5461ujue killer anaongea facts ila lunya kila ngoma jau😂
Huyu jamaa anamjua sana kuimba❤❤
It’s time to wake up!!! Young killer msodooookiiii shoutout Sanaa kaka 🤛🤛
Hili goma ni kali sana, naomba likes za killer na producer wake palla midundo 🔥🔥🔥🔥🔥
Nyieeeeee 🙌🙌 we here again Msodokiii mwanangu wewe haunaga shobo naelewa kbs
Huyu ndo kendrick lamar wa 255😈🔥🔥🔥
Hamna Kendrick apo😅😅😅
Mtoto wajana huijui hip hop bola uvunge tuu😂😂@@dadyvypa
"""Mwenye kiti si ukae,, au kauka nikuvae"""
Tunaanza na kauka nikuvae.. maana yake ukivaa nguo ambayo nikauka nikuvae, haijakauka vizuri inakuwa inawasha mwilini,,, na ule ubichiubichi.....
Kuna Madogo wa hip-hop wanajiona ndo wenye kiti Cha hip hop....
Ndo anamwambia,,, Si ukae au ndo unawashwa.... Maana yake mtu anaewashwa anahangaika mara akae mara ajigeuzegeuze,,,, Yani anarukaruka
..... 🔥🔥🔥🔥🔥
kama kutoa ni moyo basi figo ni kujumlisha,,,mkali wetu a big fan from 🇰🇪❤😂
Bongo hiphop ni mmoja tu MSODOKI
😂na DIZASTA
Dude la mwaka sio wale wanna jiita buumzii 😅😅😅😅 msukuma mjanjaaa 🙌🙌🙌🙌📌🔥🔥🔥🔥👑👑👑👑👑 NIMMOJA TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
ngoma ni kali sasa na shangaa huwa mnaomba like zanini kwani zina wasaidia nni come on guys 🙌
Wanakeraga hao jamaa
Sawa kabisa ila umekawia kuwa jibu...💣💣💣🔥🔥🔥🔥🙌🙌ingine kama hiyo msukuma mjanja
Wanaonipanda kichwani wananipa siti ya dirisha💥💥
Ningekua na uwezo ningemueka msodoki na con boi kwenye biti ya lufa
Ingekaaa poa sana Man
😂😂😂😂😂 daaah umewaza nnacho kimiss mwanang
Umewaza mbali master kila siku nawawazia ivo bongo moja la hit naliona hapo
kama unaamini msodoki is the rap God leteni likes. From kenya young Lunya tunamvalisha dera
Oyaaa weeh nimesubir sana hii midondoko ya mzee killer aiseee oya ni moto tu kmk💥💥🔥
Na waamini wasukuma ndio wa kwanza kugonga pas nakuingia Nairobi 😎
😂😂😂 rapper wangu Bora wamda wote 😢 nakubari 🔥🔥🔥🔥✊ day yes tutasimama ote on stage
This work is the masterpiece, killer anajua mno.no body like this dude
Dream come true unatak kuwek heshima baa kwa buku🎉
Young Killer Mwanza Mwanza
Young lunya ni mpiga kelele tu broh bendachiiiii zeee la kuedit😂😂
@@Science-concept1234 Iko waziii!!!!!!!!!! Damu yang
msukuma mjanja haturudishi walioende tuko bize na waliopo
Apo 3:03 np
THe GREATER RAP of Tanzania 🇹🇿 msodoki❤❤❤❤ no swager kabisa🎉🎉🎉
Wakukaya🙌 super mwenye nyota sio waganga wa tangawizi😀
Kumbe We Kundu wa msimbazi 😂😂😂😂
Huyu ndo msanii wa hiphop ,tunae mheshimu,
Shida kanguza kubaya..Kenya mko wapi wamekuza tena mtoto wetu....nagoja OJ aseme kitu...bt chuma Kali...
hili pini nilikuwa sijalisikiliza khaa.. ni🔥🔥🔥 mbuzi kagoma ajipange kwakwer sio young ni killer tofaut na killer mwenyewe.
Classic sounds sio kila young ni killer 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤜🤛💪
Nilidhani friend kumbe we-kundu wa msimbazi😂😂😂😂
Young killer najiskia fahar sana nikimwita young Pele maana hip hop inamjua mpaka inampa siti ya mbele. ❤❤❤❤ salute young Pele killer.
UZURI NI KWAMBA HUYU MSUKUMA HAJAWAHI KUKISS AZZ YA MDAU YOYOTE ANAAMINI KWENYE TALENT YAKE..... something many Tz cats cannot live without. binafsi im happy we still have main stream rappers who can speak their minds without hesitating about wadau fake waliojaa drama. (mamae akina Petwoman)
My favorite rapper 🙌🙌🙌🙌🙌
🎉🎉🎉🎉 oya hupingwi mzeee kkkaleee sanaaaaaa
Msodokiiiiiiii 😂😂😂😂
The sun 🔥🔥🔥🔥🔥
Nilichokaliliumuuu mpak saiviii we kundu msimbaziii na maku😂😂😂
Baada ya wiki mbili mmeondoka wote😢 Nan bado yupo🙌
Kendrick Lamar wa bongo💪
Tunao sema ngoma kali like hapa
Achana na anavocha chana hanaga swaga kabixa, big killer num one, leo kivumbi leo mtazamaji haya kula chuma 😮
Yani minaga swaga kabisa😂😂😂 Young killer
Kumbi leo mtazamaji Kula chuma😂😂 mama maeeee
My G young killer since day one 🙌🔥
Ahhhhhhhhh❤❤❤ bhana killer upwe dunia yko tu
Unataka kueka heshima Baa kwa buku 😂😂😂😂😂i miss you to 🤞😂
KUMAMAMAMAAMAMAEEEEE KILLLER 🔥FIRE
killer mtu makini muda wote na ngoma kali imetulia 🔥🔥🫂✅✈️🇺🇸
Daaaaaaah aixeee Yani nataman utoe mikwaju kila wakat sio wa mwixho🙆🙆📌📌📌
Always kaka we ni mkali nakukubali sana na mimi ninaimba kama wewe young killer forever sinaga swagger
Album nzima imejibiwa na ngoma moja😂
Ameweka maji ya ugali wageni wamekuja kayaogea😂
😂😂😂😂 uyu mtoto mxenge xan
Hapa bongo huyu jamaaa hana upinzani kuanzia kuandika hadi kwenye kazi
Young killer 🔥🔥🔥
Tupa like from 254
Ni ni mr rapa na raba unaweza hadi umezidi kipimo bro 💯🤸♂️
Mamaeee hapa kama vita tyu✌️✌️💯
Kali sana bob
Atariiiiii msodokiiiiii 💥🔥🔥🔥
Bado levels zako chini (village)khaligraph international 💪💪
"Kama kutoa ni moyo basi figo ni kujumuisha"🔥🔥🔥🔥🔥
Umekunya sanaa humu😊😊😊😊
Kawanyea kinoma yan