Kibonge Wa Yesu - Neno Moja (Official Music Video) SMS Skiza 8021080 to 811
Vložit
- čas přidán 28. 02. 2024
- Mawazo ya mwanadamu wakati Mwingine ni ya kukata tamaa lakini Mungu anaweza kusimama na kauli yake Moja tu inayoweza kubadili hatima ya Mwanadamu na kurejesha vilivyopotea na kuhuwisha vilivyokufa. Wimbo huu ukawe wa Urejesho na uponyaji wa majeraha kwa kila moyo uliyoumizwa na kukosa tumaini Mungu akawe Msaada kwako katika Jina la Yesu. Amen!🙏
John 5:5-6
Audio produced by @kstarrecords255
Video directed by @mrazalia
Bvg : Nuru mwaipungu
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to NENO MOJA by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
©2024KiboMelodies.All rights Reserved.
#kibongewayesu #gospelmusic #NenoMoja #Semanenomoja
Verse 1
Kauli yako moja tu inaweza kubadili hatima
kauli yako inabadilisha mambo
kauli yako moja inaweza kunitengeneza
vilivyo kufa kwangu vikachipuka tena
na nimekuja hapa Mungu na uchumi wangu ulioyumba, afya yangu nafsi yangu uvihuwishe tena
kuna muda nakubali huenda sababu ni mimi mwenyewe
ule muda najikwaa kwa kufuata yangu na kukuacha wewe
uliempa ndege uwezo wa kupaa angani haya matatizo,shida kwako ni kitu gani?
uliempa samaki uwezo apumue majini haya masimango,mateso ebaba tupilia mbali
Hook:
Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
baba Mungu wangu wee
.
Chorus:
Sema neno Moja
ninakuomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntapona Yesu
sema neno moja
kwa neno lako ntashinda mie
nipo tayari kupokea
baba Mungu wangu wee
sema neno moja
ninakuomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntapona Yesu
sema neno moja
kwa neno lako ntashinda mie
nipo tayari kupokea
Verse 2
kama batimayo nipo kando ya njia
Ooh Baba
nakusubiri useme ili nione
Ooh Baba
japo nimesikia mengi ya kunikatisha tamaa ila neno lako moja linaweza niinua tena
Nimeomba sana mpaka wanasema ninapiga kelele
ila sichoki bado nakazana kukusubiria wewe
kama kukwama nimekwama
na kiza kimetanda
nategemea neno lako nuru liniangazie
kama msaada sijaona kwa watu wadunia
nategemea ulie juu unisadie
hook :
Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
baba Mungu wangu wee
Chorus:
sema neno moja
ninaomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntashinda
sema neno moja
mhh
nipo tayari kupokea
kwa neno lako nitainuka tena
sema neno moja
neno la baraka
nipo tayari kupokea
neno neno lako
sema neno moja
neno la kunitajirisha
nipo tayari kupokea
litanipa amani
neno litanifariji
MUNGU AKUTANE NA HAJA YA MOYO WAKO KUPITIA WIMBO HUU AMEN🙏👇🏻
Mziki wa wakati wangu.Wimbo umekuwa anthem kila siku nkingoja Bwana aseme neno.Natumai yote aliyoahidi kwangu ni mwaminifu kutimiza.Wapi likes za kukubali "neno moja" kutoka kwa Baba Mungu..
Amina barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai
Huu wimbo YESU wangu.. ni zaidi ya wimbo ni INJILI ilio beba wokovu, ni maombi yenye TUMAINI la kusubiri neno la KRISTO liletalo matokeo yasio na majuto
Sema neno moja
From Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi brother nipewe likes tukifuatana
Ninabarikiwa sana na nyimbo zako Amen
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu.Mungu,akubari sana
nahitaji like jameni
Aante kwa nyimb zur thex
This one is mine aki... I know it high time God my father in the name of Jesus has remembered me through this song God bless u Sir.
Sema neno Moja mungu baba😭😭🙏🙏🙏
Direct from tiktok....such a powerful song
Pia Mimi nangoja Mungu anisemee Neno moja Maishani mwangu😢
Yaani naupenda huu wimbo mpaka basi
Sema neno moja 🙏
Big idea kibonge wa yesu
Neno moja baba angu najiungamanisha na wimbo kukusihi Yesu wangu 🙏🏻
Songiiii limepita bila kupingwa🎉
Sema neno moja nimebarikiwa sana mungu akubariki kawimbo katamu