Kibonge Wa Yesu - Waambie (Official Visualizer) SKIZA DIAL ( *811*715# )
Vložit
- čas přidán 9. 05. 2024
- Yapo Mambo mengi ambayo Adui mwovu anayafanya ili kutufarakanisha na Mungu wetu lakini Mungu anatambua wenye haki na ndio walio wake hivyo anawapigania na kuwalinda dhidi ya yule Mwovu. Mungu anatupenda na anatubariki kwa kila hatua tunazopiga haijalishi ni wangapi wanasimama kinyume na Ndoto na maono yetu lakini bado tunapiga Hatua.
Kumb 11:24
"Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu; tokea hilo jangwa, na Lebanoni, na tokea mto wa Frati, mpaka bahari ya magharibi, itakuwa ndiyo mipaka yenu."
Audio produced by @ClickMaster
Visual by @ap.creative1
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to WAAMBIE by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
©2024KiboMelodies. All rights Reserved.
#Kibongewayesu #Waambie #gospelmusic
LYRICS :
Nenda waambie wajue Mungu ananipenda
nenda waambie wajue Mungu ananipenda
verse 1:
Ile mitego tego walonitegea ameitegua
na mipaka yote nilowekewa ameiondoa
wakafanya mpaka matambiko
ili niweze potea
kwa huruma za Mungu bado nipo
yeye amenitetea
wamezuia maji kwa chujio
na yameshindwa yao majaribio
mola ndo mpaji mafanikio yanatoka kwake
akisema ndio
bridge :
Ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
chorus :
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
verse 2
Kwa vile ananipenda
kivyovyote nitasema
hakuna atae zuia hata kwa yoyote hila
na ameyaweka mambo sawa
na sasa mimi niko salama
bridge :
Ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
chorus :
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda - Hudba
Kama unajiona umekosea sana Kama mimi Ila bado Mungu anakupenda,gonga like
Yesu ni mwaminifu ametutetea na anatukaribisha kumuamini ili tuwe Wana wa Mungu.
Ama kweli Yesu anantupenda.
Amen 🙏 nimefarijika na wimbo mzuri wa Yesu
From TikTok the song is cool🎧🙏
Amina.Nenda wambie Mungu ananipenda .
Alex Mwakideu and Mwashumbe Radio 47 Kenya brought me to this song.
Hakika,Mungu ananipenda
All the way from tiktok....#Ameniongeza hatua mbele nasogea 🙏🙏
ameeen
director Khasi seen 🎉🎉
Wow a beautiful piece,,,, cheering you on always from Malawi,I love your music ❤😊
This is a powerful song. Am blessed 🙌
Amena Baba🙏🙏🙏🙏
God is good 🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤
What a beautiful written song.❤
Barikiwa sana mela wangu Mungu azid kukuonekania 🙏🙏
Hii Ngoma Fanya collabo na Joel lwaga kaka utanishukuru baadae
🙏🙏🙏
This is very sweet, Barikiwa Sana kaka
Much love from Kenya ❤
my favorite from +255
Such a beautiful song❤
My role model,
Kaliii sanaaaaa❤️🔥
Barikiwa sana Kaka
Wouu I’m inlove with the song ❤️🔥🔥🙌🙌 Bless you Kaka
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Wamezuia maji Kwa chujio na yamefeli Yao majaribio🙌🙌 congratulations to you brother 🙏
Living in reality of this lyrics and i Believe He still got more in store for me.🙏 Indeed He is an awesome God.
🙌🙌
Kiboooo.... melodiizer🙌🥳
Its time 4 kibonge melody
Keep shining broo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Enda uambie wajue Mungu amenitenda
Kibo 🌊
Hii tiyari nimeweka ringtone ya kwangu mie,daah tamu sana aisee👌❤
🙏🙏
mungu akubariki kaka
Barikiwa sana kaka mkubwa
Kazi kazi kaka🙌🙌🙌
Beautiful ❤
Go go go brother 🙌🙌🙌
Waoooh, in tears singing this great and very uplifting song.
🙏🙏🙏
Powerful song
KIBOOOOOOOP
Amenisongeza hatua🙏🔥🔥🔥
Awesome!
Wimbo mzuri
Kaka kazi mzuri sana mungu akubariki zaidi
Melodiezer🙌
MELODIZER ❤❤❤
🎉🎉twende tuwaambie hii ngoma ni kalii
ameeen🙏🙏
💥 💥 💥 hakika Mungu anatupenda
Baba Baba Babaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🙌
🙏🙏🙏
Mziki mzuri Sana mungu akubariki
Ameen
Bro I like this❤
🙏🙏
Hongera kaka yangu haujawahi niangisha Mungu akutunze. Naomba studio unaporekodia🙏🙏🙏
Kaka
Hiii ina kitu aiseeee ❤
🙏🙏🙏
God bless uue
Kibo melodiza
Kari on repeat 🔂❤️ #Wambie Yesu Ananipenda 🔊🙌🔥
🙏🙏🙏
More blessing❤
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
..Mungu ananipenda 😭😭🙏
Ameeen
Nyimbo ni nzuri sana utunzi wa hali ya 🎉🎉🎉❤
Ila kaka quality ya Audio 😢
Unajua sana wewe jamaa
#wambie 🎉🎉🎉🎉 blessed song
Huu wimbo kanisani kwetu tunauimba kama Tenzi ya rohoni na tunakuombea sana Kibonge,yaani kwa inje tunakuona chembamba lakini rohoni wewe ni kimbonge wa Yesu kaka
🙌🙌🙌
Glory to God
This is KIBO MELODIZER
Ngoma ni kubwa sana hii kaka,
🙏🙏🙏
Hallelujah
Keep it up brother 🇰🇪
Waiting to do this challenge tomorrow
From tiktok prrrrrrr pak...kidogo nivunjike mguu..Mungu ananipenda kweli..barikiwa kaka🙏
ameeen🙏🙏
😅😅😅😅
kenya imekubali huu wimbo
Hii ngoma tamu sana, kaka ila ungefanya collabo na joel lwaga,gurdian angel ,deus derick au barnaba.( ni maoni yangu tu)🙏
🙏🙏
Godblessyou bro
🙏🙏kaka
Ni tamu sana uwandishi wako na uwimbaji wako vinanibariki mnooooooo
Great sana💪
Jiraniii Jiraniiii ❤🔥🔥🔥
baba🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
This song is a blessing and it came at the right time..May God bless you with wisdom to get more inspiration songs
Ameeen
Good song
Ubalikiwe kaka
Ushaanza kuimba nyimbo mbaya
Nyimbo ni nzuri sana ila ubaya umo ndani yako wewe mwenyewe! Upone kwa jina la Yesu.😢
This song is such a huge blessing..keep going bros🎉
ameen🙏🙏
Feeling blessed🥰good stuff🙏🙏
🙏🙏
bravo
Kibo merodza aiseeee Sina la kusema zaidi unanibaliki na nyimbo zako natamani nami ni fanye kama wewe aisee MUNGU akubaliki
😢😢❤❤
🙏🙏
Amen,love it
🙏🙏🙏
🔥💯
Mungu akubariki sanaa nyimbo zako zafanya poa sana na napenda sikilza zinanipa ujasili napokata tamaaan nenda waambie wajue mungu anatupendaaa❤
Wanazuia maji kwachujio💪💪🙌
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉❤❤
Wamezuia maji kwa chujio,
Na yameshindwa yao matarajio🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
#WAAMBIE
THIS SONG IS SWEEETTTT
🙏🙏
Noma
From tiktok here direct
🙏🙌
Nenda waambie wajue Mungu wangu ananipenda, Nice brother God job