Walter Chilambo - Unafaa (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 20. 07. 2022
- Official Music video for “Unafaa” by Walter Chilambo
Watch the latest music videos by Walter Chilambo:
• Walter Chilambo - Mess...
Listen to Walter Chilambo here: snd.click/glmqrfp
Follow Walter Chilambo
Instagram: / walterchilambotz
CZcams: / walterchilambo
Music video by YLF Studios
Unafaa Lyrics
Macho yameona na tena nimesikia habari njema kwangu
Moyo una shauku pia kukuona zaidi bwana wangu
Nina kiu kiu isio kata aah ni kama nipo jangwani naona vumbi tu
Nahitaji chakula cha roho yangu mi nipone kwa maana nipo jangwani
[ninakuhitaji yeyeeh]
Ukae na mimi ukae ndani yangu nikae na wewe uwe salama yangu
Ukae na mimi ukae ndani yangu nikae na wewe uwe salama yangu
Hakika wewe unafaa [unafaa]
Baba sitamani nije kwako mikono mitupu nibariki nikutolee sadaka
Najua nikiwa mikononi mwako nitakua shwari nitakuwa shwari
Kwa mana ahadi zako si uongo [uongo] ndivyo hivyo unatimiza ahadi
Ndo maana sina wasiwasi ndo maana sina waasi
Ukae na mimi ukae ndani yangu nikae na wewe iwe salama yang
Baba [huhuhuuuh] ukae ndani yangu nikae na wewe [babababababah]
Ni wewe unanifaa unafaa [unafaa]
We ni babaah [unafaa] baba ni wewe unastahili [unafaa]
Njoo ukate kiu yangu
#WalterChiambo #Unafaa - Hudba
You always go deep, the feeling you give to my soul, its like am already on the Heaven, Thank Almighty for this talent of my brother, anyone listening to this song be blessed too. ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From DRC na i kubali kazi. Mungu anaye weka wimbo midomoni mwako, kweli sifa ni zake Mungu aliye juu ya vyote
Wapi likes za Walter Chilambo kutoka kenya wadau? This is amazing
Nakufuatilia sana brother. Kazi yako ni zaidi ya wewe, ni chakula kwa sisi wenye njaa. Kwa hivyo, omba Mungu azidi kukufanya utulishe. Kazi nzuri sana. Mimi mkenya. Natizama tokea Doha, Qatar. Na amani yake Yesu Kristo iwe nawe.
Mungu azidi kukupandisha viwango vya juu Walter chilambo nafarijika Sana na nyimbo zako brother
Baki hivyo,hiyo ndo huduma ambayo Mungu kaiweka kwako
Wooow... This is exactly what have been praying to God to do for me this year.. Amen amen 🙏.. May God Continue to use you brother Walter Chilambo in Jesus name amen
Amen amen what a blessing glory to GOD who saved us everyday 🙏🙏Mungu akae ndani yangu nami nikae ndani yako Yesu🙏
Nashindwa kueleza n jins gan nabarikiwa kupitia kaz zako😔 acha tu niseme Mungu ameiweka huduma yake kwa mtu sahihi. Uzidishiwe baraka Walter
😢
Hujui ty ninavyobarikiwa nikisikia nyimbo zako album yako nyimbo zote ninazo barikiwa sana mtumishi wa mungu love you ❤️❤️❤️
Hakaki unafaa bwana kaa ndani Yani bwana ,,kazi nzuri Walter am blessed 🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Mungu wa mbinguni azidi kukuinua kwa viwango vingine zaidi katika huu utumishi alioweka ndani yako kwa ajili ya utukufu wake Baba...UBARIKIWE sana kaka kama tunavyobarikiwa sisi na utumishi wako..🙏🏻
Yesu mtetezi wetu anafaa
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu❤
Thank you Chilambo
Unatuinua wengi
Hakika brother unanibarikia sana Mungu akuinue zaid
Very powerful 🔥🔥
Walter Chilambo 🙌🙌
Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka napenda sana kuimba natamani siku moja niwe muimbaji wa nyimbo za Dini❤❤❤
Hua unanibariki na nyimbo zako... Bwana Yesu azidi kukuongoza na uzidi kumtumikia. Zidi kubarikiwa
Nice soothing to the Soule wapi likes za Walter 👍👍
Nice songs 🙏🙏🙏🙏 Mungu awabarik wote unaosikia hii nyimbo na kuusifu ukuu wa Mungu
Nyimbo zako uwa zina nibariki sana. Mungu azidi kukubariki.
Hakika Mungu Anafaa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mungu azidi kukupa maarifa zaidi katika kumtumukia yeye 🙏🏽Nimebarikiwa na nyimbo yako
Walter nakuombea sana kila siku, Mungu akuzidishie baraka tele...asante kwa kazi nzuri
Napenda nyimbo zako ,Mungu akubariki
Jmn AMEEN mbna umefungwa haudownlodk
Amen chakula ya roho utapewa
I always look forward to listening to the songs of Walter!
Ukae na mimi baba
Mbariki akubaliki za nifalji
From +254🇰🇪..
I love your great ministry..
We Love you brother 🙏
May the Lord keep enlarging you more and more..Your ministry is great
Tz is proud of you, Christians are proud of you, Jesus is proud of you. Keep it up, sauti yako inaburudisha nyumba zetu. Yesu wangu na Mungu wangu, wewe ni kila kitu hata nianguke katika dhambi wewe u tumaini pekee.
Bip bro big talent nawishi nije nikae na ww nijifunze kucheza na sauti kumutukuza mungu na kuhubri injili kimataifa
May you always see how you serve almighty God, with this amazing voice and massage.
Nakubali kaka Mungu akubariki sana 🙏🏻
One god one peace together we are...
Oh Its Very Good one UNAFAA,,,,,,
thank you for another..imenipa nguvu zaidi God bless you sana
Yesu ana faa maishani
wangapi mnaisubilia Busara jman
Nakubali sana kaka, Mungu alibariki sana
unafaa, unafaa Yesu
Nyimbo zako zinanibariki! Ubarikiwe sana 🙏
Mungu anipe hiyo neema uliyo nayo
NDUGU YETU HATUANGUSHI IMANI ZETU JUU YAKE HAZIENDI NA MAJI ✔✔✔🤝🏻
Mara ya kwanza kuskia hii nyimbo... Nimeipenda sana
Nakushukuru sana kwa nyimbo huu nzuri ambao unafaa sana hasa wakati huu katika Maisha yangu.. Mungu wetu yeye anafaa, na kwake tunapata Amani na Furaha usio na kifani...Ubarike na nyota yako izidi kung'aa
Wimbo mzuriiii Mr kaka mtumishi
I really appreciate you Wolter chilambo.
UNAFAA UNAFAA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Good job Good song 🇰🇪💪
I always enjoy good music
God will walk with you everywhere you go
Ubarikiwe mtumishi
Hakika Mungu unafaa
Bro you mh guy manzee
Ameeen
Niki kuskilza ukiwa unaimba nakuwa na furaha sana broo ,kazi nzuri sana 🇹🇿☑️🙏🙏❤️🔥🔥🔥🔥
Favourite
You always bless my heart, may God exalt you more and more 🇰🇪
Superb🔥🔥Barikiwa sana kwa jina la Yesu. SHALOM
KWELI BABA UNAFAA! GOD BLESS U
Let go !!!!!
Mungu akubariki kwa kuhubiri kwa uimbaji huwa nabarikiwa sana kwa nyimbo zako
Always waiting new thing from walter
Unafaa yesu
God bless u bro u did it well sana we love u much💝💝💝💝💝😍😍😍🥰🥰🥰
I love love your songs, keep it up
His voice and biblical lyrics
Great 🙏 keep it up Walter
🇰 🇼 🇪 🇱 🇮 🇧 🇼 🇦 🇳 🇦 😍😍😍
Unafaa is powerful...
Much love from kenya❤❤ a fan since day one 🔥 you never dissapoint🔥🔥
Bigup kijana nabarikiwa sana na nyimbo zako
Be blessed 😇
Salute sir..much love
Barikiwa sana nina barikiwa sana na nyimbo zako …. Hongera sana kwa kazi nzuri sana 🙏🏽
🔥🔥🔥🔥
Nabarikiwa mno na nyimbo zako,wewe ni baraka
Be blessed bro
Best composer 🔥🔥🔥
Nibariki nikutolee sana
U are among people who make me the way I am for the glory of God .
Sawa kaka
Another one 🔥☄️
Umebarikiwa sana
Congratulations to you my brother, GOD BLESS YOU
Powerful
Nakubali chilamboo
woooooooow nice song my brother
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏 you never disappoint Walter always 👌
God bless you my brother
From Uganda but honestly I feel blessed whenever I listen to your music may God bless you sana 🙏🙏
Barikiwa sana kaka wimbo mzuri sana
Kaka kaka 🔥🔥 fire
always..my mentor...you never dissapont 💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥
Amen
Amen 🙏🙏🙏
KAZI NZURI CHILAMBO
God bless you
Love it my favourite song and artist chilambo to the world 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯 always deliver the best 💯💯🙏🙏🙏🙏🙏💥💥 much love from Kenya 🇰🇪💖💯