Obby Alpha - Nimewasamehe .
Vložit
- čas přidán 10. 04. 2024
- Ndivyo Baba yangu wa Mbinguni atakavyowatenda ninyi,msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake, (Mathayo 18;35).
Ni maombi yangu kwa Mungu aunyooshe moyo wangu,wanaponikosea wengine nisiishie kusamehe na nikabaki na machungu moyoni.Mungu akaseme na wewe pia kupitia ujumbe huu AMEN.
Producer - Mixing Doctor
Director - Avie
Lyrics
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Hivi ni nani daktari wa ugonjwa wa moyo nimjue,
Anitibu tafadhali huu mzigo mzito niutue.
Maana maumivu ni makali nahitaji ukweli niongee,
Kusamehe mi sijali ila kuachilia ndo nashindwa.
Baba naona giza kwenye msamaha wangu ,na msamaha wako wewe haupo hivyo,Ukisamehe unafuta na kusahau.
Hivyo najidunduliza kijae kibubu changu , cha msamaha japo kifike hata robo,Nikisamehe nifute na kusahau.
Maana kiukweli nimesamehe ila nikikumbuka mojo unadunda TiTiTi,Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Baba wapo wale niliowakopesha wakanidhurumu
Tena wapo wale hawakujua kosa wakanihukumu
Baba wapo wale niliowapenda wakanisaliti
Tena wapo wale niliowapa siri wakazisambaza eeh
Haya ni maombi yangu Baba yangu eeeh
Nikisamehe ponya maumivu kwenye moyo wangu,
Hata nikiwaona nisije kukumbuka mabaya yao.
Pia ni maombi yangu Baba yangu eeh
Pia wanisamehe kwa yote mabaya nilotenda,
Hata wakiniona wasije kukumbuka mabaya yangu eeeh.
Baba naona giza kwenye msamaha wangu ,na msamaha wako wewe haupo hivyo,Ukisamehe unafuta na kusahau.
Hivyo najidunduliza kijae kibubu changu , cha msamaha japo kifike hata robo,Nikisamehe nifute na kusahau.
Maana kiukweli nimesamehe ila nikikumbuka mojo unadunda TiTiTi,Nataka nisahau ili nikikumbuka hali iwe shwari.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia.
Nimewasamehe,Nimewasamehe
Ila tatizo kuachilia,Mungu nifundishe kuachilia. - Hudba
Mathayo 6 : 14-15
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Mungu nifundishe kuachilia 😢
Kwa sababu ndiyo mapenzi ya mungu, kwamba kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu wapumbavu; kama walio huru, ila wasioutumia uhuru huo kwa kusitiri ubaya,(...)
PET 2: 15-16
🔥🔥🇰🇪
Kusamehe ni rahisi ila kumbukumbu
an uko vizur bro kazana
wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu kwenye wimbo wa Alpha please 🙏🙏🔥🙏🙏🏼📖📖
Amen
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Kama hii nyimbo imekugusa kabisa tuwe na moyo mmoja achilia like✋✋🎸🎸comment👇👇❤
Mungu nifundishe kuwasemea wote walio ujeruwi moyo wangu 😢
Ni wakati wakuacha ya kale yapite 🙌🏽🙌🏽
Hakika
how many agree that this video needs millions of views!
It’s a blessing 😊
Kama unaamini yesu ndiye daktari nipe likes 400❤❤
kwa kweli Mungu akubariki sana kwa huu wimbo wapo wengi walio tuumiza mioyo yetu wakaipiga misumari wakatuacha tukingangana kuitoa misumari hiyo mioyo yetu bado inamwaga damu maumivu na majeraha mengi
Listening and watching from Kenya... Wapi likes za wakenya.
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Kama umeupakua huu wimbo ukawa wako kama Mimi like hapa
kiukwel nimesamehe ila nikikumbuka moyo unadunda Ti Ti
nyimbo hii ni kubwa sana naitabilia makubwa sana hongera sana obby umetukumbusha tumuombe MUNGU atupe karama ya kusamehe na kuaschilia,
Ni ukweli mtupu kusahau imekua tatizo sana Mungu atusaide
Mungu atuokoe
Vile mimi hustruggle kuwachilia😢 though nasamehe but kuwachilia inanishinda kabisa.. haya ni maombi yangu pia. Nifundishe kuwachilia.🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏🙏
Wow wimbo huu umenifunza mengi mno katika maisha ninayoishi kiukweli Mungu atusaidie tuwe wepesi wa kuachilia ee Mungu utufundishe kuachilia 🙏🏾 be Blessed #Obby Alpha#
Hakika watasema tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake
🎉🎉🎉🎉
There's power in forgiveness ❤️🔥
Mungu nifundishe kuachilia Mimi mtoto wako 🙌🙌
Baba naona kiza kwenye msamaha na msamaha wako haupo hivyo, ukisamehe unafuta na kusahau🙏 mwenyezi Mungu azidi kukubariki obby Alpha
Ohol! Nimewasamehe wotee moyo wangu mweupeee kabisaaaa❤❤❤❤❤
Nifundishe kuwachilia mungu,,, nimewasamehe,,, Barikiwa kaka Obby
Amini tatizo ni kuachilia Mungu nisaidie niachilie
🎉🎉🎉🎉
Kabisa🎉
King of gospel music in Tanzania and east Africa generally 🎖️🎖️🎖️
Kaka kiukweli nakosa pakuanzia kabisa nyimbo zko zote zinanigusa sana🎉🎉🎉🎉#desiremgandika❤
Honger mabrother hakika unajua NMEWASAMEHE
Nomaaaa sanaaa 🎉
Mungu Nifundishe kuachilia 🙌🏾🙌🏾😭
🎉🎉🎉
Powerful song nmerudia kuckiliza mara nyingi barikiwa sana nyimbo zako zote ni nzuri sana zinagusa maisha yng
Amen, huu wimbo unamaombi halisi ya moyo wangu,🙌🙌🙌😌😌
Hello
@@chebusjohn8311 yes hellow
Kenya 🇰🇪tumeikubali 🔥🔥💯
Haujawah kufeli kaka obby Mungu aendelee kukutumia zaid
Oby alpha mwanafunzi anaye tekeleza majukumuyake Mungu azidi kukupa upeo waku kuandika nyimbo nzuri nafundisho kubwa kama hizi u deserve an award for sure 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Kwa welii msamaha si kitu rahisi manake wanao tujerui mioyo ni wale watu wa karibu nasi tulio watarajia tukiwa nao watatuongezea furaha, amani, na upendo, ila hao hao ndiyo walivuruga ata kale kaamani tulikua nako nakuacha mioyo yetu ikivuja damu. Mm nilitendwa na rafiki kwa kuninyanganya mchumba wangu nilimsamehe ila nikimuona akipita moyo unalia machozi ya damu😭😭😭😭 yani nikimuona nakumbuka alivo nitenda nakosa amanii kabisaa. Mwenyezi tusahidie kuwasamehe na kusahau 🙏🙏🙏
Blessed are thoes who lessened to this song cuz it reminds us of the prayer Be blessed y'all
Ameee😊🎉
Dear Lord nifundishe kuwaachilia walio nitendea maovu😢
Amen 🙏🏾
Amen 🎉🎉
Amen
Kwa kweli yesu ni daktari🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nifundishe kuachilia ,iliniweze kuwasamehe wote walio nikosea 🙏
Good song
Shikamooo kakaa obby mwanangu unajuwa really
Hakika 🎉
Waiting
My Broh hii me mwenyewe nimewasamehe ❤️🔥🔥🙌
Kuna watu mwimbaji kuwagusa kabisa, wapitia katika hali hii, kama ndo wewe, wimbo huu ufanyike daraja la kutoka kweny hiyo hali unapitia. Kama unaamini sema ameni
MUNGU wangu naomba unisaidie nisamehe na kuachilia 😭😭
Wimbo bora wa mwaka 2024,,,,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kenya imekutambua bro, vijanaa na injili
Nimewasamehe wote walio nijeruhi moyo wangu in the name of God, love this song from kenya ❤❤
Mungu akubariki mtumishi na azidi kukuinua kwa viwango vya hali ya juu hakika umenigusa siwezi kusahau mapito yote niliyoyapitia, nimewasamehe ahsante Yesu
Waoooooooow good song
🎉🎉🎉
Obby htr xn🎉
🎉🎉🎉
You make me cry, 😭 😭 I can't tell you how much I love your songs❤❤❤
Always ulikua ukifanya kazi nzuri na yenye baraka...hujui kukosea...an unatenda haki kwa kila nyimbo...UBARIKIWE SAN KK!
NIMEWASAHEME😓🙏
ILA TATIZO KUACHILIA EEH MUNGU NIFUNDISHE KUACHILIA🙏
Hakika anipe vyema kuachilia
🎉🎉🎉
Nimewasamehe ila tatizo kuachilia Mungu nifundishe tu kuachilia🙏🙏
🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu naomba unifundishe kusamehe na kuachilia kila nikikumbuka walivo nijeruh moyo wangu naumia sana😢😢😢 Barikiwa Kaka
Its so amazing gospel. Glorious to God.... Nice gospel song bro. 😇😇😇🙏🙏🙏🤗👌💯💯💯
Amen 😊
Asante Kwa ujumbe hatimae mrisi. wa Joel rwaga na clemnent. Ni wew
Moto sana i love the reverb
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen...... What more do we need than anointed songs..
May the Lord lift you to heights beyond your expectations..keep doing the good work, you have the voice and message.. hallelujah
Amen ,nimewasemehe ,nifunze kuachilia,,what a song ,,it's a such a blessing
Hakika nyimbo nzuri sana
Sanaa
Kabisa
Thanks for a touching music, melody and lesson 🙏 be blessed Man of GOD go higher 🙏🎉
Mungu nifudishe kusahau,si rahisi ila nimewasamehe,powerful message...man of God
Wimbo mzuri sana mtumishi, God bless you 🙏🏻🙏🏻
Once again victory from our boy
Big shout out to the producer too💓💓💓💓
Kabisa
Wewe dogo ni great thinker🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Bwana akupeleke mbele zaid
Hakika
Another banger from🇹🇿🇹🇿 ur friend willy from 🇰🇪🇰🇪won't stop supporting u Hadi mbingu zifunguke...wasemee to the world.
There's power in forgiveness ❤️🔥🔥🔥
Amen
Nani daktariiiii jamaniii,,,, dah kweli nimesamehe lkn kusahau ndo tatizoooo
Wimbo mkali sana
Wimbo coool kabisa...
Nina hakika wakenya watafika hapa tuufikishe over a million views
Yaan kaka upo vizur wimbo mzuri
🎉🎉
Obby never disappoints🎖️
Hakika Mungu ni mwema na aendelee kukubariki kufikisha neno lake na kuelimisha kupitia nyimbo nyimbo zako.
The song 🔥Mungu nifundishe kusamehe
🙏🏾
Naomba likes nirudi nicommenti ❤
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Huu wimbo ni WA moto sana hata Mimi nimewasamehe🙏
Hata Mimi pia
Niko mu congomani. Kwalakini na mpenda sana obby❤❤❤❤
Fantastic bombastic stupendous mind blowing work 🚨🚨🚨
Pamoja sana kak
Hata mimi nimewasameheeeeee
🎉🎉🎉
Nifundishe kuwachilia mungu baba . Much love From Nakonde Zambia 🇿🇲
This guy be another thing on the gospel industry❤
Oyaaa ankooooo 🚨🚨🚨🚨
A great vocalist you’re 💯💯💯💯
NIMEWASAMEHE ILI NISAMEHEWE🙏 nifundishe kuachilia MUNGU WANGU🙏👏
Amina,tukisamehe tufute na kusahau japo kibinadamu mmmh,Mungu tusaidie
Ndabakunda Cyane mufite umwuka w'Imana ❤❤❤kusamehe inahitaji nguvu🙏🙏🙏📖📖📖 amina amina great work
Imana ishimwe
🙏🙏🔥🔥🙌🙌 nimesameh
Mungu nifundish kusameh
Aki woiye this song is mine aki naomba tu niweze kuwasamehe
Mungu nifundishe kuachilia yote niliyoyasamehe🥺🙏
Ni kweli kakangu.. umenigusa M❤YO sana, ni kama huu wimbo ume direct Mimi, ubarikiwe sana 254 all the way ..!!
Mbalikiwe sana watumishi nyimbo zenu zinatufundisha sana
Amina… wimbo wenye injili na ujumbe wa msamaha… ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Nikisamehe ponya maumivu kwenye roho yangu 🙏 ... amazing song
Mungu atufundishe neno zuri la msamaha na tunapowasamehe wanaotukosea atusaidie tusahau kabisaa
#NIMEWASAMEHE
Nakukubali sana jamaa yangu....Mungu akupe maisha marefu tuendelee kufurahia huduma zako 🙏🙏🙏
Kusamehe inahitaji nguvu ya Mungu ikurahisishia maisha juu ya watu
Mungu nifundishee kuachiliaaaa😔
Waoh swiit Obby Apha keep high
Jamanii huu wimbo toka nimeanzaa kuusilizaaa ukweliii naurudiii hadiii naurudiaa tenaaa
Ee mungu naomba nijue kuachilia pale ninapo wasamee
Nimelia sana huu wimbo umenigusa sana😭
Huyu mshkaji yuko vizuri,nyimbo zake zinanigusa xan
Niliowapa sili nao waka zisambaza duh inaumiza sana huu wimbo
My brother congratulations kila kazi unafanya wandering Mungu azidi kukuinua mkuu