🔴LIVE: CHOME-SAME MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Sdílet
Vložit

Komentáře • 18

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 4 dny

    Ongea ukweli kaka, ukwel unaishi, David mathayo na viongozi wezake, wanaiba thahabu, vijana wanafukuzwa kila wakati, umasikini kila kona, mbaya sna

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis1013 Před 3 dny

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 Před 4 dny +1

    Hongera sana Lema na Mbowe😂

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 4 dny +1

    Leo miti inahamasishwa kidigital. Camera man mhuni na hovyo.

  • @alexmollel292
    @alexmollel292 Před 4 dny +1

    Huyu mtu wa camera anahujumu chama anatuonyesha miti badala ya watu

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBaha Před 4 dny

    ✌️✌️✌️

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 Před 4 dny

    Kadogo uko vizuri sana kupanga point

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi Před 4 dny

    Mwamba

  • @user-em7bm2tw9b
    @user-em7bm2tw9b Před 3 dny

    Na hapo shengena ni kwa waarabu sasa ivi

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 4 dny

    Hatuna mbuge mathayo ni mwizi tu, tuna mlima shengena anavuna zahabu mwenyewe, anasema nimekuja kuminya ndizi zangu, anatoa galoni za mafuta vtenge, kofia, anapga mi,5 tena saiv kapiga, 25 same nikubwa mno, mbuga tnayo mkomazi national park 🏞️ ziwa ndungu,kihurio mto,ruvu shengena, zahabu tupu bado tunaitwa, maskini hapana sio sahihi tufke hatua, tukatae

  • @solomonmwangosi1325
    @solomonmwangosi1325 Před 4 dny

    Wa camera anapiga miti badala ya watu mpuuzi kabisa huyu hapo hapo mfukuzeni ni adui jamani

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Před 4 dny

    Mpiga picha anafanya kazi gani hapo ?

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi Před 4 dny

    Uyo mpiga kamera boya

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk Před 4 dny

    Mpiga picha. Picha zako siku hizi hazionekani kwa ubora

  • @solomonmwangosi1325
    @solomonmwangosi1325 Před 4 dny

    Jamani huyu bado anapiga miti. Mliopo hapo mfukuzen au angalieni kwenye mitandao yenu!

  • @niwacosmetics1657
    @niwacosmetics1657 Před 4 dny

    Camera man kunashida gani? Tunaona milima na miti tuu, watu wakowapi?

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Před 4 dny

    Watoeni watu moshi wa mwenge kichwani ili waweze kufikiri vizuri. Yani nikampigie mtu kura alafu eti ccm!!!!!!! Kama kuna siku nitafanya hivyo. Nisiende peponi kabisaaaa.

  • @niwacosmetics1657
    @niwacosmetics1657 Před 4 dny

    Muheshimiwa kadogo, memories names of the place you are at for better connection. Hotuba nzuri sana nimeipenda, short and clear. Matayo analipwa shingapi umesema?