CCM WAMEJICHANGANYA KWA SHEKHE "MTU ANAKWAMBIA CCM IMENILEA KWANZA HUNA FADHILA KWA WAZAZI WAKO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchavua Ipinda Online tv........Usisahau kusubscribe Channel yetu

Komentáře • 35

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Před 19 dny +7

    Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM

  • @paulsenyael7154
    @paulsenyael7154 Před 19 dny +7

    At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 19 dny +5

    Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!!
    Anajitambua

  • @user-yc7xp4fn7x
    @user-yc7xp4fn7x Před 19 dny +7

    Nimekukubali sana 2

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 Před 19 dny +2

    Good presentation of facts

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před 19 dny +4

    Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Před 15 dny

    Point sana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 16 dny +1

    Safi sana shehe Mungu akulinde

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 19 dny +1

    Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před 19 dny +2

    Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Před 19 dny +2

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 Před 11 dny

    HAKUNA SHEIKH HAPO.
    ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před 19 dny +2

    Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g Před 19 dny +4

    Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Před 19 dny +3

    Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 Před 19 dny +1

    Noma Sanaa

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před 19 dny +1

    Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 17 dny

    Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z Před 12 dny

    Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719

    Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 19 dny +1

    chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa

  • @salama1113
    @salama1113 Před 17 dny

    Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 Před 16 dny

    Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 16 dny

    Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 18 dny

    Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Před 18 dny

    Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda Před 19 dny

    Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před 19 dny

    Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 Před 17 dny

    Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 19 dny

    Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya

  • @hakiyangu
    @hakiyangu Před 19 dny

    Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před 18 dny

    Maharage ya Mbeya mapema yameiva!

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Před 19 dny

    😂