MWABUKUSI AFUNGUKA KUONDOLEWA KUGOMBEA U-RAIS TLS, ATANGAZA KUFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
    Dar es Salaam. Sakata la Boniface Mwabukusi kuenguliwa katika kinyang'anyiro cha kuwania rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limechukua sura mpya baada ya wakili huyo kukusudia kwenda kutafuta haki yake mahakamani.
    Mbali na hilo, Mwabukusi amewaomba mawakili wenzake
    kumuunga mkono kwa kutoshiriki uchaguzi wa TLS wakiishinikiza
    wale wote waliotia nia kuwania nafasi hiyo kurejeshwa na Kamati ya uchaguzi wa chama hicho

Komentáře • 15

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před 8 dny +1

    Mbaya zaidi hata mawakili nao wamekuwa machawa lkn Watanganyika tunakukubali mwambukusi mungu atakusimamia

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Před 8 dny

    Mwamba nakukubali. Mungu akupe uzima ili tuone mengi mazuri zaidi.

  • @lalosalamanca7131
    @lalosalamanca7131 Před 8 dny

    Noma sana

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před 8 dny +1

    Duu tukipata makamanda mia kama huyu jamaa nchi ingenyoka

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 8 dny

    Is not fear at all 😢

  • @AbdulrahmaniNjechele
    @AbdulrahmaniNjechele Před 8 dny

    Zanzibar kumbe ni wenzenu Sasa mmeficha ajenda zenu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 8 dny

    All the best kiongoz ... Tanzania ukiwa mkweli itakuwa shida .. tunataka viongoz kama ww

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 8 dny

    huna sifa za kuomgoza,sasa unalazimisha nini?

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před 8 dny

    acheni kuaribu nchi, nyinyi kwakukumbatia viongozi, haki ndio kilakitu, ukificha moto Moshi utakuhumbuwa.

  • @froma3732
    @froma3732 Před 8 dny

    Atahangaika na uwogozi hkn kitu atapata

    • @saidabdillahi8107
      @saidabdillahi8107 Před 6 dny

      Yoyote anaemtukana Samia asitegemee kupata hata udiwani akiwemo Tundu lisu ukimtukana Samia jiandae kuwa mwanachi wa kawaida lakini sio kiongozi

    • @leganmichael6148
      @leganmichael6148 Před 5 dny

      Kwamba wewe ni Mungu? Au ww ndio unagawa uongozi?

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we Před 8 dny

    Mbona mkikosa vyeo mnahaha?