MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...
Vložit
- čas přidán 6. 07. 2024
- MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hongera sana Raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa hekima & busara kubwa sana ambayo Mwenyezi Mungu amekujalia kuwa nayo.
👉Wewe ni mmojawapo ya viongozi wastaafu katika bara la Afrika, ambao bado uko mioyoni mwa wananchi walio wengi.
👉Mwenyezi Mungu akujalie Afya njema, Nguvu tele & Uzima tele katika majukumu yako ya kila iitwapo leo.
Mzee ananchekesha kila msiba yeye lazma anastori flani hivi ambayo hakuna aliewahi ijua
Ni mtu wa watu
@@user-ip4ie7pt6iSiyo mtu wa watu,ni mcheshi kama wacheshi wengine tu
@@mataypanga5262 ok
Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏
Hongera sana
Mwananchi
Best president ever in Tanzania
Duuuuu
Hakika kaka
tajiri yeyote akiwa ni shabiki wa yanga anajua mwanao, sipendi sema sana ila una ubinafsi sana, icon zipende timu zote coz wewe ulikua ni kiongozi wa nchi!!!
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه
Ulikua unamliwaza au unambeba rais wetu acha zako basiii😂😂😂
🎉🎉
🙏🤲🤲
Nivyema walivyo kuteua kuamgeni Rasmi Wewe ni mtu muhimu sana! Tuwape pole wafiwa INNA LILAH...
Kumbe ufisadi ulianzia mbali! Baba yake Manji alijua kuwa nafasi ya fisadi huyu ingemfanya Kikwete awe ngazi nzuri ya kuchumia utajiri haramu. Nchi ikiwa na viongozi wa hovyo na wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanatumiwa kama nepi. Nashukuru sikuishi chini ya utawala wa fisadi huyu aliyeacha makashfa makubwa kama vile Richomond, EPA, Escrow , IPTL na mengine mengi.
Uongozi wa Magufuli alimuonea sana manji
Wewe ndie rais wangu bora mpaka sasa
JK Rais wangu wa wakati wote. Hivi hairuhusiwi kugombea Tena?;
Hakustahili,agombee nini tena😂
Ni suala lakikatiba lakini kubwa zaidi ni kuwa Tanzania yetu ina hekma katika suala la uongozi hasa kutazamia umri wa mtu, mamlaka imemtambua mstaafu katika malezi ili iwe lulu na kivutio kwa vizazi vijavyo mfano mzuri ni mzee mwinyi alibamba makini zetu hasa kwa vichekesho vyenye vioja kadha wa kadha lakini hakusahau kutufunza kwa kutumia stara na busara zake.
Wauzaji wa nchiiiii
Mtu Huna Chakukomenti Unatulia Tu. Ndio Ubinadamu
Hmmmm hata sauti moyo unashtuka nilisikia huyu baba naogopa maana huyu ni mungu wa dunia
Duuu
Kafanya nini watz mna mambo ya ajabu sana mmezoea kukaririshwa kikwete hana tatozo ila watz wamezoea kukariri mtu akisemwa na mbaya wake basi wote wanazomea bila kujua nini kinaendelea.
Maskini wengi wamejaa wivu tu.
Ndo maana ukampa rasilimal za nchi yetu Tz kwa kufaidsha tumbo lako ee,..mkafkr Maguful ndo wakufa ye hatakufa?..ndo mjue muache kuuwa wengne kwan kila mtu atakufa,..na muwe wazalendo wa kwel muache unafk
Katiba ndio kikwazo ila mzee unastahili kuendelea kuwa Raisi
Mmmmmhhhhhh!!!
Raisi wangu pendwa
Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏