MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 33

  • @user-ts7hj5yp8w
    @user-ts7hj5yp8w Před 17 dny +3

    Hongera sana Raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa hekima & busara kubwa sana ambayo Mwenyezi Mungu amekujalia kuwa nayo.
    👉Wewe ni mmojawapo ya viongozi wastaafu katika bara la Afrika, ambao bado uko mioyoni mwa wananchi walio wengi.
    👉Mwenyezi Mungu akujalie Afya njema, Nguvu tele & Uzima tele katika majukumu yako ya kila iitwapo leo.

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari Před 18 dny +12

    Mzee ananchekesha kila msiba yeye lazma anastori flani hivi ambayo hakuna aliewahi ijua

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před 11 dny

    Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏

  • @PastoryNdemela
    @PastoryNdemela Před 7 dny

    Hongera sana
    Mwananchi

  • @publicrelations4600
    @publicrelations4600 Před 18 dny +10

    Best president ever in Tanzania

  • @user-ts8bf4ef3u
    @user-ts8bf4ef3u Před 17 dny +1

    tajiri yeyote akiwa ni shabiki wa yanga anajua mwanao, sipendi sema sana ila una ubinafsi sana, icon zipende timu zote coz wewe ulikua ni kiongozi wa nchi!!!

  • @modyworldmody4297
    @modyworldmody4297 Před 18 dny +1

    انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه

  • @calvinmaro6445
    @calvinmaro6445 Před 18 dny +1

    Ulikua unamliwaza au unambeba rais wetu acha zako basiii😂😂😂

  • @akbarkisamo8392
    @akbarkisamo8392 Před 18 dny

    🎉🎉

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi Před 17 dny

    🙏🤲🤲

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq Před 17 dny +2

    Nivyema walivyo kuteua kuamgeni Rasmi Wewe ni mtu muhimu sana! Tuwape pole wafiwa INNA LILAH...

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 17 dny

    Kumbe ufisadi ulianzia mbali! Baba yake Manji alijua kuwa nafasi ya fisadi huyu ingemfanya Kikwete awe ngazi nzuri ya kuchumia utajiri haramu. Nchi ikiwa na viongozi wa hovyo na wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanatumiwa kama nepi. Nashukuru sikuishi chini ya utawala wa fisadi huyu aliyeacha makashfa makubwa kama vile Richomond, EPA, Escrow , IPTL na mengine mengi.

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Před 18 dny +5

    Uongozi wa Magufuli alimuonea sana manji

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před 17 dny +2

    Wewe ndie rais wangu bora mpaka sasa

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 18 dny +7

    JK Rais wangu wa wakati wote. Hivi hairuhusiwi kugombea Tena?;

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Před 18 dny +1

      Hakustahili,agombee nini tena😂

    • @geographyteacher.2961
      @geographyteacher.2961 Před 17 dny +1

      Ni suala lakikatiba lakini kubwa zaidi ni kuwa Tanzania yetu ina hekma katika suala la uongozi hasa kutazamia umri wa mtu, mamlaka imemtambua mstaafu katika malezi ili iwe lulu na kivutio kwa vizazi vijavyo mfano mzuri ni mzee mwinyi alibamba makini zetu hasa kwa vichekesho vyenye vioja kadha wa kadha lakini hakusahau kutufunza kwa kutumia stara na busara zake.

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 17 dny +1

    Wauzaji wa nchiiiii

  • @user-cy5jg4cx7i
    @user-cy5jg4cx7i Před 18 dny +1

    Hmmmm hata sauti moyo unashtuka nilisikia huyu baba naogopa maana huyu ni mungu wa dunia

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 18 dny +1

      Duuu

    • @kisomekiguwa3706
      @kisomekiguwa3706 Před 17 dny +2

      Kafanya nini watz mna mambo ya ajabu sana mmezoea kukaririshwa kikwete hana tatozo ila watz wamezoea kukariri mtu akisemwa na mbaya wake basi wote wanazomea bila kujua nini kinaendelea.

    • @frankjoely3313
      @frankjoely3313 Před 15 dny

      Maskini wengi wamejaa wivu tu.

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Před 17 dny +1

    Ndo maana ukampa rasilimal za nchi yetu Tz kwa kufaidsha tumbo lako ee,..mkafkr Maguful ndo wakufa ye hatakufa?..ndo mjue muache kuuwa wengne kwan kila mtu atakufa,..na muwe wazalendo wa kwel muache unafk

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před 18 dny +1

    Katiba ndio kikwazo ila mzee unastahili kuendelea kuwa Raisi

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q Před 18 dny +3

    Raisi wangu pendwa

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před 11 dny

    Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏