Asante Sana Joel nilikuwa nataka niwe na carwash ila nimeanza na small carwash naosha magari Madogo na pikipiki Nina mwezi mmoja na ni passion yangu kuosha gari alafu ing'ae najua nitaiongeza thamani office yangu kila sekunde ya siku yanguu
Asante sana kwa breakfast mr Joel!!mimi tayari nimeanza networkmarketing biashara naiona rahisi sana kwa vigezo ulivyovitaja!kiukweli natamani watu wangejua urahisi wa biashara hii bas tu tunatofautiana uelewa.get blessed mwl
Nikweli kaka Joel mimi nina milion moja nawaza kufanya biashara lakini nashindwa kupata jibu ni biashara gani nifanye ambayo nitamuweka mtu na kuweza kumlipa maana mimi nimeajiriwa, Ni mwezi wa pili sasa sijapata jibu la biashara gani nifanye.
Asante Sana kaka Joel Mimi kwa muda huu nimenuia kujifunza kutoka kwako naamini baada ya muda naamini matunda tutayaona #we will meeting at the top// Thanks
I think people they need financial education b'cuz a lotta people they love an aeroplane but it doesn't mean they can fly it....we need to feed our minds right materials to become financially literate...Thank you brother Joel, God bless u fo' yuh teachin
Ubarikiwe Sana kaka. Hakika Mungu anakutumia kutufikia sisi nduguzo. Kaka Mimi nimeanza biashara ya usafir bodaboda ila niliye mkabidhi kanitoroka nimeumia Sana. Nifanyaje kaka yangu na ni biashara ninayoipenda. Pia je nikitaka kuwa na biashar tofauti tofauti kuna tatizo. Maana maono yangu ni kuwa na zaidi ya moja. Kama Kilimo, ufugaji wa Kuku, usafiri, na nyumba za kupanga. Nishauri kaka
Shukrani sana kk kwa chakula ambacho unatupatia katika ubongo. Kiukweli napenda sanaa kufanya biashara ya kufungua tuition center lakini nashindwa kujua naweza nianzaje naomba msaada wako kk
Asante sana Joel m ni kijana ambaye nimekuwa nikikufatilia sana,Mimi kama mm ni mtu ambaye napenda kuvaa kuwa na muonekano mzri,natamn niwe mfanya biashara wa nguo Ila na shwinda kubajeti kwa kile nicho kipata kaka naomba unisaidie kwa ushauri wako kakangu...
Asante sana kaka Joel toka nimeanza kukusikiliza nimekuwa mtu mwenye mawazo chanya kichwani mwangu kaka, na moja ya wazo langu ni kuanza biashara ya chakula namaanisha kuwa na mgahawa wa chakula, na ndoto yangu kuwa na mgahawa mkubwa unaotambulika naomba ushauri wako kaka
I was dreaming kufanya biashara ya kununua na kuuza Mazao ..but kila nilipoogopa kuanza,Ninakuta mwaka huo ndio bei ya mazao inakuwa nzuriii sana soko.. MWAKA HUU NAANZA KUNUNUA KOROSHO.. MUNGU ANISIMAMIE
Asante kaka joel mimi wazo la biashara ni nalo tena kubwa na linapesa ila mtaji ndo tatzo ila uzuri wa biashara hiyo inahtaji kuanza hata na mtaji mdogo si lazima uwe na pesa nyungi kwa siku za uson ila utaanza kujiongeza taratibu namshukulu Mungu nimeanza na kidogo nilichonacho
Ntaka kufungua biahara ya eletronic coz nko na experience nayo bt cpital yangu ni kidogo ya kuanzisha bt nkaona nifungue duka coz hiyo ndo rahisi kulingana na hela nilizonazo je inaeza work nikitafuta pesa nyingine
Ninabiashara. Naifanya brother changamoto ipo kwa wateja wangu natumia instagram kwa ajili ya kupromote na nimefungua mpaka log yang ya pampers na maziwa ya watoto
Kaka Joel Nanauka kama kawaida yako unagonga point zilizokwenda ulaya hahaha Anyway mdogo wako nataka kuanzisha KILIMO BIASHARA for a long time nimekuwa nikipanga bila kufanya ila this time nimedhamiria kufanya kwa ukubwa zaidi Ushauri wako utakuwa msaada mkubwa sana kwangu See you at the top đđđ
Asante sana Mr Joel ila na mimi nina shida naomba ushauri wako Mr mi mpaka sasa Nipo tu nyumbani natamani sana Nifuge kuku wa mayai na kwa ajili ya biashara na mi sina mtaji naomba ushaur wako
kaka ii ni zaid ya elimu ya biashara, nilikua mmoja wa watu tunao angalia pesa niliy nayo ili kuanza biashara, lakin sikuwai jiuliza aya maswal thank you kutoka sasa naanza upya kufanya biashara kwa ustadi mana aya maswal yatakuako, kichwani, wazo langu kuu sasa ni ufugaji wa kuku wa nyama kwasababu kufuga is my passion pia naweza anza mda wwte from to day. You will see me at the top
Asante Sana Joel nilikuwa nataka niwe na carwash ila nimeanza na small carwash naosha magari Madogo na pikipiki Nina mwezi mmoja na ni passion yangu kuosha gari alafu ing'ae najua nitaiongeza thamani office yangu kila sekunde ya siku yanguu
Justine Mmbando Safi sana kijana
Naomba uniandikie whatsapp yangu hio +25761103872 huo ndio mradi wangu
Wakala wa tgps,mpesa na airtelmoney
Asante sana kwa breakfast mr Joel!!mimi tayari nimeanza networkmarketing biashara naiona rahisi sana kwa vigezo ulivyovitaja!kiukweli natamani watu wangejua urahisi wa biashara hii bas tu tunatofautiana uelewa.get blessed mwl
Lily Kessy Ameen thank you
Samahan naomba kuuliza hiyo biashara ya networkmarketing ndo ipoje
Mafunzo mazuri jamani tunakuombea mungu azidi kukufunulia mafunzo kinywani mwako maana kuna kitu tunapata hongera kaka.
sheillah chisika nashukuru sana Sheillah
kila Siku ninavyoamka lazima nipate kinywaji from Joel nanauka
Je nawezaje kupanga ili kujua faida na hasara katika maandishi
Truth
Mm nataka kuanza biashara ya kitunguu saumu na nlishanunua na mbegu ila market naiwaza sana
đđđđđđđđđ
Nikweli kaka Joel mimi nina milion moja nawaza kufanya biashara lakini nashindwa kupata jibu ni biashara gani nifanye ambayo nitamuweka mtu na kuweza kumlipa maana mimi nimeajiriwa,
Ni mwezi wa pili sasa sijapata jibu la biashara gani nifanye.
Ni biashar ya genge kaka nina uzoefu nayo na inalipa vizuri niajir tupige kazi kama mwajir wako
Masomo mazuri napata hamasa zaid ya kupanua biashara zaidi asante bro joel
Nikweli kaka joeli me ngu akubaliki mafundisho mazuri sana
Asante Sana kaka Joel Mimi kwa muda huu nimenuia kujifunza kutoka kwako naamini baada ya muda naamini matunda tutayaona #we will meeting at the top//
Thanks
I think people they need financial education b'cuz a lotta people they love an aeroplane but it doesn't mean they can fly it....we need to feed our minds right materials to become financially literate...Thank you brother Joel, God bless u fo' yuh teachin
Kendrick Menson thanks for aprrciations
Joel Nanauka naitaji kitabu kaka nipo tabora 0688418424
Ubarikiwe kiongoz..nakuelewamnoo...
ahsanteee kwa muongozo mzuriiiđ
Asante kwa somo nzur kwel mwaka huu nimewaza kuanzisha biashar
Ubarikiwe Sana kaka. Hakika Mungu anakutumia kutufikia sisi nduguzo. Kaka Mimi nimeanza biashara ya usafir bodaboda ila niliye mkabidhi kanitoroka nimeumia Sana. Nifanyaje kaka yangu na ni biashara ninayoipenda.
Pia je nikitaka kuwa na biashar tofauti tofauti kuna tatizo. Maana maono yangu ni kuwa na zaidi ya moja. Kama Kilimo, ufugaji wa Kuku, usafiri, na nyumba za kupanga. Nishauri kaka
great job
Broh asante nimeelewa somo! Mm nataka kufuga bata.
Shukrani sana kk kwa chakula ambacho unatupatia katika ubongo. Kiukweli napenda sanaa kufanya biashara ya kufungua tuition center lakini nashindwa kujua naweza nianzaje naomba msaada wako kk
Thanks kaka Joel Mimi ninahitaji kuanza biashara ya uuzaji wa kuni za kupikia naomba ushauri wko
Ahsante Sana broo Joel
Thankx Sir
Biashara ya nguo itâs my dream can u help me for more information about how i can handle this business brother joel
Hongera kaka unafundisha vzr big up
Asante sana Joel m ni kijana ambaye nimekuwa nikikufatilia sana,Mimi kama mm ni mtu ambaye napenda kuvaa kuwa na muonekano mzri,natamn niwe mfanya biashara wa nguo Ila na shwinda kubajeti kwa kile nicho kipata kaka naomba unisaidie kwa ushauri wako kakangu...
Asante sana kk Joel mm nataka kufanya biashara ya kuuza kuku wa kienyeji
mariam Masatu safi sana miriam usisubiri uanze na wengi.Anza na unachoweza
Asante sana kaka Joel toka nimeanza kukusikiliza nimekuwa mtu mwenye mawazo chanya kichwani mwangu kaka, na moja ya wazo langu ni kuanza biashara ya chakula namaanisha kuwa na mgahawa wa chakula, na ndoto yangu kuwa na mgahawa mkubwa unaotambulika naomba ushauri wako kaka
Asante sana kakaang kwa kunijibu swali langu nafalijika kuona nimewasaidia na wengene ambo inawezekan walikuwa wanaogopa kuuliza ASANTE SANA KAKA Joel
Basam Tv karibu sana tuendelee kujifunza na kushare na wengine
Big up Brother! Nina hitaji kuanza kufanya biashara ya Supu ya ng'ombe, unaweza niongezea maarifa juu ya kwanza vyema.
Barikiwe Noel...
Waoooooo,, Nashukur sana kaka
Napenda Sana kuuza nguo llanuza mazao nafaida inasumbua
Nashukuru sana kwa elimu unayotowa binafsi inanijenga na kuniinuwa sana
Daaaah asante kaka nimejifunza mengi sanaaa
kaka joel barikiwa sana kwa somo zuri
Asante kwa mafunzo yenu tu na wasikiya
Great broh
good bro iko vzr
Asante sana kaka Joel nmejifunza kitu
Hakika ubarikiwe sana. Maana kila ninapofuatilia vipindi vyako, naona kuna mwanga mbele yangu. Ninahitaji kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji.
Daa Mungu akubark sana
Thanks my blood brother gd will keep you today $ 2morrow
Mudy Homange Ameen
Asante bro
Asante kaka
number one viewer
I was dreaming kufanya biashara ya kununua na kuuza Mazao ..but kila nilipoogopa kuanza,Ninakuta mwaka huo ndio bei ya mazao inakuwa nzuriii sana soko..
MWAKA HUU NAANZA KUNUNUA KOROSHO.. MUNGU ANISIMAMIE
Justine Mrope hongera sana Justine kila la kheri
Nimepata moyo wallah I can Try
I liked much
Napenda sana urembo mtaji ninao lkn sina ujuzi katika hii biashara nisaidie
big up, broo
Ubarikiwe kaka
God bless you
My broo
je kama passion haipo kabisa
ahsante my kaka
Bro thanks
Asante sana kwa somo. Ubarikiwe sana
Farida Mkesso Ameen
Big up
Asanteee me natamani nifanye biashara ya duka la mikate
somo zuri endelea kuweka makala zaidi na zaidi kaka
Good bro,,,n zaidi ya chuo
Nimekuelewa bro
nashkuru sana kaka kwa kunifumbua,kwan nilitaman sana kuanza biashara ckunyingi lakn ckuwa na ufahamu juu ya biashara gan nifanye.đđ
Asante sana
Asante kaka joel mimi wazo la biashara ni nalo tena kubwa na linapesa ila mtaji ndo tatzo ila uzuri wa biashara hiyo inahtaji kuanza hata na mtaji mdogo si lazima uwe na pesa nyungi kwa siku za uson ila utaanza kujiongeza taratibu namshukulu Mungu nimeanza na kidogo nilichonacho
Vzr
Ubarkiwe sana
Napenda sana biashara ya nafaka kweli ninapenda mno , mungu anisaidie 2021 hii nifungue duka langu , japo la m. 4 tu nitaanza nayo.
Poultty Farming
Asnt sana
Duuuuh nice
đđđ
watu wengi huwa tunawaza faida bila kuijua biashara yenyewe na huwa tunaogopa hasara sana but hakuna biashara isiyo na harasa
Christiana Kyando ahsante kwa mchango wako pia
Nataka njia nzuri jinsi ya kukuza duka
Ntaka kufungua biahara ya eletronic coz nko na experience nayo bt cpital yangu ni kidogo ya kuanzisha bt nkaona nifungue duka coz hiyo ndo rahisi kulingana na hela nilizonazo je inaeza work nikitafuta pesa nyingine
Safi Sana mimi ninaujuzi wa ufundi umeme nahitaji nifungue duka la vifaa vya Umeme naomba muongozo
đ
asanteee
Good bro
Umeongea point bro
Nimefurahia bro somo lako natamani nianzishe biashara ya mgahawa Ila sijajua njia gani nitumie kuanzisha
Good
Nawezaj kufikia malengo yang katka biashara.
Nimejifunza kitu. Asante
Nimekupata yakuwa nikyanza nanilicho nacho ....asante bro
Kaka Uishi miaka mingi kwaajili yeti tunatamani tuendelee kujifunza mengi zaidi kutoka kwako God bless you
Elizabeth Zabron Ameen nashukuru sanaa
Uko vizur bro
Napenda kuuza nguo.. Mfano madera.. Lakini kila nikiangalia nakuta ni wengi sana mitaani kwetu wanauza... Naishindwa lakufanya
Nashukuru sana kaka Nanauka mimi nawaza Kuuza Asali hapa ila napata hofu kubwa sana kubwa sana kuanza biashara hii
Safi
Ninabiashara. Naifanya brother changamoto ipo kwa wateja wangu natumia instagram kwa ajili ya kupromote na nimefungua mpaka log yang ya pampers na maziwa ya watoto
Clean shop
Kaka Joel Nanauka kama kawaida yako unagonga point zilizokwenda ulaya hahaha
Anyway mdogo wako nataka kuanzisha KILIMO BIASHARA for a long time nimekuwa nikipanga bila kufanya ila this time nimedhamiria kufanya kwa ukubwa zaidi
Ushauri wako utakuwa msaada mkubwa sana kwangu
See you at the top đđđ
See you
Asante
makini sana kaka mimi niko na ww kama samaki na maji mungu awe nawe
Hilo nitatizo kubwa ,mwingine anajua na hela na asijue kitu Cha kufanya, mwingine hana na ana idea ya biashara,
Nashukuru Kaka nimepata maarifa juu ya biashara natamani kuifanya biasha lakini sijui ntafanya biashara gani
Asante sana Mr Joel ila na mimi nina shida naomba ushauri wako Mr mi mpaka sasa Nipo tu nyumbani natamani sana Nifuge kuku wa mayai na kwa ajili ya biashara na mi sina mtaji naomba ushaur wako
Wao nilianza biashara kidogo ya uzaji vyakula kama dengo mahalagwe ila nikafa moyo nikafunga ila napo kuskia ivo namoyo wakurudia
Point
Sante sana kwa ujumbe, mm nataka nifanye biashara ya car wash & detailing naomba ushauri.
ussikhamis ussi Anza kuchukua hatua tafuta mahali sahihi
Joel Nanauka; Nashkuru nitaanza hivi punde tu je, unaweza kunipa tips za mahali pa kuanza hiyo biashara yangu, labda mazingira yake yaweje?
kaka ii ni zaid ya elimu ya biashara, nilikua mmoja wa watu tunao angalia pesa niliy nayo ili kuanza biashara, lakin sikuwai jiuliza aya maswal thank you kutoka sasa naanza upya kufanya biashara kwa ustadi mana aya maswal yatakuako, kichwani, wazo langu kuu sasa ni ufugaji wa kuku wa nyama kwasababu kufuga is my passion pia naweza anza mda wwte from to day.
You will see me at the top
Derick Rashid safi sana Derick nitafurahi ukinijulisha mara utakapoanza kufanya ufugaji.Nakutakia mafanikio makubwa kwenye malengo yako
Nataka kufanya biashala ya duka la dawa za binadamu Ila nahitaji nionane nawewe maana nimefanya biashala nyingi bila mafanikio
Natamani Sana kufungua BOOK SHOP