Njia 3 Za Kujua Biashara Inayokufaa

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 11. 07. 2018
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 423

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 Pƙed 6 lety +29

    Asante Sana Joel nilikuwa nataka niwe na carwash ila nimeanza na small carwash naosha magari Madogo na pikipiki Nina mwezi mmoja na ni passion yangu kuosha gari alafu ing'ae najua nitaiongeza thamani office yangu kila sekunde ya siku yanguu

    • @vamo2082
      @vamo2082 Pƙed 5 lety +1

      Justine Mmbando Safi sana kijana

    • @gahetehussein8791
      @gahetehussein8791 Pƙed 5 lety

      Naomba uniandikie whatsapp yangu hio +25761103872 huo ndio mradi wangu

    • @elizabethvon3677
      @elizabethvon3677 Pƙed 4 lety +1

      Wakala wa tgps,mpesa na airtelmoney

  • @lilykessy6284
    @lilykessy6284 Pƙed 6 lety +6

    Asante sana kwa breakfast mr Joel!!mimi tayari nimeanza networkmarketing biashara naiona rahisi sana kwa vigezo ulivyovitaja!kiukweli natamani watu wangejua urahisi wa biashara hii bas tu tunatofautiana uelewa.get blessed mwl

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Lily Kessy Ameen thank you

    • @aishaomary230
      @aishaomary230 Pƙed 2 lety

      Samahan naomba kuuliza hiyo biashara ya networkmarketing ndo ipoje

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 Pƙed 6 lety +14

    Mafunzo mazuri jamani tunakuombea mungu azidi kukufunulia mafunzo kinywani mwako maana kuna kitu tunapata hongera kaka.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      sheillah chisika nashukuru sana Sheillah

  • @mcmotomototv3298
    @mcmotomototv3298 Pƙed 6 lety +29

    kila Siku ninavyoamka lazima nipate kinywaji from Joel nanauka

  • @abbasally3846
    @abbasally3846 Pƙed 4 lety +5

    Nikweli kaka Joel mimi nina milion moja nawaza kufanya biashara lakini nashindwa kupata jibu ni biashara gani nifanye ambayo nitamuweka mtu na kuweza kumlipa maana mimi nimeajiriwa,
    Ni mwezi wa pili sasa sijapata jibu la biashara gani nifanye.

    • @IsmailMchimani-hm8fy
      @IsmailMchimani-hm8fy Pƙed měsĂ­cem

      Ni biashar ya genge kaka nina uzoefu nayo na inalipa vizuri niajir tupige kazi kama mwajir wako

  • @juliuskapela608
    @juliuskapela608 Pƙed 5 lety +5

    Masomo mazuri napata hamasa zaid ya kupanua biashara zaidi asante bro joel

  • @ZawadiRugema
    @ZawadiRugema Pƙed měsĂ­cem

    Nikweli kaka joeli me ngu akubaliki mafundisho mazuri sana

  • @seifomary3638
    @seifomary3638 Pƙed 4 lety

    Asante Sana kaka Joel Mimi kwa muda huu nimenuia kujifunza kutoka kwako naamini baada ya muda naamini matunda tutayaona #we will meeting at the top//
    Thanks

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 Pƙed 6 lety +15

    I think people they need financial education b'cuz a lotta people they love an aeroplane but it doesn't mean they can fly it....we need to feed our minds right materials to become financially literate...Thank you brother Joel, God bless u fo' yuh teachin

  • @tatuyussuf7574
    @tatuyussuf7574 Pƙed 5 lety

    Ubarikiwe kiongoz..nakuelewamnoo...

  • @lilsome6331
    @lilsome6331 Pƙed 4 lety +2

    ahsanteee kwa muongozo mzuriii😘

  • @farajapanga6415
    @farajapanga6415 Pƙed 3 lety

    Asante kwa somo nzur kwel mwaka huu nimewaza kuanzisha biashar

  • @joycemungaya586
    @joycemungaya586 Pƙed 5 lety

    Ubarikiwe Sana kaka. Hakika Mungu anakutumia kutufikia sisi nduguzo. Kaka Mimi nimeanza biashara ya usafir bodaboda ila niliye mkabidhi kanitoroka nimeumia Sana. Nifanyaje kaka yangu na ni biashara ninayoipenda.
    Pia je nikitaka kuwa na biashar tofauti tofauti kuna tatizo. Maana maono yangu ni kuwa na zaidi ya moja. Kama Kilimo, ufugaji wa Kuku, usafiri, na nyumba za kupanga. Nishauri kaka

  • @iddosanga9749
    @iddosanga9749 Pƙed 6 lety +3

    great job

  • @alextibamanya5229
    @alextibamanya5229 Pƙed 6 lety +3

    Broh asante nimeelewa somo! Mm nataka kufuga bata.

  • @gaspermtana3169
    @gaspermtana3169 Pƙed 6 lety

    Shukrani sana kk kwa chakula ambacho unatupatia katika ubongo. Kiukweli napenda sanaa kufanya biashara ya kufungua tuition center lakini nashindwa kujua naweza nianzaje naomba msaada wako kk

  • @nurumussa9107
    @nurumussa9107 Pƙed 5 lety +2

    Thanks kaka Joel Mimi ninahitaji kuanza biashara ya uuzaji wa kuni za kupikia naomba ushauri wko

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 Pƙed 4 lety

    Ahsante Sana broo Joel

  • @babalois7240
    @babalois7240 Pƙed 6 lety +2

    Thankx Sir

  • @johnbigambalaye8796
    @johnbigambalaye8796 Pƙed 3 lety +7

    Biashara ya nguo it’s my dream can u help me for more information about how i can handle this business brother joel

  • @veronicanyadu5636
    @veronicanyadu5636 Pƙed 5 lety

    Hongera kaka unafundisha vzr big up

  • @shabanimrisha5323
    @shabanimrisha5323 Pƙed rokem

    Asante sana Joel m ni kijana ambaye nimekuwa nikikufatilia sana,Mimi kama mm ni mtu ambaye napenda kuvaa kuwa na muonekano mzri,natamn niwe mfanya biashara wa nguo Ila na shwinda kubajeti kwa kile nicho kipata kaka naomba unisaidie kwa ushauri wako kakangu...

  • @mariammasatu4785
    @mariammasatu4785 Pƙed 6 lety +5

    Asante sana kk Joel mm nataka kufanya biashara ya kuuza kuku wa kienyeji

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      mariam Masatu safi sana miriam usisubiri uanze na wengi.Anza na unachoweza

  • @bakarijuma7207
    @bakarijuma7207 Pƙed 5 lety

    Asante sana kaka Joel toka nimeanza kukusikiliza nimekuwa mtu mwenye mawazo chanya kichwani mwangu kaka, na moja ya wazo langu ni kuanza biashara ya chakula namaanisha kuwa na mgahawa wa chakula, na ndoto yangu kuwa na mgahawa mkubwa unaotambulika naomba ushauri wako kaka

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 Pƙed 6 lety +1

    Asante sana kakaang kwa kunijibu swali langu nafalijika kuona nimewasaidia na wengene ambo inawezekan walikuwa wanaogopa kuuliza ASANTE SANA KAKA Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Basam Tv karibu sana tuendelee kujifunza na kushare na wengine

  • @oscarofficial7778
    @oscarofficial7778 Pƙed 3 lety

    Big up Brother! Nina hitaji kuanza kufanya biashara ya Supu ya ng'ombe, unaweza niongezea maarifa juu ya kwanza vyema.

  • @fatmamkoga3766
    @fatmamkoga3766 Pƙed 3 lety

    Barikiwe Noel...

  • @vickyjohn4760
    @vickyjohn4760 Pƙed 5 lety

    Waoooooo,, Nashukur sana kaka

  • @kenyatatogota5340
    @kenyatatogota5340 Pƙed 5 lety +1

    Napenda Sana kuuza nguo llanuza mazao nafaida inasumbua

  • @subiramagoha5321
    @subiramagoha5321 Pƙed 3 lety

    Nashukuru sana kwa elimu unayotowa binafsi inanijenga na kuniinuwa sana

  • @salomewilliam6768
    @salomewilliam6768 Pƙed 5 lety

    Daaaah asante kaka nimejifunza mengi sanaaa

  • @faithwilliam16
    @faithwilliam16 Pƙed 5 lety

    kaka joel barikiwa sana kwa somo zuri

  • @mugishanasra1919
    @mugishanasra1919 Pƙed 3 lety

    Asante kwa mafunzo yenu tu na wasikiya

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 Pƙed 2 lety

    Great broh

  • @athumaniramadhani6339
    @athumaniramadhani6339 Pƙed 3 lety

    good bro iko vzr

  • @kulwakimbe3838
    @kulwakimbe3838 Pƙed 5 lety

    Asante sana kaka Joel nmejifunza kitu

  • @lupolamkomwa8478
    @lupolamkomwa8478 Pƙed 4 lety

    Hakika ubarikiwe sana. Maana kila ninapofuatilia vipindi vyako, naona kuna mwanga mbele yangu. Ninahitaji kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji.

  • @SarafinaNaftali-lw2gk
    @SarafinaNaftali-lw2gk Pƙed 6 měsĂ­ci

    Daa Mungu akubark sana

  • @mdtv2625
    @mdtv2625 Pƙed 6 lety +3

    Thanks my blood brother gd will keep you today $ 2morrow

  • @yemimamateru8120
    @yemimamateru8120 Pƙed 4 lety

    Asante bro

  • @SaidyRDismasi-qm4kc
    @SaidyRDismasi-qm4kc Pƙed rokem

    Asante kaka

  • @epafranyambalo
    @epafranyambalo Pƙed 6 lety

    number one viewer

  • @babalois7240
    @babalois7240 Pƙed 6 lety +8

    I was dreaming kufanya biashara ya kununua na kuuza Mazao ..but kila nilipoogopa kuanza,Ninakuta mwaka huo ndio bei ya mazao inakuwa nzuriii sana soko..
    MWAKA HUU NAANZA KUNUNUA KOROSHO.. MUNGU ANISIMAMIE

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Justine Mrope hongera sana Justine kila la kheri

  • @JordanTrent-ug3hc
    @JordanTrent-ug3hc Pƙed 13 dny

    Nimepata moyo wallah I can Try

  • @agostinofelefele3201
    @agostinofelefele3201 Pƙed 2 lety

    I liked much

  • @malaikaspriani4199
    @malaikaspriani4199 Pƙed rokem

    Napenda sana urembo mtaji ninao lkn sina ujuzi katika hii biashara nisaidie

  • @lwengemwika9063
    @lwengemwika9063 Pƙed 3 lety

    big up, broo

  • @gabenusmhomanga1923
    @gabenusmhomanga1923 Pƙed 4 lety +1

    Ubarikiwe kaka

  • @tychitychilybent6462
    @tychitychilybent6462 Pƙed 5 lety

    God bless you
    My broo

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Pƙed 2 lety

    je kama passion haipo kabisa

  • @rosashy5076
    @rosashy5076 Pƙed 6 lety

    ahsante my kaka

  • @sabbyjohn1280
    @sabbyjohn1280 Pƙed 2 lety

    Bro thanks

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 Pƙed 6 lety +1

    Asante sana kwa somo. Ubarikiwe sana

  • @salmaally5956
    @salmaally5956 Pƙed 3 lety

    Big up

  • @reginamiho5924
    @reginamiho5924 Pƙed 2 lety

    Asanteee me natamani nifanye biashara ya duka la mikate

  • @jumachanewstrends6899
    @jumachanewstrends6899 Pƙed 5 lety

    somo zuri endelea kuweka makala zaidi na zaidi kaka

  • @elishamashita6557
    @elishamashita6557 Pƙed 5 lety

    Good bro,,,n zaidi ya chuo

  • @selemrangi3974
    @selemrangi3974 Pƙed 5 lety

    Nimekuelewa bro

  • @dinamfangavo760
    @dinamfangavo760 Pƙed 5 lety

    nashkuru sana kaka kwa kunifumbua,kwan nilitaman sana kuanza biashara ckunyingi lakn ckuwa na ufahamu juu ya biashara gan nifanye.🙏🙏

  • @mercywanjiku3740
    @mercywanjiku3740 Pƙed 6 lety

    Asante sana

  • @yaledmbuba3631
    @yaledmbuba3631 Pƙed 2 lety

    Asante kaka joel mimi wazo la biashara ni nalo tena kubwa na linapesa ila mtaji ndo tatzo ila uzuri wa biashara hiyo inahtaji kuanza hata na mtaji mdogo si lazima uwe na pesa nyungi kwa siku za uson ila utaanza kujiongeza taratibu namshukulu Mungu nimeanza na kidogo nilichonacho

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 Pƙed 3 lety

    Vzr

  • @barakafelecian1441
    @barakafelecian1441 Pƙed rokem

    Ubarkiwe sana

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Pƙed 3 lety

    Napenda sana biashara ya nafaka kweli ninapenda mno , mungu anisaidie 2021 hii nifungue duka langu , japo la m. 4 tu nitaanza nayo.

  • @JustaTz
    @JustaTz Pƙed 2 měsĂ­ci +1

    Poultty Farming

  • @danyluganga9150
    @danyluganga9150 Pƙed 6 lety

    Asnt sana

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 Pƙed 5 lety

    Duuuuh nice

  • @tabithaerastoshukrani.90
    @tabithaerastoshukrani.90 Pƙed 4 lety +1

    👏👏👏

  • @Unknow9473
    @Unknow9473 Pƙed 6 lety +3

    watu wengi huwa tunawaza faida bila kuijua biashara yenyewe na huwa tunaogopa hasara sana but hakuna biashara isiyo na harasa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Christiana Kyando ahsante kwa mchango wako pia

  • @amouruyabi2634
    @amouruyabi2634 Pƙed 3 lety

    Nataka njia nzuri jinsi ya kukuza duka

  • @salimkhamisi6490
    @salimkhamisi6490 Pƙed rokem

    Ntaka kufungua biahara ya eletronic coz nko na experience nayo bt cpital yangu ni kidogo ya kuanzisha bt nkaona nifungue duka coz hiyo ndo rahisi kulingana na hela nilizonazo je inaeza work nikitafuta pesa nyingine

  • @fundiumeme-siasa.2692
    @fundiumeme-siasa.2692 Pƙed rokem

    Safi Sana mimi ninaujuzi wa ufundi umeme nahitaji nifungue duka la vifaa vya Umeme naomba muongozo

  • @othman4978
    @othman4978 Pƙed 6 lety +3

    👍

  • @tyectv7687
    @tyectv7687 Pƙed 4 lety

    asanteee

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 Pƙed 6 lety

    Good bro

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Pƙed 2 lety

    Umeongea point bro

  • @shafiomari4281
    @shafiomari4281 Pƙed 2 lety

    Nimefurahia bro somo lako natamani nianzishe biashara ya mgahawa Ila sijajua njia gani nitumie kuanzisha

  • @addeypentacos9014
    @addeypentacos9014 Pƙed 2 lety

    Good

  • @Yeremiahmuhamali
    @Yeremiahmuhamali Pƙed měsĂ­cem

    Nawezaj kufikia malengo yang katka biashara.

  • @deus9246
    @deus9246 Pƙed 3 lety

    Nimejifunza kitu. Asante

  • @lameckmasekoo5380
    @lameckmasekoo5380 Pƙed 4 lety

    Nimekupata yakuwa nikyanza nanilicho nacho ....asante bro

  • @elizabethzabron8489
    @elizabethzabron8489 Pƙed 6 lety +1

    Kaka Uishi miaka mingi kwaajili yeti tunatamani tuendelee kujifunza mengi zaidi kutoka kwako God bless you

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Elizabeth Zabron Ameen nashukuru sanaa

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 Pƙed 3 lety

    Uko vizur bro

  • @felistersaad7187
    @felistersaad7187 Pƙed 4 lety

    Napenda kuuza nguo.. Mfano madera.. Lakini kila nikiangalia nakuta ni wengi sana mitaani kwetu wanauza... Naishindwa lakufanya

  • @mc_turuka
    @mc_turuka Pƙed 2 lety

    Nashukuru sana kaka Nanauka mimi nawaza Kuuza Asali hapa ila napata hofu kubwa sana kubwa sana kuanza biashara hii

  • @happynessowo1140
    @happynessowo1140 Pƙed 2 lety

    Safi

  • @badrysadick9644
    @badrysadick9644 Pƙed 3 lety +1

    Ninabiashara. Naifanya brother changamoto ipo kwa wateja wangu natumia instagram kwa ajili ya kupromote na nimefungua mpaka log yang ya pampers na maziwa ya watoto

  • @beckelose5602
    @beckelose5602 Pƙed 2 lety

    Clean shop

  • @peterlema3752
    @peterlema3752 Pƙed 6 lety +6

    Kaka Joel Nanauka kama kawaida yako unagonga point zilizokwenda ulaya hahaha
    Anyway mdogo wako nataka kuanzisha KILIMO BIASHARA for a long time nimekuwa nikipanga bila kufanya ila this time nimedhamiria kufanya kwa ukubwa zaidi
    Ushauri wako utakuwa msaada mkubwa sana kwangu
    See you at the top 😂😂😂

  • @pissasamwel284
    @pissasamwel284 Pƙed 6 lety

    Asante

  • @eliazalyemmanuel9478
    @eliazalyemmanuel9478 Pƙed 5 lety +1

    makini sana kaka mimi niko na ww kama samaki na maji mungu awe nawe

  • @maimunanungu7177
    @maimunanungu7177 Pƙed 2 lety

    Hilo nitatizo kubwa ,mwingine anajua na hela na asijue kitu Cha kufanya, mwingine hana na ana idea ya biashara,

  • @ramadhani7134
    @ramadhani7134 Pƙed 4 lety

    Nashukuru Kaka nimepata maarifa juu ya biashara natamani kuifanya biasha lakini sijui ntafanya biashara gani

  • @meckdetorvic6221
    @meckdetorvic6221 Pƙed 6 lety

    Asante sana Mr Joel ila na mimi nina shida naomba ushauri wako Mr mi mpaka sasa Nipo tu nyumbani natamani sana Nifuge kuku wa mayai na kwa ajili ya biashara na mi sina mtaji naomba ushaur wako

  • @aaaavvvv4261
    @aaaavvvv4261 Pƙed 5 lety

    Wao nilianza biashara kidogo ya uzaji vyakula kama dengo mahalagwe ila nikafa moyo nikafunga ila napo kuskia ivo namoyo wakurudia

  • @johnchibanhila1850
    @johnchibanhila1850 Pƙed 5 lety

    Point

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 Pƙed 6 lety +1

    Sante sana kwa ujumbe, mm nataka nifanye biashara ya car wash & detailing naomba ushauri.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      ussikhamis ussi Anza kuchukua hatua tafuta mahali sahihi

    • @ussikhamisussi4882
      @ussikhamisussi4882 Pƙed 6 lety

      Joel Nanauka; Nashkuru nitaanza hivi punde tu je, unaweza kunipa tips za mahali pa kuanza hiyo biashara yangu, labda mazingira yake yaweje?

  • @derickrashid7581
    @derickrashid7581 Pƙed 6 lety +1

    kaka ii ni zaid ya elimu ya biashara, nilikua mmoja wa watu tunao angalia pesa niliy nayo ili kuanza biashara, lakin sikuwai jiuliza aya maswal thank you kutoka sasa naanza upya kufanya biashara kwa ustadi mana aya maswal yatakuako, kichwani, wazo langu kuu sasa ni ufugaji wa kuku wa nyama kwasababu kufuga is my passion pia naweza anza mda wwte from to day.
    You will see me at the top

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 6 lety

      Derick Rashid safi sana Derick nitafurahi ukinijulisha mara utakapoanza kufanya ufugaji.Nakutakia mafanikio makubwa kwenye malengo yako

  • @deogratiuschisatu2911
    @deogratiuschisatu2911 Pƙed 3 lety +1

    Nataka kufanya biashala ya duka la dawa za binadamu Ila nahitaji nionane nawewe maana nimefanya biashala nyingi bila mafanikio

  • @felistermhango3177
    @felistermhango3177 Pƙed 3 lety +1

    Natamani Sana kufungua BOOK SHOP