Mambo Matatu (3) Unayohitaji ili Kufanikiwa Kibiashara

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2018
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 107

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 5 lety +1

    no retreat, no surrender . . . ninafanya ubunifu na uzalishaji wa bidhaa, nina ndoto kubwa sana ya kufanikiwa na pengine nitaacha kazi niliyoajiriwa na kuenenda kwa imani ya kufanikisha ndoto yangu najiona mbali sana hasa nikisikiliza hizi hamasa unazotoa, barikiwa sana.

  • @user-bz5gk7gt1k
    @user-bz5gk7gt1k Před 7 měsíci

    Nashukuru kwa somo lako hlinimelifanyia kazi na nimepata kitu furan ahsant

  • @jaqlinemsaki7263
    @jaqlinemsaki7263 Před 5 lety

    Habar yk kak asante sana kwa somo Zuri ninataka kufanya biashara napenda sana Muziki ninandoto sk moja nifungue studio kubwa ya kisasa najipanga kufanya hivo naomba ushauri wk naogopa sana kufirisika

  • @cresensiandimbo4195
    @cresensiandimbo4195 Před 6 lety +1

    Thanks bro Joel ,tatizo ni kutambua passion watu tunaishi ishi tu hatujui hata passion zetu na ndio maana inakuwa ngumu sana kufanikiwa.

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 4 lety

    Asant sana Mwalimu

  • @neemahonorath385
    @neemahonorath385 Před 5 lety

    Napenda sana biashara ya duka jaman yan naamin itanitoa cz nauzoef nayo na ninaipenda sanaa

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 5 lety

    Pamoja sana ndugu

  • @judithnderitu6454
    @judithnderitu6454 Před 6 lety +3

    by the end of the day, needs God guideness. as foundation to everything.

  • @jaypolpzpwhitelion4661
    @jaypolpzpwhitelion4661 Před 5 lety +2

    Amini unacho kifanya

  • @aaaavvvv4261
    @aaaavvvv4261 Před 5 lety

    Wawa nilisha faa moyo ila ntasimama tena kwa neno nzuri mungu akubariki sana

  • @ramadhanishifta5940
    @ramadhanishifta5940 Před 5 lety

    Joel nakukubali sana

  • @mercywanjiku3740
    @mercywanjiku3740 Před 6 lety +6

    Am listening you from Kenya thanks for your advice

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      Thank you for following Mercy,Help me to share more to our fellows in Kenya

  • @abdornephotidas3848
    @abdornephotidas3848 Před 6 lety

    Nimelielewa somo ahsante! Mr. Joel

  • @felixjoel3210
    @felixjoel3210 Před 6 lety

    kwakweli joel nanauka nakupenda nakupenda mpaka nimekuwamlaibu wakukufuatilia hatua kwa hatua mpaka napindukiaa!!! ahsanteni sana wwe nakuamini mpaka napitiza am felix joel mikocheni,,!

  • @hassansaidramadhan8940

    Shukrani sana kaka unanipa nguvu za ajabu sana
    Ninachangamoto moja kaka nahitaji unisaidie
    -nimeajiriwa saiv na nikijitathmini najiona kabisa kama napoteza muda mwingi kwenye hii kazi natamani kuacha kazi na kuanza kusimamia biashara yangu mwenyewe ila bado ninahofu

  • @edmundngalawa8412
    @edmundngalawa8412 Před 6 lety

    Nimekupata mkuu.. Mm napenda sana kucheza na kuku

  • @mercygatari6239
    @mercygatari6239 Před 5 lety

    Am listening from Kenya,shida yangu ni kutojiamini

  • @saumseif3815
    @saumseif3815 Před 2 lety

    Habari za asubuhi kaka . Mm hili la pili ndio ninaliona sijakaa sawa na nahitaji kufungua biashara

  • @elizabethjohn3098
    @elizabethjohn3098 Před 6 lety

    Asante kaka Mimi nimekuelewa vizuri Sana
    Mimi napenda sana biashara ninayo ifanya nauza kwa kujiamini kwa sababu naipenda

  • @rizikifumao3685
    @rizikifumao3685 Před 6 lety

    asante kaka kwa ushauri mzuri hakika unanifaa,mimi binafsi napenda afya za watu na nimeamua kufanya biashara yenye bidhaa za kulinda afya za watu
    Biashara ya mtandao

  • @elishazebedayo2343
    @elishazebedayo2343 Před 6 lety

    Nashukuru nimejifunza kitu kipya toka kwako,heshima yako mzee

  • @bunah4263
    @bunah4263 Před 6 lety +1

    Ni kweli kabisa bro 👏👏

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz Před 6 lety

    Nimekusoma, nitakutafuta nikirejea tz, ninapenda sana biashara ya duka kila nikikaa nawaza duka tu na mengineyo .

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz Před 6 lety

    Nitakuhitaji kwa vitu vidogo , mengi sana nimekufatilia kuhusu uendeshaji Wa biashara nashukuru nimekuelewa,

  • @ommymapenzi8586
    @ommymapenzi8586 Před 5 lety

    Shukuran bro kw mamb mazr

  • @marthamhapa8171
    @marthamhapa8171 Před 6 lety +5

    Kaka nataka kufanya biashara

  • @fatmarashid2469
    @fatmarashid2469 Před 6 lety +4

    Kweli kabisa,if you have passion,you do it with love..! No 1 huwa nashida, nakuwa na passion and I feel exited af baadae inapotea,cjui napuyanga wap Kwenye namba 2 wateja Wangu wanaelewa kuwa "I am my first customer and I enjoy being" .......

  • @reginakarema8584
    @reginakarema8584 Před 4 lety +1

    PASSION: Do what you love, love what you do.

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 6 lety

    Najivunia biashara yangu

  • @josetadei9975
    @josetadei9975 Před 5 lety

    Asant san kk kwamafuzo mazuri nilicho jifuza mm unatakiwa upende unacho Fanya.

  • @alextibamanya5229
    @alextibamanya5229 Před 6 lety +1

    Nimekuelewa broh! Hapo mm naona ni passion ndo ninanisumbua,asante sana broh.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      Alex Tibamanya naamini umeshajua kitu cha kufanya sasa

  • @thelastbornchannel8073
    @thelastbornchannel8073 Před 6 lety +1

    My best channel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      miza siwingwa thanks Miza tuendelee kushare na wengine pia

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 Před 5 lety +1

    My passion is to produce something.

  • @MwagalaJr
    @MwagalaJr Před 6 lety +1

    yes,
    nipo darasani hapa, naendelea kujifunza.
    let's meet at the top

  • @francismangula2715
    @francismangula2715 Před 6 lety

    businessman natokea dodoma oil mills najifunza sana tokea kwako thanks alot naain nitayafanyia kaz zaid katika kukuza kiwanda changu.AHSANTE

    • @michaeljordan2558
      @michaeljordan2558 Před 6 lety

      l real appreciate my brother.... God give you longlife.you make me to realize what life is

  • @undisputableboe3890
    @undisputableboe3890 Před 6 lety +2

    kumbe naeza fanya kitu kikubwa sana kwenye maisha yang napenda sana fresh juice nimesha chungulia fursa kaka asante sana

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 Před rokem

    Nianze upya naamini ilimiongezejuu

  • @hectorinadamasio9917
    @hectorinadamasio9917 Před rokem

    Mimi nataka kufanya biashara ndogo ndogo

  • @zabibounzeyimana703
    @zabibounzeyimana703 Před 5 lety

    asante sana nataka kufanya biasha na nitamani sana ila sijaona wapi pakuanzia kwasababu kile ninaco benda mimi sina mtaji wakutosha ili nifanye iyo biasha sijuwi unanisaidiya aje

  • @hasanabel7345
    @hasanabel7345 Před 5 lety

    Thanks a lot what can u do to increase and minimize the profit of the business

  • @safimusa1011
    @safimusa1011 Před 5 lety

    Kujenga imani kwa watu sijui nifanye nn

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před 6 lety

    Asante kwa #elimu

  • @agnesssamwel7307
    @agnesssamwel7307 Před 5 lety

    Mimi kujiamini bado ni tatizo

  • @shelangwaalex7
    @shelangwaalex7 Před 6 lety +1

    Tayari nimekwishaanza bro but naona kua sitofika ninapoitaji ila thanks kwakuzidi kutupa nguvu yavitu tunavyo vifanza god bless you bro!!

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Shelangwa Alex mapambano huwa hayakomi usikubali kukata tamaa

  • @patrickmsuya6780
    @patrickmsuya6780 Před 6 lety

    nataka nifanye biashra ndugu yangu niambie nifanyaje

  • @simonfredy2324
    @simonfredy2324 Před 6 lety +2

    Nashukur Sana kiongozi.......nakubali Sana uwezo ulionao...... Na products unazotoa.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Simon Fredy ahsante sana Simon,tuendelee kujifunza na kushare na wengine

    • @simonfredy2324
      @simonfredy2324 Před 6 lety +1

      Joel Nanauka nina muda wa siku mbili toka nianze kukusikiliza brother .....Lakin contents nilizopata ni kubwa Sana kiasi Kwamba najiuliza nilikua wap kabla kupata chakula cha ubongo kama hiki......yawezekana nisingekuwa hapa nilipo licha ya kuwa msomaji wa vitabu....Lakin pia sitak nijutie yaliyopita ila nafurah kupata mwongozo mpya....nashukur Sana.

    • @simonfredy2324
      @simonfredy2324 Před 6 lety +1

      Mpaka sasa watu nilioshare nao kazi zako wanaenjoy sana.......nitashare na wengine wengi zaidi kuhakikisha kazi zako zinawafikia.... Ahsante pia.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Simon Fredy nashukuru sana kwa kushare na wengine tuendelee kujifunza zaidi

  • @chiomanonso274
    @chiomanonso274 Před 5 lety

    Kujiamini bado

  • @fatmamasoud6461
    @fatmamasoud6461 Před 3 lety

    Asante Kaka lkn mm Nina passion yang ambayo n upishi n Nina mpang w kufungua bekar 2023 kw xx nasom chuo huku natafut mtajiil cjui nawezaje kuaminik

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Před 5 lety

    Asante

  • @franklumbili4556
    @franklumbili4556 Před 6 lety

    nafanya kazi y ufugaj kuku wa kizungu
    ila passion yang ni kufungua duka nitagungua mwz 10
    karibu

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 Před 6 lety +3

    Nimekupata mi napenda sana akina kaka wengi ni rafiki zangu huwa sielewani na akina dada kwa hivo nimelipata funzo lako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      sheillah chisika umetisha,naamini ukipata wazo lako la biashara utanitaarifu pia

    • @sheillahchisika8414
      @sheillahchisika8414 Před 6 lety

      Joel Nanauka Nitakutarifu kwa sababu penda xana darasa lako

    • @hashimiddyhawadhi4305
      @hashimiddyhawadhi4305 Před 6 lety

      jinsi gani unaweza kuwafikia wateja ili kuweza kununua bidhaa au kutumia huduma yako

  • @annymdg7647
    @annymdg7647 Před 6 lety

    I'm really interested to start b/s bt the only problems not kuwa how Will I start the business (hardware)it's challenge to me nipe ushauri

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g Před rokem

    Jamaniiii mbon ulitunyima namba yako kwaniniiiiii

  • @bassananah9319
    @bassananah9319 Před 6 lety

    Uwe unaanza ata na salam basi

  • @asnaabububu2297
    @asnaabububu2297 Před 3 lety

    Brother mm apa naomba unisadie jambo la tatu kati ayo ulosiosema nakuomba Mungu abarik kaz yako unayofanya

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 Před rokem

    Mimi nimekutwa ninapassion ya kufanya biashara ila niko natafuta nii

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 4 lety

    Nitajuaje passion yangu?

  • @samirsahl5022
    @samirsahl5022 Před 6 lety

    Mimi bado sijaweza kuondoa aibu katika kile nn inacho kiweza yaani katika talent yangu

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 Před 6 lety +3

    niko HS right now but napenda sana siku 1 nije kuwa kama wewe bro Joel dats why am tryna the best i can to stir up ma potential, can yo be ma mentor bro?.....all the way up from Mbeya City

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Keep it up utafanikiwa na utafikia tena unaweza hata kufanya makubwa zaidi ya ninayofanya \...Kila la kheri tuendelee kujifunza

    • @alphamenson3784
      @alphamenson3784 Před 6 lety +1

      Joel Nanauka Thank you so much brother

  • @molegend2672
    @molegend2672 Před 6 lety

    Alaa kumbe

  • @yohnafanuel6489
    @yohnafanuel6489 Před 6 lety

    Nashukuru xna brow me kuhusu passion yangu naifahamu vzr na pia najiamin kuwa na weza kufanya kile nikipendacho na nikafaniiwa japo kwa nilipo asaiv sio passion yangu nipo 2 kwa kutafuta mtaji wangu kisha nifanye kile nipendacho na ninacho amin kuwa naweza pia kufanikiwa kwa hicho

    • @neemalino4220
      @neemalino4220 Před 5 lety

      Joel shukrani kwa somo zuri na mungu akubariki

  • @MwagalaJr
    @MwagalaJr Před 6 lety

    in three things natakiwa niifanyie kazi 2 ,kuongeza kujiamini Jataka Huduma ninayoitoa.

  • @Cyper255
    @Cyper255 Před 6 lety +3

    Joe Nanauka naomba uwa broke hao wanne walio dislike👎 hii video

  • @christopherjumanne2714

    Ahsant

  • @simonmichael2297
    @simonmichael2297 Před 4 lety

    Naitaji san mawzo yko kwenye biashara yagu y maua maan ninamtaji mkubwa san wa wateja wanao hitaji bidhaa yangu ya maua! Plz bro

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 Před rokem

    Kaka Joel kikweli Mimi nilkua nafanya b 2:08

  • @abasikiwope2307
    @abasikiwope2307 Před 6 lety

    mimi ni mfanya biashara mdogo wa duka lavyakula ila nina wazo ifikapo mwixho wa mwaka 2018 niwe ninaza na duka la cement na niwenaweka na tofali sasa naomba ushauli kutoka kwako plz

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi6200 Před 6 lety

    nataka kuaza biashala

  • @amudimbegalo4969
    @amudimbegalo4969 Před 6 lety

    J mimi nifundi na nina kiduka changu cha spare ila sioni faida zaidi pesa nyingi naoja inaishia kwenye matumizi nifanye nini ili nikuze biashara yangu kwa kidogo nacho kipata

  • @loanpautanimwashilindi2573

    Bado sijajua sana passion yangu ni ipi, maana katika vingi ninavyovipenda sijui kipi ni top of all , yaani nikijua hapo tu ,kwingine ni rahisi kwendelea , Help me here first

  • @jasminesaid6358
    @jasminesaid6358 Před 6 lety

    kaka kuna biashara naipenda sana ila inakua na vikwanza kila ninapo anza kuifanya kwa sasa nafanya kazi amby siipendi lkn imenifanya nikajenga nyumba na naifanya mpk sasa lkn ninacho kipenda bado nataman kuifanya sijui nifanyaje

  • @abdallahmaulid5577
    @abdallahmaulid5577 Před 6 lety

    Bro how can i contact you in persal?

  • @stephanokiluwa7716
    @stephanokiluwa7716 Před 6 lety +1

    passion yangu ata siijuagi kwakweli

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Endelea kujifunza na hivi karibuni nitaweka video ya namna ya kujua passion yako utajifunza zaidi.

    • @stephanokiluwa7716
      @stephanokiluwa7716 Před 6 lety

      Joel Nanauka Thenks sana kaka

    • @judithpaul9013
      @judithpaul9013 Před 5 lety

      Joel Nanauka kweli hata mimi huwa napenda kujua passion yangu lakin cfahamu

  • @ibrahimsalvatoryclement8574

    Joel nanauka,mm napenda kufanya biashara lkn mtaji wangu nimdogo sana nifanyeje?naomba ushauri wako mkuu.

  • @tausisalum465
    @tausisalum465 Před 5 lety

    Mm nahitaji kuanza biashara ila sijiamini

  • @cheyowilliam1387
    @cheyowilliam1387 Před 3 lety

    Nafanya biashara ya kuuza mbao lakin nimefel baada ya mwenzangu aliyekuwa tunaaminia kutoniamin tena, nifanyeje ili nirudi tena kuuza mbao mana biashara hii naipenda san ndg naomba ushaur 0766374964

  • @elimelamerii2342
    @elimelamerii2342 Před 6 lety

    Joel, kuna mtu hajui passion yake ni ipi!!,
    Unamsaidiaje kufahamu passion yake??

  • @nassorali3088
    @nassorali3088 Před 6 lety +1

    kaka mm pansion mm sina kwenye biashara ninayoifanya

  • @ismailbanga8849
    @ismailbanga8849 Před 5 lety

    mimi ni mmiliki wa Power film Entertainment company, naitaji kufanya movimoja na wewe na kuomba tuwasiliane na ili ufike ofisini kwangu tufanye kazi pamoja .0762 099 049

  • @benedictorerasto7520
    @benedictorerasto7520 Před 5 lety

    Naitaji kitabu kaka nip tabora 0688418424

  • @hectorinadamasio9917
    @hectorinadamasio9917 Před rokem

    Mimi nataka kufanya biashara ndogo ndogo

  • @abasikiwope2307
    @abasikiwope2307 Před 6 lety

    mimi ni mfanya biashara mdogo wa duka lavyakula ila nina wazo ifikapo mwixho wa mwaka 2018 niwe ninaza na duka la cement na niwenaweka na tofali sasa naomba ushauli kutoka kwako plz