no retreat, no surrender . . . ninafanya ubunifu na uzalishaji wa bidhaa, nina ndoto kubwa sana ya kufanikiwa na pengine nitaacha kazi niliyoajiriwa na kuenenda kwa imani ya kufanikisha ndoto yangu najiona mbali sana hasa nikisikiliza hizi hamasa unazotoa, barikiwa sana.
Habar yk kak asante sana kwa somo Zuri ninataka kufanya biashara napenda sana Muziki ninandoto sk moja nifungue studio kubwa ya kisasa najipanga kufanya hivo naomba ushauri wk naogopa sana kufirisika
kwakweli joel nanauka nakupenda nakupenda mpaka nimekuwamlaibu wakukufuatilia hatua kwa hatua mpaka napindukiaa!!! ahsanteni sana wwe nakuamini mpaka napitiza am felix joel mikocheni,,!
Shukrani sana kaka unanipa nguvu za ajabu sana Ninachangamoto moja kaka nahitaji unisaidie -nimeajiriwa saiv na nikijitathmini najiona kabisa kama napoteza muda mwingi kwenye hii kazi natamani kuacha kazi na kuanza kusimamia biashara yangu mwenyewe ila bado ninahofu
asante kaka kwa ushauri mzuri hakika unanifaa,mimi binafsi napenda afya za watu na nimeamua kufanya biashara yenye bidhaa za kulinda afya za watu Biashara ya mtandao
Kweli kabisa,if you have passion,you do it with love..! No 1 huwa nashida, nakuwa na passion and I feel exited af baadae inapotea,cjui napuyanga wap Kwenye namba 2 wateja Wangu wanaelewa kuwa "I am my first customer and I enjoy being" .......
asante sana nataka kufanya biasha na nitamani sana ila sijaona wapi pakuanzia kwasababu kile ninaco benda mimi sina mtaji wakutosha ili nifanye iyo biasha sijuwi unanisaidiya aje
Joel Nanauka nina muda wa siku mbili toka nianze kukusikiliza brother .....Lakin contents nilizopata ni kubwa Sana kiasi Kwamba najiuliza nilikua wap kabla kupata chakula cha ubongo kama hiki......yawezekana nisingekuwa hapa nilipo licha ya kuwa msomaji wa vitabu....Lakin pia sitak nijutie yaliyopita ila nafurah kupata mwongozo mpya....nashukur Sana.
niko HS right now but napenda sana siku 1 nije kuwa kama wewe bro Joel dats why am tryna the best i can to stir up ma potential, can yo be ma mentor bro?.....all the way up from Mbeya City
Nashukuru xna brow me kuhusu passion yangu naifahamu vzr na pia najiamin kuwa na weza kufanya kile nikipendacho na nikafaniiwa japo kwa nilipo asaiv sio passion yangu nipo 2 kwa kutafuta mtaji wangu kisha nifanye kile nipendacho na ninacho amin kuwa naweza pia kufanikiwa kwa hicho
mimi ni mfanya biashara mdogo wa duka lavyakula ila nina wazo ifikapo mwixho wa mwaka 2018 niwe ninaza na duka la cement na niwenaweka na tofali sasa naomba ushauli kutoka kwako plz
J mimi nifundi na nina kiduka changu cha spare ila sioni faida zaidi pesa nyingi naoja inaishia kwenye matumizi nifanye nini ili nikuze biashara yangu kwa kidogo nacho kipata
Bado sijajua sana passion yangu ni ipi, maana katika vingi ninavyovipenda sijui kipi ni top of all , yaani nikijua hapo tu ,kwingine ni rahisi kwendelea , Help me here first
kaka kuna biashara naipenda sana ila inakua na vikwanza kila ninapo anza kuifanya kwa sasa nafanya kazi amby siipendi lkn imenifanya nikajenga nyumba na naifanya mpk sasa lkn ninacho kipenda bado nataman kuifanya sijui nifanyaje
Nafanya biashara ya kuuza mbao lakin nimefel baada ya mwenzangu aliyekuwa tunaaminia kutoniamin tena, nifanyeje ili nirudi tena kuuza mbao mana biashara hii naipenda san ndg naomba ushaur 0766374964
mimi ni mmiliki wa Power film Entertainment company, naitaji kufanya movimoja na wewe na kuomba tuwasiliane na ili ufike ofisini kwangu tufanye kazi pamoja .0762 099 049
mimi ni mfanya biashara mdogo wa duka lavyakula ila nina wazo ifikapo mwixho wa mwaka 2018 niwe ninaza na duka la cement na niwenaweka na tofali sasa naomba ushauli kutoka kwako plz
no retreat, no surrender . . . ninafanya ubunifu na uzalishaji wa bidhaa, nina ndoto kubwa sana ya kufanikiwa na pengine nitaacha kazi niliyoajiriwa na kuenenda kwa imani ya kufanikisha ndoto yangu najiona mbali sana hasa nikisikiliza hizi hamasa unazotoa, barikiwa sana.
Nashukuru kwa somo lako hlinimelifanyia kazi na nimepata kitu furan ahsant
Habar yk kak asante sana kwa somo Zuri ninataka kufanya biashara napenda sana Muziki ninandoto sk moja nifungue studio kubwa ya kisasa najipanga kufanya hivo naomba ushauri wk naogopa sana kufirisika
Thanks bro Joel ,tatizo ni kutambua passion watu tunaishi ishi tu hatujui hata passion zetu na ndio maana inakuwa ngumu sana kufanikiwa.
Asant sana Mwalimu
Napenda sana biashara ya duka jaman yan naamin itanitoa cz nauzoef nayo na ninaipenda sanaa
Pamoja sana ndugu
by the end of the day, needs God guideness. as foundation to everything.
Amini unacho kifanya
Wawa nilisha faa moyo ila ntasimama tena kwa neno nzuri mungu akubariki sana
Joel nakukubali sana
Am listening you from Kenya thanks for your advice
Thank you for following Mercy,Help me to share more to our fellows in Kenya
Nimelielewa somo ahsante! Mr. Joel
kwakweli joel nanauka nakupenda nakupenda mpaka nimekuwamlaibu wakukufuatilia hatua kwa hatua mpaka napindukiaa!!! ahsanteni sana wwe nakuamini mpaka napitiza am felix joel mikocheni,,!
Shukrani sana kaka unanipa nguvu za ajabu sana
Ninachangamoto moja kaka nahitaji unisaidie
-nimeajiriwa saiv na nikijitathmini najiona kabisa kama napoteza muda mwingi kwenye hii kazi natamani kuacha kazi na kuanza kusimamia biashara yangu mwenyewe ila bado ninahofu
Nimekupata mkuu.. Mm napenda sana kucheza na kuku
Am listening from Kenya,shida yangu ni kutojiamini
Habari za asubuhi kaka . Mm hili la pili ndio ninaliona sijakaa sawa na nahitaji kufungua biashara
Asante kaka Mimi nimekuelewa vizuri Sana
Mimi napenda sana biashara ninayo ifanya nauza kwa kujiamini kwa sababu naipenda
asante kaka kwa ushauri mzuri hakika unanifaa,mimi binafsi napenda afya za watu na nimeamua kufanya biashara yenye bidhaa za kulinda afya za watu
Biashara ya mtandao
Nashukuru nimejifunza kitu kipya toka kwako,heshima yako mzee
Ni kweli kabisa bro 👏👏
Nimekusoma, nitakutafuta nikirejea tz, ninapenda sana biashara ya duka kila nikikaa nawaza duka tu na mengineyo .
Nitakuhitaji kwa vitu vidogo , mengi sana nimekufatilia kuhusu uendeshaji Wa biashara nashukuru nimekuelewa,
Shukuran bro kw mamb mazr
Kaka nataka kufanya biashara
Kweli kabisa,if you have passion,you do it with love..! No 1 huwa nashida, nakuwa na passion and I feel exited af baadae inapotea,cjui napuyanga wap Kwenye namba 2 wateja Wangu wanaelewa kuwa "I am my first customer and I enjoy being" .......
Fatma Rashid hongera sana Fatma,naamini utafika mbali sana
ahsant Sana nimekuelewa
PASSION: Do what you love, love what you do.
Najivunia biashara yangu
Asant san kk kwamafuzo mazuri nilicho jifuza mm unatakiwa upende unacho Fanya.
Nimekuelewa broh! Hapo mm naona ni passion ndo ninanisumbua,asante sana broh.
Alex Tibamanya naamini umeshajua kitu cha kufanya sasa
My best channel
miza siwingwa thanks Miza tuendelee kushare na wengine pia
My passion is to produce something.
yes,
nipo darasani hapa, naendelea kujifunza.
let's meet at the top
Mwagala Junior Big up
businessman natokea dodoma oil mills najifunza sana tokea kwako thanks alot naain nitayafanyia kaz zaid katika kukuza kiwanda changu.AHSANTE
l real appreciate my brother.... God give you longlife.you make me to realize what life is
kumbe naeza fanya kitu kikubwa sana kwenye maisha yang napenda sana fresh juice nimesha chungulia fursa kaka asante sana
Safi chukua hatua sasa
Joel Nanauka nashukuru sana kaka
Nianze upya naamini ilimiongezejuu
Mimi nataka kufanya biashara ndogo ndogo
asante sana nataka kufanya biasha na nitamani sana ila sijaona wapi pakuanzia kwasababu kile ninaco benda mimi sina mtaji wakutosha ili nifanye iyo biasha sijuwi unanisaidiya aje
Thanks a lot what can u do to increase and minimize the profit of the business
Kujenga imani kwa watu sijui nifanye nn
Asante kwa #elimu
Mimi kujiamini bado ni tatizo
Tayari nimekwishaanza bro but naona kua sitofika ninapoitaji ila thanks kwakuzidi kutupa nguvu yavitu tunavyo vifanza god bless you bro!!
Shelangwa Alex mapambano huwa hayakomi usikubali kukata tamaa
nataka nifanye biashra ndugu yangu niambie nifanyaje
Nashukur Sana kiongozi.......nakubali Sana uwezo ulionao...... Na products unazotoa.
Simon Fredy ahsante sana Simon,tuendelee kujifunza na kushare na wengine
Joel Nanauka nina muda wa siku mbili toka nianze kukusikiliza brother .....Lakin contents nilizopata ni kubwa Sana kiasi Kwamba najiuliza nilikua wap kabla kupata chakula cha ubongo kama hiki......yawezekana nisingekuwa hapa nilipo licha ya kuwa msomaji wa vitabu....Lakin pia sitak nijutie yaliyopita ila nafurah kupata mwongozo mpya....nashukur Sana.
Mpaka sasa watu nilioshare nao kazi zako wanaenjoy sana.......nitashare na wengine wengi zaidi kuhakikisha kazi zako zinawafikia.... Ahsante pia.
Simon Fredy nashukuru sana kwa kushare na wengine tuendelee kujifunza zaidi
Kujiamini bado
Asante Kaka lkn mm Nina passion yang ambayo n upishi n Nina mpang w kufungua bekar 2023 kw xx nasom chuo huku natafut mtajiil cjui nawezaje kuaminik
Asante
nafanya kazi y ufugaj kuku wa kizungu
ila passion yang ni kufungua duka nitagungua mwz 10
karibu
Nimekupata mi napenda sana akina kaka wengi ni rafiki zangu huwa sielewani na akina dada kwa hivo nimelipata funzo lako
sheillah chisika umetisha,naamini ukipata wazo lako la biashara utanitaarifu pia
Joel Nanauka Nitakutarifu kwa sababu penda xana darasa lako
jinsi gani unaweza kuwafikia wateja ili kuweza kununua bidhaa au kutumia huduma yako
I'm really interested to start b/s bt the only problems not kuwa how Will I start the business (hardware)it's challenge to me nipe ushauri
Jamaniiii mbon ulitunyima namba yako kwaniniiiiii
Uwe unaanza ata na salam basi
Brother mm apa naomba unisadie jambo la tatu kati ayo ulosiosema nakuomba Mungu abarik kaz yako unayofanya
Mimi nimekutwa ninapassion ya kufanya biashara ila niko natafuta nii
Nitajuaje passion yangu?
Mimi bado sijaweza kuondoa aibu katika kile nn inacho kiweza yaani katika talent yangu
niko HS right now but napenda sana siku 1 nije kuwa kama wewe bro Joel dats why am tryna the best i can to stir up ma potential, can yo be ma mentor bro?.....all the way up from Mbeya City
Keep it up utafanikiwa na utafikia tena unaweza hata kufanya makubwa zaidi ya ninayofanya \...Kila la kheri tuendelee kujifunza
Joel Nanauka Thank you so much brother
Alaa kumbe
Nashukuru xna brow me kuhusu passion yangu naifahamu vzr na pia najiamin kuwa na weza kufanya kile nikipendacho na nikafaniiwa japo kwa nilipo asaiv sio passion yangu nipo 2 kwa kutafuta mtaji wangu kisha nifanye kile nipendacho na ninacho amin kuwa naweza pia kufanikiwa kwa hicho
Joel shukrani kwa somo zuri na mungu akubariki
in three things natakiwa niifanyie kazi 2 ,kuongeza kujiamini Jataka Huduma ninayoitoa.
Joe Nanauka naomba uwa broke hao wanne walio dislike👎 hii video
Ahsant
Naitaji san mawzo yko kwenye biashara yagu y maua maan ninamtaji mkubwa san wa wateja wanao hitaji bidhaa yangu ya maua! Plz bro
Kaka Joel kikweli Mimi nilkua nafanya b 2:08
mimi ni mfanya biashara mdogo wa duka lavyakula ila nina wazo ifikapo mwixho wa mwaka 2018 niwe ninaza na duka la cement na niwenaweka na tofali sasa naomba ushauli kutoka kwako plz
nataka kuaza biashala
J mimi nifundi na nina kiduka changu cha spare ila sioni faida zaidi pesa nyingi naoja inaishia kwenye matumizi nifanye nini ili nikuze biashara yangu kwa kidogo nacho kipata
Bado sijajua sana passion yangu ni ipi, maana katika vingi ninavyovipenda sijui kipi ni top of all , yaani nikijua hapo tu ,kwingine ni rahisi kwendelea , Help me here first
kaka kuna biashara naipenda sana ila inakua na vikwanza kila ninapo anza kuifanya kwa sasa nafanya kazi amby siipendi lkn imenifanya nikajenga nyumba na naifanya mpk sasa lkn ninacho kipenda bado nataman kuifanya sijui nifanyaje
Bro how can i contact you in persal?
passion yangu ata siijuagi kwakweli
Endelea kujifunza na hivi karibuni nitaweka video ya namna ya kujua passion yako utajifunza zaidi.
Joel Nanauka Thenks sana kaka
Joel Nanauka kweli hata mimi huwa napenda kujua passion yangu lakin cfahamu
Joel nanauka,mm napenda kufanya biashara lkn mtaji wangu nimdogo sana nifanyeje?naomba ushauri wako mkuu.
Mm nahitaji kuanza biashara ila sijiamini
Nafanya biashara ya kuuza mbao lakin nimefel baada ya mwenzangu aliyekuwa tunaaminia kutoniamin tena, nifanyeje ili nirudi tena kuuza mbao mana biashara hii naipenda san ndg naomba ushaur 0766374964
Joel, kuna mtu hajui passion yake ni ipi!!,
Unamsaidiaje kufahamu passion yake??
kaka mm pansion mm sina kwenye biashara ninayoifanya
Joel unisaidie namna ya kuweza kuongea na wateja kuwa na confidence
mimi ni mmiliki wa Power film Entertainment company, naitaji kufanya movimoja na wewe na kuomba tuwasiliane na ili ufike ofisini kwangu tufanye kazi pamoja .0762 099 049
Naitaji kitabu kaka nip tabora 0688418424
Mimi nataka kufanya biashara ndogo ndogo
mimi ni mfanya biashara mdogo wa duka lavyakula ila nina wazo ifikapo mwixho wa mwaka 2018 niwe ninaza na duka la cement na niwenaweka na tofali sasa naomba ushauli kutoka kwako plz