Maeneo Manne ( 4 ) Ambayo Pesa Imejificha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 06. 2018
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 244

  • @ThomasBoniface-to3jg
    @ThomasBoniface-to3jg Před rokem

    Asante sana kaka, naomba unisaidie namna ya kuipata mauzo zaidi katika biashara zangu

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 Před 6 lety +17

    Asante sana Mwalimu wangu unaenipa elimu muhimu duniani na ninamabadiliko makubwa Sana'a katika maisha yangu.
    4. NETWORK nilikuwa sijui kama ni kitu muhimu ila Jana nilimshirikisha MTU wazo na amelikubali na kunipa mawazo zaidi pia asubui hii naenda kukutana na mtu ambaye nilikuwa natamani kuonana nae anisaidie baadhi ya mawazo . Ambaye nimeunganishwa Jana tuu baada ya kushikisha WATU wakaribu.
    Asante nafatilia sana masomo yako,
    Unanifunza Sana'a.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +3

      wow huu ni ushuhuda mkubwa sana,hongera sana kwa kuchukua hatua.Naamini utafanikiwa zaidi.Kila la kheri

    • @justinmmbando5386
      @justinmmbando5386 Před 6 lety +1

      Joel Nanauka Asante na sasa hivi Nina uwezo wakupata kipato kidogo kwa siku nilikuwa naumia sana kukosa pesa ya semina ila kuanzia sasa utaniona kiti cha mbele kabisa kwenye semina zako pia na za kaka Luvanda.

    • @dicksongaudence7522
      @dicksongaudence7522 Před 5 lety +1

      thanks

  • @raymrash
    @raymrash Před 6 lety +13

    Bro nimeanza kukufuatilia mwezi huuu.....vitu unavyovisema vinabadili mtazamo wangu positively kabisa....may Almight God bless you.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      RAYMOND HENRY ahsnate sana Nashukuru kwa mrejesho wako,tuendelee kujifunza

    • @jacksonmollel5155
      @jacksonmollel5155 Před 5 lety

      ndiyo nimeelewa na nipo vizuri kwa hizo 4 zote

  • @stellahsanga8214
    @stellahsanga8214 Před 5 lety +2

    asante kaka Joel nimekuelewa mimi kwenye upande wa kithubutu Ndio tatizo Yani nakuwa na waswas uoga kwamba hii kazi nitaiweza au biashara ninayotakiwa niianzishe itafika kule ninakotamani kiukweli natamani san kufanikiwa kaka yang jmn na kuikomboa familia yang ...be blessed

    • @erickevarst9589
      @erickevarst9589 Před 11 měsíci +1

      Nunua kitabuchake Cha jinsi ya kuishinda hofu ya kuanza.

  • @lemuyapeter7969
    @lemuyapeter7969 Před 4 lety +1

    I will be following your teachings as from today,mafunzo mazuri unae, you are now becoming my rolmodel Joel nanauka,naona mawazo niliyoyaitaji nayapata kwako tena kwa aslimia 100,kweli utafiti umefanya.mungu azidi kukupanua mawazo zaidi mwalimu Nanauka, Peter Lemuya kutoka Kenya barikiwa.

  • @barakamwangama3453
    @barakamwangama3453 Před 5 lety +10

    Mimi ninakipaji cha kushauri watu au mtu mpaka anafakiwa swali je Ni mazingira Gani naweza kujipatia kipato kwa kutumia kipaji changu au mtu baada ya kufanikiwa ndo akufikilie maranyingi huwa hawatujari.

  • @hammyyombe5229
    @hammyyombe5229 Před 5 lety +1

    Asante nakufuatilia sana Mara kwa Mara na mengi nimevuna Mungu akubariki kwa elimu ya bure

  • @RASHIDIJUMA-sq2mc
    @RASHIDIJUMA-sq2mc Před 11 měsíci

    Nashkur sana Sir.Joel,
    Nazidi kujiamini yakua bado ninayonafasi ya kitu Cha tofauti ktk jamii yangu inayonizunguka Kupitia zako Mbalimbali. Hongera sana!!sana!!sana!!, Ubarikiwe mno! Watanzania tunaokufatilia Tunakupenda sana na Maombi twakuombea. Mungu akutimizie ktk yale yote unayohitajia kwa Wakati na Muda sahihi. Ahsante 🙏

  • @immanueupiro7519
    @immanueupiro7519 Před rokem

    Asante kwa somo nzuri

  • @godfreyjameskabogo9823

    Asante sana brother ni mwalimu kwangu

  • @EVARITAELIAS-wm1jw
    @EVARITAELIAS-wm1jw Před rokem

    Nakuelewa Sana Kaka, Mungu akupe miaka mingii, watu wengi wafaidi mafunzo yako mazurii, your blessed

  • @charlesmtaki5364
    @charlesmtaki5364 Před rokem

    Najifunza vingi sana kutoka kwako bigup kaka

  • @israelmwanri9412
    @israelmwanri9412 Před 5 lety

    Sijawai kuwaza kutafuta pesa from that point of view, You are highly blessed man of God.

  • @ngonyanijames2432
    @ngonyanijames2432 Před 5 lety

    asante sana kk kwa elimu nzuri unayotupatia .....umekua kioo na chanzo cha mabadiliko ya watu wengi hususani vjana mungu akubaliki sana

  • @salomelazaro222
    @salomelazaro222 Před 5 lety

    Kaka Joel.... Ww ni zaidi ya mwl kwangu.... Kuptia ww naishi maisha mengne sasa ...natamani sana kukiishi kila unachonifunrisha...... Ubarikiwe jole

  • @modestmzumbwe588
    @modestmzumbwe588 Před 6 lety

    Mungu akubariki kwa elimu nzuri. ningependa nipate mawasiliano yako

  • @mshindivictor1690
    @mshindivictor1690 Před 5 lety

    Sijawahijuta kukufahamu hakika. Many thanks my brother

  • @mahirmahir9257
    @mahirmahir9257 Před 5 lety +6

    Hongera sana bro
    Ila Mi huwa najiuliza hawa ambao wa dislike video zako ni watu wa aina gan ?
    Maana unajitahidi kuzungumza vitu ambavyo vinaendana na uhalisia wa maisha na vyenye faida kubwa sana kwa wazingatiaji.
    Kwa mtazamo wangu Hao wanaweza wakawa ni (dream killers & wenye chuki)
    Pongezi kwako bro
    Mungu akuzidishie
    Juhudi zako zinaonekana

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 Před 5 lety +1

    Kaka joel hongera sana na mungu akubariki kaka najifunza kutoka kwako hope nitafanikiwa soon

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 Před 4 lety

    Asante sana kk ..naamin baada ya miaka mitano nitakuwa mtu mkubwa ...na natamn nije nistaafu kabla ya kustafishwa naamn i cn fo smthng in my ...nina elm y kdt ch nne sitamn kabisa kuongeza elimu nawaza nikienda kusoma nisome ujasiliamali sijui niko write or ....ushaur wko kk niko kigoma kitabu cha timiza malengo nakipataje....

  • @astonelieza8375
    @astonelieza8375 Před 4 lety

    Nimeipenda sana njia ya pili.. kubadl changamoto kuwa fursa thank Joel Nanauka

  • @lynusjacob8727
    @lynusjacob8727 Před 6 lety

    kila wazo ukilifanyia kazi lazm utatoboa mb hazijaenda bure shukran sn mwongozo wangu

  • @michaelassam5789
    @michaelassam5789 Před 6 lety +4

    Opportunity lies within challenges/needs .
    Thanks broo for letting me know that.

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c Před 6 lety

    asante kwa somo zur ikifika tz nitajitahid kulifanyia kaz wazo langu na mtaji sina itajulikan

  • @j4vituko213
    @j4vituko213 Před 2 lety

    Excellent brother

  • @esterlyatuu9263
    @esterlyatuu9263 Před 6 lety +2

    thank bro kwa somo kwa zuri je nawezaje kupata capital

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      wazo,watu unaowafahamu,ujuzi ni mitaji pia sio pesa peke yake.Angalia ulichonacho na anza kidogo

  • @zahiriallymsati9672
    @zahiriallymsati9672 Před 4 lety

    Dah allow nimekuelewa broo

  • @enoshmukama4783
    @enoshmukama4783 Před 10 měsíci

    Napenda kutumia njia hii kwa sababu ndio njia lahisi kujiona sehemu yoyote matatizo ya watu

  • @raymondmwambete2330
    @raymondmwambete2330 Před 6 lety +1

    You are inspiring me a lot, i wish more people could bother both watching and listening to your presentations.

    • @gvasjackson6013
      @gvasjackson6013 Před rokem

      nataka kujua kipaji changu kinavyo weza kuniingizia pesa

  • @user-rg7su5hc8x
    @user-rg7su5hc8x Před rokem

    Wazo langu nimewaza kuanzisha biashara ya miamala ya pesa na nimeanza hatua za awali na nakuomba Mungu anisaidie❤ 3:38

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Před 6 lety

    Ubarikiwe kaka nakuwa mwepesi nikikusikiliza👏👏👏👏

  • @user-cx5zi1tw1d
    @user-cx5zi1tw1d Před 6 lety

    du nimependa sana mawazo yako yame nifanya ni ng'ale zaidi nami nakuombea kwamungu azidi kikupa afya njema uzidi kutufundisha zaidi na zaid

  • @mkanakamkanaka8765
    @mkanakamkanaka8765 Před 4 lety

    Asante sana bro kwa darasa

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Před 4 měsíci

    Thank u brother ❤❤

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Před 6 lety +2

    asante sana mwalimu wangu
    mnzuri

  • @shacool9627
    @shacool9627 Před 6 lety +3

    Shukran sana Mr JOEL.
    your student from Uganda.
    tatizo langu ninalo ni capital tuu.

    • @stellaonmwangabulap6272
      @stellaonmwangabulap6272 Před 6 lety +1

      Asant kwa somo zuri mm tatizo nililonalo ni kwenye matumizi ya pesa ya biashara sijui nifanyeje

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      You are welcome,jaribu kuanza na kile kilichopo ndani ya uwezo wako kwa sasa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Hongera kwa kuitambua,tafuta video niliyoeleza mbinu za kupanga bajeti(50/30/20) na ile ya mambo 3 yanayoua biashara,kuna vitu utavipata

    • @mantaofficial1603
      @mantaofficial1603 Před 5 lety

      @@joelnanauka ubarikiwe sana kwa kile unachofaanya naishan mwa watu

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 Před 4 lety

    Naomba kutambua au kupata elimu namna ya kutumia netwrk ktk biashara...thnx brother

  • @ladslausntandu7172
    @ladslausntandu7172 Před 6 lety

    waoooooh Mr NAnauka umejaliwa TALENT njema sana nimekupenda sana naomba tafadhali.

  • @sulimemsigwa9048
    @sulimemsigwa9048 Před 2 lety

    Asante sana joelnanauka

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 Před 6 lety

    asantee San kak Joel Arthur nanauka mung akubariki San

  • @jackilineseleman2602
    @jackilineseleman2602 Před 3 lety

    brooo uko vzr sana I uplishert u,,,,!!!!

  • @elfridajraphael2611
    @elfridajraphael2611 Před 5 lety

    nice sana kaka naendelea kujifunza kupitia clip hizi...mwaka huu nataka kufanya maamuzi magumu kwa kweli, mshahara wa kuajiriwa umekuwa kilema kwangu...nashindwa hata kujiongeza kwa lolote

  • @emmanuelmadata8089
    @emmanuelmadata8089 Před 3 lety

    Asante Kaka...

  • @kesiahkyando4774
    @kesiahkyando4774 Před 11 měsíci

    Thanks very much

  • @graceshirima601
    @graceshirima601 Před 6 lety

    asante kwa ujumbe kaka ubarikiwe

  • @nitunda
    @nitunda Před 6 lety +1

    Asante sana na ku fwatiliya nikiwa inchini china pia nina plan ambazo nina pangiliya ku zifanya na wewe kama uki nikubaliya!

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      Karibu sana,tuwasiliane kwa watsapp 0743868507.

  • @obadiachristopher3723
    @obadiachristopher3723 Před 2 lety

    Asante broo

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 Před 6 lety

    asante kaka joel somo nzuri

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 6 lety +1

    You are the best

  • @mirajimtumwa6700
    @mirajimtumwa6700 Před 5 lety

    Kaka mungu azidi kukupa hekima Zaid,unatutoa ujinga,,nakufuatilia sana

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 6 lety +1

    Thankx sir

  • @barakasylvester83
    @barakasylvester83 Před 6 lety

    Safi sana kaka nimejifunza kitu.

  • @eliasisaya9273
    @eliasisaya9273 Před 6 lety

    OK kaka najifunza sana mambo mazuri

  • @beatricechristopher4302
    @beatricechristopher4302 Před 6 lety +7

    Nakupenda sana kaka Joel Nanauka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      Ahsante sana beatrice,tuendelee kujifunza,nashukuru kwa kufuatilia,nakupenda pia

  • @priscilerehemasongolo7233

    Asante sana mwl

  • @mwajumajuma4876
    @mwajumajuma4876 Před 5 lety

    thank u bro

  • @saidinurdin9361
    @saidinurdin9361 Před rokem

    Nataka kutumia njia ya watu walionizunguka najua ni ngum kwa sababu kumfanya mtu awekeze ndani yako sio vyepesi lkn naamin ataniamini tu inshallah

  • @zahiriallymsati9672
    @zahiriallymsati9672 Před 4 lety

    Napenda Sanaa kutumia kipaji na biashara

  • @safiasalmini1690
    @safiasalmini1690 Před 6 lety

    your the best nanauka,

  • @normanmapesa7266
    @normanmapesa7266 Před 2 lety

    SIJUI ULIKUWA WAPI MAISHA YANGU YOTE BRO, GOOD ONE.

  • @joharijuma8667
    @joharijuma8667 Před 6 lety +2

    Mimi kipaji changu kwakweli ni biashara tangu nimelijua hilo nimefanikiwa Sana kuingiza pesa na pia nimepata vijana wengi sana wanatamani niwaelekeze na ndipo ninapogundua kipaji changu ni biashara asante Joel sitochoka kujifunza kwako na kukufatilia kila siku nitakufatilia ili nijifunze kwako zaidi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety

      Hongera sana Johari,na safi sana kuwasaidia wengine.Tuendelee kujifunza

  • @mloweapple8678
    @mloweapple8678 Před 8 měsíci

    Shukraniii

  • @philimonimbota4230
    @philimonimbota4230 Před 6 lety

    Du,aisee nimekuelewa sana.mm nimezungukwa na matatizo sana.

  • @gracemundeba7335
    @gracemundeba7335 Před 2 lety

    bless San bro

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 Před 6 lety

    barikiwa mnoo broh

  • @edwinmtawa563
    @edwinmtawa563 Před 2 lety

    Ahsante kaka

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 Před 6 lety +2

    umesema ukweli mm mji ninao ishi kuna mtaa ulikua hauna huduma ya mpesa nikaamua kuwekeza kwenye hilo eneo nampaka sasa nafanya kazi kubwa sana maana niliwasogezea

  • @meckiemillz7348
    @meckiemillz7348 Před 6 lety +3

    my network my networth. asante sana

  • @GodWithUs_GodVoice
    @GodWithUs_GodVoice Před 5 lety

    Nimekuelewa sana kaka

  • @barakapascal5896
    @barakapascal5896 Před rokem

    Me nimekuelewa sana ndg , ninakipaji cha kuimba lakn nashindwa kuelewa ni vp nashindwa kufanya jambo na niko na uwezo wakuimba ...

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 Před 6 lety

    Kupitia matitizo it worked

  • @mkundemfinanga2150
    @mkundemfinanga2150 Před 2 lety

    Hongera sana

  • @rayuunassor9898
    @rayuunassor9898 Před 6 lety

    Nikweli kabisa ni 💯 %unachokiongea mimi ni mmoja ambae nimetumia kipaji changu na nashukuru kimegeuka kuwa ni fedha nashukuru sana leo nilipoisikia hii clip nimwcheka sana ni km inanipongeza kiasi fulana shukran kwa muongozo naamini ni wengi watakao faidika sana kupitia mafundisho unayotupa shukran sana

  • @tanescokinyerezi2901
    @tanescokinyerezi2901 Před 6 lety

    tatizo la magonjwa yasiyo ya kuambukiza yamekuwa changamoto sana kwa watanzania na Dunia nzima kwa ujumla mi ningependa nianze hi changamoto kuwa saidia watanzania wenzangu kwa kuwapatia tiba lishe ili kurudisha afya zao ktk Hali ilio njema na wakafurahahia maisha

  • @goldenfoot1102
    @goldenfoot1102 Před 6 lety

    Somo zuri hongera

  • @yugsondavid3519
    @yugsondavid3519 Před 4 lety

    Good job broo joel

  • @busyf7193
    @busyf7193 Před 6 lety

    We jaama Basi tuu mola akuzidishie

  • @evanestory3711
    @evanestory3711 Před 6 lety

    Asante sana kaka Joel nimepata kitu kipya sana ambacho kitanitoa hapa nilipo nihamie upande mwingine ,kumbe fedha imejificha kwenye mawazo,matatizo ,na kwenye vipaji tulivyo navyo.shida yangu ni uwoga wa kuanza kufanya chochote.nishauri nifanyeje kuondokana na uwoga?

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 Před 5 lety

    big up sn bro

  • @monamzonge1398
    @monamzonge1398 Před 4 lety

    Asante sana

  • @albertoarcangel5859
    @albertoarcangel5859 Před 5 lety

    Somo zuri kaka

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 6 lety +2

    Nakupata sana kutoka Washington DC kila wakati

  • @emmanuelsasimalenga1384

    I'm steady according to ur lesson.

  • @elphazdaud1266
    @elphazdaud1266 Před 2 lety

    Kwa mm nitapenda kutumia njia ya mawazo au idea pamoja na kutatua matatzo yaliyopo katika jamii yangu

  • @saidhabib6437
    @saidhabib6437 Před 5 lety

    So big up

  • @mussajohn1362
    @mussajohn1362 Před 3 lety

    Super

  • @rajabumzuwanda7505
    @rajabumzuwanda7505 Před 5 lety

    Safi wazo na matatizo ya jamii iliyonizunguka

  • @DotoSanga
    @DotoSanga Před 2 měsíci

    We upo kwel

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Před 5 lety

    I'm going to the top

  • @oswaldexsupery7639
    @oswaldexsupery7639 Před 4 lety

    Mtandao wangu

  • @cvanocharles6001
    @cvanocharles6001 Před 6 lety

    Tangu nilipoanza kufunzwa na kaka Joel Nanauka sijawahi pata hasara ya Mb zangu ila ni faida lukuki na naelekea kutoboa maisha Kaka Joel ubarikiwe na Mungu maana kipaji chako nasi tunanufaika

  • @mwelamalibila8988
    @mwelamalibila8988 Před 5 lety

    Matatizo ya kijamii,, ni fursa kubwa sana

  • @kevinalfredythebrainyprobl8925

    Well done

  • @jaffarsaleh5109
    @jaffarsaleh5109 Před 4 lety

    Nice lecture

  • @mketoofficial1740
    @mketoofficial1740 Před rokem

    Naweza kutumia kipaji changu cha ualimu

  • @othmanissa8680
    @othmanissa8680 Před 6 lety +2

    Awali ni yote Asante sana kaka, pili maeneo yangu kuna tatizo la watu kukosa mahali pa kutupa takataka sasa sijui nianze wapi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      Yaani wewe umeshagundua tatizo,fanya uchunguzi unavyoweza kutengeneza sululuhisho la kukupa pesa.

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 Před 6 lety +2

      Tafuta bajaji kama una mtaji au mkokoteni

    • @deogratiashaule2649
      @deogratiashaule2649 Před 5 lety

      Udumu

  • @mariammasatu4785
    @mariammasatu4785 Před 6 lety +2

    Asante sana Mr Joel kwa somo zuri tatizo langu ni mtaji tu lakin wazo ninalo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 6 lety +1

      tafuta unachoweza kuanza kwa kidogo ulichonacho

  • @user-do6yg4fn9q
    @user-do6yg4fn9q Před 5 měsíci

    Mung akulind❤ 2:54

  • @mercykinuthia5695
    @mercykinuthia5695 Před 4 lety

    Kweli kabisaaaa

  • @bizimunguadolphe1973
    @bizimunguadolphe1973 Před 2 lety

    Ukweli 💯