Asante sana Mwalimu wangu unaenipa elimu muhimu duniani na ninamabadiliko makubwa Sana'a katika maisha yangu. 4. NETWORK nilikuwa sijui kama ni kitu muhimu ila Jana nilimshirikisha MTU wazo na amelikubali na kunipa mawazo zaidi pia asubui hii naenda kukutana na mtu ambaye nilikuwa natamani kuonana nae anisaidie baadhi ya mawazo . Ambaye nimeunganishwa Jana tuu baada ya kushikisha WATU wakaribu. Asante nafatilia sana masomo yako, Unanifunza Sana'a.
Joel Nanauka Asante na sasa hivi Nina uwezo wakupata kipato kidogo kwa siku nilikuwa naumia sana kukosa pesa ya semina ila kuanzia sasa utaniona kiti cha mbele kabisa kwenye semina zako pia na za kaka Luvanda.
asante kaka Joel nimekuelewa mimi kwenye upande wa kithubutu Ndio tatizo Yani nakuwa na waswas uoga kwamba hii kazi nitaiweza au biashara ninayotakiwa niianzishe itafika kule ninakotamani kiukweli natamani san kufanikiwa kaka yang jmn na kuikomboa familia yang ...be blessed
I will be following your teachings as from today,mafunzo mazuri unae, you are now becoming my rolmodel Joel nanauka,naona mawazo niliyoyaitaji nayapata kwako tena kwa aslimia 100,kweli utafiti umefanya.mungu azidi kukupanua mawazo zaidi mwalimu Nanauka, Peter Lemuya kutoka Kenya barikiwa.
Mimi ninakipaji cha kushauri watu au mtu mpaka anafakiwa swali je Ni mazingira Gani naweza kujipatia kipato kwa kutumia kipaji changu au mtu baada ya kufanikiwa ndo akufikilie maranyingi huwa hawatujari.
Nashkur sana Sir.Joel, Nazidi kujiamini yakua bado ninayonafasi ya kitu Cha tofauti ktk jamii yangu inayonizunguka Kupitia zako Mbalimbali. Hongera sana!!sana!!sana!!, Ubarikiwe mno! Watanzania tunaokufatilia Tunakupenda sana na Maombi twakuombea. Mungu akutimizie ktk yale yote unayohitajia kwa Wakati na Muda sahihi. Ahsante 🙏
Hongera sana bro Ila Mi huwa najiuliza hawa ambao wa dislike video zako ni watu wa aina gan ? Maana unajitahidi kuzungumza vitu ambavyo vinaendana na uhalisia wa maisha na vyenye faida kubwa sana kwa wazingatiaji. Kwa mtazamo wangu Hao wanaweza wakawa ni (dream killers & wenye chuki) Pongezi kwako bro Mungu akuzidishie Juhudi zako zinaonekana
Asante sana kk ..naamin baada ya miaka mitano nitakuwa mtu mkubwa ...na natamn nije nistaafu kabla ya kustafishwa naamn i cn fo smthng in my ...nina elm y kdt ch nne sitamn kabisa kuongeza elimu nawaza nikienda kusoma nisome ujasiliamali sijui niko write or ....ushaur wko kk niko kigoma kitabu cha timiza malengo nakipataje....
nice sana kaka naendelea kujifunza kupitia clip hizi...mwaka huu nataka kufanya maamuzi magumu kwa kweli, mshahara wa kuajiriwa umekuwa kilema kwangu...nashindwa hata kujiongeza kwa lolote
Mimi kipaji changu kwakweli ni biashara tangu nimelijua hilo nimefanikiwa Sana kuingiza pesa na pia nimepata vijana wengi sana wanatamani niwaelekeze na ndipo ninapogundua kipaji changu ni biashara asante Joel sitochoka kujifunza kwako na kukufatilia kila siku nitakufatilia ili nijifunze kwako zaidi
umesema ukweli mm mji ninao ishi kuna mtaa ulikua hauna huduma ya mpesa nikaamua kuwekeza kwenye hilo eneo nampaka sasa nafanya kazi kubwa sana maana niliwasogezea
Nikweli kabisa ni 💯 %unachokiongea mimi ni mmoja ambae nimetumia kipaji changu na nashukuru kimegeuka kuwa ni fedha nashukuru sana leo nilipoisikia hii clip nimwcheka sana ni km inanipongeza kiasi fulana shukran kwa muongozo naamini ni wengi watakao faidika sana kupitia mafundisho unayotupa shukran sana
tatizo la magonjwa yasiyo ya kuambukiza yamekuwa changamoto sana kwa watanzania na Dunia nzima kwa ujumla mi ningependa nianze hi changamoto kuwa saidia watanzania wenzangu kwa kuwapatia tiba lishe ili kurudisha afya zao ktk Hali ilio njema na wakafurahahia maisha
Asante sana kaka Joel nimepata kitu kipya sana ambacho kitanitoa hapa nilipo nihamie upande mwingine ,kumbe fedha imejificha kwenye mawazo,matatizo ,na kwenye vipaji tulivyo navyo.shida yangu ni uwoga wa kuanza kufanya chochote.nishauri nifanyeje kuondokana na uwoga?
Tangu nilipoanza kufunzwa na kaka Joel Nanauka sijawahi pata hasara ya Mb zangu ila ni faida lukuki na naelekea kutoboa maisha Kaka Joel ubarikiwe na Mungu maana kipaji chako nasi tunanufaika
Asante sana kaka, naomba unisaidie namna ya kuipata mauzo zaidi katika biashara zangu
Asante sana Mwalimu wangu unaenipa elimu muhimu duniani na ninamabadiliko makubwa Sana'a katika maisha yangu.
4. NETWORK nilikuwa sijui kama ni kitu muhimu ila Jana nilimshirikisha MTU wazo na amelikubali na kunipa mawazo zaidi pia asubui hii naenda kukutana na mtu ambaye nilikuwa natamani kuonana nae anisaidie baadhi ya mawazo . Ambaye nimeunganishwa Jana tuu baada ya kushikisha WATU wakaribu.
Asante nafatilia sana masomo yako,
Unanifunza Sana'a.
wow huu ni ushuhuda mkubwa sana,hongera sana kwa kuchukua hatua.Naamini utafanikiwa zaidi.Kila la kheri
Joel Nanauka Asante na sasa hivi Nina uwezo wakupata kipato kidogo kwa siku nilikuwa naumia sana kukosa pesa ya semina ila kuanzia sasa utaniona kiti cha mbele kabisa kwenye semina zako pia na za kaka Luvanda.
thanks
Bro nimeanza kukufuatilia mwezi huuu.....vitu unavyovisema vinabadili mtazamo wangu positively kabisa....may Almight God bless you.
RAYMOND HENRY ahsnate sana Nashukuru kwa mrejesho wako,tuendelee kujifunza
ndiyo nimeelewa na nipo vizuri kwa hizo 4 zote
asante kaka Joel nimekuelewa mimi kwenye upande wa kithubutu Ndio tatizo Yani nakuwa na waswas uoga kwamba hii kazi nitaiweza au biashara ninayotakiwa niianzishe itafika kule ninakotamani kiukweli natamani san kufanikiwa kaka yang jmn na kuikomboa familia yang ...be blessed
Nunua kitabuchake Cha jinsi ya kuishinda hofu ya kuanza.
I will be following your teachings as from today,mafunzo mazuri unae, you are now becoming my rolmodel Joel nanauka,naona mawazo niliyoyaitaji nayapata kwako tena kwa aslimia 100,kweli utafiti umefanya.mungu azidi kukupanua mawazo zaidi mwalimu Nanauka, Peter Lemuya kutoka Kenya barikiwa.
Mimi ninakipaji cha kushauri watu au mtu mpaka anafakiwa swali je Ni mazingira Gani naweza kujipatia kipato kwa kutumia kipaji changu au mtu baada ya kufanikiwa ndo akufikilie maranyingi huwa hawatujari.
Asante nakufuatilia sana Mara kwa Mara na mengi nimevuna Mungu akubariki kwa elimu ya bure
Nashkur sana Sir.Joel,
Nazidi kujiamini yakua bado ninayonafasi ya kitu Cha tofauti ktk jamii yangu inayonizunguka Kupitia zako Mbalimbali. Hongera sana!!sana!!sana!!, Ubarikiwe mno! Watanzania tunaokufatilia Tunakupenda sana na Maombi twakuombea. Mungu akutimizie ktk yale yote unayohitajia kwa Wakati na Muda sahihi. Ahsante 🙏
Asante kwa somo nzuri
Asante sana brother ni mwalimu kwangu
Nakuelewa Sana Kaka, Mungu akupe miaka mingii, watu wengi wafaidi mafunzo yako mazurii, your blessed
Najifunza vingi sana kutoka kwako bigup kaka
Sijawai kuwaza kutafuta pesa from that point of view, You are highly blessed man of God.
asante sana kk kwa elimu nzuri unayotupatia .....umekua kioo na chanzo cha mabadiliko ya watu wengi hususani vjana mungu akubaliki sana
Kaka Joel.... Ww ni zaidi ya mwl kwangu.... Kuptia ww naishi maisha mengne sasa ...natamani sana kukiishi kila unachonifunrisha...... Ubarikiwe jole
Mungu akubariki kwa elimu nzuri. ningependa nipate mawasiliano yako
Sijawahijuta kukufahamu hakika. Many thanks my brother
Hongera sana bro
Ila Mi huwa najiuliza hawa ambao wa dislike video zako ni watu wa aina gan ?
Maana unajitahidi kuzungumza vitu ambavyo vinaendana na uhalisia wa maisha na vyenye faida kubwa sana kwa wazingatiaji.
Kwa mtazamo wangu Hao wanaweza wakawa ni (dream killers & wenye chuki)
Pongezi kwako bro
Mungu akuzidishie
Juhudi zako zinaonekana
Kaka joel hongera sana na mungu akubariki kaka najifunza kutoka kwako hope nitafanikiwa soon
Asante sana kk ..naamin baada ya miaka mitano nitakuwa mtu mkubwa ...na natamn nije nistaafu kabla ya kustafishwa naamn i cn fo smthng in my ...nina elm y kdt ch nne sitamn kabisa kuongeza elimu nawaza nikienda kusoma nisome ujasiliamali sijui niko write or ....ushaur wko kk niko kigoma kitabu cha timiza malengo nakipataje....
Nimeipenda sana njia ya pili.. kubadl changamoto kuwa fursa thank Joel Nanauka
kila wazo ukilifanyia kazi lazm utatoboa mb hazijaenda bure shukran sn mwongozo wangu
Opportunity lies within challenges/needs .
Thanks broo for letting me know that.
asante kwa somo zur ikifika tz nitajitahid kulifanyia kaz wazo langu na mtaji sina itajulikan
Excellent brother
thank bro kwa somo kwa zuri je nawezaje kupata capital
wazo,watu unaowafahamu,ujuzi ni mitaji pia sio pesa peke yake.Angalia ulichonacho na anza kidogo
Dah allow nimekuelewa broo
Napenda kutumia njia hii kwa sababu ndio njia lahisi kujiona sehemu yoyote matatizo ya watu
You are inspiring me a lot, i wish more people could bother both watching and listening to your presentations.
nataka kujua kipaji changu kinavyo weza kuniingizia pesa
Wazo langu nimewaza kuanzisha biashara ya miamala ya pesa na nimeanza hatua za awali na nakuomba Mungu anisaidie❤ 3:38
Ubarikiwe kaka nakuwa mwepesi nikikusikiliza👏👏👏👏
du nimependa sana mawazo yako yame nifanya ni ng'ale zaidi nami nakuombea kwamungu azidi kikupa afya njema uzidi kutufundisha zaidi na zaid
Asante sana bro kwa darasa
Thank u brother ❤❤
asante sana mwalimu wangu
mnzuri
Shukran sana Mr JOEL.
your student from Uganda.
tatizo langu ninalo ni capital tuu.
Asant kwa somo zuri mm tatizo nililonalo ni kwenye matumizi ya pesa ya biashara sijui nifanyeje
You are welcome,jaribu kuanza na kile kilichopo ndani ya uwezo wako kwa sasa
Hongera kwa kuitambua,tafuta video niliyoeleza mbinu za kupanga bajeti(50/30/20) na ile ya mambo 3 yanayoua biashara,kuna vitu utavipata
@@joelnanauka ubarikiwe sana kwa kile unachofaanya naishan mwa watu
Naomba kutambua au kupata elimu namna ya kutumia netwrk ktk biashara...thnx brother
waoooooh Mr NAnauka umejaliwa TALENT njema sana nimekupenda sana naomba tafadhali.
naomba naomba yako ya wassap tafadhali
Asante sana joelnanauka
asantee San kak Joel Arthur nanauka mung akubariki San
brooo uko vzr sana I uplishert u,,,,!!!!
nice sana kaka naendelea kujifunza kupitia clip hizi...mwaka huu nataka kufanya maamuzi magumu kwa kweli, mshahara wa kuajiriwa umekuwa kilema kwangu...nashindwa hata kujiongeza kwa lolote
Asante Kaka...
Thanks very much
asante kwa ujumbe kaka ubarikiwe
Asante sana na ku fwatiliya nikiwa inchini china pia nina plan ambazo nina pangiliya ku zifanya na wewe kama uki nikubaliya!
Karibu sana,tuwasiliane kwa watsapp 0743868507.
Asante broo
asante kaka joel somo nzuri
You are the best
Kaka mungu azidi kukupa hekima Zaid,unatutoa ujinga,,nakufuatilia sana
Thankx sir
Safi sana kaka nimejifunza kitu.
OK kaka najifunza sana mambo mazuri
Nakupenda sana kaka Joel Nanauka
Ahsante sana beatrice,tuendelee kujifunza,nashukuru kwa kufuatilia,nakupenda pia
Asante sana mwl
thank u bro
Nataka kutumia njia ya watu walionizunguka najua ni ngum kwa sababu kumfanya mtu awekeze ndani yako sio vyepesi lkn naamin ataniamini tu inshallah
Napenda Sanaa kutumia kipaji na biashara
your the best nanauka,
SIJUI ULIKUWA WAPI MAISHA YANGU YOTE BRO, GOOD ONE.
Mimi kipaji changu kwakweli ni biashara tangu nimelijua hilo nimefanikiwa Sana kuingiza pesa na pia nimepata vijana wengi sana wanatamani niwaelekeze na ndipo ninapogundua kipaji changu ni biashara asante Joel sitochoka kujifunza kwako na kukufatilia kila siku nitakufatilia ili nijifunze kwako zaidi
Hongera sana Johari,na safi sana kuwasaidia wengine.Tuendelee kujifunza
Shukraniii
Du,aisee nimekuelewa sana.mm nimezungukwa na matatizo sana.
bless San bro
barikiwa mnoo broh
Ahsante kaka
umesema ukweli mm mji ninao ishi kuna mtaa ulikua hauna huduma ya mpesa nikaamua kuwekeza kwenye hilo eneo nampaka sasa nafanya kazi kubwa sana maana niliwasogezea
my network my networth. asante sana
Sure sure
Nimekuelewa sana kaka
Me nimekuelewa sana ndg , ninakipaji cha kuimba lakn nashindwa kuelewa ni vp nashindwa kufanya jambo na niko na uwezo wakuimba ...
Kupitia matitizo it worked
Hongera sana
Nikweli kabisa ni 💯 %unachokiongea mimi ni mmoja ambae nimetumia kipaji changu na nashukuru kimegeuka kuwa ni fedha nashukuru sana leo nilipoisikia hii clip nimwcheka sana ni km inanipongeza kiasi fulana shukran kwa muongozo naamini ni wengi watakao faidika sana kupitia mafundisho unayotupa shukran sana
tatizo la magonjwa yasiyo ya kuambukiza yamekuwa changamoto sana kwa watanzania na Dunia nzima kwa ujumla mi ningependa nianze hi changamoto kuwa saidia watanzania wenzangu kwa kuwapatia tiba lishe ili kurudisha afya zao ktk Hali ilio njema na wakafurahahia maisha
Somo zuri hongera
Good job broo joel
We jaama Basi tuu mola akuzidishie
Asante sana kaka Joel nimepata kitu kipya sana ambacho kitanitoa hapa nilipo nihamie upande mwingine ,kumbe fedha imejificha kwenye mawazo,matatizo ,na kwenye vipaji tulivyo navyo.shida yangu ni uwoga wa kuanza kufanya chochote.nishauri nifanyeje kuondokana na uwoga?
big up sn bro
Asante sana
Somo zuri kaka
Nakupata sana kutoka Washington DC kila wakati
I'm steady according to ur lesson.
Kwa mm nitapenda kutumia njia ya mawazo au idea pamoja na kutatua matatzo yaliyopo katika jamii yangu
So big up
Super
Safi wazo na matatizo ya jamii iliyonizunguka
We upo kwel
I'm going to the top
Mtandao wangu
Tangu nilipoanza kufunzwa na kaka Joel Nanauka sijawahi pata hasara ya Mb zangu ila ni faida lukuki na naelekea kutoboa maisha Kaka Joel ubarikiwe na Mungu maana kipaji chako nasi tunanufaika
Matatizo ya kijamii,, ni fursa kubwa sana
Well done
Nice lecture
Naweza kutumia kipaji changu cha ualimu
Awali ni yote Asante sana kaka, pili maeneo yangu kuna tatizo la watu kukosa mahali pa kutupa takataka sasa sijui nianze wapi
Yaani wewe umeshagundua tatizo,fanya uchunguzi unavyoweza kutengeneza sululuhisho la kukupa pesa.
Tafuta bajaji kama una mtaji au mkokoteni
Udumu
Asante sana Mr Joel kwa somo zuri tatizo langu ni mtaji tu lakin wazo ninalo
tafuta unachoweza kuanza kwa kidogo ulichonacho
Mung akulind❤ 2:54
Kweli kabisaaaa
Ukweli 💯