🔴 LIVE: HOTUBA NZITO YA RAIS SAMIA AWALIPUA WANAOTUKANA KWENYE MIKUTANO YA SIASA, AKEMEA TABIA HII

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2023
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook
  • Zábava

Komentáře • 79

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před 10 měsíci +3

    Hapo kwenye et kutoa elim kuhusu Katiba unatudanganya hiyo ni delaying technique

  • @Koda-ml8wc
    @Koda-ml8wc Před 6 měsíci

    Hongera mama kwa uwongozi wako Mungu akulinde kwa kila baya!Amin

  • @ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt
    @ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt Před 7 měsíci

    Mwenyezi mungu akutangulie.

  • @loyakanuda2521
    @loyakanuda2521 Před 10 měsíci +5

    For the first time mama leo umesimama kama kiongozi,mwalimu,na rais was nchi. Usibadilike , saiti inayo ingia ndani ya moyo wa msikilizaji, songa mbele,

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn Před 8 měsíci

    Mama nashkulu sana kwakumuona mpendwa wetu kipenz cha watanzania Paul makonda

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Před 10 měsíci +1

    I love you Mama Mwenye Enzi Mungu awe pamoja nawe na Taifa la Tanzania

  • @user-zg4uf2sh6x
    @user-zg4uf2sh6x Před 10 měsíci

    Hongera mh Rais Dkt samia

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 Před 10 měsíci +2

    Mama mzee warioba alizunguka tanzania kukusanya maon kuusu katiba nawewe kwenye bunge lakatiba ulikua mwenyewe kiti, Niliis ww ndo utatuvusha kwenye hili ila Nimegundua CCM ikiendelea kuwa madarakan katiba aiwezi kubilishwa.

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před 10 měsíci +2

    Bi mkubwa ushafeli na mtaani HAUKUBALIKI

  • @bryanmagee5681
    @bryanmagee5681 Před 9 měsíci +1

    Je na hao wazungu ninao waona hapo kwenye mkutano nyeti unao hutubiwa na Rais. Mama yetu kiongozi wetu. Ni kina
    Nani wametoka wapi wanafanya nini hapa tanzania mbona kwao hawakalibishi wafrika. Katika mikutano Yao. Mbona hatuna siri za nchi yetu.

  • @barozabwimba3654
    @barozabwimba3654 Před 5 měsíci

    Mama yetu uko vizuri sana ira kuna mama yetu ambae ni hazina ya taifa letu alisema mama uwe makini kuna wanae kuangusha mama ni wanafiki tu,

  • @EnockLema-qv2kf
    @EnockLema-qv2kf Před 10 měsíci +2

    Mmmomonyokooo ganiiii leta KATIBA

  • @stonebullet2796
    @stonebullet2796 Před 10 měsíci +1

    Umeongea sana Kama mcha Mungu na mtu mwenye maadili sana, lakini una huyo Mungu hadhihakiwi. Chunguza matendo yako kwanza.

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Před 10 měsíci +1

    sasa ww uoni AIBU kama uso wa nchi kuongea kwa vigembe!?unatia aibuuu

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před 10 měsíci +1

    Kapatane kwanza na wamasai ngorongoro ndo tutajua kweli wewe ni mcha Mungu kama unavyojinadi. Nimesikiliza hotuba ila kama unapiga majungu tu wapinzani

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Před 10 měsíci +1

    tutaenda hivyo ww ndo unatuamulia tuishi vip?sisi ndo wenye nchi utajionea mwenyewe sisi ndo wenye nchii

  • @sallkazi9319
    @sallkazi9319 Před 10 měsíci

    Mama Asante Leo umesema .Hawa wahuni wa chadema hawajalelewa wamekosa malezi .wahuni chadema kwendeni wahuni wakubwa

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Před 10 měsíci +1

    Amani ya nchi yetu kwanza tunaipenda Tanzania

  • @khadijaadam1531
    @khadijaadam1531 Před 10 měsíci

    Mashaalah Allah azidi kukulinda na kukuongoza hakuna kama mama kazi iyendeleee

  • @edwardelibahat8012
    @edwardelibahat8012 Před 10 měsíci

    Vijembe daa

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před 10 měsíci +2

    Unaongea kwa hekima, lakin swala la ngorongoro na bandari yafikirie upya

  • @gharibgharib6561
    @gharibgharib6561 Před 10 měsíci

    Hongera

  • @DanielReuben-jv7vw
    @DanielReuben-jv7vw Před 10 měsíci

    Mheshimiwa Raisi. Pambana usiyumbishwe nawatu wachache napia kwa hotuba ya leo hatawao wamejua kua hotuba ya hii Niya kizarendo napia wameishiwa sera wanaogerea tu mungu akulinde mheshimiwa Raisi piga kazi tupo pamoja CCM hoyeee

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Před 10 měsíci

    I love you Mama

  • @mohamedmkumbwa
    @mohamedmkumbwa Před 10 měsíci

    Safi sana mama elimu kwanza ya katibaa

  • @user-ek8bh6xb2i
    @user-ek8bh6xb2i Před 10 měsíci

    Hongera mama una hekma nzr

  • @barozabwimba3654
    @barozabwimba3654 Před 5 měsíci

    Mama oyeeeeeeeeee

  • @saidimazengo9934
    @saidimazengo9934 Před 10 měsíci

    Kweli we Dr.samia ni mwanasiasa mzuri sana sio hawa kina mbowe wanataka kuvuruga amani ya nchi

  • @fatmamsallam437
    @fatmamsallam437 Před 10 měsíci

    Heko mama hawakuleka hao Leo umenikosha Sana Sana Allah akulinde eeee akulinde

  • @lucaskelegwa1123
    @lucaskelegwa1123 Před 10 měsíci +1

    Hongera sana mama, hakika wewe Ni mwanademokrasia mahiri Mungu akurinde na akuongezee hekima

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam5906 Před 10 měsíci

    Watu lazima waendelee kutukana Kwa sababu ya mambo ya ovyo yanayoendelea

  • @saidimazengo9934
    @saidimazengo9934 Před 10 měsíci

    Hili la mmomonyoko wa maadili BASATA LINAWAHUSU NYIMBO Na filamu NYINGI HAZINA maadili ya Taz kabisaa

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 10 měsíci

    Ifanywe miaka hamsin sio 25
    Mambo yawe muhim

  • @Shairanikwahay
    @Shairanikwahay Před 4 měsíci

    mama sisi hatuelewi mheshimiwa Rais tunaomba utupunguzie foment katika hospitali hususani wajawazito kukaa foleni unakuta hadi saa nne hakuna daktari basi muda wa kazi Yao tunakuomba fuatilia hadi saa nne hakuna daktari

  • @felixfelix2881
    @felixfelix2881 Před 10 měsíci

    Katiba mpya. Mna matumiz makubwa sana serikal. Tunataka katiba

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 10 měsíci

    Wala hatukutaki ktka 2025

  • @bigmatelephone
    @bigmatelephone Před 10 měsíci

    mama wasikutishe wewe ndio chaguo retu reo nitarara kwa furaha kira siku wao tuu muhacheni rais wetu jamani

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 10 měsíci +1

    Watz hawajui katiba iliyopo. Sasa somo ni kujifunza kwanza huko darasa la kwanza mpaka Kumaliza msingi to sekondari na VETA hawafundishi. Basi kaeni chini mpate mafunzo Ya katiba, baada Ya hapo 3 years later ndiyo tuibadilishe. Ile kazi ya kubadili katiba iliyofanywa na Warioba inamakosa na pesa ilipotea Bure. Sasatulieni mama kashika ilingo. Wanyama pori waache waamishwe waende kokote ni Sawa.

  • @user-xv7ge5so5g
    @user-xv7ge5so5g Před 10 měsíci

    Du maelezo ya raisi yaekwe kwenye kitabu haya maneno sahihi kabisa

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 10 měsíci

    Sisi vijana unao sema vijana hatutaki mifumo hio ya ccm imetuchosha mkiamua kui ibia nchi mna ibatu hapana kusema tukisema mnasema n vichaa

  • @DanielReuben-jv7vw
    @DanielReuben-jv7vw Před 10 měsíci

    Twende naotu maana Kama ulivyo sema wanasema bandari imeuzwa lakini ukiuliza imeuzwa shingapi hawana jibu kiukweli uongozi nimgumu sana lakini mtangulize mungu kwakilakitu unachokifanya mungu Yuko nawewe mheshimiwa Raisi

  • @user-oo3kc2cj8n
    @user-oo3kc2cj8n Před 8 měsíci

    Hatuna mikopo huku tunateseka

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 10 měsíci

    7

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 10 měsíci

    Wewe Mungu anakuona na ujue wewe sio w kwanza kuibia tanza niya jiulize alie kua kablayako yuko wp ? Hicho ndicho ujiulize.

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před 10 měsíci

    Ccm nliapa sitaiacha

  • @rebeccamsami4580
    @rebeccamsami4580 Před 9 měsíci

    Tumechoka sana

  • @umranim5854
    @umranim5854 Před 10 měsíci +1

    Wanazani wakitukana na kubweka kubweka ndio sifa na wajinga wanawasaport Mungu atawashinda Mungu akusimamie mama yetu Mungu awaangamize wenye Shari na nia mbaya na nchi

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 10 měsíci

    Iwekwe sheria kuhusu maadili ya watoto

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 10 měsíci

    Yan wewe samia unajiona Mungu mtusana haya twende itajulikanatu.

  • @umranim5854
    @umranim5854 Před 10 měsíci

    Mama una khekma sana na unaongea point sana achana na wapiga debe bila heshima na adabu yana mbweka kama mbwa Mungu atawashinda

  • @sallkazi9319
    @sallkazi9319 Před 10 měsíci

    Sasa mtu alikuwa dj bilcanas unategemea atakuwa na adabu?

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 10 měsíci

    Tunataka katba mpyaaa tumechoka kubluzya hovyo huku.

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před 10 měsíci

    Wasira!!!

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Před 10 měsíci

    Duuuh

  • @bigmatelephone
    @bigmatelephone Před 10 měsíci

    mama leo nimefurai wape ukweri wao kirasiku wao tuu wao kinanani ktk taifa iri

  • @shamimumkindi6991
    @shamimumkindi6991 Před 10 měsíci

    CCM hatuitaki

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn Před 7 měsíci

    Mama fimbo ya mafisadi kwenye nchi hii.niwasukuma wewe panga masukuma ya nyoshe mafisadi kwenye taifa letu

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 Před 10 měsíci +1

    Mama wewe ni rais ,na katika utendaji weka Ccm pembeni , vitu Kama hivyo teua watu mbalimbali ,wanasiasa wa vyama mbalimbali wawemo kwenye vikosi Kazi , sio watoe maoni Halafu Ccm wapokee ,hapana watachakachua mawazo yetu ,
    Inshu yetu sio chama ,inshu yetu ni uwiano ,
    Uwiano ukiwepo , uwajibikaji utakuwa mkubwa , na sisi wananchi tutaneemeka , Ila uwiano usipokuwapo siasa inakuwa chafu ,na maendeleo yataenda taratibu sana .
    Sisi watanzania Sasa hivi ,tunataka serikali iwekeze kwa wananchi wake ,tuendeshe raslimali zetu wenyewe , Sisi Mungu ametubariki mno , mali zetu nyingi zinaenda nje .kwa sababu serikali yetu haijawekeza kwa wananchi wake vya kutosha ,hivyo kutoa mwanya kwa mabeberu kuchota mali zetu kweli kweli . Mimi mambo ya vyama wala hayapo kichwani mwangu bali , Functions !
    Hawa Wawekezaji ilibidi tuwaite kwa Kazi maalumu kuongeza tija na kwa Mikataba maalumu Kama wabia ,
    Kwa katiba mpya ,mimi Napendekeza mambo madogo sana
    1. Itambue vyama vingi kutoa haki sawa kwa vyama vyote
    2. Sisi ni Tanzania, sio oh bara oh visiwani ,huu ni upumbavu ,hii ni nchi moja , zamani tulifundishwa kwenye siasa primary kuwa Tanzania ina mikoa 25 , Mikoa 20 iko bara ,na 5 iko visiwani yaaani Zanzibar
    Sasa hivi naona Zanzibar kuna rais , hii ni nini ? Zanzibar wekeni utaratibu mzuri , huu sio utaratibu .
    3. Rais kupunguziwa madaraka hapana ,maana rais ndio sura yetu sisi , Ila akienda sivyo ,ajadiliwe na bunge ,
    Rais akitukanwa tumetukanwa sisi wananchi .
    4. Kwenye uchaguzi ,chama kinachoshinda kisichukue wanachama wake tu kuendesha serikali , wachanganye na vyama vingine kuheshimiana , Kama Waziri mkuu .
    Rais awe chama tawala , makamu tawala . Ila waziri mkuu atoke upinzani yaani chama kikuu cha upinzani .
    Makamu wa rais akaishi Zanzibar na awe mzanzibari , na hata kama atatoka bara lakini aende akaishi Zanzibar!
    Kwa tatizo lolote la kiafya kama mzalendo nimeleta tiba asili zenye kanuni ya hali ya juu sana , zinatibu kila ugonjwa, hakuna haja ya kukimbilia kutibiwa nje ya nchi , hii itaongeza nguvu kubwa . na kusongeza uchumi wa nchi
    Cont: +255757577995
    www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 10 měsíci

    Tunataka bandar acha kuimba tarabu wewe na ujue Mungu ana kuona ww tubluze sana wana cnhi Mungu yupo shauli yako.

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 Před 10 měsíci +1

    Utuachie nchi yetu

  • @bigmatelephone
    @bigmatelephone Před 10 měsíci

    ubaya wake nini muhacheni apige kazi tunataka amani

  • @EnockLema-qv2kf
    @EnockLema-qv2kf Před 10 měsíci

    Vp tunataka uache nchi atukuitajiii bnaa CHADEMA wapo atuwatakii

  • @sallkazi9319
    @sallkazi9319 Před 10 měsíci

    Mama Asante Leo umesema .Hawa wahuni wa chadema hawajalelewa wamekosa malezi .wahuni chadema kwendeni wahuni wakubwa

  • @saidimazengo9934
    @saidimazengo9934 Před 10 měsíci

    Hili la mmomonyoko wa maadili BASATA LINAWAHUSU NYIMBO Na filamu NYINGI HAZINA maadili ya Taz kabisaa