🔴 LIVE: HOTUBA NZITO YA RAIS SAMIA AWALIPUA WANAOTUKANA KWENYE MIKUTANO YA SIASA, AKEMEA TABIA HII
Vložit
- čas přidán 10. 09. 2023
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook - Zábava
Hapo kwenye et kutoa elim kuhusu Katiba unatudanganya hiyo ni delaying technique
Hongera mama kwa uwongozi wako Mungu akulinde kwa kila baya!Amin
Mwenyezi mungu akutangulie.
For the first time mama leo umesimama kama kiongozi,mwalimu,na rais was nchi. Usibadilike , saiti inayo ingia ndani ya moyo wa msikilizaji, songa mbele,
Naam.. anatakiwa kuwa hivi nimependa...
😅😅😅 huyu hawekewi dhamana
Huyo ndio Rais wangu super mama! Kazi iendelee!Sauti ya Matumaini
Mama nashkulu sana kwakumuona mpendwa wetu kipenz cha watanzania Paul makonda
I love you Mama Mwenye Enzi Mungu awe pamoja nawe na Taifa la Tanzania
Hongera mh Rais Dkt samia
Mama mzee warioba alizunguka tanzania kukusanya maon kuusu katiba nawewe kwenye bunge lakatiba ulikua mwenyewe kiti, Niliis ww ndo utatuvusha kwenye hili ila Nimegundua CCM ikiendelea kuwa madarakan katiba aiwezi kubilishwa.
Bi mkubwa ushafeli na mtaani HAUKUBALIKI
Je na hao wazungu ninao waona hapo kwenye mkutano nyeti unao hutubiwa na Rais. Mama yetu kiongozi wetu. Ni kina
Nani wametoka wapi wanafanya nini hapa tanzania mbona kwao hawakalibishi wafrika. Katika mikutano Yao. Mbona hatuna siri za nchi yetu.
Mama yetu uko vizuri sana ira kuna mama yetu ambae ni hazina ya taifa letu alisema mama uwe makini kuna wanae kuangusha mama ni wanafiki tu,
Mmmomonyokooo ganiiii leta KATIBA
Umeongea sana Kama mcha Mungu na mtu mwenye maadili sana, lakini una huyo Mungu hadhihakiwi. Chunguza matendo yako kwanza.
sasa ww uoni AIBU kama uso wa nchi kuongea kwa vigembe!?unatia aibuuu
Kapatane kwanza na wamasai ngorongoro ndo tutajua kweli wewe ni mcha Mungu kama unavyojinadi. Nimesikiliza hotuba ila kama unapiga majungu tu wapinzani
tutaenda hivyo ww ndo unatuamulia tuishi vip?sisi ndo wenye nchi utajionea mwenyewe sisi ndo wenye nchii
Mama Asante Leo umesema .Hawa wahuni wa chadema hawajalelewa wamekosa malezi .wahuni chadema kwendeni wahuni wakubwa
Amani ya nchi yetu kwanza tunaipenda Tanzania
Mashaalah Allah azidi kukulinda na kukuongoza hakuna kama mama kazi iyendeleee
Vijembe daa
Unaongea kwa hekima, lakin swala la ngorongoro na bandari yafikirie upya
Huwajui matapeli wanavyoongeaga vizuri mpaka wakutapeli
@@mariamfaicalhassan2890 hahahaaaa! Kweli kabisa
Hongera
Mheshimiwa Raisi. Pambana usiyumbishwe nawatu wachache napia kwa hotuba ya leo hatawao wamejua kua hotuba ya hii Niya kizarendo napia wameishiwa sera wanaogerea tu mungu akulinde mheshimiwa Raisi piga kazi tupo pamoja CCM hoyeee
I love you Mama
Safi sana mama elimu kwanza ya katibaa
Hongera mama una hekma nzr
Mama oyeeeeeeeeee
Kweli we Dr.samia ni mwanasiasa mzuri sana sio hawa kina mbowe wanataka kuvuruga amani ya nchi
Heko mama hawakuleka hao Leo umenikosha Sana Sana Allah akulinde eeee akulinde
Hongera sana mama, hakika wewe Ni mwanademokrasia mahiri Mungu akurinde na akuongezee hekima
Allah akulinde mama na atakulinda inshaallah.
Amin
Watu lazima waendelee kutukana Kwa sababu ya mambo ya ovyo yanayoendelea
Hili la mmomonyoko wa maadili BASATA LINAWAHUSU NYIMBO Na filamu NYINGI HAZINA maadili ya Taz kabisaa
Ifanywe miaka hamsin sio 25
Mambo yawe muhim
mama sisi hatuelewi mheshimiwa Rais tunaomba utupunguzie foment katika hospitali hususani wajawazito kukaa foleni unakuta hadi saa nne hakuna daktari basi muda wa kazi Yao tunakuomba fuatilia hadi saa nne hakuna daktari
Katiba mpya. Mna matumiz makubwa sana serikal. Tunataka katiba
Wala hatukutaki ktka 2025
mama wasikutishe wewe ndio chaguo retu reo nitarara kwa furaha kira siku wao tuu muhacheni rais wetu jamani
Watz hawajui katiba iliyopo. Sasa somo ni kujifunza kwanza huko darasa la kwanza mpaka Kumaliza msingi to sekondari na VETA hawafundishi. Basi kaeni chini mpate mafunzo Ya katiba, baada Ya hapo 3 years later ndiyo tuibadilishe. Ile kazi ya kubadili katiba iliyofanywa na Warioba inamakosa na pesa ilipotea Bure. Sasatulieni mama kashika ilingo. Wanyama pori waache waamishwe waende kokote ni Sawa.
Na huyu alikuwepo kwenye mapendekezo ya katiba
Du maelezo ya raisi yaekwe kwenye kitabu haya maneno sahihi kabisa
Sisi vijana unao sema vijana hatutaki mifumo hio ya ccm imetuchosha mkiamua kui ibia nchi mna ibatu hapana kusema tukisema mnasema n vichaa
Twende naotu maana Kama ulivyo sema wanasema bandari imeuzwa lakini ukiuliza imeuzwa shingapi hawana jibu kiukweli uongozi nimgumu sana lakini mtangulize mungu kwakilakitu unachokifanya mungu Yuko nawewe mheshimiwa Raisi
Tuambie ukomo wa mkataba ni lini ????
Hatuna mikopo huku tunateseka
7
Wewe Mungu anakuona na ujue wewe sio w kwanza kuibia tanza niya jiulize alie kua kablayako yuko wp ? Hicho ndicho ujiulize.
Ccm nliapa sitaiacha
Tumechoka sana
Wanazani wakitukana na kubweka kubweka ndio sifa na wajinga wanawasaport Mungu atawashinda Mungu akusimamie mama yetu Mungu awaangamize wenye Shari na nia mbaya na nchi
Ya wamasai umeyaona kama hayajakufika tulia kimya
Iwekwe sheria kuhusu maadili ya watoto
Yan wewe samia unajiona Mungu mtusana haya twende itajulikanatu.
Mama una khekma sana na unaongea point sana achana na wapiga debe bila heshima na adabu yana mbweka kama mbwa Mungu atawashinda
Sasa mtu alikuwa dj bilcanas unategemea atakuwa na adabu?
Tunataka katba mpyaaa tumechoka kubluzya hovyo huku.
Wasira!!!
Duuuh
mama leo nimefurai wape ukweri wao kirasiku wao tuu wao kinanani ktk taifa iri
CCM hatuitaki
Mama fimbo ya mafisadi kwenye nchi hii.niwasukuma wewe panga masukuma ya nyoshe mafisadi kwenye taifa letu
Mama wewe ni rais ,na katika utendaji weka Ccm pembeni , vitu Kama hivyo teua watu mbalimbali ,wanasiasa wa vyama mbalimbali wawemo kwenye vikosi Kazi , sio watoe maoni Halafu Ccm wapokee ,hapana watachakachua mawazo yetu ,
Inshu yetu sio chama ,inshu yetu ni uwiano ,
Uwiano ukiwepo , uwajibikaji utakuwa mkubwa , na sisi wananchi tutaneemeka , Ila uwiano usipokuwapo siasa inakuwa chafu ,na maendeleo yataenda taratibu sana .
Sisi watanzania Sasa hivi ,tunataka serikali iwekeze kwa wananchi wake ,tuendeshe raslimali zetu wenyewe , Sisi Mungu ametubariki mno , mali zetu nyingi zinaenda nje .kwa sababu serikali yetu haijawekeza kwa wananchi wake vya kutosha ,hivyo kutoa mwanya kwa mabeberu kuchota mali zetu kweli kweli . Mimi mambo ya vyama wala hayapo kichwani mwangu bali , Functions !
Hawa Wawekezaji ilibidi tuwaite kwa Kazi maalumu kuongeza tija na kwa Mikataba maalumu Kama wabia ,
Kwa katiba mpya ,mimi Napendekeza mambo madogo sana
1. Itambue vyama vingi kutoa haki sawa kwa vyama vyote
2. Sisi ni Tanzania, sio oh bara oh visiwani ,huu ni upumbavu ,hii ni nchi moja , zamani tulifundishwa kwenye siasa primary kuwa Tanzania ina mikoa 25 , Mikoa 20 iko bara ,na 5 iko visiwani yaaani Zanzibar
Sasa hivi naona Zanzibar kuna rais , hii ni nini ? Zanzibar wekeni utaratibu mzuri , huu sio utaratibu .
3. Rais kupunguziwa madaraka hapana ,maana rais ndio sura yetu sisi , Ila akienda sivyo ,ajadiliwe na bunge ,
Rais akitukanwa tumetukanwa sisi wananchi .
4. Kwenye uchaguzi ,chama kinachoshinda kisichukue wanachama wake tu kuendesha serikali , wachanganye na vyama vingine kuheshimiana , Kama Waziri mkuu .
Rais awe chama tawala , makamu tawala . Ila waziri mkuu atoke upinzani yaani chama kikuu cha upinzani .
Makamu wa rais akaishi Zanzibar na awe mzanzibari , na hata kama atatoka bara lakini aende akaishi Zanzibar!
Kwa tatizo lolote la kiafya kama mzalendo nimeleta tiba asili zenye kanuni ya hali ya juu sana , zinatibu kila ugonjwa, hakuna haja ya kukimbilia kutibiwa nje ya nchi , hii itaongeza nguvu kubwa . na kusongeza uchumi wa nchi
Cont: +255757577995
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office
Tunataka bandar acha kuimba tarabu wewe na ujue Mungu ana kuona ww tubluze sana wana cnhi Mungu yupo shauli yako.
Tumechoka
Utuachie nchi yetu
Yeye sio nchi yake?
Nchi yenu wewe na nani?
ubaya wake nini muhacheni apige kazi tunataka amani
Amani na vitendo siyo maneno amani labda kwenu kuna umeme
Vp tunataka uache nchi atukuitajiii bnaa CHADEMA wapo atuwatakii
Mama Asante Leo umesema .Hawa wahuni wa chadema hawajalelewa wamekosa malezi .wahuni chadema kwendeni wahuni wakubwa
Hili la mmomonyoko wa maadili BASATA LINAWAHUSU NYIMBO Na filamu NYINGI HAZINA maadili ya Taz kabisaa