MHE. RAIS SAMIA ASHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR
Vložit
- čas přidán 3. 07. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki kongamano la Wanawake wa Kislamu Zanzibar, leo tarehe 05 Julai, 2024. Rais Samia ndie Mgeni Rasmi katika Kongamano hilo linalofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar.
Maa shaa Allah mama..binafsi nakupenda sana..nataman siku moja nikuone live
Mashaallah!!