NJIA 5 ZA KUONGEZA AKILI ZAIDI
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2020
- Njia tano (5) za kuongeza akili zaidi:
Nimekuwa nikizungumza mara nyinghi kuwa mambo mengi kwenye maisha yanahitaji maarifa maalum na kuwa na akili ni moja njia rahisi zaidi ya kufanikisha hilo. Naamini kabisa wengi wetu tungependa kufahamu ni mambo gani yanaweza mtu akawa na akili zaidi akajiongezea akili zaidi ya alivyo sasa. Hili ni somo muhimu sana kwako na hata mtoto wako, jifundishe wewe na ukamfundishe leo hii. Karibu.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Njia5 #Kuongeza #Akili
Thanks bro keep it up
Upo vyema kaka angu mwenyezi Mungu akupe moyo huohuo wa kuzidi kujenga watu
Uko vizuri bro mie sina cha kukupinga cha zaidi ni kukushukuru kwa madini mazuri unayotupa big up sanaaa ila kuna siku ulionyesha kitabu kimoja kinahusiana na mambo ya kampuni na ukaongelea mmeanzisha kampuni ya asali nilikuwa nina shida nacho pia
Asante Kaka Ezden kazi ni kwangu,👊👊👍
Thanks much brother ezden, May God bless you more.
Asante sana Kaka nazidi kuwa na akili nyingi kupitia maneno zako ubalikiwe
جزاك الله خير
Nahitaji,vitabu,nitavipatawapi!?hapadar.
Maashaa Allah.. shukran
Nime Click faster hii video,km mmbea kaona UBUYU.
Nice stuff brother.
Pia brother kuna njia nyingine kama
1.kuuliza maswali
2.kusafiri
3.kukaa na watu waliokuzidi umri
4.kupata usingizi wa kutosha
5.kuhakikisha unapata mlo kamili
Brother hizo ni miongoni mwa ninazofahamu.
Bora hata wewe umeongea point Yaani ya 2, 4 na Ya 5 zote ni point. Huyo brother wako Mbili ndiyo point hiyo ya kusoma vitabu na Kujifunza Vitu vipya zilizobaki ni Pumba tupu.
Maswali ukiuliza uliza ovyo unaboa watu. pili unauliza nini?? Na unamuuliza nani?? Maana waweza kumuuliza kichaa akakuadabisha. Inatakiwa ukae na watu Timam wenye Akili zao. Umri ni Namba. Aweza akawa Mkubwa ila Akili zake ni za kitoto na aweza akawa Mdogo ila Akili zake ni za Kiutu uzima.
Exactly
1.Kufanya ibada
2.Kua naratiba y mambo yk
3.Kufanya Mazoezi
4.MDA wko kutumia vzr
5.Kusikiliza Sana
6.Kuliza maswali
7.kusafiri ndio kuona mengi
8.kujifunza kitu kipya kila siku Every day is a learning day
You're Much appreciated bros!
Nimeamka asubuhi tu na kuangalia hii clip naamini nimejifunza kitu kipya kabisa siku ya Leo barikiwa EZDEN JUMANNE
Asente kaka keep going
Asante kaka ezden ,point no 3👍,readers are leaders! TRUE LEADER FOCUS ON PURPOSE, PASSION,PRINCIPLES,HUMANITY,VISION etc..
Kaka nakukubali sana
Masha allah akhy allah akulipe na akuhifadh
Thanks bro you've enriched my life
Asante bb
Maa shaa Allah kuna eneo Allah akujaalie kufika kwani huko kuna hitajio la watu kama nyinyi Allah akuongoze na atuongoze sote kwa rahma zake uko faswaha sana Allah azidishe nuru ya ufaswaha ktk ufahamu wako sina shaka umenielewa aaamin fasanazidul muhsinin
Ammyn yarabb
Hongera uko vizuri masha Allah
Shukran bro
Keep going my love❤❤
mwanaume kutafuta mademu inakupanua kiakili na kuto kukaa kizembe
I like it!!! Big up ez d J!!!
daah bro unajua sana wasio kupenda wachawi wewe level yako ni "pro" ❤❤❤❤❤❤
mbna mm nikiwa masoma ama kujisomea nawahi kusahau nilicho jifunzza afu natumia mdaa mwingi sana kuelewa nifanye nn
Asante sana tuna fatilia mafunzo yako kwakweli yanatuepusha na msongo wa mawazo
Mr Ezden,,,,you are the best.
Nice looks nice and one more is sticking in your ambitions
Thanks for knowledge
Cool advise love point no3
Asante broo
Kusali pia kuna mfanya mtu hawe smart
Masaha Allah
Asante sana kwakweli nimeelimika sana na kufarijika sana.this education is important than school subjects
Bro big up , najifunza mengi kupitia ww , mungu akutalie akupewepes kwenye kazi zako
God bless you my brother mafundisho yako nayakubli %100
I love your videos bro.. hongera kaka
Mng akupe afya njema bro
Bro edzen unamsaada mkubwa kwangu Allah akujaalie ila itengeneze video ya mda
Safi sana
Nimekwelewa sana brother God bless you
Thanks much brother
Nakukubar san mzeeeee
Wow thanks bro
Asante sana barikiwa mno kwa point
Thanks
Thanks brother
Asante nimejifunza sana
Bro''nime kubali ushauri wako endelea ivo Allah Ata kulipa
Nice brother may God bless you
Shukrani sana kaka Ezden
Thanks a lot I learn more today
great content 👍
tunafatilia kila video
Thank you genius 🙏🙏
Asante kwa mafunzo.
Sasa ina ni bidi niya tendeshe
Kwanzia léo
Mashallah Mashallah
Nabalikiwa sana na mafundisho yako bro mungu akubariki kipekee sana
Guy am so interesting with your subject
Thanks so much
Just stumbled on this and l like it
Asante sana.
All the best brow
Your so amazing thanks , Nina swali kwann mwili huwa unachoka kwa kukaa tu bila kushughulish
Thanks a lot
M.mungu akubariki sana
Tunastafidi sana
Asante mungu akuzidishie masiku
Asante sana
Uko vizuri TICHA una vituko asee mwenzio nahitaji mkaliwoman wala siyo mkaliman: 😂
Asante
Barikiwa kwa SoMo zuri mtu wa mungu.
Yoh I like u broh✌️😅
Shukrani sana.......
God bless you and God to protect you❤😊🎉
You forgot one important thing. In order for the brain to function well, you need to eat well especially to the young ones who they brain are still developing. You can't learn something new while you are hungry., It doesn't work.
Thanx
MASHALLAH VZR SANA
Shukrani jazzaka
Thanks brother nitarudia kuangalia hii video"the secret is in repetition "
Kaka asante nilijua tunazaliwa na akili zetu
Asante sana kaka
That's great bro i learn something new and to be creative well done😍
Nice
Yah men... I wanna be smarter too
Perfect
Nabarikiwa sana
Asante kwa somo zuri
Njia nyingine ya kuwa more smart Ni kumtegemea Mungu .coz Creator knows better than the product
Nakubali. Bro
Binafsi naamini sana katika kusoma .... nimejifunza mengi kupitia maandishi ya watu na yamenisaidia kujitambua na wakati mwingine kutatua changamoto mbalimbali ninazokutana nazo.
Hongereni sana
Safi sana kaka mungu akubariki
Ahsante kaka
Daaah mm ni mvivu wa kusoma vitabu ila ntajitahidi aiseee, but on addition utupe majina ya vitabu vya kutujenga akili na kuweza kutatua matatizo ya kijamii
Jumanne asalla mwalaiku nimependa sana ushauriwako nahitaja vitabu nitavipataje
Kaka umefanya nimefurahi et, vile unong'one et "wewe ezden utaishi miaka 50 kamili duh, et uskute ndoivo babake"
Hahahaaaa huwezi jua
Nice bro
Very true,👏
Ahsante sana broo nimegain kitu k
napenda vipind vyoko from burundi
Naomba number yako ya whatsapp
Ahsante kaka hakika najifunza mengi kupitia wewe