Hali ya Kiuchumi kwa Mzee Yusuph Yabadilika Sana Kutokana na Dini.
Vložit
- čas přidán 28. 05. 2017
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
barakallahu fik mini pia nilikuwa mwanamźiki na napenda Sana mziki Lakin alhamdulillah nimeacha kwa ajili ya dini yang muziki ni haramu na allah Ndio mpaji allah AKBAR !!
mwenyezi Mungu akujaalie kipato cha halali na akuzidishie imani zaidi
maashallah I salute you man
Allah akuzidishie hidaya kwa vile umejihidi na ushauri wangu usiimbe kasida toka ktk makundi ya fisabililah na ushikamane na madarsa basi
Napenda nyimbo zako sana Mzee Yusuf and naamini this change is a calling from God. Mungu akupe strength ya kusimama na kuifanya kazi yake and may you and your family never lack.
Allah akufanyie wepesi maalim utapata riziki yenye kheri na ww inshaallah!
Mungu yuko pamoja na wenye kusubirri Mungu akupe subira inshallah
ama kweli mwenyezi mungu s.w.t humuongoza atakae,Allah akuzidishie imaan
Siku zote Mwenyezi Mungu ni mwema, hukunyang'anya vya dunia vilivyo haram, na kukupa vilivyo vyake vya halali. Inshaallah
yote hayo nimajaaribu ya Allah anakuangalia utapac au utashindwa. naami kuwa hayo ni maari na pia naamini kunaneema inakujaa utaneemeka kuliko mwanzo. Mubgu anataka upate va halali ndomana kapoteza vote va zamani amavo hakuvifurahi. kuwa nafubra tu
mashallaah Broo mungu akupe ..subraa n akupe nguv kW Kila atuaa ....allaaah ajaaliaa 2...inaallaaa maswabilinaaaaa...
Allah atamtakabalia touba yake na kumbadilishia maovu yake kuwa mema. Ameen
Mungu akupe wepesi baba yang amiin
yaaan wallah ra'adhim brother sema alhamdulillah Allah Kareem omba sana Dua
mungu akupe nguvu na kukupatia ridhiki katika maisha yako na kukusamehe makosa yako umenifundisha
lnshaallah
Neema Josephu ameen
Amin
Neema Josephu amiin
Subhanallah kweli allah humchagua amtakae
Mzee yusuph ameingia katika nuru ya allah
Amakweli analolitaka allah ndo huwa
Yaani kweli hii pepo ni yake mungu na humuingiza amtakae.
shekhe yusufu amshukuru Allah kwa kumbadilisha katika imani take !Hakika mwenyezimungu ni mkubwa sana
wa LLAH raha bora uwe n ALLAH pesa zikiondoka kuwa n subira riziki mtoaji n MOLA hata ukiwa nazo utaziacha hphp kaburin amali zako tu
mashaallah,mungu akuongoze zaidi,usife moyo mungu akujaalie mwisho mwema,umenifunza kitu kikubwa sana.
Masha Allah simama na Allah hakika yy ndo hupeana Rizk
mashaallah m.mungu akuzidishie
Ashukuriwe Mungu aliyekuokoa na alishakusamehe,songa mbele brother!
Allah akulinde na mtiani dunia (Amin )
Allah atujalie mwisho mwema waislaam wote, atushibishe iman katika vifua vyote
Jadida Jadida
Inshaallah
I salute you Mzee Yussuf,ishaallah Allah atakufungulia milango kwengine ili uweze kupata riziki yako ya halali.
wow!!! it's good speech. inshallah mungu akuzidishie apa na ahrah
hongera Sana umejitambua u hai na ALLAH atakuongoza utazoea maisha mazuri haya
Allah akupe ya duniani na akhera.
mungu akupe subira inshallah mungu umuongoza amtakae utafanikiwa tu mtawakali Allah
MashaaLLAH ALLAH azidi kukuhifadhi
Mashaallah
mashaallah uckate tamaa kwani palipo dhuruba kali ndipo palipo njia Allah atakuvusha salama na ramadhali hii inshaallah
Allah awe pamoja na kaka yetu kipenzi
Seif Abdullah Ameen
MashaAllah ...Mungu akupe baraka zaidi na hekma mzee yusuf.Wallahy yataka moyo ulilolifanya kwa ajili ya Allah..najua c rahisi kwa wasanii wengi kuamua hvo ulivoamua kuacha mziki na kufanya ibada.Jazaa yako kwa Allah usivunjike moyo ndugi yangu...dunia mapito.
Amen inshallah Allah akupe wepesi
jazaaka llahu khayra hongera kaka pia kuwa na subra kwa msiba mkubwa inna li llahi wa inna ilayhi raajiuun
maashaallah mungu atakupa wepesi
mungu akupe nguvu na kukupatia ridhiki katika maisha yako na kukusamehe makosa yako nimekupenda sana na nimejigunza mengi lazima nyote vipotee ili mungu ajuei kweli uko tayar kupanda safar yake ya misuko suko mingi hayo ni .ajalibu utapata zaid ya Mali Dha mwanzo
Mungu atakujaalia inshaallah
mwenye amjaalie yusufu aweze kuilinda imani yake wala asiteteleke. na maisha !zahoro magera wa msimmba SUNUKA kigoma
mashallah mungu mkubwa hakuna zaidi ya Allah
Am happy for that no matter what mzee yusuf big up
inshallah allah akupe za kheri na halali chochote ambacho hakifurahishi allah huwa na wasiwasi mno good luck kwa mafundisho mwema.
Allah atujaze iman katika vifua vyetu
alhamdu lillah hakuna kisichowezekana mbele ya Allah
Allah akuzidishie hekma
masha Allah mungu atakupa za khalali zenye kheri ishallah
ni mitihan ya mungu Allah anakupima uctetereke.
eddy Eddy
Allhamdulilah Allah akutie nguvu katika msimamo wako @Mzee_yusufu
mungu akupe wepes
Maashallah hakika mungu ni mwemaa
muuza gongo ana hatia lakini wanawe hawalali njaa wala kukosa karo.Mungu hukataza maaswia kwa sababu ya mashadhra yake ya baadae msiishi karne za zama za ujinga limbukeni
Ma shaa Allah TabarakAllah❤....
Allah atakuhifadhi mzee yusu atakupa afya na rizki booora nzuri na safi yenye barka kuliko ile, aaamin.
Thank you for your message mullah messagea e barcshada whata patey mashey sechooo
Allah akupe maisha mazuri na aman daima
allah akuongoe usirud nyuma kaka angu, allah tayr amekuonesha hakki
ni maamuz sahihi mzee Yusuph, hongera kwa kumpa Mungu kipaumbele kuliko maisha, umaarufu wako, Mungu alisema utafuten kwanza utakatifu ambao hakuna mtu atakae muona Mungu asipo kuwa nao, yote yanapita, uko sahihi kabisa
Allah akujaalie kila la kheri tunaambiwa tuombe mwisho mwema
Omary Mwigubbjj
MASHAALLAH Allah atakuongz INSHAALLAH
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika maisha yako,
mashaallah mungu atakusaidia ishaallah
.mambo vip
Mohamed Kisijin
mungu akuongoze inshaAllah
Allah akusamehe dhambi zako na akupe ridhiki ya halali
Alihamdulilai Munguu Akuzidishiye imani zaidiu
Hoomy Alkhatti a
mungu yupo pamoja nawewe
Subhannallah!!!
Asc mzee Yusuf usijali hii Mali ya dunia utaziwacha Haina maana fikiria Akhera yako usijali na uchumi fikiria kaburi Allah anakupenda Sana amekupa a new page in life Anza zero hamna shida kweli Imani unayo usirudi nyuma
mashaallah mwenyez mungu akutie nguvu katika maisha mapya uloyaanza
Masha allaha baraka. Allaha fii
mungu akuzidishie mzee yussu pamoja na waislamu wote duniani
Mungu akupe maisha marefu.
Maasha Allah
Mungu akuhifadhi ndugu yangu huwo ni mtihani na inshallah mungu atakufunguliya inshallah Ameen
mashaallah umenifrasha sana kaka angu kumludia Mumbai wako
Allah amekupenda sana
Allah atupe wepec kwa pamoja haya jaman nawatakia ramadhan karim na makbuli
naskiliza 2 n ku watch. sina mengi y kusema
Murielle Harushamagara nitafute 0655300600
Mungu hakukosea kukupa kipaji, unachotakiwa ni kukitumia vizuri tu na si vinginevyo
m/mungu anakusudizake kaka angu huwenda ungbk muziki mpk sasa usngekuwa na mwsho mwema nadhni sasa Dada angu kipnzi rayla Rashid atkuwa na amani ktk ndoa yenu allah awazidishie lizki na furaha ktk maisha yenu inshaallah
ALlah atakupa wepec in sha allah
Mungu akupe subira
mashaallah mzee
Hongera kwa maamuzi mazito kaka. naamini huo ni mwanzo tu, MASIHI ANA HAJA NA WEWE.
Masha Allah Mola akuzidishie na awaongoze wengine
Ameen yarab
mashaallah tabarakallah
mwanzon sikuafiki kbsa kuacha kwake muziki lkn kwa sasa nime elewa Mungu akujaalie kila lenye kher na baraka. nimejifunza mengi kupitia wewe Mungu awe nawe na kukujaalia kila lenye kher
Amin inshaallah
n mtihan too
in
sha
Allah
wpesi
utapatikana
aw mzee yusuph pole sana kwa msiba ulio pita mungu amraham ampeleke peponi inshaallah mm nimtu wa omani mzaliwa wa tabora
dah mitihani inakuandama mzee yusuph lkn uckate tamaa $pole kwa kufiwa na mke wako 😢😢😢inna lilahi wainna ilayhi rajiuun .
allah ivi ndo mungu au
MaashaAllah yusuph Allah atakupa iliyoriziki yako ya khalali
Maashaallh
Alhamdulillahi Allah asikurudishe ulipo toka Mzee Yusuf
Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu kristo uliyemtuma
HERI WENYE MOYO SAFI MAANA HAO WATAMWONA MUNGU.
Allah kishakufungulia kheri mashaalah... Na ninkhatma njema hiyo kila MTU anaiomba...
Allah atakujaalia kila la kheir insha Allah Almuhimu subra hakuna zaidi ya Allah
Miaka mingapi Allah amekupa neema Sasa acha bro Kama ni Anasheed mashAllah sawa saidia dini Awareness to our youths bila bendi na instrument siunajua sio vyema uliza mashehe vizuri Kisha utajua
hongera bro
goood umeona mbeleeeeeeeeeee
Maashaallah allah atujaalie mwisho mwema.
mashallah mungu akuzidishie