Mzee Wa Upako: Mimi ndiye mchungaji pekee ambaye Watu hata Malofa wakija kwangu wanakuwa matajiri
Vložit
- čas přidán 24. 05. 2018
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
he has wisdom,he knows when to talk,hapa anazungumza na jamii nzima,sio wakristo tu,na wanaomhoji ni wakawaida siyo wakristo gathering
Mzee wa upako huwa ananifurahisha sans
Mi.niulize.hata kama ni.mzee waupako ndo avae pete tofauti na ya arus au haraf chen hizo kama wakina daimon rozali si rozali ila mnisameh dunia ya ss nzito wapendwa wangu
Safi mzee.Very straightforward.
Mzee chenga hyo na wanaokwenda kanisan kwake cjui wanafuata nn kwake mtumishi wa mungu hawi mbinafsi kama hyu dah camini kama kaongea pumba sana
Jamani..njaa.mbaya...sana..alafu..ukiwa.una.dhurumu..vya.masikini..lazma.mungu..atakuraani.tu..huyu..mzee.anapagawa..na..dhurma.anazo.dhurumu..wanyonge..naa.bado..atafika.pabaya.zaidi.mungu.amfichi..mnadiki
Hakika mchungaji uko vizuri sana pia umturivi katika kujibu mungu akubariki sana ghwamyitu ndagha fijho
I love this guy
Team kitwanga naona kautwika kisawasawa.
Dahh, mungu aliweke masiki katika ulimwengu huu ili wawe matajiri katika ulimwengu ujao
Daaaah pole Sana naumia mnooo
Mimi naona mzee Lusekelo yupo sahihi maana Mungu kupitia maandiko matakatifu anasema Fedha na Dhahabu ni mali yake, Naye umpa amtakaye. Kimsingi ni kunyenyekea mbele zake Mungu na kumuomba neema ya umiliki.
Tusiwaseme vibaya watumishi wa Mungu, nani hatukumkataa, nabii Musa nae alika alikataliwa. Fungua moyo wako omba Mungu akuonyeshe, utaona, utamiliki.
Upo vizuri
uko sahihi pastor mwenzangu.
mmmmmmm kazi kweli kweli Jmnn.
Piga kazi Baba Mungu azidi kukubariki.
ambaliki katika lipi?
Kila mtu na upeo wake wa kuelewa aliyeona kaongea vibaya ni yeye kaona hivyo
Safi mzee wa upako
KUFA KIROHO kunachafua MPAKA sura jamani
Mungu hadihakiwi iko siku hayo makongamano mliojaza watu na kuwapeleka jehanamu mtatoa hesabu geukeni mkatubu,
Emmasilla forever kajaze na wewe kama unaona ni rahiz kama umeandikiwa jehanamu utakwenda tu mbona yuda alikwenda moto japo alikula na yesu
Jamani imani ni wajibu wakila mtu but angalieni watu mnaowamini kama wachungaji wenu... huyu sio mchungaji ni mzee mjanja aliyeona fulsa kupitia kanisa...
ferdcoast fundi mchungaji ni kama yupi tuambie plz
ferdcoast fundi Sio mjanja ni mpuuzi anayetumia neno la mungu kujiingizia kipato !
Kweli kbs
Wewe mzee wa upako.
Mbona unaonekana Kama amelewa vile!!toka ameanza kunywa amebadilika kiakili na kimwili pengine na kiroho pia, Mungu amsamehe,
mm naisi mnaye mtukana mzee au kumsema vbaya na wasiwasi na elimu yenu na uelewa wenu akuna dhambi mbaya kama usema uongo sasa kwanini mzee wa watu achume zambi anaongea kitu kilicho moyoni mwake kwa iyo mnataka apende asicho kipenda#@boy hali duni
+boy haliduni lema una akili sana. mimi si muumini wake ila usimuhukumu mtu. Uzuri haubiri watu wakafanye mabaya.
Omary Shaweji imeandikwa husihukumu,husije ukaukamiwa
Leo Mzee kautwika vilivyo du huluma. Jamani
Hahahaha mchngaji ninoma nikimuona huwa nafurahi2 siku nilenda ibadani mm niliona hakuna ibada kamili ilikuwa furu vichekesho nilifurahi alisema watu wanamsema akiombea eti anashika watu maziwa yeye akasema hataki wanawake wa kitanzania maziwa yao yamelala kama kandambili akitaka chombo anachukua mchi za njeee msukuma mm sina mbavuuuuu uwiiii mwisho wa mambo mzeee noma
Nakukubar sana mkuu
mm nimemwelewa saana huyu ndugu yy hakutaka kupotosha jamii kubwa anaka awapotoshe hao hao wachache
Nyie mnaekejeli mtumishi wa mungu endeleeeni tuu na matus yenu tu ipo siku mtajuta nawaambia ukwel kama uwez kumkoment acha jaman kwann utumie matus?????????? Kwan kawakosea nn????..mlio tukana mungu anawaona tuu.
Daaaah
Huyu mzee sio kabisa
Mzee wa upako hivi waefeso 4;11 nae ametoa mitume nabii mwalim wachungaji wainjilisti
kwanini? unakataa mitume manabii wewe baba angu lakin sielewiiiii
Mzee wewe ni kambi la wanyang'anyi
Huyu mzee cha Arusha na vodka zimemharibu ubongo
ukikubali kuwa unakalama ya uchungaji lazima ukubali wapo mitume ongozwa na hofu ya Mungu niwapi ambapo pa meandikwa kuwa niwachungaji tuu wapo YESU AWAHULUMIE MUIJUE KWELI
mtume na Nabii osca Sikiliza vzr amesema mitume ni waanzilishi wa iman sehem ambayo hakuna iman iyo sasa utasemaje hapa kwetu kuna mitume wakati wao wamefungua tu makanisa imani ilishaletwa mda na wanacho kihubir na walisha ubiriwa
mtume na Nabii osca kwao wewe ndo mtume na nabii
Anamsifu mweny hio TV ili am ajili
Kongole.kile una amini ndicho kinastahili ukitekeleeze.kila mwanadamu anajijuwa nini anafanya.
hapo hakuna mchungaji bali mauzauza tu Mungu hayuko hivyo hata sura na nuru ya kristo haipo kabisa kwanza kabisa ushabiki wa mpira na injili nia maji na mafuta ss ww badala umntangaze yesu unainua mpira hapo hakuna Mungu wa kweli ila mashetani tu.
Kakibaa kanajisikia tena sanaa
choko hilo
duuu!
eti "UFALA" bado watu wanaenda kusali kwake FOOLS!
kazeeka huyu mzee
Siku zinavyokwenda sootee tunazeeka
ACHENI KOMENTI ZA MATUSI
mzee wa upako piga hela mzee
mzee upako nyoa nywele zinakuzeesha vibaya sana
Shetani ashindwe kila mtu ni mchungaji
Watu muogope naona Jesu ako karibu kuja
Huyu mbona kama mlevi tu
Kwan hapo ulipoanzisha hilo kanisa hakuna makanisa mengine uliyakuta hapo?
Mchungaji hajakosea kitu ila watu wenyevichwa vigumu munakurupuka kumtukana mchungaji yeyekajibu swali kakosea wapi sasa ..
mimi muisilamu lakini nampenda huyu mzee yupo simpo sana hanaga makuu
Zumbe Shauri achabangi wew
hassan salehe cmuelewi uyu mzee, kufa umakini ni upumbavu, sasa kwani umakini kauleta nani.
Zumbe Shauri Simuelewi
Zumbe Shauri hujielewi
Zumbe Shauri upo sahihi
Sio lazima mumuelewe Zumbe, muelewe MWENYEZI MUNGU na shika maneno yake, itapendeza. Manabii wangapi walipita mkawakataa
Mungu kuwa na hela ni mpango wake ila umasikini ni sehemu ya adhabu mtu anapewa akiende kinyume na mapenzi ya Mungu
mmmh kama vipiiiii simuelewi hilo poz
Kwa swala la Kanisa, umejitahidi kujieleza.
Kama ni mwili wa Kristo basi wewe umeamua kuwa " sikio au pua au kidole " mi naona uko sahihi.
Humu hamna mchungaji
Sura kama lapa la teja unaupako gan mlev ww
Umaskini wetu ni kwasababu tulimlaani alie barikiwa
Wewe babu maombi gani hayo
good
Hana Hekima huyu baba.
aiceeeeee huyu mzeee mjinga kwel anamchukia king kiba asijue watu hatulali tunakesha kumuota Ally kiba tunampenda kama brother
mbona jamaaaa kama akili zake ni za ucku
Huyo mchungajj au mchumia tumbo ndio maana Ney huw anawapaka
Mchungaji aliye Jawa na roho wa kweli ajitukuzi Bali Jina linalo faa kutuzwa Jina la mungu utukufu haumurudii mwanadamu Bali mungu utawajua kwa vitendo na matendo atakayo fanya litajitukuza lenyewe maanaake kazi ya mungu Lakin kujitukuza to me is a NO.
Gods daughter
Yaaaaap mzeee
Amekoswa la kufanya!!!Wew ni mchungaji kiki za nn?
Mzee wa upako acha fix unasema umeanza kushabikia Simba mwaka 1973 wakati wakati Omary Mahadhi akichezea Simba ni uongo mwaka 1973 Mahadhi alikuwa bado hajajiunga na Simba.
yaan huyo hajielew kabsa ana akil kam za kushikliwa sio bure
Mc-Omoro
Akuna mtu mwenyewe kanisa lake mwenyewe yeye ndio mchungaj yeye ndiye mwenyewe kanisa Kama siujanja nnn ss
Mzee mbona kipaza sauti unakikwepa sisi atukusikii vizuri bhana.
Kwenye daladala tofaut naibada uyovp minkokwenye ibada mtuanikatishe awezekan uyo nimjanja mjanja2
MBONA KAKONDA
Fredy John Waifakara TZ Umri unayoyoma
Fredy John Waifakara TZ ni mlevi si unamuona hata ongea yake.
Yeye mwenyewe katajirika kwa hizo sadaka za masikin ,
Chidi Berbatov Halafu anawaita mafala , malofa hao wanaojinyima na kutoa sadaka kwenye hiyo biashara yake ya kanisa feki . hili ni shetani sio mchungaji
ohooi
Mzee wewe siyo mtumishi bali uko kwa kanisa anachumia tumbo hana jipya cha Arusha
Oya jamani acheni zenu bhana cheko zinaniua huku koment zenu!!!
Kwanini huyu kiba yeye nimuisilamu lkn anafanya yakikafiri pia kufanya batara na kuacha kuwachangamkia wenzake anapenda kuchukia watu na kujiona yeye ni mtu kuliko walio watu pia mbona hamkusema au amekuzibeni macho msiyaona mabaya yke?au anakulisheni majumbani mwenu
Uyu mzee ukafir umemzidi mpaka ajielewi anachoongea, Kufa mackini ni upumbavu na ufala je kama Allah amemjalia mtu kuwa mackini maisha yake yote, so aliemuumba ndio hafai?
jaribu kuelewa, utajir uliotajwa sio Wa kumiliki magar na vitu vingi vya anasa hapana Ila ni ule Wa kukuezesha kupata riziki kuweza kuwaudumia familia ni ule utajir ambao unakupa amani ya moyo. Mungu hapendi mtu yeyote awe maskin wakushindwa ata kupata mkate wake Wa kila siku.
Thobias Liwembe mtu anatafri neno kwa Maana ya nje tu na sio Maana ya kimaandishi ya biblia
Saumu Hassan mm naisi uja muelewa my jaribu kuskiliza kt kabla ya kukijaj
Saumu Hassan Allah hawezi kumjaalia mtu umasikini
Saumu Hassan huyo Mungu anapendelea simtaki mimi
Hao unaowaita malofa ndio unategemea sadaka zao ! hakuna mchungaji hapo mganga njaa tu huyo . mlevi
Huyu ni ajent wa freemason hanalolote huyo
Christopher Martin,...... Ndugu yangu... Unaona eee?.. Chris uko wapi siku hizi?
Kamani pesa unaka ungeongea tu na diamond akuambie siri yake ata ww uanze kufanikiwa nakua tajiri ukitaka magari majumba kubwa kubwa uwemazo uache domo domo kwa wa sanii
Jama kavuta bangi kweli hakuna muchungaji anakuwa shabiki wa mupila 😆😆😆😆😆😆😆Nay kasema kweli
Napenda mafundisho yako sana lakin mbona umepoa sana hata sauti sio ile tumeizoea baba hata watangazaj wame adopt.
Uwo mpete wa kichawi siyo bule
namkubal sana
Ume nifanya kuchukia wa chungaji kama kazi ndo hio tu,kama ww unaleta vita ivi,nani atatubiria neno tufike mbinguni.
Waombee uenda kwa maombi yako akabadilika
Queen Catherine,unajua tunajifunza kwenye agano la kale.musa alikasirisha mungu alipo rudi akapata wanaisrael wamerudi kwenye dhambi akapasua ile ten commandment, ndio maana hakuona the prms lans kuingia kwake mbinguni kulikua kwa.vuta nkuvute. Katiya mungu na.shetani, pia tunaji funza kwa yona.nawengine wengi.na wachungaji pia wanajua hilo,kweli mm cjaokoka lkn cku moja natamani ningeokoka,nawachungaji wa leo kidogo wanatuchanganya sana.mtu wadunia ata akitembea uchi sio shida maana skumoja atakutana na dawa.dawa ni huyu mchungaji,so heri awaombee mondi na kiba kuliko vile ana waongelea
😅😅😅😅😅😅
huyo mzee na mondi n vyeo vimoja hiyo mzee kaanza kuzeheka vibaya injili imemshinda hata mahubir anayo fundisha hayafai kabisa sjui hajistukii kambo ya wasanii yana kuhudu nn w mzee uliana na ney leo unamaliza na kiba kaz imekushinda ww mzee
Transformer
Uyu mzee bhan kumbe ndo alivyo na akili mbovu ivi yan hata haelewek anajibu nn na ana ulizwa nn
Shaban Juma Hata mimi cmuelewi
Saumu Hassan yan kma kalewa ivi au unamuonaje ww soum yan hajielew hata anachoongea ni nn
mtu mzima kisheti huoni ata aibu,mchungaji gn unakua mnafiki ivo mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu miwani ka kobe.embu niombee me npate elaaaaaaa😁😁😁😁😁
Elizabet Daniel haha
Elizabet Daniel haha
Atakupa maombi ya matango poli alipo ambiwa aombe kwani ulisikia alicho omba
Hakuna cha upako wala mjomba wake naupako huo ni moto tu unao waita
Sasa unaleta mila kwenye swala la imani mzee, hata wenye dhambi hufanya hivyo
No comment
kilamtu anautashi wake sasa wewe aliyu makiyu usipende kumzarau usie mjua nakuomba sana tafadhari?
Mungu atabaki kuwa Mungu tyu
Zumbe Shauri matusi ya nini imani yako kipimo Siku ya mwisho wa Dunia
Anatakiwa awe na bible yako
anatafuta kiki uyo
Huyu.mzee.ni.mchugaji wa.aina hii kuomba pia hajui alafu mtu alie ni.mchungaji haeki chuki na mtu kila.mtu ni rafiki mbona una chukia king kiba unafiki tu ati upako upako
MAMA PEKU PEKU mchungaj hewa
Mohamed Sadiki namuona ivo
MAMA PEKU PEKU mchungaji wa ngo'mbe
MAMA PEKU PEKU kweli wewe pekupeku
D'ja D'ja hahahaah namuona mana ana nipa kichefu chefu
Hiii,kuwa na makanisa temeke,mbagala ni kuuharibu mwili wa kristo😎😎😎😎
Ama!!!
mankia lema kuujenga mwili wa Kristo ni vipi basi twambie
My God eti kufa maskini ni ujinga😲😲😲 so km Mungu amekuandikia mtu maisha yako yoote kuwa masikini? Au me sijaelewa jm?
onlymeruky hujaelewa
asela aikarua ndiyo unieleweshe
ujaelewa nn kwan we ni kilema ufe maskn
onlymeruky
MUNGU ALITUFANYA KWA MFANO WAKE ILI TUTAWALE NA KUMILIKI
HIVYO MPANGO WA MUNGU KWETU SISI NI KUWA MATAJIRI
onlymeruky utakufaj maskin pambana
Uyu mzee anatombwa na haogi kiba alimkosea nini au paka atoe hallelujah
Acha upumbafu weehujahwahi kumchukiamtu aliyekutukana nani
Sasa we Malaya umeshaona mchungaji anamchukia mtu kwaajili ya kiburi je mzee waupako angekua raiss sindo angemuua kabisa
acha kucomment matus ww
Necramsonpate
Blesd
STYLIST OFFICIAL mbona kaongea poa tu
Wewe mchungaji hata hauna upendo, kama ni mchungaji wa ukweli anasema mimi na penda wote, mchungaji wa ukweli huwa hachagui ai hapana imezidi wewe sio kabisa
Joyous
kwann mmemute dislike
Shuweha Omar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona ipo? But umenichekesha
Shuweha Omar Hahaha IPO Kama una taka kudislike bonyeza Mara mbili 😂😂😂😂😂
Shuweha Omar we utakuwa umedislike huku umezima data😂😂😂😂
Huyu kichwa chake
Jameni mzee ameambiliwa kuomba .je maombi aliyo omba ya ki ajabu.
Sijawahi kuona mchungaji anae omba kama mzee wa upako sala yako haieleweki