Mzee Wa Upako: Mimi ndiye mchungaji pekee ambaye Watu hata Malofa wakija kwangu wanakuwa matajiri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 05. 2018
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 174

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 Před 6 lety +2

    he has wisdom,he knows when to talk,hapa anazungumza na jamii nzima,sio wakristo tu,na wanaomhoji ni wakawaida siyo wakristo gathering

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 5 lety +1

    Mzee wa upako huwa ananifurahisha sans

  • @tematema3101
    @tematema3101 Před 5 lety +6

    Mi.niulize.hata kama ni.mzee waupako ndo avae pete tofauti na ya arus au haraf chen hizo kama wakina daimon rozali si rozali ila mnisameh dunia ya ss nzito wapendwa wangu

  • @njeyabox7788
    @njeyabox7788 Před 6 lety +1

    Safi mzee.Very straightforward.

  • @petronyoni8923
    @petronyoni8923 Před 6 lety +1

    Mzee chenga hyo na wanaokwenda kanisan kwake cjui wanafuata nn kwake mtumishi wa mungu hawi mbinafsi kama hyu dah camini kama kaongea pumba sana

  • @muhammadngwale7052
    @muhammadngwale7052 Před 6 lety +1

    Jamani..njaa.mbaya...sana..alafu..ukiwa.una.dhurumu..vya.masikini..lazma.mungu..atakuraani.tu..huyu..mzee.anapagawa..na..dhurma.anazo.dhurumu..wanyonge..naa.bado..atafika.pabaya.zaidi.mungu.amfichi..mnadiki

  • @japharikyando9046
    @japharikyando9046 Před 5 lety

    Hakika mchungaji uko vizuri sana pia umturivi katika kujibu mungu akubariki sana ghwamyitu ndagha fijho

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 Před 6 lety +1

    I love this guy

  • @daudi1bashite48
    @daudi1bashite48 Před 6 lety +1

    Team kitwanga naona kautwika kisawasawa.

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 Před 5 lety +1

    Dahh, mungu aliweke masiki katika ulimwengu huu ili wawe matajiri katika ulimwengu ujao

  • @farajakasikile8846
    @farajakasikile8846 Před 6 lety

    Daaaah pole Sana naumia mnooo

  • @flaviusbenedict7513
    @flaviusbenedict7513 Před 5 lety +1

    Mimi naona mzee Lusekelo yupo sahihi maana Mungu kupitia maandiko matakatifu anasema Fedha na Dhahabu ni mali yake, Naye umpa amtakaye. Kimsingi ni kunyenyekea mbele zake Mungu na kumuomba neema ya umiliki.
    Tusiwaseme vibaya watumishi wa Mungu, nani hatukumkataa, nabii Musa nae alika alikataliwa. Fungua moyo wako omba Mungu akuonyeshe, utaona, utamiliki.

  • @barakasylvester83
    @barakasylvester83 Před 6 lety

    uko sahihi pastor mwenzangu.

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 Před 6 lety

    mmmmmmm kazi kweli kweli Jmnn.

  • @felizwanzagi8465
    @felizwanzagi8465 Před 6 lety +2

    Piga kazi Baba Mungu azidi kukubariki.

  • @regankagya807
    @regankagya807 Před 5 lety

    Safi mzee wa upako

  • @nabiiwaisharaonlinetv9863

    KUFA KIROHO kunachafua MPAKA sura jamani

  • @emmasillaforever3212
    @emmasillaforever3212 Před 6 lety +1

    Mungu hadihakiwi iko siku hayo makongamano mliojaza watu na kuwapeleka jehanamu mtatoa hesabu geukeni mkatubu,

    • @ngometvarusha4030
      @ngometvarusha4030 Před 5 lety

      Emmasilla forever kajaze na wewe kama unaona ni rahiz kama umeandikiwa jehanamu utakwenda tu mbona yuda alikwenda moto japo alikula na yesu

  • @ferdcoast
    @ferdcoast Před 6 lety +13

    Jamani imani ni wajibu wakila mtu but angalieni watu mnaowamini kama wachungaji wenu... huyu sio mchungaji ni mzee mjanja aliyeona fulsa kupitia kanisa...

  • @kassimhashi4092
    @kassimhashi4092 Před 5 lety

    Wewe mzee wa upako.

  • @omaryshaweji3408
    @omaryshaweji3408 Před 6 lety +9

    Mbona unaonekana Kama amelewa vile!!toka ameanza kunywa amebadilika kiakili na kimwili pengine na kiroho pia, Mungu amsamehe,

    • @boyhalidunilema5038
      @boyhalidunilema5038 Před 6 lety

      mm naisi mnaye mtukana mzee au kumsema vbaya na wasiwasi na elimu yenu na uelewa wenu akuna dhambi mbaya kama usema uongo sasa kwanini mzee wa watu achume zambi anaongea kitu kilicho moyoni mwake kwa iyo mnataka apende asicho kipenda#@boy hali duni

    • @mariamisuja6256
      @mariamisuja6256 Před 6 lety

      +boy haliduni lema una akili sana. mimi si muumini wake ila usimuhukumu mtu. Uzuri haubiri watu wakafanye mabaya.

    • @gloriaainekisha4117
      @gloriaainekisha4117 Před 5 lety

      Omary Shaweji imeandikwa husihukumu,husije ukaukamiwa

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Před 2 měsíci

      Leo Mzee kautwika vilivyo du huluma. Jamani

  • @paskaziafabiani3752
    @paskaziafabiani3752 Před 5 lety +1

    Hahahaha mchngaji ninoma nikimuona huwa nafurahi2 siku nilenda ibadani mm niliona hakuna ibada kamili ilikuwa furu vichekesho nilifurahi alisema watu wanamsema akiombea eti anashika watu maziwa yeye akasema hataki wanawake wa kitanzania maziwa yao yamelala kama kandambili akitaka chombo anachukua mchi za njeee msukuma mm sina mbavuuuuu uwiiii mwisho wa mambo mzeee noma

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 Před 5 lety

    Nakukubar sana mkuu

  • @nebathkalolo723
    @nebathkalolo723 Před 5 lety +1

    mm nimemwelewa saana huyu ndugu yy hakutaka kupotosha jamii kubwa anaka awapotoshe hao hao wachache

  • @jacksonkimario1859
    @jacksonkimario1859 Před 6 lety

    Nyie mnaekejeli mtumishi wa mungu endeleeeni tuu na matus yenu tu ipo siku mtajuta nawaambia ukwel kama uwez kumkoment acha jaman kwann utumie matus?????????? Kwan kawakosea nn????..mlio tukana mungu anawaona tuu.

  • @richardherman7118
    @richardherman7118 Před 6 lety

    Daaaah

  • @amiryissa3573
    @amiryissa3573 Před 6 lety

    Huyu mzee sio kabisa

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 Před 6 lety +2

    Mzee wa upako hivi waefeso 4;11 nae ametoa mitume nabii mwalim wachungaji wainjilisti
    kwanini? unakataa mitume manabii wewe baba angu lakin sielewiiiii

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +8

    Mzee wewe ni kambi la wanyang'anyi

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +4

    Huyu mzee cha Arusha na vodka zimemharibu ubongo

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 Před 6 lety +2

    ukikubali kuwa unakalama ya uchungaji lazima ukubali wapo mitume ongozwa na hofu ya Mungu niwapi ambapo pa meandikwa kuwa niwachungaji tuu wapo YESU AWAHULUMIE MUIJUE KWELI

    • @geraldpeter5761
      @geraldpeter5761 Před 6 lety

      mtume na Nabii osca Sikiliza vzr amesema mitume ni waanzilishi wa iman sehem ambayo hakuna iman iyo sasa utasemaje hapa kwetu kuna mitume wakati wao wamefungua tu makanisa imani ilishaletwa mda na wanacho kihubir na walisha ubiriwa

    • @shadracktito6293
      @shadracktito6293 Před 6 lety

      mtume na Nabii osca kwao wewe ndo mtume na nabii

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 Před 6 lety +1

    Anamsifu mweny hio TV ili am ajili

  • @maalimtowba5784
    @maalimtowba5784 Před 6 lety +1

    Kongole.kile una amini ndicho kinastahili ukitekeleeze.kila mwanadamu anajijuwa nini anafanya.

  • @agripinaakhani7005
    @agripinaakhani7005 Před 5 lety +1

    hapo hakuna mchungaji bali mauzauza tu Mungu hayuko hivyo hata sura na nuru ya kristo haipo kabisa kwanza kabisa ushabiki wa mpira na injili nia maji na mafuta ss ww badala umntangaze yesu unainua mpira hapo hakuna Mungu wa kweli ila mashetani tu.

  • @dissartv4806
    @dissartv4806 Před 6 lety

    Kakibaa kanajisikia tena sanaa

  • @georgeshija1276
    @georgeshija1276 Před 6 lety +2

    choko hilo

  • @samsonmbise1012
    @samsonmbise1012 Před 6 lety +1

    duuu!

  • @Tutindaga
    @Tutindaga Před 6 lety +2

    eti "UFALA" bado watu wanaenda kusali kwake FOOLS!

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 Před 6 lety +1

    kazeeka huyu mzee

    • @lucky9285
      @lucky9285 Před 5 lety +1

      Siku zinavyokwenda sootee tunazeeka

  • @salumhusen3482
    @salumhusen3482 Před 6 lety +4

    ACHENI KOMENTI ZA MATUSI

  • @nuhukihegulo141
    @nuhukihegulo141 Před 6 lety

    mzee wa upako piga hela mzee

  • @jackypottrick1pottrick641

    Shetani ashindwe kila mtu ni mchungaji
    Watu muogope naona Jesu ako karibu kuja

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety +3

    Huyu mbona kama mlevi tu

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 5 lety +1

    Kwan hapo ulipoanzisha hilo kanisa hakuna makanisa mengine uliyakuta hapo?

  • @jumaally8297
    @jumaally8297 Před 6 lety +5

    Mchungaji hajakosea kitu ila watu wenyevichwa vigumu munakurupuka kumtukana mchungaji yeyekajibu swali kakosea wapi sasa ..

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 6 lety +23

    mimi muisilamu lakini nampenda huyu mzee yupo simpo sana hanaga makuu

    • @hassansalehe2383
      @hassansalehe2383 Před 6 lety

      Zumbe Shauri achabangi wew

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 Před 6 lety +1

      hassan salehe cmuelewi uyu mzee, kufa umakini ni upumbavu, sasa kwani umakini kauleta nani.

    • @khadijakhadija6547
      @khadijakhadija6547 Před 6 lety

      Zumbe Shauri Simuelewi

    • @aliyumakiyu9599
      @aliyumakiyu9599 Před 6 lety

      Zumbe Shauri hujielewi

    • @flaviusbenedict7513
      @flaviusbenedict7513 Před 5 lety

      Zumbe Shauri upo sahihi
      Sio lazima mumuelewe Zumbe, muelewe MWENYEZI MUNGU na shika maneno yake, itapendeza. Manabii wangapi walipita mkawakataa
      Mungu kuwa na hela ni mpango wake ila umasikini ni sehemu ya adhabu mtu anapewa akiende kinyume na mapenzi ya Mungu

  • @aishababu4986
    @aishababu4986 Před 6 lety

    mmmh kama vipiiiii simuelewi hilo poz

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 Před 5 lety

    Kwa swala la Kanisa, umejitahidi kujieleza.
    Kama ni mwili wa Kristo basi wewe umeamua kuwa " sikio au pua au kidole " mi naona uko sahihi.

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 Před 6 lety +1

    Humu hamna mchungaji

  • @nyanongwasaid2615
    @nyanongwasaid2615 Před 6 lety

    Sura kama lapa la teja unaupako gan mlev ww

  • @rweyemamueustace1706
    @rweyemamueustace1706 Před 5 lety

    Umaskini wetu ni kwasababu tulimlaani alie barikiwa

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +1

    Wewe babu maombi gani hayo

  • @SmartBrainTv2020
    @SmartBrainTv2020 Před 6 lety +1

    good

    • @salomenachunga2025
      @salomenachunga2025 Před 6 lety

      Hana Hekima huyu baba.

    • @ephrahimngosso3834
      @ephrahimngosso3834 Před 6 lety

      aiceeeeee huyu mzeee mjinga kwel anamchukia king kiba asijue watu hatulali tunakesha kumuota Ally kiba tunampenda kama brother

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 6 lety +2

    mbona jamaaaa kama akili zake ni za ucku

  • @mamad1175
    @mamad1175 Před 6 lety +1

    Huyo mchungajj au mchumia tumbo ndio maana Ney huw anawapaka

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 Před 6 lety +1

    Mchungaji aliye Jawa na roho wa kweli ajitukuzi Bali Jina linalo faa kutuzwa Jina la mungu utukufu haumurudii mwanadamu Bali mungu utawajua kwa vitendo na matendo atakayo fanya litajitukuza lenyewe maanaake kazi ya mungu Lakin kujitukuza to me is a NO.

  • @ngoshazedonny1720
    @ngoshazedonny1720 Před 6 lety +1

    Amekoswa la kufanya!!!Wew ni mchungaji kiki za nn?

  • @mc-omoro2366
    @mc-omoro2366 Před 6 lety

    Mzee wa upako acha fix unasema umeanza kushabikia Simba mwaka 1973 wakati wakati Omary Mahadhi akichezea Simba ni uongo mwaka 1973 Mahadhi alikuwa bado hajajiunga na Simba.

  • @steventitus2174
    @steventitus2174 Před 5 lety

    Akuna mtu mwenyewe kanisa lake mwenyewe yeye ndio mchungaj yeye ndiye mwenyewe kanisa Kama siujanja nnn ss

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 6 lety

    Mzee mbona kipaza sauti unakikwepa sisi atukusikii vizuri bhana.

  • @steventitus2174
    @steventitus2174 Před 5 lety

    Kwenye daladala tofaut naibada uyovp minkokwenye ibada mtuanikatishe awezekan uyo nimjanja mjanja2

  • @fredyjohnwaifakaratz6613
    @fredyjohnwaifakaratz6613 Před 6 lety +4

    MBONA KAKONDA

  • @chidiberbatov3613
    @chidiberbatov3613 Před 5 lety

    Yeye mwenyewe katajirika kwa hizo sadaka za masikin ,

    • @tumainikyando8803
      @tumainikyando8803 Před 5 lety

      Chidi Berbatov Halafu anawaita mafala , malofa hao wanaojinyima na kutoa sadaka kwenye hiyo biashara yake ya kanisa feki . hili ni shetani sio mchungaji

  • @rogersmasofa3454
    @rogersmasofa3454 Před 6 lety +1

    ohooi

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 6 lety +9

    Mzee wewe siyo mtumishi bali uko kwa kanisa anachumia tumbo hana jipya cha Arusha

  • @kingyehoshafatitvbornerys2496

    Oya jamani acheni zenu bhana cheko zinaniua huku koment zenu!!!

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 Před 6 lety

    Kwanini huyu kiba yeye nimuisilamu lkn anafanya yakikafiri pia kufanya batara na kuacha kuwachangamkia wenzake anapenda kuchukia watu na kujiona yeye ni mtu kuliko walio watu pia mbona hamkusema au amekuzibeni macho msiyaona mabaya yke?au anakulisheni majumbani mwenu

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +5

    Uyu mzee ukafir umemzidi mpaka ajielewi anachoongea, Kufa mackini ni upumbavu na ufala je kama Allah amemjalia mtu kuwa mackini maisha yake yote, so aliemuumba ndio hafai?

    • @thobiasliwembe3957
      @thobiasliwembe3957 Před 6 lety +3

      jaribu kuelewa, utajir uliotajwa sio Wa kumiliki magar na vitu vingi vya anasa hapana Ila ni ule Wa kukuezesha kupata riziki kuweza kuwaudumia familia ni ule utajir ambao unakupa amani ya moyo. Mungu hapendi mtu yeyote awe maskin wakushindwa ata kupata mkate wake Wa kila siku.

    • @shamilachiwila7488
      @shamilachiwila7488 Před 6 lety +1

      Thobias Liwembe mtu anatafri neno kwa Maana ya nje tu na sio Maana ya kimaandishi ya biblia

    • @boyhalidunilema5038
      @boyhalidunilema5038 Před 6 lety

      Saumu Hassan mm naisi uja muelewa my jaribu kuskiliza kt kabla ya kukijaj

    • @usanifumaandishi7519
      @usanifumaandishi7519 Před 6 lety +1

      Saumu Hassan Allah hawezi kumjaalia mtu umasikini

    • @NoName-mm6gh
      @NoName-mm6gh Před 6 lety

      Saumu Hassan huyo Mungu anapendelea simtaki mimi

  • @tumainikyando8803
    @tumainikyando8803 Před 5 lety

    Hao unaowaita malofa ndio unategemea sadaka zao ! hakuna mchungaji hapo mganga njaa tu huyo . mlevi

  • @christophermartin4572
    @christophermartin4572 Před 6 lety +2

    Huyu ni ajent wa freemason hanalolote huyo

    • @nyakitoto5868
      @nyakitoto5868 Před 6 lety

      Christopher Martin,...... Ndugu yangu... Unaona eee?.. Chris uko wapi siku hizi?

  • @aibonkinya2817
    @aibonkinya2817 Před 6 lety

    Kamani pesa unaka ungeongea tu na diamond akuambie siri yake ata ww uanze kufanikiwa nakua tajiri ukitaka magari majumba kubwa kubwa uwemazo uache domo domo kwa wa sanii

  • @o.g.6fml769
    @o.g.6fml769 Před 4 lety

    Jama kavuta bangi kweli hakuna muchungaji anakuwa shabiki wa mupila 😆😆😆😆😆😆😆Nay kasema kweli

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 Před 5 lety

    Napenda mafundisho yako sana lakin mbona umepoa sana hata sauti sio ile tumeizoea baba hata watangazaj wame adopt.

  • @jamesngundateresia2600

    Uwo mpete wa kichawi siyo bule

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby Před 6 lety +1

    namkubal sana

  • @aibonkinya2817
    @aibonkinya2817 Před 6 lety

    Ume nifanya kuchukia wa chungaji kama kazi ndo hio tu,kama ww unaleta vita ivi,nani atatubiria neno tufike mbinguni.

    • @queencatherine6591
      @queencatherine6591 Před 6 lety

      Waombee uenda kwa maombi yako akabadilika

    • @aibonkinya2817
      @aibonkinya2817 Před 6 lety

      Queen Catherine,unajua tunajifunza kwenye agano la kale.musa alikasirisha mungu alipo rudi akapata wanaisrael wamerudi kwenye dhambi akapasua ile ten commandment, ndio maana hakuona the prms lans kuingia kwake mbinguni kulikua kwa.vuta nkuvute. Katiya mungu na.shetani, pia tunaji funza kwa yona.nawengine wengi.na wachungaji pia wanajua hilo,kweli mm cjaokoka lkn cku moja natamani ningeokoka,nawachungaji wa leo kidogo wanatuchanganya sana.mtu wadunia ata akitembea uchi sio shida maana skumoja atakutana na dawa.dawa ni huyu mchungaji,so heri awaombee mondi na kiba kuliko vile ana waongelea

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 Před 6 lety

    😅😅😅😅😅😅

  • @lazaropatrick3639
    @lazaropatrick3639 Před 6 lety

    huyo mzee na mondi n vyeo vimoja hiyo mzee kaanza kuzeheka vibaya injili imemshinda hata mahubir anayo fundisha hayafai kabisa sjui hajistukii kambo ya wasanii yana kuhudu nn w mzee uliana na ney leo unamaliza na kiba kaz imekushinda ww mzee

  • @basilifrank
    @basilifrank Před 6 lety +3

    Transformer

  • @shabanjuma6730
    @shabanjuma6730 Před 6 lety +8

    Uyu mzee bhan kumbe ndo alivyo na akili mbovu ivi yan hata haelewek anajibu nn na ana ulizwa nn

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 Před 6 lety +2

      Shaban Juma Hata mimi cmuelewi

    • @shabanjuma6730
      @shabanjuma6730 Před 6 lety

      Saumu Hassan yan kma kalewa ivi au unamuonaje ww soum yan hajielew hata anachoongea ni nn

  • @elizabetdaniel2260
    @elizabetdaniel2260 Před 6 lety +1

    mtu mzima kisheti huoni ata aibu,mchungaji gn unakua mnafiki ivo mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu miwani ka kobe.embu niombee me npate elaaaaaaa😁😁😁😁😁

  • @jonsinatony3622
    @jonsinatony3622 Před 5 lety

    Hakuna cha upako wala mjomba wake naupako huo ni moto tu unao waita

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 Před 5 lety

    Sasa unaleta mila kwenye swala la imani mzee, hata wenye dhambi hufanya hivyo

  • @khadijakhadija6547
    @khadijakhadija6547 Před 6 lety

    No comment

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 6 lety

    kilamtu anautashi wake sasa wewe aliyu makiyu usipende kumzarau usie mjua nakuomba sana tafadhari?

  • @shyshayagen2733
    @shyshayagen2733 Před 6 lety

    Anatakiwa awe na bible yako

  • @bbyjbbyj8064
    @bbyjbbyj8064 Před 6 lety

    anatafuta kiki uyo

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 Před 6 lety +11

    Huyu.mzee.ni.mchugaji wa.aina hii kuomba pia hajui alafu mtu alie ni.mchungaji haeki chuki na mtu kila.mtu ni rafiki mbona una chukia king kiba unafiki tu ati upako upako

  • @mankialema6490
    @mankialema6490 Před 5 lety

    Hiii,kuwa na makanisa temeke,mbagala ni kuuharibu mwili wa kristo😎😎😎😎
    Ama!!!

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 Před 5 lety

      mankia lema kuujenga mwili wa Kristo ni vipi basi twambie

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 6 lety +3

    My God eti kufa maskini ni ujinga😲😲😲 so km Mungu amekuandikia mtu maisha yako yoote kuwa masikini? Au me sijaelewa jm?

    • @klystry1234
      @klystry1234 Před 6 lety

      onlymeruky hujaelewa

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Před 6 lety

      asela aikarua ndiyo unieleweshe

    • @devotadidass3343
      @devotadidass3343 Před 6 lety

      ujaelewa nn kwan we ni kilema ufe maskn

    • @marynasimeon
      @marynasimeon Před 6 lety +3

      onlymeruky
      MUNGU ALITUFANYA KWA MFANO WAKE ILI TUTAWALE NA KUMILIKI
      HIVYO MPANGO WA MUNGU KWETU SISI NI KUWA MATAJIRI

    • @elinahlawrancemwaipopo7633
      @elinahlawrancemwaipopo7633 Před 6 lety

      onlymeruky utakufaj maskin pambana

  • @ndijaibrahim3761
    @ndijaibrahim3761 Před 6 lety

    Uyu mzee anatombwa na haogi kiba alimkosea nini au paka atoe hallelujah

  • @stylistofficial1405
    @stylistofficial1405 Před 6 lety

    Blesd

  • @jackypottrick1pottrick641

    Wewe mchungaji hata hauna upendo, kama ni mchungaji wa ukweli anasema mimi na penda wote, mchungaji wa ukweli huwa hachagui ai hapana imezidi wewe sio kabisa

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 Před 6 lety +2

    kwann mmemute dislike

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Před 6 lety

      Shuweha Omar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona ipo? But umenichekesha

    • @callmangumbo1552
      @callmangumbo1552 Před 6 lety

      Shuweha Omar Hahaha IPO Kama una taka kudislike bonyeza Mara mbili 😂😂😂😂😂

    • @flyhigher5393
      @flyhigher5393 Před 6 lety

      Shuweha Omar we utakuwa umedislike huku umezima data😂😂😂😂

    • @zakariyasheel395
      @zakariyasheel395 Před 4 lety

      Huyu kichwa chake

  • @emmamoke6407
    @emmamoke6407 Před 5 lety

    Jameni mzee ameambiliwa kuomba .je maombi aliyo omba ya ki ajabu.

    • @janechengula4270
      @janechengula4270 Před 5 lety

      Sijawahi kuona mchungaji anae omba kama mzee wa upako sala yako haieleweki