January Makamba: Namkumbuka Jakaya Kikwete Sana, Mange Kimambi atakuwa na Majibu Sahihi.
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2017
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Huyu jamaa ni bonge la kiongozi tatizo alikutana na watangazaji vilaza sana
Yes January I think you will be the best leader of our country usikate tamaa unaposhambuliwa na mahasimu wako
Heshima yako Muheshimiwa Jan.upo vizuri nimeipenda hekima yako kisiasa.Mungu akuzidishe.
Thank you Temidayo for a good question
Baba makamba nakuona umbuje
mheshimiwa January nimekuelewa sn aisee
Bro una utulivu wa hali ya juu sana unastahili kuwa kiongozi
Kiongoziborasana ww makamba
Kweli uyu mtangazaji amechemsha sana mana maswali anayo muuliza mhe ayasisimui na hayaeleweki nafikili hajajipanga
Ndo utaratibu wao bana msiwe mnapenda kuuliza maswali yasiyo na misingi
Dah huyu mtangazaji sasa, mbona anachanganya madesa! Mara mazingira, mara mavazi, mara chakula! Taabu kweli kweli!
Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac
Baada ya kuuliza ni kwanini tukitoa vitu zanzibar kuleta bara tunavilipia kodi anauliza mambo ya mavazi angeruhusu text au sim wasikilizaji waulize maswali
Kila jambo halikosi kelele liwe baya au zuri
Ukishindwa kumuuliza mtu maswali ya msingi kutokana na nafasi ya mtu alonayo unakuwa umewakosesha watu haki yao yakujua.Mtangazaji hukujipanga vzr na ulikuwa unazungumza sentensi ndefu inayopoteza mwelekeo wa swali.
dah mtangazaji zero Ana uliza maswali bila kiji jibu kichwani
Barua ya sheha huwa inahitajika kama mtu anayesafiri kutoka Zanzibar kuja bara anasafirisha vitu na anasema sio kwaajili ya biashara bali ni vitu alivyokuwa akitumia kule anarejesha bara. Barua hiyo ya kutoka kwa sheha ni kwaajili ya kuthibitisha kwamba anamfahamu mkazi huyo na pia kuthibitisha kwamba vile vitu vilikuwa ni vya matumizi ya nyumbani na si kwaajili ya biashara.
uwezo wake na wizara aliyopewa zamana kuhisimamia ni ndogo cn alistahili apewe wizara amabyo ni kubwa au inayotazamwa zaid yuko vizur katik kutumia Elimu aliyonayo
Jilinde na ujitunze kwa neema za ALLAH 2025 ni wewe tu hamna namna
Unajielewa makamba. Continue maintaining low profile brother.
Watanga ndio zetu🤣
mwaka 2025 my president
huyu babu sijawahi kumuona nywele
Watu walikuwa Miungu watu miaka ile.Wanaingiza magari ovyo ovyo na kuhonga wanawake na kuyaendesha hata miaka bila hata kuweka plate tag.
katarina william kwel
Huyu mtangazaji ametumwa nini aache ujinga basi
Duuuuu
mtangazaji kafeli hata nenda kijijini utaona kuhusu mavazi, muheshimu kakujibu hata ajatumia akili nyingi, shem of mtangazaji
fettylishes hassan hey
Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac