January Makamba: Namkumbuka Jakaya Kikwete Sana, Mange Kimambi atakuwa na Majibu Sahihi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2017
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
    100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 30

  • @magallahramadhani7879
    @magallahramadhani7879 Před 4 lety +1

    Huyu jamaa ni bonge la kiongozi tatizo alikutana na watangazaji vilaza sana

  • @jahshijaafari150
    @jahshijaafari150 Před 5 lety

    Yes January I think you will be the best leader of our country usikate tamaa unaposhambuliwa na mahasimu wako

  • @loatalothi8784
    @loatalothi8784 Před 6 lety

    Heshima yako Muheshimiwa Jan.upo vizuri nimeipenda hekima yako kisiasa.Mungu akuzidishe.

  • @eng.thomasbobo6674
    @eng.thomasbobo6674 Před 6 lety

    Thank you Temidayo for a good question

  • @zahararajaburajabu2763

    Baba makamba nakuona umbuje

  • @alexwallace7151
    @alexwallace7151 Před 7 lety

    mheshimiwa January nimekuelewa sn aisee

  • @awadhikanyawana4808
    @awadhikanyawana4808 Před 5 lety

    Bro una utulivu wa hali ya juu sana unastahili kuwa kiongozi

  • @benedictkiteji5089
    @benedictkiteji5089 Před 5 lety

    Kiongoziborasana ww makamba

  • @muhibuissa1163
    @muhibuissa1163 Před 7 lety +2

    Kweli uyu mtangazaji amechemsha sana mana maswali anayo muuliza mhe ayasisimui na hayaeleweki nafikili hajajipanga

    • @maomkuhuranye470
      @maomkuhuranye470 Před 7 lety

      Ndo utaratibu wao bana msiwe mnapenda kuuliza maswali yasiyo na misingi

  • @benny4345
    @benny4345 Před 7 lety

    Dah huyu mtangazaji sasa, mbona anachanganya madesa! Mara mazingira, mara mavazi, mara chakula! Taabu kweli kweli!

  • @fadhiliramadhani434
    @fadhiliramadhani434 Před 5 lety

    Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac

  • @hunterrashid5251
    @hunterrashid5251 Před 5 lety

    Baada ya kuuliza ni kwanini tukitoa vitu zanzibar kuleta bara tunavilipia kodi anauliza mambo ya mavazi angeruhusu text au sim wasikilizaji waulize maswali

  • @willymbwambo3478
    @willymbwambo3478 Před 6 lety

    Kila jambo halikosi kelele liwe baya au zuri

  • @vallencmtui7606
    @vallencmtui7606 Před 7 lety

    Ukishindwa kumuuliza mtu maswali ya msingi kutokana na nafasi ya mtu alonayo unakuwa umewakosesha watu haki yao yakujua.Mtangazaji hukujipanga vzr na ulikuwa unazungumza sentensi ndefu inayopoteza mwelekeo wa swali.

  • @fettylisheshassan1390
    @fettylisheshassan1390 Před 7 lety

    dah mtangazaji zero Ana uliza maswali bila kiji jibu kichwani

  • @emmanuelmacha1222
    @emmanuelmacha1222 Před 7 lety

    Barua ya sheha huwa inahitajika kama mtu anayesafiri kutoka Zanzibar kuja bara anasafirisha vitu na anasema sio kwaajili ya biashara bali ni vitu alivyokuwa akitumia kule anarejesha bara. Barua hiyo ya kutoka kwa sheha ni kwaajili ya kuthibitisha kwamba anamfahamu mkazi huyo na pia kuthibitisha kwamba vile vitu vilikuwa ni vya matumizi ya nyumbani na si kwaajili ya biashara.

  • @hajisasha850
    @hajisasha850 Před 6 lety

    uwezo wake na wizara aliyopewa zamana kuhisimamia ni ndogo cn alistahili apewe wizara amabyo ni kubwa au inayotazamwa zaid yuko vizur katik kutumia Elimu aliyonayo

  • @makongorojulius4965
    @makongorojulius4965 Před 5 lety

    Jilinde na ujitunze kwa neema za ALLAH 2025 ni wewe tu hamna namna

  • @balozimchomvu7779
    @balozimchomvu7779 Před 6 lety

    Unajielewa makamba. Continue maintaining low profile brother.

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 Před 7 lety

    mwaka 2025 my president

  • @shuwehaharunaomariikwena233

    huyu babu sijawahi kumuona nywele

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před 7 lety +1

    Watu walikuwa Miungu watu miaka ile.Wanaingiza magari ovyo ovyo na kuhonga wanawake na kuyaendesha hata miaka bila hata kuweka plate tag.

  • @mohammedmaalim6454
    @mohammedmaalim6454 Před 5 lety

    Huyu mtangazaji ametumwa nini aache ujinga basi

  • @fettylisheshassan1390
    @fettylisheshassan1390 Před 7 lety

    mtangazaji kafeli hata nenda kijijini utaona kuhusu mavazi, muheshimu kakujibu hata ajatumia akili nyingi, shem of mtangazaji

  • @fadhiliramadhani434
    @fadhiliramadhani434 Před 5 lety

    Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac