Mzee Yusuph: Zamani nilikuwa napata Milioni 2 kwa Wiki, Siku Hizi Mimi Najiunga Bando la Buku
Vložit
- čas přidán 29. 05. 2017
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Mzee kilichokusibu mpaka kurudi kwenye mziki kitu gani jamani yaa allah tupe mwisho mwema na vizazi vyetu
Baba c hela.we mkubwa baba ela ndo m pango mzima
Kama mzee yusuf kawacha kila kitu na kuamua kufwata dini basi hata sisi wafwasi wa mziki inapaswa tuamke na turudi kwa mwenyezi Mungu tufanye Toba ya kisawa sawa molla atufanyie wepesi in sha Allah
Ma shaa Allah Tabarakallah
Ridhika na kidogo chenye uhalali
Mzee Yusuph, Mwenyezi Mungu ndie Muumba naamini atakujaria kila lililojema kadiri ya kuamini kwako, Ishike Imani yako Utabarikiwa tu, Mie ni Mkristo ila namna ulivyosimama umenifurasha sana.
Mungu akujalie Benedict sanga kwa ukweli ulio usema
Umetishaa👍
Saf sana. Umeongea point INSHAALLAH
Ukweli hupevuka,na uongo hukaa pembeni,safi sana broo na Mzee Yusuph pia,,Iman ndo kila kitu.
maneno yakuambiwa
Sijui anaikumbuka hii interview 😭
Inasikitisha sana 😢😢😥 after aII Karudi tena kwenye mziki
😭😭
Mshukuru Allah kwa kukuwezesha kutubu, wenzio wanafikia kufa bado wanaimba wengine wanakufa wakiwa njiani kuendea ubaya, Allah akuongoze na azidi kukupa nguvu ya kufuata maamrisho yake na sisi pia tufe hali kuwa Allah ameturidhia
Gonga like nying sana hapa kwa mzee wetu Yusuphu Allah ampe kulla la kheyr
mashaallah 😍😍😍Allah akufanyie wepes mzee yusuphu
maashaallah mzeee yussuf
mungu atupe wepesi waislamu wote duniani kote
Hjb
Inshallah
@@sofia0009
Cjambo sana
Mzm ww lkn
Mzee yusuph ni mnafki uyoo ameingia kweny dini allah vizur lakn karudi tena kwa shetani
Usikate tamaa Mzee Yussuf Allah yupo pamoja nasisi
Mwenye Ezi Mungu ata kusahilishia na ndie mpaji wa riziki so wewe weka tuu Imani yako tuu juu zaidi na zaidi na juhudi zako na utafanikiwa saana utafika utakapo kwa uwezo wake tuu Allaah
Hawa jamaa wanahisi amefilisika au? naona maswali mengi yanahusu kipato. Mbele ya Mungu hakuna kisicho wezekana hasa ukiwa na imani thabit.
kaa chini muombe Mungu, tegemea kwake utaona miujiza. Mzee Yussuf keep it up man, to Allah we trust. big up.
Imani ndio utakayo kwenda nayo kwa alha
Kama kaka anarudi kwenye gm mungu atsmripa kutokana nakosa lake mungu hampunguzi MTU au hamzidishii
dah Allah akufishe ww na ss katika imani thabit ya uislam
Allahumma amiiin yarab
Aamin
mashaAllah mzee yusufu
Mashaallh
From Congo Kinshasa watching now 25/8/2020
mungu atakupa zaidi ya mwanzo inshaalah
Mungu akuongoze akujaalie akupe rizki za halali InshAllah
Ishaallah Allah atakufanyia wepes katika maisha yako mapya ya kumtumikia
mungu ampe wepes ktk suala la dini.
Kuwa nà subra mzee wangu
That's because you gave God a cold shoulder 🤔go back to your old good ways...i love your songs and yah voice..plus those toxic stoppers💪💪
jazakallah kheira
mashallah mungu azid kutuongoza katka njia ilionyooka
Mashaallah mashaallah allah akuongezee imani zaidi akuzidishie ujasili
mashallah brother
maswali mengine wala ilikuwa usiyajibu kuhusu kipato chako kinawahusu nn.... Allah akuongoze kwenye njia njema
ALLAH AKUONGOZE NA AKUFISHE UKIWA KTK NJIA YA SAWA SAWA
BAKI KTK ISTIMA
SHIKAMANA NA SUNN NA ULINGANIE NDG ZAKO
MashaAllah tabarakaAllah Allah atuongoze sote
mashaallah nimekuelewa vzr sana mzee yusufu.
mashallah
Subhanallah, Diin anaijua
lakini hatujui ya imekuaje huyu mzee Yusuf kurudi mjini kutifuka na wanawake, Allah yahdii man yashaa
Mzee Yusuf ukirudi ktk,mziki unamtafuta ugomvi mungu nahutaiweza vita vyake.
UshakuWa jizeee babuu kwa utubiyeeee kwa mungu
may Allah help you Mzee Yusuf and accept your toubah
Ulivyo vipata kipitia mziki allah havitaki nandomana vinakutoka hadi vikimaliza ndo atakujaliavyengine
Tena wallah ra'adhim ungekufa takbiruuuu Allah Akbarrrrrrrrrrrrrr
Allah akufanyie wepesi mzee Allahamdullillah
mungu akujalie kila lakheri usirudi tena wala habar za tarabu Ila apo patamu mmekatisha
Ma sha Allah
masha Allha mungu ndiy mpangaji wa kilakitu duniya aina faida andaa amalizako za ahela
mashaallah allah akubaliki kk
Mzee wangu, Mungu akuongoze.
Waliokataa wito wa Muumba wameishia pabaya! Ww umechagua njia sahihi! Mungu akujalie
maashAllah, Allah Akbar
mashaallah
MashaAllah
allah ukbaruuuuu allah akuongoze mzee yusufu
Usikate Tamaa na Rehma Ya Allah.
Raha Ya maisha Ni mit-han
Na Ya mit-han Ni Subra.
Innallah maaswabiriin.
khery inshaallah allah atuongozee wote kwa pamoja
inshaallah mwenyezi mungu atuongoze ktk njia iliyonyooka.
Mmh good point
Mwenyenzi mungu akubarik
Duuuu safi
Barakallah fik
Hongera sana mzee yusuphu
Mashaallah
Bismillah Mashaa Allah hongera sana Alhaj mzee Yusuph Allah akuzidishie moyo huyo wa subra na atuongoze sote ktk njia iliyonyooka
mzee mungu akuongoze
Diamond uji funze kupitia mzee yusufu
Bro Allah akupe imani tena, na tena (in sha llaah )
allah akuwekeyee wepes yusufu InshaAllah
Mash Allah
Mashaalah
mash Allah
allah akbar Allah amsamehe na sisi pia
Allah akibar kaka mtoaji ni allah usimbe kwa sababu ukitaman birian unatoa mfukon bdo allah yupo na wewe utapata tu kwakila unachotaka bora kidogo anachokiriziya allah kuliko kikubwa anachokichukiya allah
Kuna wa2 wanamcngixia Mungu! Mungu kaniambia Mungu kaniambia!
wallah a'alam
Allah akufanyie wepesi
Allah akuthibitishe hivo hivo kabisa
Akuepushe na Ibilisi Na sisi pia
Takbiiiiiiiir-Allahu akbaaaaaaarx3
m/mungu akujalie na moyo huwo huwo
Oman D mashallah Allah azidi kutuongoza nshallh
IshaAllah
Allh akufanyie wepesi ao na wambea kila kitu wakijue khaa
Allah akuongoze
maashaallah
mzee yusuph Allah akuongoze
lkn nakukumbusha tu jua kwamba ww ni mchunga na kila mtu ataulizwa kwa anavyo vichunga
pili Allah anasema enyi mloamin jilinden nafsi zenu na watu wenu kutokana na moto ambao kuni zake ni watu na mawe(at-tahrim 6)
vile vile Allah anasema tena
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّ مِنْ أَزْوَاجِكُمْ وَأَوْلَادِكُمْ عَدُوًّا لَّكُمْ فَاحْذَرُوهُمْ ۚ وَإِن تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ )
التغابن (14) At-Taghaabun
Enyi mlio amini! Hakika miongoni mwa wake zenu na watoto wenu wamo maadui zenu. Basi tahadharini nao. Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
kwahiyo mzee yusuph kama umerud kwa Allah tengeneza wake na watoto wako kwa sbbu ww ndo masulia haiwezekan ww uwache mzik kisha mkeo awe bado anatikisa kiuno kwenye majukwaa huwon aibu ww au huna wivu?
rasullah anasema asiyekuwa na wivu haingii pepon
nanyi wanawake wenzangu kina dida na wengineo mchen Allah hakika maut yanakuja ghafra na mjue mtaulizwa siku ya qiyama kwa mnayo yatenda mchen Allah kwan ni mkali wa kuadhibu
Dah amakweli hujafa hujaumbika na ni kweli kua Allah ndie anaeongoa
Raanatu rwaahi mzee yousufu
Jazakha laukherii
mungu amuongoze inshaallah
Allah Kareem
Alhmdhulillah
mashaallah
Mashallah
saf Mzee yusufu
Ushakuwa mzee sasa
Je maneno hayo Leo yako wp
1
Jamani moto upo duniani
Hivi hii unaikumbuka????? Site tuna makosa lakini yote kwa yote yanazidia uzito lakin we shekh 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mzeyusufu nakuombea Allah akujalie gheri usirud nyuma allahakupe umri mrefu na wasaniiwengine wakiislamu waive kwako
mahaala
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
BABA NAKUOMBEA SANA, MUNGU ATAKUPELEKA KATIKA VIWANGO VINGINE VYA JUU KABISA . ENDELEA KUMTUMIKIA MUNGU MZEE YUSUPH MAANA MUNGU PEKEE NDIE RAFIKI WA KWELI NA BABA WA KWELI
Yaani wasanii wengi huwa wanajisahau sana kuna maisha yanaendelea wanavyokuwa na hela wanajisahau sana kuwa kuna kufilisika baadaye au kuumwa au kukosa mia mia zinazonipa kiburi wakizidiwa wanarudi kujitangaza na kuomba michango pumbavu kweli
Hiyo ni mipango. Yamungu mungu yuko pamoja na wewe usirudi nyuma riziki zako zipo ulopangiwa namungu
Laahaula wala quwwata illa billah
We mnafiki tu
Yn ukiambiw umekiuka maneno yako muogombe Mungu mzee
mmmh
Eeeh
Ok
Mnafiq Mkubwa wew
mm nakuomba umshauri nae huyo (daimond) amkumbuke Allah
Alha ndo mwema kwakila jambo.
usijali kaka Allah atakuwezesha
Sahizi anarudi kwenye mziki
Kwani jamani ww mtangazaje nikuulize swali hemu kwan ridhki anatoa nani enh chagueni bwana maswal ya kuuliza watu msiwe sababu ya kuwashusha watu imani jamani akaaah 😥 mtihan kwa kwl