Mzee Yusuph: Zamani nilikuwa napata Milioni 2 kwa Wiki, Siku Hizi Mimi Najiunga Bando la Buku

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2017
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
    100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 203

  • @bazilassey1227
    @bazilassey1227 Před 4 lety +4

    Mzee kilichokusibu mpaka kurudi kwenye mziki kitu gani jamani yaa allah tupe mwisho mwema na vizazi vyetu

    • @jonhlocha4371
      @jonhlocha4371 Před 4 lety

      Baba c hela.we mkubwa baba ela ndo m pango mzima

  • @mursilmursal
    @mursilmursal Před 4 lety +1

    Kama mzee yusuf kawacha kila kitu na kuamua kufwata dini basi hata sisi wafwasi wa mziki inapaswa tuamke na turudi kwa mwenyezi Mungu tufanye Toba ya kisawa sawa molla atufanyie wepesi in sha Allah

  • @assiamick9597
    @assiamick9597 Před 7 lety +18

    Ma shaa Allah Tabarakallah

  • @benedictsanga2560
    @benedictsanga2560 Před 7 lety +61

    Mzee Yusuph, Mwenyezi Mungu ndie Muumba naamini atakujaria kila lililojema kadiri ya kuamini kwako, Ishike Imani yako Utabarikiwa tu, Mie ni Mkristo ila namna ulivyosimama umenifurasha sana.

  • @khalimahonelo9667
    @khalimahonelo9667 Před 4 lety +13

    Sijui anaikumbuka hii interview 😭

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 Před 7 lety +2

    Mshukuru Allah kwa kukuwezesha kutubu, wenzio wanafikia kufa bado wanaimba wengine wanakufa wakiwa njiani kuendea ubaya, Allah akuongoze na azidi kukupa nguvu ya kufuata maamrisho yake na sisi pia tufe hali kuwa Allah ameturidhia

  • @khairiyyaonline3616
    @khairiyyaonline3616 Před 4 lety +2

    Gonga like nying sana hapa kwa mzee wetu Yusuphu Allah ampe kulla la kheyr

  • @naimarama5741
    @naimarama5741 Před 7 lety +9

    mashaallah 😍😍😍Allah akufanyie wepes mzee yusuphu

  • @hassanboi5906
    @hassanboi5906 Před 7 lety +20

    maashaallah mzeee yussuf
    mungu atupe wepesi waislamu wote duniani kote

  • @sadamhussein6195
    @sadamhussein6195 Před 3 lety

    Mzee yusuph ni mnafki uyoo ameingia kweny dini allah vizur lakn karudi tena kwa shetani

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 7 lety +4

    Usikate tamaa Mzee Yussuf Allah yupo pamoja nasisi

  • @mariabahati1264
    @mariabahati1264 Před 4 lety

    Mwenye Ezi Mungu ata kusahilishia na ndie mpaji wa riziki so wewe weka tuu Imani yako tuu juu zaidi na zaidi na juhudi zako na utafanikiwa saana utafika utakapo kwa uwezo wake tuu Allaah

  • @AmCool_
    @AmCool_ Před 7 lety +9

    Hawa jamaa wanahisi amefilisika au? naona maswali mengi yanahusu kipato. Mbele ya Mungu hakuna kisicho wezekana hasa ukiwa na imani thabit.
    kaa chini muombe Mungu, tegemea kwake utaona miujiza. Mzee Yussuf keep it up man, to Allah we trust. big up.

    • @mwanamisisaid8305
      @mwanamisisaid8305 Před 5 lety

      Imani ndio utakayo kwenda nayo kwa alha

    • @maulidisalumu6057
      @maulidisalumu6057 Před 4 lety

      Kama kaka anarudi kwenye gm mungu atsmripa kutokana nakosa lake mungu hampunguzi MTU au hamzidishii

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 Před 7 lety +18

    dah Allah akufishe ww na ss katika imani thabit ya uislam

  • @caabiali3606
    @caabiali3606 Před 7 lety +8

    mashaAllah mzee yusufu

  • @queencashmadam8340
    @queencashmadam8340 Před 7 lety +8

    Mashaallh

  • @aguerowakujidai5275
    @aguerowakujidai5275 Před 4 lety

    From Congo Kinshasa watching now 25/8/2020

  • @islammwatoa2990
    @islammwatoa2990 Před 7 lety +8

    mungu atakupa zaidi ya mwanzo inshaalah

  • @faizaomary2036
    @faizaomary2036 Před 4 lety +2

    Mungu akuongoze akujaalie akupe rizki za halali InshAllah

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Před 6 lety +2

    Ishaallah Allah atakufanyia wepes katika maisha yako mapya ya kumtumikia

  • @ramadhanially7060
    @ramadhanially7060 Před 7 lety +13

    mungu ampe wepes ktk suala la dini.

  • @zulufkhan1949
    @zulufkhan1949 Před 4 lety +1

    Kuwa nà subra mzee wangu

  • @bentahpreetie4497
    @bentahpreetie4497 Před 2 lety

    That's because you gave God a cold shoulder 🤔go back to your old good ways...i love your songs and yah voice..plus those toxic stoppers💪💪

  • @abdulramadhan9928
    @abdulramadhan9928 Před 7 lety +6

    jazakallah kheira

    • @jumasalum1549
      @jumasalum1549 Před 7 lety +5

      mashallah mungu azid kutuongoza katka njia ilionyooka

  • @najmamuhsin5785
    @najmamuhsin5785 Před 6 lety

    Mashaallah mashaallah allah akuongezee imani zaidi akuzidishie ujasili

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 7 lety +7

    mashallah brother

  • @kibibiseif7930
    @kibibiseif7930 Před 7 lety +32

    maswali mengine wala ilikuwa usiyajibu kuhusu kipato chako kinawahusu nn.... Allah akuongoze kwenye njia njema

    • @drmsouthsmalltrader1138
      @drmsouthsmalltrader1138 Před 7 lety +2

      ALLAH AKUONGOZE NA AKUFISHE UKIWA KTK NJIA YA SAWA SAWA
      BAKI KTK ISTIMA
      SHIKAMANA NA SUNN NA ULINGANIE NDG ZAKO

  • @aminatahwamummy539
    @aminatahwamummy539 Před 7 lety

    MashaAllah tabarakaAllah Allah atuongoze sote

  • @saidi.s.lihondo3767
    @saidi.s.lihondo3767 Před 4 lety

    mashaallah nimekuelewa vzr sana mzee yusufu.

  • @rehemaahmed1984
    @rehemaahmed1984 Před 7 lety +10

    mashallah

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 4 lety

    Subhanallah, Diin anaijua
    lakini hatujui ya imekuaje huyu mzee Yusuf kurudi mjini kutifuka na wanawake, Allah yahdii man yashaa

  • @iliasaliogopen6505
    @iliasaliogopen6505 Před 4 lety +1

    Mzee Yusuf ukirudi ktk,mziki unamtafuta ugomvi mungu nahutaiweza vita vyake.

  • @am12ghh37
    @am12ghh37 Před 4 lety

    UshakuWa jizeee babuu kwa utubiyeeee kwa mungu

  • @ashuu7youz326
    @ashuu7youz326 Před 6 lety +2

    may Allah help you Mzee Yusuf and accept your toubah

    • @saidmohd1939
      @saidmohd1939 Před 4 lety

      Ulivyo vipata kipitia mziki allah havitaki nandomana vinakutoka hadi vikimaliza ndo atakujaliavyengine

  • @hassansalum8496
    @hassansalum8496 Před 7 lety +4

    Tena wallah ra'adhim ungekufa takbiruuuu Allah Akbarrrrrrrrrrrrrr

  • @mursilmursal
    @mursilmursal Před 4 lety

    Allah akufanyie wepesi mzee Allahamdullillah

  • @mbarakapandu101
    @mbarakapandu101 Před 7 lety +11

    mungu akujalie kila lakheri usirudi tena wala habar za tarabu Ila apo patamu mmekatisha

  • @faadhilismaili3820
    @faadhilismaili3820 Před 4 lety +1

    Ma sha Allah

  • @swalainaletaamaninautulivu2239

    masha Allha mungu ndiy mpangaji wa kilakitu duniya aina faida andaa amalizako za ahela

  • @saidikapite6260
    @saidikapite6260 Před 6 lety

    mashaallah allah akubaliki kk

  • @jumaothman1427
    @jumaothman1427 Před 4 lety

    Mzee wangu, Mungu akuongoze.

  • @enockseme2246
    @enockseme2246 Před 6 lety +2

    Waliokataa wito wa Muumba wameishia pabaya! Ww umechagua njia sahihi! Mungu akujalie

  • @feruzihassan8387
    @feruzihassan8387 Před 7 lety +1

    maashAllah, Allah Akbar

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 Před 7 lety +2

    mashaallah

  • @mesalimbindo2809
    @mesalimbindo2809 Před 5 lety +1

    MashaAllah

  • @samirasamir7734
    @samirasamir7734 Před 7 lety

    allah ukbaruuuuu allah akuongoze mzee yusufu

  • @alwialhajialwi0012
    @alwialhajialwi0012 Před 4 lety

    Usikate Tamaa na Rehma Ya Allah.
    Raha Ya maisha Ni mit-han
    Na Ya mit-han Ni Subra.
    Innallah maaswabiriin.

  • @masoudomar5176
    @masoudomar5176 Před 7 lety +15

    khery inshaallah allah atuongozee wote kwa pamoja

  • @mohamedsemboga7256
    @mohamedsemboga7256 Před 4 lety

    Mmh good point

  • @maulidykhalipha5929
    @maulidykhalipha5929 Před 4 lety

    Mwenyenzi mungu akubarik

  • @luganomwankyoko2653
    @luganomwankyoko2653 Před 7 lety +6

    Duuuu safi

  • @hatibamvungi8723
    @hatibamvungi8723 Před 7 lety

    Barakallah fik

  • @getrudangelangela4984
    @getrudangelangela4984 Před 6 lety

    Hongera sana mzee yusuphu

  • @patelhanein6420
    @patelhanein6420 Před 6 lety

    Mashaallah

  • @hidayashaaban2625
    @hidayashaaban2625 Před 7 lety +1

    Bismillah Mashaa Allah hongera sana Alhaj mzee Yusuph Allah akuzidishie moyo huyo wa subra na atuongoze sote ktk njia iliyonyooka

  • @annasaid5413
    @annasaid5413 Před 7 lety +1

    mzee mungu akuongoze

  • @zainabumatumbula5721
    @zainabumatumbula5721 Před 4 lety +1

    Diamond uji funze kupitia mzee yusufu

  • @apangumombasa5265
    @apangumombasa5265 Před 6 lety

    Bro Allah akupe imani tena, na tena (in sha llaah )

  • @harunahassan7353
    @harunahassan7353 Před 5 lety

    allah akuwekeyee wepes yusufu InshaAllah

  • @alimranyusuf.6724
    @alimranyusuf.6724 Před 4 lety

    Mash Allah

  • @abubakaryomary3985
    @abubakaryomary3985 Před 4 lety

    Mashaalah

  • @mbaracksaummbaracksaummbar8930

    mash Allah

  • @yussufjuma4623
    @yussufjuma4623 Před 7 lety

    allah akbar Allah amsamehe na sisi pia

  • @nanaaalmazroynanaaalmazroy2785

    Allah akibar kaka mtoaji ni allah usimbe kwa sababu ukitaman birian unatoa mfukon bdo allah yupo na wewe utapata tu kwakila unachotaka bora kidogo anachokiriziya allah kuliko kikubwa anachokichukiya allah

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 3 lety

    Kuna wa2 wanamcngixia Mungu! Mungu kaniambia Mungu kaniambia!

  • @hassansalum8496
    @hassansalum8496 Před 7 lety +2

    wallah a'alam

  • @zuhuraabdallah3377
    @zuhuraabdallah3377 Před 4 lety

    Allah akufanyie wepesi

  • @asddsa5076
    @asddsa5076 Před 4 lety

    Allah akuthibitishe hivo hivo kabisa
    Akuepushe na Ibilisi Na sisi pia

  • @omand1761
    @omand1761 Před 7 lety +28

    Takbiiiiiiiir-Allahu akbaaaaaaarx3

  • @yusufsalum2851
    @yusufsalum2851 Před 4 lety

    IshaAllah

  • @aminarashid1798
    @aminarashid1798 Před 4 lety

    Allh akufanyie wepesi ao na wambea kila kitu wakijue khaa

  • @saidking4868
    @saidking4868 Před 4 lety

    Allah akuongoze

  • @maimunakhamis6938
    @maimunakhamis6938 Před 7 lety +1

    maashaallah
    mzee yusuph Allah akuongoze
    lkn nakukumbusha tu jua kwamba ww ni mchunga na kila mtu ataulizwa kwa anavyo vichunga
    pili Allah anasema enyi mloamin jilinden nafsi zenu na watu wenu kutokana na moto ambao kuni zake ni watu na mawe(at-tahrim 6)
    vile vile Allah anasema tena
    ( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّ مِنْ أَزْوَاجِكُمْ وَأَوْلَادِكُمْ عَدُوًّا لَّكُمْ فَاحْذَرُوهُمْ ۚ وَإِن تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ )
    التغابن (14) At-Taghaabun
    Enyi mlio amini! Hakika miongoni mwa wake zenu na watoto wenu wamo maadui zenu. Basi tahadharini nao. Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
    kwahiyo mzee yusuph kama umerud kwa Allah tengeneza wake na watoto wako kwa sbbu ww ndo masulia haiwezekan ww uwache mzik kisha mkeo awe bado anatikisa kiuno kwenye majukwaa huwon aibu ww au huna wivu?
    rasullah anasema asiyekuwa na wivu haingii pepon
    nanyi wanawake wenzangu kina dida na wengineo mchen Allah hakika maut yanakuja ghafra na mjue mtaulizwa siku ya qiyama kwa mnayo yatenda mchen Allah kwan ni mkali wa kuadhibu

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 Před 7 lety +8

    Dah amakweli hujafa hujaumbika na ni kweli kua Allah ndie anaeongoa

  • @ismailchilonga2878
    @ismailchilonga2878 Před 6 lety

    Jazakha laukherii

  • @samgaya
    @samgaya Před 7 lety +6

    mungu amuongoze inshaallah

  • @swalhaali873
    @swalhaali873 Před 4 lety

    Allah Kareem

  • @clevazonlinetv4529
    @clevazonlinetv4529 Před 7 lety +4

    Alhmdhulillah

  • @ainonlinetv8863
    @ainonlinetv8863 Před 6 lety +1

    saf Mzee yusufu

  • @rahmaali4009
    @rahmaali4009 Před 4 lety

    Ushakuwa mzee sasa

  • @sharifukitimbwisi1291
    @sharifukitimbwisi1291 Před 4 lety

    Je maneno hayo Leo yako wp

  • @rahmaalu1402
    @rahmaalu1402 Před 3 lety

    1

  • @winfridapeter4458
    @winfridapeter4458 Před 4 lety

    Jamani moto upo duniani

  • @kingdeetv2712
    @kingdeetv2712 Před 4 lety

    Hivi hii unaikumbuka????? Site tuna makosa lakini yote kwa yote yanazidia uzito lakin we shekh 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zubeeihamisi8439
    @zubeeihamisi8439 Před 5 lety +1

    Mzeyusufu nakuombea Allah akujalie gheri usirud nyuma allahakupe umri mrefu na wasaniiwengine wakiislamu waive kwako

  • @fattu1980
    @fattu1980 Před 7 lety +2

    mahaala

    • @fattu1980
      @fattu1980 Před 7 lety

      👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 7 lety +2

    BABA NAKUOMBEA SANA, MUNGU ATAKUPELEKA KATIKA VIWANGO VINGINE VYA JUU KABISA . ENDELEA KUMTUMIKIA MUNGU MZEE YUSUPH MAANA MUNGU PEKEE NDIE RAFIKI WA KWELI NA BABA WA KWELI

    • @mamavero4004
      @mamavero4004 Před 4 lety

      Yaani wasanii wengi huwa wanajisahau sana kuna maisha yanaendelea wanavyokuwa na hela wanajisahau sana kuwa kuna kufilisika baadaye au kuumwa au kukosa mia mia zinazonipa kiburi wakizidiwa wanarudi kujitangaza na kuomba michango pumbavu kweli

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 Před 5 lety

    Hiyo ni mipango. Yamungu mungu yuko pamoja na wewe usirudi nyuma riziki zako zipo ulopangiwa namungu

  • @ahmedabry3508
    @ahmedabry3508 Před 4 lety

    Laahaula wala quwwata illa billah

  • @abrahamsnoopdog5929
    @abrahamsnoopdog5929 Před 3 lety

    We mnafiki tu

  • @rajabpembe7546
    @rajabpembe7546 Před 4 lety

    Yn ukiambiw umekiuka maneno yako muogombe Mungu mzee

  • @Abidarass_huss
    @Abidarass_huss Před 4 lety

    mmmh

  • @tamatiabduly3865
    @tamatiabduly3865 Před 4 lety

    Eeeh

  • @nuddaboy7623
    @nuddaboy7623 Před 4 lety

    Ok

  • @albertojavier5931
    @albertojavier5931 Před 3 lety

    Mnafiq Mkubwa wew

  • @ummishamuni7358
    @ummishamuni7358 Před 6 lety +2

    mm nakuomba umshauri nae huyo (daimond) amkumbuke Allah

  • @saidabubakari5196
    @saidabubakari5196 Před 4 lety +1

    Alha ndo mwema kwakila jambo.

  • @yshamw511
    @yshamw511 Před 7 lety +5

    usijali kaka Allah atakuwezesha

  • @pachamc5145
    @pachamc5145 Před 4 lety +1

    Sahizi anarudi kwenye mziki

  • @aminakhamis2342
    @aminakhamis2342 Před 4 lety

    Kwani jamani ww mtangazaje nikuulize swali hemu kwan ridhki anatoa nani enh chagueni bwana maswal ya kuuliza watu msiwe sababu ya kuwashusha watu imani jamani akaaah 😥 mtihan kwa kwl