Natamani taarabu ife - Mzee Yusuph asimulia ‘alivyotibua’ ndoa za watu (NYUNDO YA BARUAN MUHUZA)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Aliyekuwa msanii wa muziki wa taarabu nchini Tanzania Alhaji Mzee Yusuph Mwinyi ameeleza na kufafanua sababu za yeye kuacha kabisa masuala ya muziki huku akisimulia mambo yasiyofaa ambayo yamekuwa yamefanyika ndani ya muziki.
    Amesema kama kuondoka kwake kwenye muziki ndiko kumechangia muziki wa taarabu kuanguka, kwake yeye ni mafanikio na anamshukuru Mungu.
    Kuhusu kuyumba kwa muziki wa taarabu nchini, Mzee amesema anatamani muziki huo uanguke kabisa na wala usiyumbe, huku akiwashauri wadau wa muziki huo watafute kazi nyingine.
    Mzee alikuwa kwenye kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza wiki hii Novemba 08, 2018 ambapo pamoja na mambo mengine amesimulia historia yake katika muziki, tangu alivyoanza sanaa na kuweka wazi tofauti ya maisha aliyonayo sasa na maisha yale ya Sanaa.
    Je, ni kwanini ameamua kumuacha mke wake na dada yake ndani ya muziki huo, Mzee amejibu swali hilo ambapo amesema mke wake tayari ameacha baada ya kupewa muda wa kuacha.
    Katika mambo anayojutia maishani , Mzee amesema anajuta kuwa mwanamuziki, huku akieleza sababu za majuto hayo na amesema kitu ambacho atamwambia Rais Magufuli endapo atapata fursa ya kukutana naye
    Amesema aliamua kucha muziki wa taarabu wakati bado anapenda, na aliamua mwenyewe bila kushurutishwa na mtu.
    Ameendelea kusisitiza nyimbo zake zisipigwe mahali kokote, huku akisema anadhani kinachosababisha nyimbo zake ziendelee kupigwa ni ubora aliokuwa nao.
    Kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku

Komentáře • 187

  • @fawziaabdurrahman2251
    @fawziaabdurrahman2251 Před 5 lety +2

    Subhanallah!
    kweli Allah akikuongoza hakuna wa kukupoteza. Na ukitubu Allah anakubadilishia yale maovu uliokua ukiyatenda Allah anayabadilisha yanakua ni amal za kheri. Allah atuongoze sote na atutakabalie toba zetu.
    na wanaosikiliza hizo nyimbo Allah awasaidie waziache.

  • @salmaalkyumi2270
    @salmaalkyumi2270 Před 5 lety +30

    Nimelipenda jibu lako ulimkosea Allah hujawakosea mashabiki so ALLAH ndie hasa anaestahili kuombwa radhi nasio mashabiki❤❤❤

    • @aliamirbakar5580
      @aliamirbakar5580 Před 4 lety

      Swadakta swadakta swadakta amuomge muumba wake msamaha simashabiki

  • @iammofrank
    @iammofrank Před 5 lety +17

    Mtangazaji kaiva haswa. Ana maswali mazuri sana. Gonga like hapa kwa mtangazaji.

  • @akindawite9493
    @akindawite9493 Před 5 lety +1

    Ma shaa llah Allah azidi kukuongoza uchamungu mpaka mwisho wa Maisha yako.

  • @maryamadam9086
    @maryamadam9086 Před 5 lety +2

    Very nice interiew. Mashalla binaadam tunasoma kwenye maisha. Tulitamani katika wenzetu tuliowataja wengi ambazo tulianza nao , umewataja kina Mbomba na Vijana wengi.wa Baraste. Tusimsahau na marehemu Omar Mlamali ambapo mikononi make walipita wengi kujifunza. Sihaba tumepata njia ya uongofu.

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 Před 5 lety +3

    Allahu Acbarr....Allah qareem mwenyexi MUNGU Umuogoa amtakae na pia umpoteza amtakae vilevile kumtaja pa kumtaja Allah nikwa uwezo wake yani dhikri Allah Akipenda umtaji unamtaja Allah asipo taka umtaje utomtaja yani dhikri so Allah akufanyie wepesi ndugu yangu katika iman Nakupenda kwajili ya Allah From Saudi Arabia

    • @saeedjuma4335
      @saeedjuma4335 Před 4 lety

      Mbna comment yako haielewek andika kitu tuelewa bhna

  • @azzaalsalty4806
    @azzaalsalty4806 Před 5 lety +1

    Ridha ya allah ni kubwa kushinda ridha za watu...waswahili wanasema ukikinai kidogo mula anakupa kingi basi kinai hicho kidogo madamu cha halali na insha allah atapata ridha ya allah...nakuombea kila la kheir la dunia na akheira ya rabi...na wingine allah atawahidi na atatuhidi sote kwa rehma zake.amin

  • @abdrashid8709
    @abdrashid8709 Před 5 lety +11

    Mashaallah yusufu.hii si uwezo wako kaka ni neema Allah hataki mja wake apotee.Mshukuru Allah kukukinaisha Mali ya dunia.Dunia ni staree mdogo na samani ndogo sana

  • @aminaabdi8078
    @aminaabdi8078 Před 5 lety +3

    Mashaallah Mzee wetu mwenyez mungu azidi kkuongoza

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 Před 5 lety +40

    Allah akufungulie inshaallah upate ridhiki ya uhalali zaidi kweli acha mungu aitwe mungu na tasbii mkononi mashaallah

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +6

    Mashallah, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga 🙏

  • @chedichedi2992
    @chedichedi2992 Před 5 lety +5

    Allah asitujaalie kifo ispokua tufe tukiwa tumetubu.

  • @nasucleopugomba9089
    @nasucleopugomba9089 Před 5 lety +2

    Masha Allah ALLAH atakulipa inshaAllah akuongoze na kukujaaliya mwisho mwema umechagua njia ilo njema ALLAH bark

  • @waziriislam2455
    @waziriislam2455 Před 5 lety +5

    ALLAH AKUONGOZE KTK NJIA SAHIHI NA USHAURI WANGU JITAHIDI KAKA YANGU USOME DINI ACHA KUTOKA TOKA NA MATABLIGH PIA ACHA KUIMBA IMBA MIKASWIDA UMETOKA KULE KUIMBA TAARAB UMEKUJA UKU KUIMBA KASWIDA IYO INAITWA, POMBE NIPOMBE AIJALISHI IMETENGENEZWA NANINI IKIWA INALEWA NIHARAMU KWAHIYO ACHA KASWIDA WW DILI NA KUSOMA DINI YAKO TU

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 Před 5 lety +9

    Mwenyezimungu akufungulie njia zako inshaallah

  • @Huhason
    @Huhason Před 5 lety +1

    How can you regret being a musician and its God given kipaji .dont enjoy us tho

  • @user-qr2gj3jp9l
    @user-qr2gj3jp9l Před 5 lety +2

    Dah mashallah mzee Yussuf we unajuta kuna mijitu inatamani

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 Před 5 lety +11

    Allah Atujaalie taubatanasuha kabla ya mauti

  • @salimrajabu4688
    @salimrajabu4688 Před 5 lety +21

    Maasha Allah na pia akufungulie milango ya rizki ukiwa nje ya Muzk

    • @shabanmbajo3938
      @shabanmbajo3938 Před 5 lety

      Salim Rajabu اللهم آمين يا رب العالمين

  • @nurudinisalmu4912
    @nurudinisalmu4912 Před 5 lety +2

    ياالله جزاه خيرا

  • @chunafetty6737
    @chunafetty6737 Před 5 lety +17

    MashaAllah ndio kheri maisha yenyewe mafupi

  • @abuuhudhaifa4574
    @abuuhudhaifa4574 Před 5 lety +1

    Masha Allah, Jazaka Allahu Khairah.
    Uamuzi mzuri Mzee Yusuf.

  • @hashimchengo6029
    @hashimchengo6029 Před 5 lety +1

    Mwenyezi mmgu azidi kukuongoza Inshaallah.

  • @faizasaleh9783
    @faizasaleh9783 Před 5 lety

    Masha allaha mungu amekupenda wallahi nafurahi sana umeondia mzingo mkumbwa juu ya kichwa chako

  • @katundakiliza5894
    @katundakiliza5894 Před 5 lety

    Mashaallah alhamdulillah Allah Akbar namuomba Allah amhifadh Alhaj MZEE yusuph pia na Allah amcmamie kla lakheri na hatua anayoipita Mashaallah alhamdulillah mungu ndo hakim na mfalme mjuz

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 Před 4 lety

    maa shaa llah kilichomfanya mzee yusuf aache taarab ni swala tano huyu mzee nnavyomkumbuka toka anaimba taarab hakuacha sala tano nilikua nakutana naye sana msikitini maa shaa llah BAARAKA LLAHU FIIKA al haji mzee yuusuf

  • @zainabumronga9342
    @zainabumronga9342 Před 5 lety +3

    Allah apokee toba yako naakuongoze katika kher na inshaallah uipate Jannah firdaus ,

  • @zuwenaphillipssosnowka8935

    Allah humuongoza amtakae na humpotosha amtakae, pia Allah humbadilisha atakae kubadilishwa. Takbir. Kazi ya Allah hio. Mashallah mzee yusuf

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety +1

    Mashaallah ALLAH azidi kukuongoza alhaji mzee yusuphu

  • @jvhkbvjnvjkbcjbvcj2822
    @jvhkbvjnvjkbcjbvcj2822 Před 5 lety +1

    Umependeza kwaajili ya Allah.mungu akuongoze inshaallah

  • @azizalmasroori6976
    @azizalmasroori6976 Před 5 lety

    Ali Kba na Diamond zindukeni ndugu zangu.Kwanza natoa shukrani zangu kwa watayarishaji wa hiki kipindi.Tunamshukuru Allah kwa kumjaalia mwenzetu kuuona uongofu. Allah amzidishie imani na matendo mema. Napenda kurekebisha kidogo pale Al Hajj Yusuf aliposema kwamba kwamba angelizipata pesa za mauzo ya nyimbo zake angelijenga Msikiti. Na kasema ingelikuwa safi sana kufanya hivo. Hapo amekuosea ndugu yetu, kwani pesa zinazopatikana kwa njia kama hizo haijuzu kujengea msikiti kwasababu msikiti ni nyumba ya Allah. Na Allah kasema yeye ni mzuri na anapenda vizuri. Pesa hizo zinafaa kwa kutoa msaada wa huduma za jamii kama vile kujenga barabara, vyoo, kuchimba visima lakini sio kujengea msikiti. Pili mtu anapo rudi kwa Allah huwa anajutia alioyafanya na hayahadithi tena na wala hataki kukumbushwa. Na pia awe kiongozi wa kuyakataza kwa wengine wasije kutumbukia kwenye maovu kama yeye. Nasema haya kwasababu kuna baadhi ya wengine wanatoka wao kwenye maasi na kutubu huku nyuma wanawaachia urithi watoto wao wa kuendeleza maasi yale. Kwa mfano studio na vifaa vyengine vya kufanyia kazi hizo. Hii haifai kabisa inatakiwa anapotubu aondoshe kila kile ambacho kilikuwa kinatengeneza maasi hayo. Isiwe kuwaachia watoto waanye na wao halafu wajekutubu baadae. Zuwia kabisa mzizi wa maasi uukate.Mwisho tunawaombea ndugu zetu wengine kina Ali Kiba na Diamond na wengineo na wao wazinduke.

  • @hassanambarakmbarak8759

    Mzee Yusuf ni mbafki Africa nzim

  • @user-sz8ct3ni9z
    @user-sz8ct3ni9z Před 4 lety +1

    Allah akupe umri mulefu uzidikumuomba musama sana

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 Před 4 lety

    Allah akulipe jazza njema mzee yusuf nakuombea kwa Allah azid kukunusuru kama alivyo kunusuru maana hakuna nusura duniani zaidi ya nusura ya Allah

  • @abseleibra2479
    @abseleibra2479 Před 5 lety +2

    Sawa taarabu wapenda ife,ulienda kwa Hajj vizuri sana jee bibiako bado anaimba ,na Qur'an unaifahamu vizuri,

  • @ameenaameena5727
    @ameenaameena5727 Před 4 lety

    Mzee yusuf umerudi kwa shetwani mwenyezimgu atuongoze umedharau dini kisa njaa umedhau mashekhe wetu duniya mapito

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 Před 5 lety +12

    Alikiba achana namuziki nawewe tuna kuwombeya nawewe uwache mana unnatabiyanzuri

    • @zahararajabu4169
      @zahararajabu4169 Před 5 lety +1

      Kwel sana my

    • @hassanmagali6098
      @hassanmagali6098 Před 5 lety +1

      Wenye tabia mbaya ndio wana takiwa walinganiwe

    • @allymahmoud9951
      @allymahmoud9951 Před 4 lety

      Shekhe,m.mungu akuongoze mambo mema,lakini usitowe fursa kunazungumza mambo yako ya nyuma uliyo fanya.m.mungu akujaalie mambo mema.

  • @daybakari1883
    @daybakari1883 Před 4 lety

    Yusuph wewe nami tumuogope Allah, umachofanya tena si sahihi, kumbuka mziki wa taarab,inavishawish vingi,inachochea mambo mengi ya kumuudhi allah, Allah akuepushe na maasia

  • @salumubakari4521
    @salumubakari4521 Před 5 lety +1

    mashaallah alhaji Allah akufanyie wepesi ameen

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 Před 5 lety +1

    Hongera sana mzee yussuf allah akuongeze na akujaalie upate na elimu

  • @amananassor524
    @amananassor524 Před 5 lety +10

    tupo pamoja mzee nipo jeddah saudi arabia

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 Před 5 lety

      Jeddah sehemu gani?? Mimi nipo Wilaya ya Al-Salaamah, Mtaa wa Yamama namba zangu ni 0568923396 nichek

  • @calvincosmas8046
    @calvincosmas8046 Před 5 lety +4

    Mwanzo ulifanya bora ila kwa sasa unafanya bora zaidi

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Před 5 lety

    Alhajj umenifurahisha sana, Allah akusimamie zaidi na zaidi Insha Allah

  • @rahmahussein1601
    @rahmahussein1601 Před 5 lety +1

    Mashallah .

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 Před 5 lety +1

    Subhanallah mungu kakupenda yusufu

  • @nansikilovele1424
    @nansikilovele1424 Před 5 lety

    ahsante, mungu KWA mungu kuna rahaaa umenenepanmzee maanshaaalah

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 Před 5 lety +4

    mashallah akulipe

  • @sabrinayounisaden7238
    @sabrinayounisaden7238 Před 5 lety +1

    Mashaa Allah.

  • @asyahamad4424
    @asyahamad4424 Před 4 lety

    Tujuane walio angalia baaada ya hiya mwehu kirudi mjiniiiiiii

  • @alphonceshijamisoji5340
    @alphonceshijamisoji5340 Před 5 lety +1

    umenigusa sana alhadji,mungu akujalie

  • @beautifulfarysultan6664

    ishallah mungu atakulipa na kukufungulia rizki zahalali ishallah zitoshe mahitajiyako Allah azidi kukuongoza🤲🤓

  • @allyking324
    @allyking324 Před 5 lety +14

    Usimuulize maswali ya kumzidishia iman si maswali ya mambo yalio pita

  • @shadyabhaij6685
    @shadyabhaij6685 Před 5 lety +1

    Masha Allah allah akuzidishie🙏

  • @mohammedabdallah6036
    @mohammedabdallah6036 Před 5 lety

    Mashallah mungu akufungulie ustadh hajj yussuf.

  • @ladylady8440
    @ladylady8440 Před 4 lety

    Mungu amnusuru mond nae ajitambue mapema

  • @rahimmohamed4582
    @rahimmohamed4582 Před 5 lety +4

    Mashallah

  • @aboumaburaramadhan4188

    Mashaalha umefany jambo kubwa sana mung atuogoz kweny njia ilio nyoka .

  • @hamedhamiar3201
    @hamedhamiar3201 Před 5 lety +1

    mashaalah mzazi

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 Před 5 lety

    Allahu Akbr twafurai kumrudia Allah

  • @marrykimweli1370
    @marrykimweli1370 Před 5 lety

    umechelewa tutazipiga nyimbo zako mpaka mwisho

  • @ashwaagkarama1588
    @ashwaagkarama1588 Před 5 lety +1

    MashaAllah

  • @Kibitiyetu1
    @Kibitiyetu1 Před 5 lety +1

    Mzee Anapepesa maneno

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před 5 lety +8

    Mzee yusuf Alhamdulillah umeacha music lakini nakuomba usihadisie makosa uliofanya maana ulitubia kwa Allah maana kiislamu tunaambiwa tusiadisie dhambi zetu

    • @fauziakatumbi7954
      @fauziakatumbi7954 Před 5 lety

      Umeona wapi amesimulia ?
      Kuna naswaha na kuhadisia
      Huyu mzee Yusuf ni msomi wa dini

    • @zeynisumbi8599
      @zeynisumbi8599 Před 5 lety

      Anasimulia ili watu wapate Ibra,, Mazingatio,, Hayo Mas-ala hujayaelewa vizuri rejea Fiqhi vizuri,,

  • @uthmanzombe2242
    @uthmanzombe2242 Před 4 lety

    Leo umerudi tena,muogope Allah.

  • @khalekichambo2143
    @khalekichambo2143 Před 5 lety +1

    Allah azidi kukuongoza na sisi

  • @muddyhengo2899
    @muddyhengo2899 Před 5 lety +5

    umefanya vizur

  • @fatmaalismaili2861
    @fatmaalismaili2861 Před 5 lety

    Mungu akuhifadhi brother uzidi taa yarab ameen

  • @mansuriahmad3733
    @mansuriahmad3733 Před 5 lety +7

    Allah azikubali juhudi zako mzee yusuph

  • @a.856
    @a.856 Před 5 lety

    Kila.la.kher mzee na sie sote allah atuongoze ktk njia sahihi.

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 Před 4 lety

    Saf sana mzee wetu

  • @hafidhissa1499
    @hafidhissa1499 Před 5 lety

    Ukiomba toba haipaswi Kungolea yaliopita.. Allah atusamehe

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 Před 5 lety +1

    Alhhamdulillah

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 Před 5 lety +2

    Napenda maswali ya Baruani...

  • @jongojongo9388
    @jongojongo9388 Před 5 lety +9

    na ukijutia uliyoyafanya no vizuri kuliko kuyafurahiaa Alla atuongoze

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 Před 5 lety

    Masha Allah,Allah akufanyie wepesi,

  • @bintisuleimani7124
    @bintisuleimani7124 Před 5 lety +5

    Mashaallaah mungu akuzidishe

  • @paulmigoye1971
    @paulmigoye1971 Před 4 lety

    Mzee Yusuf wachaa kusimulia we we ni All hajj mzee., Nikama unashabikia.

  • @bensonmwakyando5776
    @bensonmwakyando5776 Před 5 lety +1

    Kuimba ni kipaji kama vile kucheza mpira. Ila ukiingiza mambo ya kishirikina kwenye kipaji,basi inakuwa dhambi. So binafsi siamin kama kuimba ni dhambi labda kama unaimba kwa nguvu za kishirikina. Maana kuimba ni kazi au Ajira.

  • @barkembarak9270
    @barkembarak9270 Před 5 lety

    Allah akufungulea inshallah

  • @umarsaid9912
    @umarsaid9912 Před 5 lety +6

    Kwel Isha amesema Bora Maskin huru kuliko tajiri mtumwa

  • @sabahumedia7053
    @sabahumedia7053 Před 5 lety

    Allah atujaalie mwisho mwema

  • @dominianmpombe3640
    @dominianmpombe3640 Před 4 lety

    Kuna ule wimbo wa mwanamuziki fulani, unaimba..., "Atarudii...". Sasa amerudi mwaka huu Machi au april 2020

  • @aminarmkanyasine6888
    @aminarmkanyasine6888 Před 5 lety

    mashallah pita mote kama ulivopita na muzik

    • @aishakimaro5276
      @aishakimaro5276 Před 4 lety

      Daah Allah Akupe Stahiki Yako Cz Ss Wengine Tuwasemaji Tu But Mwamuz Wa Mwisho Ni Allah But Niseme Tu Niliangalia Hii Naumia Sana Cz Umenifedheesha Sana

  • @zubedaramadhani5777
    @zubedaramadhani5777 Před 5 lety

    Allah akuongoze katika njia ya kheir

  • @AMIR_MANGISI
    @AMIR_MANGISI Před 5 lety

    sawa sawa

  • @muhaboy3740
    @muhaboy3740 Před 5 lety +3

    Watu bwana mtu akisha pata pesa anaacha mambo yake xaxa mungu naye anatak Mali ulizo nazo uwape masikin uanze moja ndokutubu

    • @valentinamussa4212
      @valentinamussa4212 Před 5 lety

      Wasanii bwana mkipata pesa ndo mnajifanya kumjua mungu,ila wakati mko na umaarufu,hakuna lolote nyie ndo kina rose muhando mnakuwa ma Freemason,mkiona mmekaribia kufa mnajifanya mnamujua mungu,mnakuwaga mafreemason,wakiwahitaji kufa mnakimbilia mbinguni wajinga nyie,mungu anawaona

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 Před 5 lety

    Inshaa Allah kheri ya yusuf

  • @renaldowhittaker5191
    @renaldowhittaker5191 Před 4 lety

    Vipi sasa Leo mze

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah1571 Před 5 lety +8

    Ushauri wangu ni kukutana na basata hata Kwa malipo ili wasimamie Hilo Kwa vyombo vya habari radio, TV na ha CZcams ukifatia vizuri hazito onnekana.

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 Před 5 lety

    Manshaallah allah akuweke

  • @neemajoseph8075
    @neemajoseph8075 Před 5 lety

    Hongela baba

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +1

    Wanawake wengi waliumia kutelekezwa na watt na wanaume wengi hata kaz zilikua zikiwashinda kwaajili ya mawazo mke hashikiki anasponsa kampata kwa mzee yusufu

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 Před 5 lety

    Kweli amen

    • @rayasalum2624
      @rayasalum2624 Před 5 lety

      mashallh munguakuongozee ktk njia ilionyooka lkn mshaury namkeo aache kwasababu bado ww masuulia yamkewe ishallh mungu amuhidii nayy aache

  • @abbuabbu2247
    @abbuabbu2247 Před 4 lety +1

    Daimond uko wp unasubir nn mdogo wangu alikiba nikwamba mnataka mfie ukafirin au tubien kwa mola ndugu zangun

  • @aboubakaryjuma8349
    @aboubakaryjuma8349 Před 4 lety

    Huyu Jamaa aangalii haya aliyoyasema?Inna lillah wainna ilayh rajiun

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 4 lety

    Tunao angalia asaiv baada ya kurudi kwny taarab tujuane

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 Před 5 lety

    Taarab ife kwakuwaumeshatajirika .fyuuu.

    • @akindawite9493
      @akindawite9493 Před 5 lety

      inna lillahi waina ilayh raajiuun.umefilisika kifikra Ziada.

    • @shaibuabdhallah155
      @shaibuabdhallah155 Před 4 lety

      Ziada wewe si mtoto wa kiislam mbona unaongea kama haujielew

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 Před 5 lety

    ماشاء الله، ALLAH AKUPE nuru ZAIDI, HIZO ndio athari za kumweka ALLAH mbele

  • @godlucksamwel7560
    @godlucksamwel7560 Před 5 lety

    Kila raheli Alhaj

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 Před 5 lety +1

    Maashaallah