Natamani taarabu ife - Mzee Yusuph asimulia ‘alivyotibua’ ndoa za watu (NYUNDO YA BARUAN MUHUZA)
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Aliyekuwa msanii wa muziki wa taarabu nchini Tanzania Alhaji Mzee Yusuph Mwinyi ameeleza na kufafanua sababu za yeye kuacha kabisa masuala ya muziki huku akisimulia mambo yasiyofaa ambayo yamekuwa yamefanyika ndani ya muziki.
Amesema kama kuondoka kwake kwenye muziki ndiko kumechangia muziki wa taarabu kuanguka, kwake yeye ni mafanikio na anamshukuru Mungu.
Kuhusu kuyumba kwa muziki wa taarabu nchini, Mzee amesema anatamani muziki huo uanguke kabisa na wala usiyumbe, huku akiwashauri wadau wa muziki huo watafute kazi nyingine.
Mzee alikuwa kwenye kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza wiki hii Novemba 08, 2018 ambapo pamoja na mambo mengine amesimulia historia yake katika muziki, tangu alivyoanza sanaa na kuweka wazi tofauti ya maisha aliyonayo sasa na maisha yale ya Sanaa.
Je, ni kwanini ameamua kumuacha mke wake na dada yake ndani ya muziki huo, Mzee amejibu swali hilo ambapo amesema mke wake tayari ameacha baada ya kupewa muda wa kuacha.
Katika mambo anayojutia maishani , Mzee amesema anajuta kuwa mwanamuziki, huku akieleza sababu za majuto hayo na amesema kitu ambacho atamwambia Rais Magufuli endapo atapata fursa ya kukutana naye
Amesema aliamua kucha muziki wa taarabu wakati bado anapenda, na aliamua mwenyewe bila kushurutishwa na mtu.
Ameendelea kusisitiza nyimbo zake zisipigwe mahali kokote, huku akisema anadhani kinachosababisha nyimbo zake ziendelee kupigwa ni ubora aliokuwa nao.
Kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku
Subhanallah!
kweli Allah akikuongoza hakuna wa kukupoteza. Na ukitubu Allah anakubadilishia yale maovu uliokua ukiyatenda Allah anayabadilisha yanakua ni amal za kheri. Allah atuongoze sote na atutakabalie toba zetu.
na wanaosikiliza hizo nyimbo Allah awasaidie waziache.
Nimelipenda jibu lako ulimkosea Allah hujawakosea mashabiki so ALLAH ndie hasa anaestahili kuombwa radhi nasio mashabiki❤❤❤
Swadakta swadakta swadakta amuomge muumba wake msamaha simashabiki
Mtangazaji kaiva haswa. Ana maswali mazuri sana. Gonga like hapa kwa mtangazaji.
Ma shaa llah Allah azidi kukuongoza uchamungu mpaka mwisho wa Maisha yako.
Very nice interiew. Mashalla binaadam tunasoma kwenye maisha. Tulitamani katika wenzetu tuliowataja wengi ambazo tulianza nao , umewataja kina Mbomba na Vijana wengi.wa Baraste. Tusimsahau na marehemu Omar Mlamali ambapo mikononi make walipita wengi kujifunza. Sihaba tumepata njia ya uongofu.
Allahu Acbarr....Allah qareem mwenyexi MUNGU Umuogoa amtakae na pia umpoteza amtakae vilevile kumtaja pa kumtaja Allah nikwa uwezo wake yani dhikri Allah Akipenda umtaji unamtaja Allah asipo taka umtaje utomtaja yani dhikri so Allah akufanyie wepesi ndugu yangu katika iman Nakupenda kwajili ya Allah From Saudi Arabia
Mbna comment yako haielewek andika kitu tuelewa bhna
Ridha ya allah ni kubwa kushinda ridha za watu...waswahili wanasema ukikinai kidogo mula anakupa kingi basi kinai hicho kidogo madamu cha halali na insha allah atapata ridha ya allah...nakuombea kila la kheir la dunia na akheira ya rabi...na wingine allah atawahidi na atatuhidi sote kwa rehma zake.amin
Mashaallah yusufu.hii si uwezo wako kaka ni neema Allah hataki mja wake apotee.Mshukuru Allah kukukinaisha Mali ya dunia.Dunia ni staree mdogo na samani ndogo sana
Mashaallah Mzee wetu mwenyez mungu azidi kkuongoza
Allah akufungulie inshaallah upate ridhiki ya uhalali zaidi kweli acha mungu aitwe mungu na tasbii mkononi mashaallah
Mashallah, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga 🙏
Amiin
Allah asitujaalie kifo ispokua tufe tukiwa tumetubu.
Amiiin yarabbi
Masha Allah ALLAH atakulipa inshaAllah akuongoze na kukujaaliya mwisho mwema umechagua njia ilo njema ALLAH bark
ALLAH AKUONGOZE KTK NJIA SAHIHI NA USHAURI WANGU JITAHIDI KAKA YANGU USOME DINI ACHA KUTOKA TOKA NA MATABLIGH PIA ACHA KUIMBA IMBA MIKASWIDA UMETOKA KULE KUIMBA TAARAB UMEKUJA UKU KUIMBA KASWIDA IYO INAITWA, POMBE NIPOMBE AIJALISHI IMETENGENEZWA NANINI IKIWA INALEWA NIHARAMU KWAHIYO ACHA KASWIDA WW DILI NA KUSOMA DINI YAKO TU
👍👍👍👍
Mwenyezimungu akufungulie njia zako inshaallah
How can you regret being a musician and its God given kipaji .dont enjoy us tho
Dah mashallah mzee Yussuf we unajuta kuna mijitu inatamani
Allah Atujaalie taubatanasuha kabla ya mauti
Ameen.
Maasha Allah na pia akufungulie milango ya rizki ukiwa nje ya Muzk
Salim Rajabu اللهم آمين يا رب العالمين
ياالله جزاه خيرا
MashaAllah ndio kheri maisha yenyewe mafupi
MAmbo.
Pig.0719845633
Masha Allah, Jazaka Allahu Khairah.
Uamuzi mzuri Mzee Yusuf.
Mwenyezi mmgu azidi kukuongoza Inshaallah.
Masha allaha mungu amekupenda wallahi nafurahi sana umeondia mzingo mkumbwa juu ya kichwa chako
Mashaallah alhamdulillah Allah Akbar namuomba Allah amhifadh Alhaj MZEE yusuph pia na Allah amcmamie kla lakheri na hatua anayoipita Mashaallah alhamdulillah mungu ndo hakim na mfalme mjuz
maa shaa llah kilichomfanya mzee yusuf aache taarab ni swala tano huyu mzee nnavyomkumbuka toka anaimba taarab hakuacha sala tano nilikua nakutana naye sana msikitini maa shaa llah BAARAKA LLAHU FIIKA al haji mzee yuusuf
Allah apokee toba yako naakuongoze katika kher na inshaallah uipate Jannah firdaus ,
Mm mwenyewe niliachwa sababu ya mzee yusfu
Polesa😂😂😂
Allah humuongoza amtakae na humpotosha amtakae, pia Allah humbadilisha atakae kubadilishwa. Takbir. Kazi ya Allah hio. Mashallah mzee yusuf
Mashaallah ALLAH azidi kukuongoza alhaji mzee yusuphu
Umependeza kwaajili ya Allah.mungu akuongoze inshaallah
Ali Kba na Diamond zindukeni ndugu zangu.Kwanza natoa shukrani zangu kwa watayarishaji wa hiki kipindi.Tunamshukuru Allah kwa kumjaalia mwenzetu kuuona uongofu. Allah amzidishie imani na matendo mema. Napenda kurekebisha kidogo pale Al Hajj Yusuf aliposema kwamba kwamba angelizipata pesa za mauzo ya nyimbo zake angelijenga Msikiti. Na kasema ingelikuwa safi sana kufanya hivo. Hapo amekuosea ndugu yetu, kwani pesa zinazopatikana kwa njia kama hizo haijuzu kujengea msikiti kwasababu msikiti ni nyumba ya Allah. Na Allah kasema yeye ni mzuri na anapenda vizuri. Pesa hizo zinafaa kwa kutoa msaada wa huduma za jamii kama vile kujenga barabara, vyoo, kuchimba visima lakini sio kujengea msikiti. Pili mtu anapo rudi kwa Allah huwa anajutia alioyafanya na hayahadithi tena na wala hataki kukumbushwa. Na pia awe kiongozi wa kuyakataza kwa wengine wasije kutumbukia kwenye maovu kama yeye. Nasema haya kwasababu kuna baadhi ya wengine wanatoka wao kwenye maasi na kutubu huku nyuma wanawaachia urithi watoto wao wa kuendeleza maasi yale. Kwa mfano studio na vifaa vyengine vya kufanyia kazi hizo. Hii haifai kabisa inatakiwa anapotubu aondoshe kila kile ambacho kilikuwa kinatengeneza maasi hayo. Isiwe kuwaachia watoto waanye na wao halafu wajekutubu baadae. Zuwia kabisa mzizi wa maasi uukate.Mwisho tunawaombea ndugu zetu wengine kina Ali Kiba na Diamond na wengineo na wao wazinduke.
Mzee Yusuf ni mbafki Africa nzim
Allah akupe umri mulefu uzidikumuomba musama sana
Allah akulipe jazza njema mzee yusuf nakuombea kwa Allah azid kukunusuru kama alivyo kunusuru maana hakuna nusura duniani zaidi ya nusura ya Allah
Sawa taarabu wapenda ife,ulienda kwa Hajj vizuri sana jee bibiako bado anaimba ,na Qur'an unaifahamu vizuri,
Mzee yusuf umerudi kwa shetwani mwenyezimgu atuongoze umedharau dini kisa njaa umedhau mashekhe wetu duniya mapito
Alikiba achana namuziki nawewe tuna kuwombeya nawewe uwache mana unnatabiyanzuri
Kwel sana my
Wenye tabia mbaya ndio wana takiwa walinganiwe
Shekhe,m.mungu akuongoze mambo mema,lakini usitowe fursa kunazungumza mambo yako ya nyuma uliyo fanya.m.mungu akujaalie mambo mema.
Yusuph wewe nami tumuogope Allah, umachofanya tena si sahihi, kumbuka mziki wa taarab,inavishawish vingi,inachochea mambo mengi ya kumuudhi allah, Allah akuepushe na maasia
mashaallah alhaji Allah akufanyie wepesi ameen
Hongera sana mzee yussuf allah akuongeze na akujaalie upate na elimu
tupo pamoja mzee nipo jeddah saudi arabia
Jeddah sehemu gani?? Mimi nipo Wilaya ya Al-Salaamah, Mtaa wa Yamama namba zangu ni 0568923396 nichek
Mwanzo ulifanya bora ila kwa sasa unafanya bora zaidi
Alhajj umenifurahisha sana, Allah akusimamie zaidi na zaidi Insha Allah
Mashallah .
Subhanallah mungu kakupenda yusufu
ahsante, mungu KWA mungu kuna rahaaa umenenepanmzee maanshaaalah
mashallah akulipe
Mashaa Allah.
Tujuane walio angalia baaada ya hiya mwehu kirudi mjiniiiiiii
umenigusa sana alhadji,mungu akujalie
ishallah mungu atakulipa na kukufungulia rizki zahalali ishallah zitoshe mahitajiyako Allah azidi kukuongoza🤲🤓
Usimuulize maswali ya kumzidishia iman si maswali ya mambo yalio pita
Masha Allah allah akuzidishie🙏
Mashallah mungu akufungulie ustadh hajj yussuf.
Mungu amnusuru mond nae ajitambue mapema
Mashallah
Mashaalha umefany jambo kubwa sana mung atuogoz kweny njia ilio nyoka .
mashaalah mzazi
Allahu Akbr twafurai kumrudia Allah
umechelewa tutazipiga nyimbo zako mpaka mwisho
MashaAllah
Mzee Anapepesa maneno
Mzee yusuf Alhamdulillah umeacha music lakini nakuomba usihadisie makosa uliofanya maana ulitubia kwa Allah maana kiislamu tunaambiwa tusiadisie dhambi zetu
Umeona wapi amesimulia ?
Kuna naswaha na kuhadisia
Huyu mzee Yusuf ni msomi wa dini
Anasimulia ili watu wapate Ibra,, Mazingatio,, Hayo Mas-ala hujayaelewa vizuri rejea Fiqhi vizuri,,
Leo umerudi tena,muogope Allah.
Karudi wapi
Allah azidi kukuongoza na sisi
umefanya vizur
Mungu akuhifadhi brother uzidi taa yarab ameen
Allah azikubali juhudi zako mzee yusuph
Kila.la.kher mzee na sie sote allah atuongoze ktk njia sahihi.
Saf sana mzee wetu
Ukiomba toba haipaswi Kungolea yaliopita.. Allah atusamehe
Alhhamdulillah
Napenda maswali ya Baruani...
na ukijutia uliyoyafanya no vizuri kuliko kuyafurahiaa Alla atuongoze
Masha Allah,Allah akufanyie wepesi,
Mashaallaah mungu akuzidishe
Mzee Yusuf wachaa kusimulia we we ni All hajj mzee., Nikama unashabikia.
Kuimba ni kipaji kama vile kucheza mpira. Ila ukiingiza mambo ya kishirikina kwenye kipaji,basi inakuwa dhambi. So binafsi siamin kama kuimba ni dhambi labda kama unaimba kwa nguvu za kishirikina. Maana kuimba ni kazi au Ajira.
Allah akufungulea inshallah
Kwel Isha amesema Bora Maskin huru kuliko tajiri mtumwa
Allah atujaalie mwisho mwema
Kuna ule wimbo wa mwanamuziki fulani, unaimba..., "Atarudii...". Sasa amerudi mwaka huu Machi au april 2020
Nani karudi na karudi wapi
mashallah pita mote kama ulivopita na muzik
Daah Allah Akupe Stahiki Yako Cz Ss Wengine Tuwasemaji Tu But Mwamuz Wa Mwisho Ni Allah But Niseme Tu Niliangalia Hii Naumia Sana Cz Umenifedheesha Sana
Allah akuongoze katika njia ya kheir
sawa sawa
Watu bwana mtu akisha pata pesa anaacha mambo yake xaxa mungu naye anatak Mali ulizo nazo uwape masikin uanze moja ndokutubu
Wasanii bwana mkipata pesa ndo mnajifanya kumjua mungu,ila wakati mko na umaarufu,hakuna lolote nyie ndo kina rose muhando mnakuwa ma Freemason,mkiona mmekaribia kufa mnajifanya mnamujua mungu,mnakuwaga mafreemason,wakiwahitaji kufa mnakimbilia mbinguni wajinga nyie,mungu anawaona
Inshaa Allah kheri ya yusuf
Vipi sasa Leo mze
Ushauri wangu ni kukutana na basata hata Kwa malipo ili wasimamie Hilo Kwa vyombo vya habari radio, TV na ha CZcams ukifatia vizuri hazito onnekana.
Manshaallah allah akuweke
Hongela baba
Wanawake wengi waliumia kutelekezwa na watt na wanaume wengi hata kaz zilikua zikiwashinda kwaajili ya mawazo mke hashikiki anasponsa kampata kwa mzee yusufu
Kweli amen
mashallh munguakuongozee ktk njia ilionyooka lkn mshaury namkeo aache kwasababu bado ww masuulia yamkewe ishallh mungu amuhidii nayy aache
Daimond uko wp unasubir nn mdogo wangu alikiba nikwamba mnataka mfie ukafirin au tubien kwa mola ndugu zangun
Huyu Jamaa aangalii haya aliyoyasema?Inna lillah wainna ilayh rajiun
Tunao angalia asaiv baada ya kurudi kwny taarab tujuane
Taarab ife kwakuwaumeshatajirika .fyuuu.
inna lillahi waina ilayh raajiuun.umefilisika kifikra Ziada.
Ziada wewe si mtoto wa kiislam mbona unaongea kama haujielew
ماشاء الله، ALLAH AKUPE nuru ZAIDI, HIZO ndio athari za kumweka ALLAH mbele
Kila raheli Alhaj
Maashaallah