BASHE AMJIBU RAIS SAMIA ISHU YA SUKARI NA MPUNGA MBELE YA HADHARA "NALISIMAMIA MWENYEWE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 64

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před měsícem +2

    Kwa ulinganishi ulioufanya hapo wa bei ya mpunga kiukweli hio bei nadhani itakuwa rafiki jitihada ziwepo tu kwenye ruzuku za pembejeo na kwani hata mlaji hataathirika kwani kinachoumiza bei ya vyakula ni madalali na kufanya wananchi waone maisha magumu Ahsante sana Bashe Binafsi niko pamoja nawe kwenye hilo kama vile kwenye sukari ulivyoshusha bei

  • @HalimaFarahnuru-nj1ei
    @HalimaFarahnuru-nj1ei Před měsícem

    upo vizuri kaka achana nao hao

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 Před měsícem +2

    Mna viwanda vingapi vya kutengeneza nguo. Vertical integration hapo inahitajika. Msisafirishe raw materials ya pamba. Establish viwanda vya kutengeneza nguo

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Před měsícem +1

    Serikali haiwezi kamwe kuwa na suluhisho la kudumu la maswala ya mazao kama hawataweka bei permanent za mazao. Zaidi tunajua ni migogoro isiyoisha. Mkulima anajitoa mhanga kulima, kangalia shamba, then serikali inampangia bei isiyo rafiki kwa ke, sasa hii sio maendeleo ni kurudisha nyuma wakulima.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před měsícem +5

    Tumekusubili dodoma uje utujibu ufisadi wako kwenye sukari.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +2

    Bashe wewe ni genge la mafisadi,acha kumdadanganya huyo mama

  • @RichardIbrahim-bl8kd
    @RichardIbrahim-bl8kd Před měsícem +2

    Kama mtafanya hivyo mtatusaidia sana

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 Před měsícem

    Hamna jipya ufisadi tuu umewajaa.hakuna chochote mnacho fanya kwa Watanzania.ila shukuruni Watanzania wengi mazwazwa hawana akili kichwani ndiyo mnachukulia advantage hiyo.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Kwani hiyo mbolea unanunua kwa pesa ya CCM? Ni pesa ya serikali kwahiyo hata vyama vingine vinaweza kutumia hizo pesa kufanya vizuri zaidi kuliko ninyi mafisadi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Kuruhusu kuingiza sukari holela si itafanya mashamba ya sukari kufa? Mashamba yakifa hao wakulima wa miwa na wao watakufa au watasimama

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 Před měsícem +2

    Ila jamaa jasho linamtoka mcheki kifuani shati linalowa

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 Před měsícem

    Pia tuongeze nguvu kukuza soko la inje la mchere ili huo mpunga utakao nunuliwa kwa bei ya 900 usilundikane na kubaki kwenye maghara hili lita sababisha bei ya mchere mwakani kushuka sana bei pia sekita binafusi inayo nunua mpunga itambuliwe ijengewe uwezo hasa wamiliki wa mashine za kukoboa mpunga kwa sababu ndoo wahanga pale watakapo kosa mpunga wa kuendesha viwanda vyao serikari iangalie uwezekano wa kufanya nao kazi ili kubolesha siyo sekta binafusi wote wezi tuki endelea kuwaita wezi wataikimbia sekta badaye sekta ya kilimo ita kosa wadau

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Mbona huongelei kusuhu kuingiza sukari holela?

  • @pueblo148
    @pueblo148 Před měsícem +2

    Mahakamani nenda

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem

    . Bashe acha kudanganya. Kesi ya sukari kuwapa tenda kampuni ziszokuwa na uwezo kuagiza sukari . Bashe aa ujanja wa udangayifu.Mpina asikiizwe,asipuuzwe

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Wewe huna nia nzuri na wakulima hata kidogo. Umeisha pewa chako na wafanya biashara ili wajaze sukari kila kona ili mashamba ya miwa ife hapo ni sawa? Tatizo kubwa ni sukari mbona huongei?

  • @aloyceassenga6817
    @aloyceassenga6817 Před měsícem

    Umwagiliaji unaumiza wakulima wadogo na hakuna mkakati wowote wa kuhakikisha kuna miundo mbinu ya umwagiliaji kwa wakulima wadogo. Wekezeni kwenye kuwainua wakulima wadogo na punguzeni siasa nyingi kwenye kilimo.

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před měsícem +1

    Bodi ya sukari ni ndio tatizo

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 29 dny

    BASHE wanaokutukana ni wivu na uhasidi tu!!achana nao chapa kazi!!

  • @user-jl6uj4lf6q
    @user-jl6uj4lf6q Před měsícem +1

    Mbona tanapa wanawafukuza wakulima wa mpunga.mbona hamsei hilo?

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s Před měsícem +1

    Vipi kuhusu mbaaz mbona unatulazimisha tuuze ghalani kunanini

  • @CletusMmbaga-ik5sv
    @CletusMmbaga-ik5sv Před měsícem

    Mbarali hamnunui

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +2

    Usijisahaulishe mpina anaandaa kesi ufisadii kwenye sukari

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před měsícem

      Mpina kama ni mtu wa haki kweli angelianza kuandaa ile hela nyingi ilioibwa na Magu ikulu trillioni 1 na nusu CAG ASAAD aliweka wazi hili mbona alibaki kimya au kwa sababu wakati ule Magu alimchagua waziri?Tuache unafiki na kujizima data.

  • @fredrickbaryagati2194
    @fredrickbaryagati2194 Před měsícem +2

    Uyo maneno tu akuna kitu boa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +1

    Bashe ana kesi ya kujibu.Hapo ana presha tele.Namuona akifedheheka mahakamani.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před měsícem +1

    Mahindi 650 kwa 700 ni vichekesho na ufisadi na

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem

    Wanatupiana mpira mara huyu anasema Rais umeruhusu sekta binafsi zinunue mahindi wanawalazimisha ahhhhh

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +2

    Huyu bashe🎉fukuza ni genge la mafisadi,

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před měsícem +1

    Ila huyu jamaa ni jembe sna hongera kuwasaidia wakulima wa nyumban wazir wetu mkubwa mnaenda enda sana huko hiyo wilaya itakuwa Kwa Kasi sana

  • @hantiayman3994
    @hantiayman3994 Před měsícem

    Bashe 20 tena

  • @user-qf1ls8rb4o
    @user-qf1ls8rb4o Před měsícem

    Waangalie na ushuru ni mkubwa sana nadio sababu ya mkulima kukandamizwa

  • @emmanuelmsang3949
    @emmanuelmsang3949 Před měsícem

    Huyu jamaa nikiongozi kweli

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Před měsícem

    Magufuri alianzisha program hizi kwa ngùu sana , leo mnasuasua

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před měsícem

      ACHA UNAFIKI Magu aliidharau kabusa sekta ya kilimo mpaka ikafika mbaazi kuile kusini kuuzwa kilo sh 100 leo maazi kilo sh 2500 kwa kilo.Akawatia umasikini watu wa kusini wote mpaka wengine wakajinyonga kwa hasara walizozipata akazichukua korosho zao kwa nguvu ya jeshi na mpaka leo watu korosho zao hawakulipwa ushenzi ulioje.

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Před měsícem

    Hahahhahahahahahahahahahhahajajahahajajajajajhahahhahahajajaj naseka gete gete

  • @jamesjohn9160
    @jamesjohn9160 Před měsícem

    Tsh 900/= kwa kilo utanunua ulio Lima wewe...

  • @abdulnuru3332
    @abdulnuru3332 Před měsícem +2

    Hili waziri mzigo.. makerere mengi vitendo hamna kitu

    • @BraxedaDomina-xn4zc
      @BraxedaDomina-xn4zc Před měsícem

      Huyo muongeaji mzuri lkn c mtendaji magufuli alimchagua sbb ya kupiga kelele bungeni but nothing

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Před měsícem +1

      ​@@BraxedaDomina-xn4zcItabid tukupeleke Wewe

  • @user-qf1ls8rb4o
    @user-qf1ls8rb4o Před měsícem

    .

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před měsícem +2

    rudi kwenu somaria wewe usitualibie nchi.

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před měsícem

      Wew ni kati ya wajinga walioko Tanzania

    • @nassorshaaban7295
      @nassorshaaban7295 Před měsícem

      Futa hii comment yako mbona km ni kibaguzi kabla hujatuma ujumbe wko jaribu kufikilia hata kutumia Makalio yako km si kichwa chako ndo uweke Kwa Media

    • @epimackjohn461
      @epimackjohn461 Před měsícem

      Kijana ulikuwa mzuri sana mwanzoni , ulipo sasa hivi umejaa usanifu wa lugha ikiwa na KA-ENGLISH kidogo lakini mstari wa UKWELI umeuweka PEMBENI , kwa nini ?

    • @user-fl3fb5gh6b
      @user-fl3fb5gh6b Před měsícem

      Wewe unakujua asili wa Babu yako kizaa Baba yoko ametokea wapi

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před měsícem

      Na wewe rudi kwenu Burundi kwenu nyoko wewe.

  • @user-qf1ls8rb4o
    @user-qf1ls8rb4o Před měsícem

    Waangalie na ushuru ni mkubwa sana nadio sababu ya mkulima kukandamizwa