Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 98

  • @HafidhAli-lt5xt
    @HafidhAli-lt5xt Před 6 měsíci +6

    Tanzania has future leaders. Watching from Kenya

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před rokem +11

    Huyu misimamo yke na mkumbuka marehemu magu alivyokuwa miundo mbinu ,Bashe chapa kazi

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 Před 7 měsíci +3

    Safi sana mheshimiwa Bashe, binafsi napenda sana uchapa kazi wako, Songa mbele

  • @FelisterLimbu-bs4iw
    @FelisterLimbu-bs4iw Před rokem +4

    Kilimo ni ajira Hongera mh Bashe kwa kuinua sekta ya kilimo.

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Před 6 měsíci +3

    Mh Bashe ukoVizuri Sana kwa msimamo wako . Ujumbe Vipi Kuusu Mashamba ya Mbuga ya Mwamala Shigangama iliyopo Wilaya ya Kwimba Mwanza , Mashamba Mengi yamevamiwa na wanakijiji ivyo ni Shida Kati ya Wanainchi wa Pale Kijijini na Wamiliki wa Mashamba hayo , Tunaomba Msaada wako Mh Bashe .

  • @KedimoniLameck-et5xd
    @KedimoniLameck-et5xd Před 4 měsíci +1

    Mh.bashe wakomeshe kabisa majizi yanayo tuibia wakulima .kumbe umesha yaona hayondio yanayo sababisha tusipate pesa wakulima.nahasa niviongozi wauma .ndio yanayotuibia.asante baba

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 7 měsíci +3

    Nice explanation Hon.Bashe let's move into action.

  • @user-oy1tc5kv3j
    @user-oy1tc5kv3j Před 7 měsíci +3

    Congratulations Mh waziri, pls toa na bei elekezi ya bei ya korosho.

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před rokem +5

    Bashe safi sna,huyu jamaa ni kichwa sna,hivi kwnn mawaziri wengine amuigi

  • @marcusfalinzungu4543
    @marcusfalinzungu4543 Před 7 měsíci +1

    Waziri Bashe ana mawazo chanya sana. Huwa ninapata matumaini katika michango yake na utendaji wake.
    Nia yake kwa Watanzania ni njema, tumuunge mkono watendaji katika sekta za kilimo na mifugo

  • @user-dv4is4vj6g
    @user-dv4is4vj6g Před 2 měsíci

    Mweshimiwa waziri, wakati Wengine wanasibiri kuwezeshwa,sisi wengine tumeanza kujiwezesha lakini bado tunahitaji kuwezeshwa ,kwani nguvu yetu ikifika sehemu inakwama na kuhitaji msaada na Kwa kukosa msaada tunajikuta tunakata tamaa .

  • @dulladulla7744
    @dulladulla7744 Před rokem +3

    Kaka unajua hongera

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 Před 4 měsíci

    Hongera sana sana sana You are Dynamic Action leader. Ongeza Nguvu Zaidi. You are Great truly Blessed.

  • @Amiriallyameir
    @Amiriallyameir Před 4 měsíci

    Good speech Mh. Bashe, you deserve to be a leader keep it up.

  • @abelmakalwe
    @abelmakalwe Před 4 měsíci +1

    Huwa nakuelewa sana Bashe

  • @samuelmajule54
    @samuelmajule54 Před 7 měsíci +2

    Big up mbunge wetu wa Nzega

  • @ChuchuMahumbi-px2sg
    @ChuchuMahumbi-px2sg Před 4 měsíci +1

    Sana wazir wetu wakilimo tanzani

  • @adanmahad7929
    @adanmahad7929 Před 3 měsíci

    That lady is perfect.mkukima hawezi process hizo liseni kwa wakati

  • @callebmuzungu342
    @callebmuzungu342 Před 4 měsíci

    For sure I'm Rwandan by nationality but I'm proud of bashe
    Bashe oeeeeee

  • @omarmohammed7600
    @omarmohammed7600 Před 6 měsíci +2

    Binafs natamani huyu waziri apate nafasi ya kua raisi wa nchi namkubali sana

  • @FelixAidan
    @FelixAidan Před 4 měsíci

    Mungu akutie nguvu wazili wetu wewe ni jibu ktk nchi

  • @OmriPengo
    @OmriPengo Před 7 měsíci +2

    Good mh bashe

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 Před 6 měsíci +1

    Mheshimiwa uko vizuri sanaa

  • @husseinchambau3015
    @husseinchambau3015 Před rokem +3

    Safi sana

  • @dulladulla7744
    @dulladulla7744 Před rokem +3

    Hakika ww utakuwa raise kwa miaka ya badaye hongera sana

  • @bahatibunzali15
    @bahatibunzali15 Před rokem +3

    Bashe uko making sana

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Před 7 měsíci

    Huu ndio uzuri wa shule,hofu ya Mungu,hongera mh Bashe,fanya kazi,achana na utendaji wa akina bashite,Mungu atakuwa nawe,kwani una huruma na Watanzania maskini.

  • @modestmatle7708
    @modestmatle7708 Před 6 měsíci

    Mhe Bashe
    Uko fit kwa uongozi

  • @elimringimotta182
    @elimringimotta182 Před 6 měsíci +1

    Wakipeleka nje bei ya dola inaingia kwa mfanyabiashara au serikalini?

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 Před 2 měsíci

    Bashe biga Kazi wanaokufifiza kwa CHUKI zao usijali

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Před 4 měsíci

    thanks so much

  • @modestmatle7708
    @modestmatle7708 Před 6 měsíci

    Bashe ni kiongozi bora

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx Před 3 měsíci +1

    Mama ucmtoe Bashe kwanza

  • @sifamwafrica1261
    @sifamwafrica1261 Před rokem +1

    Hapa kazi tu

  • @JAPHETJOSEPH-b6e
    @JAPHETJOSEPH-b6e Před 6 měsíci +1

    Mfipa mwenzangu umepiga maji kidogo ,Ila uko Nondo

  • @BarnabaSamwel
    @BarnabaSamwel Před rokem

    Hongera kamanda ila imewasahau wakulima wa tumbaku hawajalipwa na Mkwawa mateso.

  • @nasramohamedsultan7994
    @nasramohamedsultan7994 Před rokem +2

    Mhs jitahidi kuzipiti wageni kufika mashambani kununua mazao tunashindwa kufanya biashara watanzania tunakuunga mkono kwa hilo

  • @marcusfalinzungu4543
    @marcusfalinzungu4543 Před 7 měsíci +1

    Jesca upo sahihi katika uchangiaji. NIDA ni kidonda ndugu

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 Před 4 měsíci +1

    Hakuna lisilowezekana.

  • @JAPHETJOSEPH-b6e
    @JAPHETJOSEPH-b6e Před 6 měsíci

    SERIKALI NUNUA MAZAO YOTE UZA KWA DOLA ,Big business

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 Před 4 měsíci

      Kuuza kwa dola bado ni kuua uchumi uza kwa dhahabu

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 4 měsíci

    Ubarikiwe

  • @pendaeli5464
    @pendaeli5464 Před 7 měsíci

    Nakubaliana na hoja za bashed.marufuku mgeni kufwata mazao shambani.anunue kwenye soko

  • @user-xl7yv7hr3z
    @user-xl7yv7hr3z Před 5 měsíci

    very good kaka

  • @cairomwaitete7978
    @cairomwaitete7978 Před 7 měsíci

    Good analysis 👍

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc Před 5 měsíci

    Wewe hufai uongo mwingi sana wakulima tuna teseka tunanunua mbegu kilo mbili elfu 20000 mda huu tunauza gunia elfu 48000 nyie wabunge wapuuzi sana hamfai hata kidogo

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc Před 5 měsíci

    Anayepongeza ugoro hakusoma bashe hatufai waulizeni waliopewa mtaji na samia wa kwenda kulima wamepata nini wanipe mimi wizara ya killimo mimi ndoo rais wa wakati wanapewa kwenda kulima nilisema watafel sana soko la tanzania sisii wakulima niwatumwa hatujijui jibu mpaka nitapotara mimi na chama cha ukombozi

  • @yusuphahmed-yt5gg
    @yusuphahmed-yt5gg Před 7 měsíci

    ❤❤hongera

  • @hamzazuber6905
    @hamzazuber6905 Před 5 měsíci

    Mh bashe jitahidi uongee kiswahili wengine hatujasoma unatuacha hewani

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Před 7 měsíci

    Bashe ni.ekuelewa mfumo mzuri sana chakula kitakuwa bei chini kila MTU atamudu kama lndia safi sana mabubu ndo hawafaham

  • @adamyusuphmsigala
    @adamyusuphmsigala Před rokem

    Huyu agombee urais tunamkubali sana

  • @furanaelijaphasoni5079
    @furanaelijaphasoni5079 Před 7 měsíci

    Mkulima ndie anahumia kwasababu Mimi sijawahi kuona bei ya mahindi elekesi

  • @ananiakyando3904
    @ananiakyando3904 Před 7 měsíci +1

    Mahindi nilime mm mashart ya kuyauza niwekewe hii inakaajee

  • @EmmanuelGelard
    @EmmanuelGelard Před rokem

    Heshima kwako. Bashe

  • @PaulNyerembe-pj8fm
    @PaulNyerembe-pj8fm Před 7 měsíci

    Kwann prodoction ni ufipani tu? Irrigation maeneo mengine vip

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 Před 6 měsíci

    Tanzania 🇹🇿 tuna njaa mchel kilo 3200 maharage kilo 3400 bado mnauza njee ya mipaka

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 3 měsíci

    Huyu bashe huwa simwelewi kabisa, anatoa majibu ya kisasa

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 4 měsíci

    Tatizo kwa nini mahindi bei ni ndogo na uku soko likiwa holela bei inakuwa kubwa

  • @williammbuthiamaitai5274

    Huyu musomalia ametoka wapi Tanzania

  • @barnabasngungo3521
    @barnabasngungo3521 Před 7 měsíci

    Mh.Waziri upo vizuri sana endelea

  • @abdallahkumbi7120
    @abdallahkumbi7120 Před 6 měsíci

    Mh tutembelee Wakulima wa Mkonge Lushoto Umba, tunaumia hatuna corona ya kuchakata Mkonge wetu tunaibiwa nguvu zetu zinapotea ajira zetu ndio hizo tufanye nini mheshimiwa

  • @KedimoniLameck-et5xd
    @KedimoniLameck-et5xd Před 4 měsíci

    Wewe tunakuomba akulide navita hiyo.kututetea wakulima

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 Před 4 měsíci

    Hakika wizara imempata waziri sahihi 💪💪👍👏

  • @emmanuelisarria6321
    @emmanuelisarria6321 Před 7 měsíci

    👍💯

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 6 měsíci

    KAMA AZAM Bakhresa ni disciplined distributer kwa nini Serikali isimpendelee kumpa tons zote za kuagiza?

  • @elimringimotta182
    @elimringimotta182 Před 6 měsíci

    Je sisi tumeshindwa wapi mpaka wageni waingie biashara shiyo

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 3 měsíci

    HIVI KWANINI SPIKA UNASEMA ASANTE ASANTE WAKATI WAZIRI HAJAMALIZA? UNA HARAKA GANI MIMI SIPENDÌ UNAPOSEMA ASANTE ASANTE WAKATI MTU HAJAMALIZA.

  • @user-ui7lb5yc2l
    @user-ui7lb5yc2l Před rokem

    👑💪👍✅

  • @user-jz1ur2ny5u
    @user-jz1ur2ny5u Před 4 měsíci

    Hiyo mipango yenu fungua mipaka watu wanahali mbaya

  • @benjaminmganyizi1807
    @benjaminmganyizi1807 Před rokem

    Nimekuelewa mkuu

  • @RajabuMponda-lz5od
    @RajabuMponda-lz5od Před 3 měsíci

    Mbona ufuta hamtangazi bei mapema. Mnasubiri tulete zao la ufuta gurioni harafu mnatupangia bei.

  • @user-oz1fu4uy1i
    @user-oz1fu4uy1i Před rokem

    Makambako safi

  • @magiramagesa37
    @magiramagesa37 Před 6 měsíci

    Msoma

  • @user-wc7zt4xj6u
    @user-wc7zt4xj6u Před 6 měsíci

    Bashe Mimi sina baya na wewe piga kazi mkuu

  • @justinmwamloso7559
    @justinmwamloso7559 Před 7 měsíci

    Mbolea laki na ushehe ikushuka 85000 lkn gunia la mahindi halifiki hata 90, 000

  • @seif3401
    @seif3401 Před 7 měsíci

    Huyu JAMA kasoma sana

  • @jramadhanmgonja6110
    @jramadhanmgonja6110 Před rokem

    Hongera Sana Bashee your Super Hero

  • @elimringimotta182
    @elimringimotta182 Před 6 měsíci

    Serikali inunue mahindi yote itafute bei nje kwa dola

  • @user-fo9jw2gb2h
    @user-fo9jw2gb2h Před 7 měsíci

    Jamani huu sio mda wa maongezi tupo milion61 kumbukeni

  • @user-rd4mk6no3t
    @user-rd4mk6no3t Před 7 měsíci

    Tuanze na makonda

  • @user-nq2sf9rn3l
    @user-nq2sf9rn3l Před 7 měsíci

    Wewe mweu umesbabisha soko la mahindikushuka kwa mashart magumu

    • @Omarjumanne-zm9zh
      @Omarjumanne-zm9zh Před 7 měsíci

      Waziri hujamuelewa lengo bei ya chakula iwe chini kwa waraji. NDani ya nchi

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 8 měsíci

    Ni mtaalamu Sana kuongea ila aangalie anakoelekea maneno yake yanaanza kujaa Siasa ikipishana na utekelezaji wa AHADI zake .

  • @fatumahossein754
    @fatumahossein754 Před 7 měsíci

    Umechemka waziri umetuletea hasara wakubwa sana. Na mahindi sio elfu 1000 ni 700 waziri wewe ni muongo sanaaaaa.tunamahindi hatuna soko waziri .hilo soko la 1000 liko nchi gani?

  • @SamwelSichone
    @SamwelSichone Před 4 měsíci

    Ayoitekesha

  • @jramadhanmgonja6110
    @jramadhanmgonja6110 Před rokem +1

    Kwani Huyu Anayeongea Ni Nani? Shwaini Kabisaa.

    • @goodluckmbilinyi747
      @goodluckmbilinyi747 Před rokem

      sijui kala mavi

    • @allykamanga4366
      @allykamanga4366 Před rokem

      Kumbe ata hamfaham hauwez muelewa tulia

    • @joshuabilia1440
      @joshuabilia1440 Před 7 měsíci

      Mbashe wewe ni waziri Mzri Sana Lakini nilitamani Sana Kujua Sana Jimbo La Buchosa zao La Biashara ni lipi ambalo selikari inawapa wananchi Wa Buchosa bei elekezi ya zao hillo make Sisi Buchosa bei elekezi tunaiskia tu Bungeni na mbuge wetu Eric shigongo yupo kimya tu ama buchosa haina wakulima

  • @eliudfelix7180
    @eliudfelix7180 Před 7 měsíci

    TALKING TOO MUCH BT DOING 0.