Mh Bashe ukoVizuri Sana kwa msimamo wako . Ujumbe Vipi Kuusu Mashamba ya Mbuga ya Mwamala Shigangama iliyopo Wilaya ya Kwimba Mwanza , Mashamba Mengi yamevamiwa na wanakijiji ivyo ni Shida Kati ya Wanainchi wa Pale Kijijini na Wamiliki wa Mashamba hayo , Tunaomba Msaada wako Mh Bashe .
Waziri Bashe ana mawazo chanya sana. Huwa ninapata matumaini katika michango yake na utendaji wake. Nia yake kwa Watanzania ni njema, tumuunge mkono watendaji katika sekta za kilimo na mifugo
Mweshimiwa waziri, wakati Wengine wanasibiri kuwezeshwa,sisi wengine tumeanza kujiwezesha lakini bado tunahitaji kuwezeshwa ,kwani nguvu yetu ikifika sehemu inakwama na kuhitaji msaada na Kwa kukosa msaada tunajikuta tunakata tamaa .
Huu ndio uzuri wa shule,hofu ya Mungu,hongera mh Bashe,fanya kazi,achana na utendaji wa akina bashite,Mungu atakuwa nawe,kwani una huruma na Watanzania maskini.
Wewe hufai uongo mwingi sana wakulima tuna teseka tunanunua mbegu kilo mbili elfu 20000 mda huu tunauza gunia elfu 48000 nyie wabunge wapuuzi sana hamfai hata kidogo
Anayepongeza ugoro hakusoma bashe hatufai waulizeni waliopewa mtaji na samia wa kwenda kulima wamepata nini wanipe mimi wizara ya killimo mimi ndoo rais wa wakati wanapewa kwenda kulima nilisema watafel sana soko la tanzania sisii wakulima niwatumwa hatujijui jibu mpaka nitapotara mimi na chama cha ukombozi
Mh tutembelee Wakulima wa Mkonge Lushoto Umba, tunaumia hatuna corona ya kuchakata Mkonge wetu tunaibiwa nguvu zetu zinapotea ajira zetu ndio hizo tufanye nini mheshimiwa
Umechemka waziri umetuletea hasara wakubwa sana. Na mahindi sio elfu 1000 ni 700 waziri wewe ni muongo sanaaaaa.tunamahindi hatuna soko waziri .hilo soko la 1000 liko nchi gani?
Mbashe wewe ni waziri Mzri Sana Lakini nilitamani Sana Kujua Sana Jimbo La Buchosa zao La Biashara ni lipi ambalo selikari inawapa wananchi Wa Buchosa bei elekezi ya zao hillo make Sisi Buchosa bei elekezi tunaiskia tu Bungeni na mbuge wetu Eric shigongo yupo kimya tu ama buchosa haina wakulima
Tanzania has future leaders. Watching from Kenya
Huyu misimamo yke na mkumbuka marehemu magu alivyokuwa miundo mbinu ,Bashe chapa kazi
Safi sana mheshimiwa Bashe, binafsi napenda sana uchapa kazi wako, Songa mbele
Kilimo ni ajira Hongera mh Bashe kwa kuinua sekta ya kilimo.
Mh Bashe ukoVizuri Sana kwa msimamo wako . Ujumbe Vipi Kuusu Mashamba ya Mbuga ya Mwamala Shigangama iliyopo Wilaya ya Kwimba Mwanza , Mashamba Mengi yamevamiwa na wanakijiji ivyo ni Shida Kati ya Wanainchi wa Pale Kijijini na Wamiliki wa Mashamba hayo , Tunaomba Msaada wako Mh Bashe .
Mh.bashe wakomeshe kabisa majizi yanayo tuibia wakulima .kumbe umesha yaona hayondio yanayo sababisha tusipate pesa wakulima.nahasa niviongozi wauma .ndio yanayotuibia.asante baba
Nice explanation Hon.Bashe let's move into action.
Congratulations Mh waziri, pls toa na bei elekezi ya bei ya korosho.
Bashe safi sna,huyu jamaa ni kichwa sna,hivi kwnn mawaziri wengine amuigi
wataiga wakati hawana akili!
Waziri Bashe ana mawazo chanya sana. Huwa ninapata matumaini katika michango yake na utendaji wake.
Nia yake kwa Watanzania ni njema, tumuunge mkono watendaji katika sekta za kilimo na mifugo
Mweshimiwa waziri, wakati Wengine wanasibiri kuwezeshwa,sisi wengine tumeanza kujiwezesha lakini bado tunahitaji kuwezeshwa ,kwani nguvu yetu ikifika sehemu inakwama na kuhitaji msaada na Kwa kukosa msaada tunajikuta tunakata tamaa .
Kaka unajua hongera
Hongera sana sana sana You are Dynamic Action leader. Ongeza Nguvu Zaidi. You are Great truly Blessed.
Good speech Mh. Bashe, you deserve to be a leader keep it up.
Huwa nakuelewa sana Bashe
Big up mbunge wetu wa Nzega
Sana wazir wetu wakilimo tanzani
That lady is perfect.mkukima hawezi process hizo liseni kwa wakati
For sure I'm Rwandan by nationality but I'm proud of bashe
Bashe oeeeeee
Binafs natamani huyu waziri apate nafasi ya kua raisi wa nchi namkubali sana
Mungu akutie nguvu wazili wetu wewe ni jibu ktk nchi
Good mh bashe
Mheshimiwa uko vizuri sanaa
Safi sana
Hakika ww utakuwa raise kwa miaka ya badaye hongera sana
Bashe uko making sana
Huu ndio uzuri wa shule,hofu ya Mungu,hongera mh Bashe,fanya kazi,achana na utendaji wa akina bashite,Mungu atakuwa nawe,kwani una huruma na Watanzania maskini.
Mhe Bashe
Uko fit kwa uongozi
Wakipeleka nje bei ya dola inaingia kwa mfanyabiashara au serikalini?
Bashe biga Kazi wanaokufifiza kwa CHUKI zao usijali
thanks so much
Bashe ni kiongozi bora
Mama ucmtoe Bashe kwanza
Hapa kazi tu
Mfipa mwenzangu umepiga maji kidogo ,Ila uko Nondo
Hongera kamanda ila imewasahau wakulima wa tumbaku hawajalipwa na Mkwawa mateso.
Mhs jitahidi kuzipiti wageni kufika mashambani kununua mazao tunashindwa kufanya biashara watanzania tunakuunga mkono kwa hilo
Jesca upo sahihi katika uchangiaji. NIDA ni kidonda ndugu
Hakuna lisilowezekana.
SERIKALI NUNUA MAZAO YOTE UZA KWA DOLA ,Big business
Kuuza kwa dola bado ni kuua uchumi uza kwa dhahabu
Ubarikiwe
Nakubaliana na hoja za bashed.marufuku mgeni kufwata mazao shambani.anunue kwenye soko
very good kaka
Good analysis 👍
Wewe hufai uongo mwingi sana wakulima tuna teseka tunanunua mbegu kilo mbili elfu 20000 mda huu tunauza gunia elfu 48000 nyie wabunge wapuuzi sana hamfai hata kidogo
Anayepongeza ugoro hakusoma bashe hatufai waulizeni waliopewa mtaji na samia wa kwenda kulima wamepata nini wanipe mimi wizara ya killimo mimi ndoo rais wa wakati wanapewa kwenda kulima nilisema watafel sana soko la tanzania sisii wakulima niwatumwa hatujijui jibu mpaka nitapotara mimi na chama cha ukombozi
❤❤hongera
Mh bashe jitahidi uongee kiswahili wengine hatujasoma unatuacha hewani
Bashe ni.ekuelewa mfumo mzuri sana chakula kitakuwa bei chini kila MTU atamudu kama lndia safi sana mabubu ndo hawafaham
Huyu agombee urais tunamkubali sana
Mkulima ndie anahumia kwasababu Mimi sijawahi kuona bei ya mahindi elekesi
Mahindi nilime mm mashart ya kuyauza niwekewe hii inakaajee
Msambaa eka vituko
Heshima kwako. Bashe
Kwann prodoction ni ufipani tu? Irrigation maeneo mengine vip
Tanzania 🇹🇿 tuna njaa mchel kilo 3200 maharage kilo 3400 bado mnauza njee ya mipaka
Huyu bashe huwa simwelewi kabisa, anatoa majibu ya kisasa
Tatizo kwa nini mahindi bei ni ndogo na uku soko likiwa holela bei inakuwa kubwa
Huyu musomalia ametoka wapi Tanzania
Mh.Waziri upo vizuri sana endelea
Mh tutembelee Wakulima wa Mkonge Lushoto Umba, tunaumia hatuna corona ya kuchakata Mkonge wetu tunaibiwa nguvu zetu zinapotea ajira zetu ndio hizo tufanye nini mheshimiwa
Wewe tunakuomba akulide navita hiyo.kututetea wakulima
Hakika wizara imempata waziri sahihi 💪💪👍👏
👍💯
KAMA AZAM Bakhresa ni disciplined distributer kwa nini Serikali isimpendelee kumpa tons zote za kuagiza?
Je sisi tumeshindwa wapi mpaka wageni waingie biashara shiyo
HIVI KWANINI SPIKA UNASEMA ASANTE ASANTE WAKATI WAZIRI HAJAMALIZA? UNA HARAKA GANI MIMI SIPENDÌ UNAPOSEMA ASANTE ASANTE WAKATI MTU HAJAMALIZA.
👑💪👍✅
Hiyo mipango yenu fungua mipaka watu wanahali mbaya
Nimekuelewa mkuu
Mbona ufuta hamtangazi bei mapema. Mnasubiri tulete zao la ufuta gurioni harafu mnatupangia bei.
Makambako safi
Msoma
Bashe Mimi sina baya na wewe piga kazi mkuu
Mbolea laki na ushehe ikushuka 85000 lkn gunia la mahindi halifiki hata 90, 000
Huyu JAMA kasoma sana
Hongera Sana Bashee your Super Hero
Serikali inunue mahindi yote itafute bei nje kwa dola
Jamani huu sio mda wa maongezi tupo milion61 kumbukeni
Tuanze na makonda
Wewe mweu umesbabisha soko la mahindikushuka kwa mashart magumu
Waziri hujamuelewa lengo bei ya chakula iwe chini kwa waraji. NDani ya nchi
Ni mtaalamu Sana kuongea ila aangalie anakoelekea maneno yake yanaanza kujaa Siasa ikipishana na utekelezaji wa AHADI zake .
Umechemka waziri umetuletea hasara wakubwa sana. Na mahindi sio elfu 1000 ni 700 waziri wewe ni muongo sanaaaaa.tunamahindi hatuna soko waziri .hilo soko la 1000 liko nchi gani?
Ayoitekesha
Ayoitekesha
Ayoitekesha
Kwani Huyu Anayeongea Ni Nani? Shwaini Kabisaa.
sijui kala mavi
Kumbe ata hamfaham hauwez muelewa tulia
Mbashe wewe ni waziri Mzri Sana Lakini nilitamani Sana Kujua Sana Jimbo La Buchosa zao La Biashara ni lipi ambalo selikari inawapa wananchi Wa Buchosa bei elekezi ya zao hillo make Sisi Buchosa bei elekezi tunaiskia tu Bungeni na mbuge wetu Eric shigongo yupo kimya tu ama buchosa haina wakulima
TALKING TOO MUCH BT DOING 0.