LEMUTUZI afunguka kuhusu kazi ambayo amewahi kuikataa akiwa Marekani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 08. 2016
  • LEMUTUZI afunguka kuhusu kazi ambayo amewahi kuikataa akiwa Marekani

Komentáře • 78

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před rokem +4

    I love this man he was very Honest RIP

  • @shau78
    @shau78 Před 6 lety +5

    Zamaradi watu watakukimbia. You are very smart. Le Mutuz you are so relaxed and very smart. Big up man

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před rokem +3

    Pumzika kwaamani William John Samuel Malecella Mungu akurehemu Amen. This case is closed

  • @davidlukumay2226
    @davidlukumay2226 Před rokem +2

    Dada hongera sana unajua kuuliza maswali pamoja na kumpa nafasi mtu ,nimesikiliza mpaka mwisho inavutia kwa kweliiiii

  • @graceneemaramadhaniabdalla7734

    Nimejifunza sana,
    I learned a lot from this man, he was such a kind man

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 Před rokem +1

    Marekani sio ulaya bhana mbona unatuchanganya.

  • @hilarymapula
    @hilarymapula Před 7 lety +3

    Nimekuelewa sana. ni kweli matajiri hawapendi kukaa na watu wanaolilia shida.

  • @lauchungu1295
    @lauchungu1295 Před 6 lety +2

    I like your story from your bagraund...you can make its everywhere you a. never lose hope never give up great things take time

  • @graceneemaramadhaniabdalla7734

    Anajua kuzungumza aiseee.
    Nimempenda anavyozungmza tena kwa kujiamini

  • @uhuru23
    @uhuru23 Před 8 lety +3

    very educative interview...

  • @kaukaofficial1813
    @kaukaofficial1813 Před 6 lety +4

    I just learned more from you guys

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Před rokem +1

    Mungu akupe kauli zabiti kwenye nyumba yako ya milele kweli kifo dakika tu jina linabadilika sasa unaitwa marehem 😭😭😭

  • @salvatorymtunga5906
    @salvatorymtunga5906 Před rokem +2

    Huyo jamaa tumecheza naye sana banana, quarter za airwing majumbasita tukiwa wadogo tukiwa shule za msingi.

  • @jovitakikoti2205
    @jovitakikoti2205 Před 6 lety +2

    good speech!!!!!!!!

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    Lemutuz you are a hard worker

  • @yahyakitenge5802
    @yahyakitenge5802 Před 8 lety +2

    bonge la shule.maisha ni safari.👏👏👏

  • @tumainimassawa3474
    @tumainimassawa3474 Před 8 lety +1

    Great interview.....

  • @shau78
    @shau78 Před 6 lety +2

    MATAJIRI AU VIONGOZI HAWAPENDI MATATIZO. Nimeipenda hiyo

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 Před 8 lety +1

    jamaa yuko makini, Zaidi life style yake nimeipenda sana. Ni mfano wa kuigwa

  • @wardamgembe6582
    @wardamgembe6582 Před 8 lety +1

    wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 Před 6 lety +3

    27:55 - 28:12 is my best part from this interview😀

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Před rokem

    Zamadi kumbe mrembo hivi naomba no zako jamn😍😍😍

  • @ukweliniamani1988
    @ukweliniamani1988 Před 7 lety +3

    le mutuz nimepata faida kubwa sana ktk interview yako big up mzee.

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před rokem +1

    Nyie kifo hiki jmn RIP lemutuz

  • @humphreynyimbo2710
    @humphreynyimbo2710 Před 8 lety +3

    Lemutuz anajitambua sana,safi sana.wapi mabebez hahahaha.mtu anae jitambua lazima uwe na sehemu ya kukaa,sehemu ya kupatia hela na kula.sio kupiga kelele na unalala kwa mjomba.

  • @shadmad1000
    @shadmad1000 Před 8 lety +1

    Thanks brother.. Sasa nimekuelewa vizuri!

  • @isaackbm1935
    @isaackbm1935 Před 6 lety +1

    Lemutuz nakuelewa sana

  • @mauwachale
    @mauwachale Před 8 lety

    Hahahahha. ukachomoka ndefu.Aisee Best umeongea Point mnooo.Pole sana kwa ulio pitia

  • @snsxsnsx3144
    @snsxsnsx3144 Před 6 lety

    Yeap you learn how to hold Yourself / Real Big up.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před rokem +3

    Rest In Peace William nimerudi kwenye hii interview 6 years back kifo nifumbo

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko5850 Před 8 lety +2

    Malekani duuuh hahahahahaahah

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Před rokem

    Pumzika kwa amani brother!

  • @marciakassimkassim2012
    @marciakassimkassim2012 Před 8 lety +3

    dah Zama uilipata mjib maswal...jamaa anaakili

  • @claratemba44
    @claratemba44 Před rokem

    Hii sio bestraft hat Matthias anaweza kuwa mtoto wako

  • @rosestigeneriksson8387

    Hizo kazi zinalipa tuna nyumba ulaya na africa,yeye ana nini!kazi ni kazi ni nzuri na zinalipa vibaya sana

  • @erastotweve2586
    @erastotweve2586 Před rokem

    Le jituzz!!

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 Před 6 lety +2

    😁Ukiacha kibamia chake jamaa anaupeo mkubwa, though lifestyle yake inawaboa wengi

  • @jamesmethuselafredrick6064

    Mbona huyu jamaa anaonekana kama anatupa chai hv😀😀 hakuna real expression ya anachokizungumza na face expressions Mmmm?????🙆

  • @gottaboy4178
    @gottaboy4178 Před 8 lety +4

    jamaa anaupeo mkubwa sana was mambo

  • @rahimamkamba5032
    @rahimamkamba5032 Před 8 lety +2

    malekani?????

  • @mularomar3101
    @mularomar3101 Před 8 lety

    parabens para boa intrevista le mutuz naçao le akili grand mas por k me bloqueou?

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem +1

    Watoto wengi wa matajiri hua wanasaidiwa na wazazi wao,wakitoboa wanakuja kutudanganya kua wali hustle 😁

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 Před rokem

    Maisha ya nje kila mtu ana njia yake ya kutoboa kimaisha , Kuna watu wengi tuu tunaishi marekani tumejiajiri, maisha magumu kila sehemu duniani, conclusion ya maisha yake hawezi kuwa conclusion ya maisha yangu naishi marekani maisha yanaenda kupambana mwanaume lazima

  • @20200p
    @20200p Před 7 lety +3

    alirudi na dollar 1000 bt elimu aliyo ipata ulaya ndio imemfikisha hapo alipo

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 7 lety +1

      lily Tom ata sielewi aseme kweli huyo

  • @daud405
    @daud405 Před rokem +2

    rip Lemuruz, u are a great guy and educative

  • @sashalamar8215
    @sashalamar8215 Před 8 lety +1

    Muachen le mutuzi wetu kabisa eti kasema malekan Kila ulimi uteleza

  • @mbonishabani1399
    @mbonishabani1399 Před 8 lety

    kweli umeelimisha kaka

  • @bossandingy412
    @bossandingy412 Před rokem

    Hayo anayoongea nikifikilia ni mtoto wa malecela najiuliza WHY?

  • @claratemba44
    @claratemba44 Před rokem

    Sie sind kitu cha kucheka

  • @wardamgembe6582
    @wardamgembe6582 Před 8 lety +1

    wooow

    • @samamuri8172
      @samamuri8172 Před 8 lety

      I'm so proud of you brother your the men lemutu big up for giving the true story

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 Před 8 lety +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @tunsumegideonmwamboneke9639

    yah, hiyo kazi ya kuwacare mataahira ndiyo kzi inayowatoa watu wanaohusle ulaya, mfano kumuangalia na kumuhudumia taahira kwa saa moja unalipwa pound 9 mpaka 12 kea uingereza, kama mtu anafanya hiyo kazi masaa 10 kila siks anatngeneza shillings ngapi? ni zaidi ya hata menveja wa bank.... just thinking loud man!!!!

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem

    Anaongea ukweli kuhusu ulaya sio rahisi weh wale mataahira wanakutia bonge la kabari weh acheni tu tunavyoteseka

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    SONGA MBELE LEMUTUZ , KIKUBWA KAKA JARIBU KU CONTROL MWILI ILI KUEPUKA HEART ATTACK USIYAPE NAFASI MAJUNGU MUNGU AKUTETEE

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před rokem

    Eti kulea matahira duh

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 Před 8 lety

    mhh

  • @revinastephen1702
    @revinastephen1702 Před 6 lety

    Nimecheka kwa sauti ila dah kumbe tabu sana

  • @renaldakamugishazeramulake940

    ndo kulivyo! siendi

  • @mdakilwa1170
    @mdakilwa1170 Před 7 lety +1

    show off

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem

    Mzee vitu vitatu ulivomalizia umeniinspire vibaya mno

  • @mohamedimohamedi8029
    @mohamedimohamedi8029 Před 6 lety

    Nonsense

  • @dvdmaro903
    @dvdmaro903 Před 6 lety

    mange

  • @shabanihamisi115
    @shabanihamisi115 Před 3 lety

    Wangapi tupo leo 2021 kusikiliza elimu mtaani ya big lemutuz? Naamini ni degree tosha ya maisha, tusubiri vyeti tu.

  • @rosestigeneriksson8387

    Huyu alikuwa mvivu ndio maana ni basi
    Huyu ni mvivu ndio maana ni masikini ulaya uchagui kazi

  • @ayoubaadil6385
    @ayoubaadil6385 Před 7 lety

    kuna uongo flani

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk Před 8 lety +1

    umeanza kujisifia kwamba umo kwenye kundi la watu wenye akili.
    juu
    umeishi kwa miaka 25 bila kutambua kuwa kumbe nipo utumwani!
    kwenye maelezo yako unajisahau, unasema ni ngumu kutengeneza pesa lakini hapo hapo unajisifia kwamba ulikuwa unalipwa vizuri kuliko mtanzania yeyote na ukafanikiwa kutengeneza pesa.
    wenye akili wapo silicon valley wanafanya mambo na wengi wao wageni na wao ndio wameweza hata kuwasomesha watoto wao kwenye skuli ambazo miaka ya nyuma wakisoma watu weupe wa kimarekani.
    kwa miaka 25 umeweza kufungua blog tu hahaha
    wenzio wanafanya kazi wanasoma na wanasaidia wazee na jamaa... wewe umeishi kivyako tu.

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk Před 8 lety

    source of income babaaa ndio utapata pakukaa, kula la kuvaa kwa hiyo usijaribu kutowa tafsiri ya capitalism ambayo haipo.
    Donald trump anavaa suit na matajiri wengi tu... wewe unawapotosha hawa vijana wa Tanzania wasio jitambuaa

  • @wardamgembe6582
    @wardamgembe6582 Před 8 lety

    wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.