Lemutuz anajitambua sana,safi sana.wapi mabebez hahahaha.mtu anae jitambua lazima uwe na sehemu ya kukaa,sehemu ya kupatia hela na kula.sio kupiga kelele na unalala kwa mjomba.
Maisha ya nje kila mtu ana njia yake ya kutoboa kimaisha , Kuna watu wengi tuu tunaishi marekani tumejiajiri, maisha magumu kila sehemu duniani, conclusion ya maisha yake hawezi kuwa conclusion ya maisha yangu naishi marekani maisha yanaenda kupambana mwanaume lazima
yah, hiyo kazi ya kuwacare mataahira ndiyo kzi inayowatoa watu wanaohusle ulaya, mfano kumuangalia na kumuhudumia taahira kwa saa moja unalipwa pound 9 mpaka 12 kea uingereza, kama mtu anafanya hiyo kazi masaa 10 kila siks anatngeneza shillings ngapi? ni zaidi ya hata menveja wa bank.... just thinking loud man!!!!
umeanza kujisifia kwamba umo kwenye kundi la watu wenye akili. juu umeishi kwa miaka 25 bila kutambua kuwa kumbe nipo utumwani! kwenye maelezo yako unajisahau, unasema ni ngumu kutengeneza pesa lakini hapo hapo unajisifia kwamba ulikuwa unalipwa vizuri kuliko mtanzania yeyote na ukafanikiwa kutengeneza pesa. wenye akili wapo silicon valley wanafanya mambo na wengi wao wageni na wao ndio wameweza hata kuwasomesha watoto wao kwenye skuli ambazo miaka ya nyuma wakisoma watu weupe wa kimarekani. kwa miaka 25 umeweza kufungua blog tu hahaha wenzio wanafanya kazi wanasoma na wanasaidia wazee na jamaa... wewe umeishi kivyako tu.
source of income babaaa ndio utapata pakukaa, kula la kuvaa kwa hiyo usijaribu kutowa tafsiri ya capitalism ambayo haipo. Donald trump anavaa suit na matajiri wengi tu... wewe unawapotosha hawa vijana wa Tanzania wasio jitambuaa
I love this man he was very Honest RIP
Zamaradi watu watakukimbia. You are very smart. Le Mutuz you are so relaxed and very smart. Big up man
Pumzika kwaamani William John Samuel Malecella Mungu akurehemu Amen. This case is closed
Dada hongera sana unajua kuuliza maswali pamoja na kumpa nafasi mtu ,nimesikiliza mpaka mwisho inavutia kwa kweliiiii
Nimejifunza sana,
I learned a lot from this man, he was such a kind man
Marekani sio ulaya bhana mbona unatuchanganya.
Nimekuelewa sana. ni kweli matajiri hawapendi kukaa na watu wanaolilia shida.
I like your story from your bagraund...you can make its everywhere you a. never lose hope never give up great things take time
Anajua kuzungumza aiseee.
Nimempenda anavyozungmza tena kwa kujiamini
very educative interview...
I just learned more from you guys
Mungu akupe kauli zabiti kwenye nyumba yako ya milele kweli kifo dakika tu jina linabadilika sasa unaitwa marehem 😭😭😭
Huyo jamaa tumecheza naye sana banana, quarter za airwing majumbasita tukiwa wadogo tukiwa shule za msingi.
good speech!!!!!!!!
Lemutuz you are a hard worker
bonge la shule.maisha ni safari.👏👏👏
Great interview.....
MATAJIRI AU VIONGOZI HAWAPENDI MATATIZO. Nimeipenda hiyo
jamaa yuko makini, Zaidi life style yake nimeipenda sana. Ni mfano wa kuigwa
wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.
27:55 - 28:12 is my best part from this interview😀
Zamadi kumbe mrembo hivi naomba no zako jamn😍😍😍
le mutuz nimepata faida kubwa sana ktk interview yako big up mzee.
Nyie kifo hiki jmn RIP lemutuz
Lemutuz anajitambua sana,safi sana.wapi mabebez hahahaha.mtu anae jitambua lazima uwe na sehemu ya kukaa,sehemu ya kupatia hela na kula.sio kupiga kelele na unalala kwa mjomba.
Humphrey Nyimbo
Thanks brother.. Sasa nimekuelewa vizuri!
Lemutuz nakuelewa sana
Hahahahha. ukachomoka ndefu.Aisee Best umeongea Point mnooo.Pole sana kwa ulio pitia
Yeap you learn how to hold Yourself / Real Big up.
Rest In Peace William nimerudi kwenye hii interview 6 years back kifo nifumbo
Rip very smart 🙏🏾🙏🏾
Malekani duuuh hahahahahaahah
Pumzika kwa amani brother!
dah Zama uilipata mjib maswal...jamaa anaakili
Hii sio bestraft hat Matthias anaweza kuwa mtoto wako
Hizo kazi zinalipa tuna nyumba ulaya na africa,yeye ana nini!kazi ni kazi ni nzuri na zinalipa vibaya sana
kwani kasema azilipi ?
Le jituzz!!
😁Ukiacha kibamia chake jamaa anaupeo mkubwa, though lifestyle yake inawaboa wengi
Mbona huyu jamaa anaonekana kama anatupa chai hv😀😀 hakuna real expression ya anachokizungumza na face expressions Mmmm?????🙆
jamaa anaupeo mkubwa sana was mambo
malekani?????
parabens para boa intrevista le mutuz naçao le akili grand mas por k me bloqueou?
Watoto wengi wa matajiri hua wanasaidiwa na wazazi wao,wakitoboa wanakuja kutudanganya kua wali hustle 😁
Maisha ya nje kila mtu ana njia yake ya kutoboa kimaisha , Kuna watu wengi tuu tunaishi marekani tumejiajiri, maisha magumu kila sehemu duniani, conclusion ya maisha yake hawezi kuwa conclusion ya maisha yangu naishi marekani maisha yanaenda kupambana mwanaume lazima
alirudi na dollar 1000 bt elimu aliyo ipata ulaya ndio imemfikisha hapo alipo
lily Tom ata sielewi aseme kweli huyo
rip Lemuruz, u are a great guy and educative
Muachen le mutuzi wetu kabisa eti kasema malekan Kila ulimi uteleza
kweli umeelimisha kaka
Hayo anayoongea nikifikilia ni mtoto wa malecela najiuliza WHY?
Sie sind kitu cha kucheka
wooow
I'm so proud of you brother your the men lemutu big up for giving the true story
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
yah, hiyo kazi ya kuwacare mataahira ndiyo kzi inayowatoa watu wanaohusle ulaya, mfano kumuangalia na kumuhudumia taahira kwa saa moja unalipwa pound 9 mpaka 12 kea uingereza, kama mtu anafanya hiyo kazi masaa 10 kila siks anatngeneza shillings ngapi? ni zaidi ya hata menveja wa bank.... just thinking loud man!!!!
Tunsuuuuuuu 🙏
Anaongea ukweli kuhusu ulaya sio rahisi weh wale mataahira wanakutia bonge la kabari weh acheni tu tunavyoteseka
SONGA MBELE LEMUTUZ , KIKUBWA KAKA JARIBU KU CONTROL MWILI ILI KUEPUKA HEART ATTACK USIYAPE NAFASI MAJUNGU MUNGU AKUTETEE
Maskini ulimtabiria ...dah...rip
Eti kulea matahira duh
mhh
Nimecheka kwa sauti ila dah kumbe tabu sana
ndo kulivyo! siendi
show off
Mzee vitu vitatu ulivomalizia umeniinspire vibaya mno
Nonsense
mange
Wangapi tupo leo 2021 kusikiliza elimu mtaani ya big lemutuz? Naamini ni degree tosha ya maisha, tusubiri vyeti tu.
Huyu alikuwa mvivu ndio maana ni basi
Huyu ni mvivu ndio maana ni masikini ulaya uchagui kazi
kuna uongo flani
umeanza kujisifia kwamba umo kwenye kundi la watu wenye akili.
juu
umeishi kwa miaka 25 bila kutambua kuwa kumbe nipo utumwani!
kwenye maelezo yako unajisahau, unasema ni ngumu kutengeneza pesa lakini hapo hapo unajisifia kwamba ulikuwa unalipwa vizuri kuliko mtanzania yeyote na ukafanikiwa kutengeneza pesa.
wenye akili wapo silicon valley wanafanya mambo na wengi wao wageni na wao ndio wameweza hata kuwasomesha watoto wao kwenye skuli ambazo miaka ya nyuma wakisoma watu weupe wa kimarekani.
kwa miaka 25 umeweza kufungua blog tu hahaha
wenzio wanafanya kazi wanasoma na wanasaidia wazee na jamaa... wewe umeishi kivyako tu.
source of income babaaa ndio utapata pakukaa, kula la kuvaa kwa hiyo usijaribu kutowa tafsiri ya capitalism ambayo haipo.
Donald trump anavaa suit na matajiri wengi tu... wewe unawapotosha hawa vijana wa Tanzania wasio jitambuaa
wooow akili kubwa sana nimekuelewa bro.