Nilipoteza vyote nilipoachana na mume wangu Mjerumani, hoteli ya Zenji, kampuni ya tour - Fatma

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Part 2
    Sehemu ya pili ya #ChillnaSky ambapo Fatma anasimulia jinsi ndoa yake ilivyovunjika na kukosa kila kitu na kumlazimu kuanza maisha upya kwa dhiki na mateso mengi

Komentáře • 284

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 3 lety +17

    Mdada mpole wewe,halafu uko Smart sana,Story yako imeniumiza jamani,kupoteza kila kitu jamani na kuanza upya mweeeh,Mungu atusaidiye wanawake.halafu watu wakikaaga ulaya utawajua tuu,wanafunguka kila kitu,hawajuagi uongo.

    • @sashaaishajamani1979
      @sashaaishajamani1979 Před 3 lety

      Kweli ukwli mbele because watu wa nje Hawajui kudanganya kama wa bongo

  • @Beingme2024
    @Beingme2024 Před 3 lety +12

    I went through the same thing my sister am from kenya but now am in a better place better than before

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Před 3 lety +10

    Dada nimeipenda sana
    Jinsi upole wako za tabia yako
    Mstarabu sana

  • @mariamwaisaka3349
    @mariamwaisaka3349 Před 3 lety +12

    mdada ana roho nzur huyoo I know her, She is so smart

  • @victorpetro7004
    @victorpetro7004 Před 3 lety +4

    nakukumbuka sana Fatma ulinitangualia darasa pale Chuoni JTTI na kwa baade nilifanya field yangu ya Uhasibu katika hoteli uliyokuwa ukifanya kazi

  • @marymaige6466
    @marymaige6466 Před 4 lety +9

    You have a big heart.God will take you far.

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 Před 4 lety +16

    Doh namfahamu huyu dada anaroho nzur kweli, huyo ndo alonifanya kwa sasa niwe ujerumani, huyo dada alikua anafanya kazi hoteli inaitwa bluester, walikua wageni wanatuletea sisi kizimbani kwa magongo, love you dada thanks so much for your help

  • @happynesskampando9425
    @happynesskampando9425 Před 3 lety +3

    I like U Fatma you're verry polite girl pls be foward god be with You always.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 lety +16

    Anaongea kwa utulivu👍🏾
    Very composed and wise
    Anaongea kwa uwazi
    👍🏾
    Anawez anzisha You Tube channel yake ya maongezi!
    Anakipaji cha kuzungumza!
    Mchumba hapa najitokeza
    ✊🏾🇧🇮

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 Před 4 lety +6

    Mungu atakusaidia ni fatma
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪aka bachuchu mombasa

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 Před 4 lety +12

    Huyu dada ni mstarabu sana anaongea vzur hata interview zake hua znavutia kuckliza

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 Před 3 lety +1

    Pole sana Dada umepitiya changa moto mingi kwa kweli

  • @leahsilau6983
    @leahsilau6983 Před 3 lety +4

    Pole Fatma utapata Riziki nyingine, endelea kusali 🙏

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 3 lety +3

    Karibu tena zanzibar mrembo . Mana mpaka lahafuzi yako ni ya kizenji stone town

  • @patrickminjaro9083
    @patrickminjaro9083 Před 4 lety +7

    Kaka nakukubali sana kwenye simuliz kama hiz nilikua nakufuatilia toka redio free kwenye sitosahau m.b zangu utakula vya kutosha piga kazi

  • @suleimanimsejeri7009
    @suleimanimsejeri7009 Před 3 lety +5

    Kati ya watu ambao walinishawishi kufanya mziki wewe Fatma ukiwepo,nilikuwa nakufatilia Sana enzi ile,husikate tamaa bado unanafasi kubwa, hakuna msanii ambaye anaweza chukua nafasi yako,voko yako Ni tofauti kabisa fatma.napenda Sana sauti yako,naitwa Dachy girl nilikuwa first lady wa Tmk.

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 4 lety +7

    huyu dada mpole na kakufanyia Tanzania akuna sheria ulaya pasu kwa pasu tena mwanaume anaondoka nyumba anakuachia wanasamini wanawake mno tena ukiwa na mtoto wew ni big boss ,pole duh

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Před 3 lety

      Kweli kabisa na waona Wanaume wavyo tupiwa nguo zao nje nyumba inabaki kwa Mwanamke na watoto/ Mtoto.

  • @honestyerasto
    @honestyerasto Před 4 lety +5

    i like her skin

  • @sunsetpictures7484
    @sunsetpictures7484 Před 3 lety +3

    Nimempenda mpiga picha wa clip hii anaifahamu kazi yake hasa main camera ka flame safi

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 Před 4 lety +17

    Sky mpeeni huyo dada ajira hapo ya utangazaji anasautu nzuri Sana Sana

  • @roselugendo6943
    @roselugendo6943 Před 3 lety +5

    Dada ingawa wewe si mkristu. Naomba ukaombewe. Nyota yako imechezewa. Wewe siyo maskini.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 3 lety +11

    Napenda chorus uliimba wimbo wa jafaraii...unapenda nini sema basi nifulah

  • @marthasembela1878
    @marthasembela1878 Před 3 lety +2

    Habari,pole na hongera,Mungu mwema(Mie Chala)

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 3 lety +4

    Kama mliachana wote bila kupenda kuna kitu kiliwekwa katikati yenu.MUNGU NI MWEMA

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 Před 4 lety +8

    Dah dunia hii uwezi jua kitakachokukuta

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 3 lety

    Da Pole sana Dada mji gani huo Fatuma uliokuwa insistierte masikini ungenitafuta ningekusaidia Niko mda mrefu huku

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před 3 lety +4

    Pole Fetty.God is able🙏

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 Před 3 lety +7

    Fatma mpolee adi raha unaongea vzr

  • @khadijamsoma7250
    @khadijamsoma7250 Před 3 lety +4

    Unaingia kike sana hadi raha, Allah ampe nguvu mama

  • @rickyfyne7795
    @rickyfyne7795 Před 4 lety +4

    Waah! Story imenishika yake uyo siz. Frm Mtwapa Kenya...... Kilalaheri kwake atatoboa. Music for life.

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda Před 3 lety +1

    Beautiful and nice talk

  • @achottomazonge8639
    @achottomazonge8639 Před 4 lety +14

    Huyu dada ni msitarabu sn nimetokea kumpenda sn naatafika mbali sn yani daaaa nimempends sn

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 Před 3 lety +1

    Uko vizuri sana Fatma. Umetulia ktk interview yako. Hauna mapepe, so humble my dear. Ume ni inspire sana sana kwamba ktk maisha hakuna kukata tamaa haijalishi ni changamoto ngapi tunakutana nazo. Big up sn dear. Mungu atakufanikisha sana tuu

    • @Amneamne-qi2du
      @Amneamne-qi2du Před 3 lety

      Nime vutiwa sana na huyu dada mpeni kazi jaman

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 3 lety +1

    Hapa panamhusu saaana DIAMOND PLATNUMZ ; kiroho safii tu. Na sio tu kwenye muziki; She can manage one of many CHIBUS investments especially THE HOTEL

  • @petermahimbo6703
    @petermahimbo6703 Před 3 lety

    Safi kabisa.very intelligence.

  • @mugishachance8844
    @mugishachance8844 Před 3 lety +6

    Hata huyu anaonekana mtukivu, ila ukisikia upande umoja , unaeza ukakosea! Wazungu ndio wengi wawu kiwatoa pesa sio rahisi! Ila ukiwa na subila unapata. Kibaya Cha wa Afrika wakiowana na wazungu wanafikiri watapata utajiri hapo hapo. Ila na wazungu hawaokoti pesa.

    • @stevenlugo8195
      @stevenlugo8195 Před 3 lety

      Kumbuka tunatoka Kwenye familia duni na yakusapotiana Kimaisha...na mzungu yeye unaamini Kila mmoja na maisha yake....hapo Ndio kunatokeaga mtafaruku mama baba wanataka msaada mwenzako haelewi anaona km usumbufu...kifupi tu wazungu sio Watu wazuri 100%

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 Před 4 lety +1

    Umewafanyia wasanii weng wakubwa chorus kwny nyimbo zao lkn hata hawakukumbuk now duh pole sana dada komaa💪🏿

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 Před 3 lety +2

    Hongera Sana mpiganaji!

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 Před 3 lety +2

    Zanzibar .....Kama Zanzibar ukitulia tu umepata mzungu ..ndio maanaa wadada wa dar hupenda kuwenda Zanzibar...tz nzur sana...

  • @idiameir3958
    @idiameir3958 Před 3 lety +4

    Duhh da fatma jambian umekuja zaman saiv jambian raha raha karibu nyumba JTTI kwaa alibaba apo

  • @nelsonsimiyu1177
    @nelsonsimiyu1177 Před 3 lety +1

    Nice voice

  • @snedbapu1485
    @snedbapu1485 Před 3 lety +5

    nakumbuka kweny ile ngoma umeima na yule mwamba anaitwa Hardmad Tamala producer mikamwamba

  • @JamallyHMlela
    @JamallyHMlela Před 4 lety +8

    Kweli sisi Waafrica ni wapole na wastaarab sana,MTU anakuja nchini kwenu na bado anaonea

    • @sophiakasim5153
      @sophiakasim5153 Před 4 lety

      Yaani acha tu

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty Před 4 lety +2

      Yan ulaya pasu kwa pasu tena mwanaume anaondoka anakuachia nyumba ila africa sheria akuna

    • @richardngowi6285
      @richardngowi6285 Před 3 lety +1

      Tatizo la Africa tunamalizana wenyewe kwa wenyewe mzungu anakata mlungula kesi inaishia juu kwa juu

  • @evancemwakyusa2617
    @evancemwakyusa2617 Před 3 lety +4

    Dada pole Sana!! Story yako inanikumbusha mbali Sana!

  • @lakimdiu2547
    @lakimdiu2547 Před 3 lety +2

    Love u much fatuma

  • @noel3290
    @noel3290 Před 4 lety +9

    Sky is a good listener for sure!

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 3 lety

    pole sana dada, wala usjali ktk maisha chochote kinaweza tokea mtegemee Mungu na wala uskate tamaa

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 3 lety +1

    Kazuri kametulia mashallah

  • @jajojajo246
    @jajojajo246 Před 3 lety +1

    Pole kwa matatizo dear,nenda kanisani kawe Arise and shine udhuria maombi,utasaidika na haki yako utapata na mama atapona kwa muda mfupi sana

    • @queenwinnie256
      @queenwinnie256 Před 3 lety

      Vipi ndugu hilo kanisa lina nn maana watu tupo na wagonjwa, tupe maelezo,

    • @jajojajo246
      @jajojajo246 Před 3 lety

      @@queenwinnie256 kuna maombezi dear, watu wanaombewa wanapona, na kufunguliwa

    • @tareqhilal6750
      @tareqhilal6750 Před 3 lety

      Dah poleni sana, Omba Mungu sio kanisa

    • @jajojajo246
      @jajojajo246 Před 3 lety

      @@tareqhilal6750 Daaah na wewe pole sana

  • @theresaelizabethelijah117

    Wazungu wakijerumani ni wabaya sana wana ukoloni sana ni wagumu kutoa pesa halafu mkiachana anakupokonya kila kitu hadi nguo wako na unyama na ukatili sana

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 Před 3 lety

    Jamani Fatma umetulia.Ila Wazungu wametunyanyasa Sana.Na ukute kuna wanafamilia walikulaumu huwapi ela kumbe hata hiyo ela huna.Ungemwibia labda ndicho alichotaka huyo mzungu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety +1

    jmni tunapataje byriani yako Fatma? i wish i had yoiur number so i place an order. tupatie wapi upo tujekula tafadhali. asante sana kwa interview nzuri

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 3 lety

    Fatuma ulikuwa tamaa Sherman ujerumani kama umeolewa Heiko sana kwa mwanamke hatukujuana poleujerumani nikubwa sana

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 Před 3 lety +1

    Brother gud na interview na mdada f.

  • @mussambyana1035
    @mussambyana1035 Před 4 lety +14

    diamond anatakiwa kuoa huyu mwanamke anahangaika nn

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 4 lety +4

    Nikweli ukipeleka vyeti watu reception wanazingua wanatia kwenye dustbin

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 Před 4 lety +32

    Mzungu dawa yake Malaya wakipataka wifemateral wanawaumiza

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko1608 Před 3 lety +1

    Big up Skywalker

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 Před 3 lety

    I like Nungwi

  • @eudisiaalexzanda1730
    @eudisiaalexzanda1730 Před 3 lety

    Pole dada

  • @emilianaemmanuel1949
    @emilianaemmanuel1949 Před 4 lety +2

    Nafeel namna unavyoongelea story yako pole sana nimekupenda dada angu

  • @starshinetz
    @starshinetz Před 3 lety

    I love Fatma

  • @dramachatta3851
    @dramachatta3851 Před 4 lety +5

    Sema kuna goma lako na hard mard ni nomaaaaaaaaa kabisa la miaka mia baby tumalaiiiiiii

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 Před 3 lety +1

    Zanzibar Oyeeeeeeeeeh
    Mfalme wa Algeria oyeeeeeeeh
    Biriani Oyeeeeeeeeh

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 3 lety +3

    Anasauti nzur kweli.... i wish apewe kipind kokote... she is very good

  • @user-tg9gm5rr8f
    @user-tg9gm5rr8f Před rokem

    mwache kushobokea wazungu Dada Sasa kwani aliimba nyimbo gani mbona Mimi simjui alafu ulipenda rangi nyeupe Sana wapo Sana watoto saiv natakA kuolewa na mzungu

  • @romiohbianga1366
    @romiohbianga1366 Před 3 lety

    Dada anakipaji kikubwa hadi kerooooo...anajua sana

  • @AbdulrahmanMattar-vd9ps

    Dada yangu alipoteza mpaka nyumba baada ya kuachana na mumewe wa ki taliano acheni kabisa na dadaangu alikua hr wa hotel kubwa Zanzibar ila mume aliuza vitu vyake kimya kimya

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Před 4 lety +4

    Maskin dad Allah atakupa rizki tena insha Allah. Ndiomna niliona mdada mkenya alikuw na mwanaume mzungu Norway na wakafungua company akawa anaiba pesa akijua kuna kesho wakiachan itakuwaje? Sasa ni huyu angechukua kisha kueka bank leo angelipata mtaji maskin weeee namuonea huruma kweli maan mtu ulokuw nae akikuacha na akaanza na mweingine ina umiza

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 4 lety +2

      Huyu alijifanya zembe mwanmke gani atatoka Kwa mzungu bila gorofa la pesa Huy labda alikua mfanyikazi wake wa ndani Tu sio mkewa ndowa duhhh 🤣

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty Před 4 lety +1

      Wakenya na wanageria awajazubaa yan wakiona tu mwanaume aeleweki wanaiba pesa au wanatafuta cha pembeni pia wapate pesa wanajua kuna leo kesho wanaume wanabadilika

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 4 lety +1

      @@lovvy854 jmn kaka mbona wajibu hivyo ww wajua kuna watu sijui niseme nn maan kam ni uwoga haiwezekan mtu upo nae uchumba mpk ndoa hujamzoea tu jmn hapan sielew ni nn kilimfanya asijifunze kuw mume si taifa lake na anatakiw afanye nn ila si rizki kaka tumuombeeni dua ajekuapta vyake insha Allah

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 4 lety +1

      @@allthingdranabeauty hiyo hata mm hapa nikipata taifa si lang lazima nifungue biashra ya pembeni 4 kwa kipind nipo nae Duka la nguo . Duka la nafaka. Duka la spea za magari maan najua ile inalipa mno . Na vibanda vya chips kam 4 hata akisem kila mtu time yake najua pa kujishikilia yaan wanawake hii iwe fundisho nilion mdada amezalishwa na watoto 2 akaenda nao Norway alipofika alifanywa mfanya kaz na kupigwa tena mbele ya mwanae mkubwa mume akirud kalew balaa yaan alisota mno mie z 3 aliona mwaka na Norway wengi wao alisem hawajui English wanajua lugha yao tu mpk kuja kupata nafas ya kurud na watoto wake alikuja Kenya analia kam katoka wp vile yaan yule dada alihadithia nililia mm mwenzenu kam ni mm nilofanyiwa vile jmn jmn jmn wanawake tusiwe na tamaa na tukipenda tu akishie wafrica wenzetu

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 4 lety

      @@munaahmed8499 nakuhisi daa na insha'Allah mungu atafanyia wepesi kwenye mihangaiko yake aweze kufanikiwa Kwa njia za kheri lakini itakua funzo kwa wengine maana angekua nimtu amejaribu kujifungulia ata vibiashara vyake viwili vitatu Kwa kando hangeambulia patupu ausio daa

  • @thisiszai2045
    @thisiszai2045 Před 4 lety +1

    Mwanamke mzuri sana mwenye busara

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 Před rokem

    Story hainogi hufunguki ukaeleweka,Kila story unaikatisha

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 Před 4 lety

    Pole

  • @nasrafita6909
    @nasrafita6909 Před 3 lety +1

    ASLKM JAMANI KUSEMA KWELI NIMEMPENDA SANA FATUMA JE NAWEZA KUPATA NO ZAKE?

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 Před 3 lety +2

    Unajua nini akili zina kua ndogo my sikulaumu hata mimi hiyo stor yako zina fanana na mimi lkn sasa hivi nna miak 30 namshukru allah nimepata akili najua vip niitafuta maish yangu

  • @beritaphilipo762
    @beritaphilipo762 Před 4 lety +2

    Fatma wa Mashariki palace hotel

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Před 3 lety +3

    My sweethrt fetty, love you

  • @nervenb2831
    @nervenb2831 Před 4 lety +4

    Dhuuu inauma pore mamy

  • @sudyhamdun7041
    @sudyhamdun7041 Před 3 lety

    Aisee Hatr

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Před 3 lety +1

    Nataka kula biliani yako nikija uko je unapatikana wapi Fatima?

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 Před 3 lety +1

    Daaaah dada poleee mimi hiyo hadis yaan kama yangu nilitamani kujiuwa ilikua gundu kwakweli daaah pole sana kila unapo jaribu ngoma drooo

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 Před 3 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @successmbio878
    @successmbio878 Před 3 lety

    Fatma anaweza akiwezesha

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 Před 3 lety +1

    Huyo binti ninaamini ana hekima nyingi. Anatumia busara nyingi.

  • @allymkali2057
    @allymkali2057 Před 4 lety +4

    Daaah.. Mfalme kanunua hoteli kaifanya sehem yake ya kupumzika???

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 3 lety

    PAZURI HAPOOO

  • @lauralesly2490
    @lauralesly2490 Před 3 lety +1

    Uliogopa au hukushare ki sheria kuchuma hizo mali dada . Ndio maana uliogopa kufuatilia haki yako na ulijua unaweza kushindwa .kwakuwa kama uliolewa kisheria na ulishare kuchuma mali haki yako ungeipata tanzania hata kama yeye ni mzungu haijalishi.

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 Před 4 lety +1

    Very cute.. Hlf kafanana na baby sky

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Před 3 lety +1

    Jamani , wajerumani,waitaliano na waarabu??????

  • @martalositotiktok6590
    @martalositotiktok6590 Před 3 lety

    Nimejifunza dada

  • @kilimanjarojjcarhire240

    Mhmmmm

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 Před 4 lety

    Nice

    • @rebeckayusuphu2463
      @rebeckayusuphu2463 Před 4 lety

      Hiyo chuo wanapokea watu wa namn gan wahitim au hawaangalii elimu plz naomba kujua

  • @sheilahregnus3918
    @sheilahregnus3918 Před 3 lety

    Mmmh

  • @htx1873
    @htx1873 Před 4 lety +3

    She looks like primary school classmate Fatma mnonji ,

    • @safiyasafiya5014
      @safiyasafiya5014 Před 3 lety +1

      Why give us 2 reson tell that. sema mpole sana anachosha kumsikiliza nimempenda tu yuko sawa

    • @hawayahya8832
      @hawayahya8832 Před 3 lety +1

      Mi pia nilisoma nae primary school KINONDONI

    • @htx1873
      @htx1873 Před 3 lety +1

      She is so cool , we have our memories together, tulisoma kinondoni primary school, she is so sweet and cool, I like her .. am happy to see her again after Decades

    • @hawayahya8832
      @hawayahya8832 Před 3 lety +1

      Ulimaliza mwaka gani KINONDONI ? Mie nimemaliza nae namkumbuka sana mwalimu SIMBANI 😁

    • @hawayahya8832
      @hawayahya8832 Před 3 lety +1

      @@kibindankoi9824 ndio

  • @aysherkitoi1845
    @aysherkitoi1845 Před 3 lety

    Pole kipenz unaongea ukweli

  • @saggiemacyalue5557
    @saggiemacyalue5557 Před 3 lety

    Duh.. Huyu dada mpole saaaaaaana jamani...

  • @jafariramadhani3264
    @jafariramadhani3264 Před 3 lety +1

    Huyu dada yupo simpo hadi raha

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Před 3 lety +1

    Ni mwanamke mwenye kujieshimu mansha allah

    • @hamishamis6508
      @hamishamis6508 Před 3 lety

      Kujiheshimu bado kwanza engeifunika hiyo minyuzi huko kichwani 😁😁😁

  • @wepoorman8944
    @wepoorman8944 Před 3 lety

    God will restore u
    Forgive ur self an the rest of people in ur life

    • @joyjjed6613
      @joyjjed6613 Před 3 lety

      True but forgiving oneself isn't that easy

  • @niceladeus1697
    @niceladeus1697 Před 4 lety

    Jamaaan

  • @mahijamasukuzi9246
    @mahijamasukuzi9246 Před 3 lety

    Tunataka iyo story twaisubiri