Nilipoteza vyote nilipoachana na mume wangu Mjerumani, hoteli ya Zenji, kampuni ya tour - Fatma
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Part 2
Sehemu ya pili ya #ChillnaSky ambapo Fatma anasimulia jinsi ndoa yake ilivyovunjika na kukosa kila kitu na kumlazimu kuanza maisha upya kwa dhiki na mateso mengi
Mdada mpole wewe,halafu uko Smart sana,Story yako imeniumiza jamani,kupoteza kila kitu jamani na kuanza upya mweeeh,Mungu atusaidiye wanawake.halafu watu wakikaaga ulaya utawajua tuu,wanafunguka kila kitu,hawajuagi uongo.
Kweli ukwli mbele because watu wa nje Hawajui kudanganya kama wa bongo
I went through the same thing my sister am from kenya but now am in a better place better than before
Me too..
Glory to the most high God.🌹🌹🌹🌹
Dada nimeipenda sana
Jinsi upole wako za tabia yako
Mstarabu sana
mdada ana roho nzur huyoo I know her, She is so smart
Anaonekana tu
nakukumbuka sana Fatma ulinitangualia darasa pale Chuoni JTTI na kwa baade nilifanya field yangu ya Uhasibu katika hoteli uliyokuwa ukifanya kazi
You have a big heart.God will take you far.
Doh namfahamu huyu dada anaroho nzur kweli, huyo ndo alonifanya kwa sasa niwe ujerumani, huyo dada alikua anafanya kazi hoteli inaitwa bluester, walikua wageni wanatuletea sisi kizimbani kwa magongo, love you dada thanks so much for your help
Nami nipeleke
Nami nipeleke
czcams.com/video/HQozsDdKWSM/video.html
@@ladylady8440 uppelekwe wap
Ujerumani
I like U Fatma you're verry polite girl pls be foward god be with You always.
Anaongea kwa utulivu👍🏾
Very composed and wise
Anaongea kwa uwazi
👍🏾
Anawez anzisha You Tube channel yake ya maongezi!
Anakipaji cha kuzungumza!
Mchumba hapa najitokeza
✊🏾🇧🇮
😁😁😀😀😀😀
@@subiradalabu6616 unazo nr zake? 😉
Ngoja nikutafutie nikutumie....
@@subiradalabu6616 🙏🏾 Kweli?
Mungu atakusaidia ni fatma
🇰🇪🇰🇪🇰🇪aka bachuchu mombasa
Huyu dada ni mstarabu sana anaongea vzur hata interview zake hua znavutia kuckliza
Pole sana Dada umepitiya changa moto mingi kwa kweli
Pole Fatma utapata Riziki nyingine, endelea kusali 🙏
Karibu tena zanzibar mrembo . Mana mpaka lahafuzi yako ni ya kizenji stone town
Kaka nakukubali sana kwenye simuliz kama hiz nilikua nakufuatilia toka redio free kwenye sitosahau m.b zangu utakula vya kutosha piga kazi
Kati ya watu ambao walinishawishi kufanya mziki wewe Fatma ukiwepo,nilikuwa nakufatilia Sana enzi ile,husikate tamaa bado unanafasi kubwa, hakuna msanii ambaye anaweza chukua nafasi yako,voko yako Ni tofauti kabisa fatma.napenda Sana sauti yako,naitwa Dachy girl nilikuwa first lady wa Tmk.
Wimbo gani??
huyu dada mpole na kakufanyia Tanzania akuna sheria ulaya pasu kwa pasu tena mwanaume anaondoka nyumba anakuachia wanasamini wanawake mno tena ukiwa na mtoto wew ni big boss ,pole duh
Kweli kabisa na waona Wanaume wavyo tupiwa nguo zao nje nyumba inabaki kwa Mwanamke na watoto/ Mtoto.
i like her skin
Nimempenda mpiga picha wa clip hii anaifahamu kazi yake hasa main camera ka flame safi
Sky mpeeni huyo dada ajira hapo ya utangazaji anasautu nzuri Sana Sana
Dada ingawa wewe si mkristu. Naomba ukaombewe. Nyota yako imechezewa. Wewe siyo maskini.
Napenda chorus uliimba wimbo wa jafaraii...unapenda nini sema basi nifulah
Habari,pole na hongera,Mungu mwema(Mie Chala)
Kama mliachana wote bila kupenda kuna kitu kiliwekwa katikati yenu.MUNGU NI MWEMA
Dah dunia hii uwezi jua kitakachokukuta
Da Pole sana Dada mji gani huo Fatuma uliokuwa insistierte masikini ungenitafuta ningekusaidia Niko mda mrefu huku
Pole Fetty.God is able🙏
God can do all in the life
Fatma mpolee adi raha unaongea vzr
Unaingia kike sana hadi raha, Allah ampe nguvu mama
Waah! Story imenishika yake uyo siz. Frm Mtwapa Kenya...... Kilalaheri kwake atatoboa. Music for life.
@@kibindankoi9824 Poster mzazi...
Beautiful and nice talk
Huyu dada ni msitarabu sn nimetokea kumpenda sn naatafika mbali sn yani daaaa nimempends sn
Akina Fatima wachache tuko ivyo
Uko vizuri sana Fatma. Umetulia ktk interview yako. Hauna mapepe, so humble my dear. Ume ni inspire sana sana kwamba ktk maisha hakuna kukata tamaa haijalishi ni changamoto ngapi tunakutana nazo. Big up sn dear. Mungu atakufanikisha sana tuu
Nime vutiwa sana na huyu dada mpeni kazi jaman
Hapa panamhusu saaana DIAMOND PLATNUMZ ; kiroho safii tu. Na sio tu kwenye muziki; She can manage one of many CHIBUS investments especially THE HOTEL
Safi kabisa.very intelligence.
Hata huyu anaonekana mtukivu, ila ukisikia upande umoja , unaeza ukakosea! Wazungu ndio wengi wawu kiwatoa pesa sio rahisi! Ila ukiwa na subila unapata. Kibaya Cha wa Afrika wakiowana na wazungu wanafikiri watapata utajiri hapo hapo. Ila na wazungu hawaokoti pesa.
Kumbuka tunatoka Kwenye familia duni na yakusapotiana Kimaisha...na mzungu yeye unaamini Kila mmoja na maisha yake....hapo Ndio kunatokeaga mtafaruku mama baba wanataka msaada mwenzako haelewi anaona km usumbufu...kifupi tu wazungu sio Watu wazuri 100%
Umewafanyia wasanii weng wakubwa chorus kwny nyimbo zao lkn hata hawakukumbuk now duh pole sana dada komaa💪🏿
😂🤣🤣🤣🤣
Hongera Sana mpiganaji!
Zanzibar .....Kama Zanzibar ukitulia tu umepata mzungu ..ndio maanaa wadada wa dar hupenda kuwenda Zanzibar...tz nzur sana...
Afu wakikoma wananyooka kuja kulialia
Duhh da fatma jambian umekuja zaman saiv jambian raha raha karibu nyumba JTTI kwaa alibaba apo
Nice voice
nakumbuka kweny ile ngoma umeima na yule mwamba anaitwa Hardmad Tamala producer mikamwamba
Hardmad ni kaka yake uyu Dem saiv jamaa yuko zake mbele
@@misanamohamedi8438 kumbe hardmad ni broo wake
Kweli sisi Waafrica ni wapole na wastaarab sana,MTU anakuja nchini kwenu na bado anaonea
Yaani acha tu
Yan ulaya pasu kwa pasu tena mwanaume anaondoka anakuachia nyumba ila africa sheria akuna
Tatizo la Africa tunamalizana wenyewe kwa wenyewe mzungu anakata mlungula kesi inaishia juu kwa juu
Dada pole Sana!! Story yako inanikumbusha mbali Sana!
Love u much fatuma
Sky is a good listener for sure!
I agree
pole sana dada, wala usjali ktk maisha chochote kinaweza tokea mtegemee Mungu na wala uskate tamaa
Kazuri kametulia mashallah
Pole kwa matatizo dear,nenda kanisani kawe Arise and shine udhuria maombi,utasaidika na haki yako utapata na mama atapona kwa muda mfupi sana
Vipi ndugu hilo kanisa lina nn maana watu tupo na wagonjwa, tupe maelezo,
@@queenwinnie256 kuna maombezi dear, watu wanaombewa wanapona, na kufunguliwa
Dah poleni sana, Omba Mungu sio kanisa
@@tareqhilal6750 Daaah na wewe pole sana
Wazungu wakijerumani ni wabaya sana wana ukoloni sana ni wagumu kutoa pesa halafu mkiachana anakupokonya kila kitu hadi nguo wako na unyama na ukatili sana
Wazungu wote ni washenzi na Ndio Mana unaambiwa mzungu ni kizungu Zungu na Ukiwa nae kimahusiano kuwa makini sana na ujue ni jinsi gani ya kujiongeza kwenu
True
Wakina Hitler hao
Jamani Fatma umetulia.Ila Wazungu wametunyanyasa Sana.Na ukute kuna wanafamilia walikulaumu huwapi ela kumbe hata hiyo ela huna.Ungemwibia labda ndicho alichotaka huyo mzungu
jmni tunapataje byriani yako Fatma? i wish i had yoiur number so i place an order. tupatie wapi upo tujekula tafadhali. asante sana kwa interview nzuri
Fatuma ulikuwa tamaa Sherman ujerumani kama umeolewa Heiko sana kwa mwanamke hatukujuana poleujerumani nikubwa sana
Brother gud na interview na mdada f.
diamond anatakiwa kuoa huyu mwanamke anahangaika nn
Wew unaminyoo tafuta msahala umeze 🤣🤣
Kirahisi hivo
Hawezi kumpata mwanamke Kama huyo, kila mtu ataoa yule anaefanana nae,
Nikweli ukipeleka vyeti watu reception wanazingua wanatia kwenye dustbin
Inaumiza sana
Mzungu dawa yake Malaya wakipataka wifemateral wanawaumiza
Kweli
Haposasa mzungu muhuni anataka mwanmke muhuni ndio atamfaiidii 🤣🤣✌️
Wazungu pasuwa kichwa
Ukweli kbs
Kweli kabisa wazungu wanataka vichwa ngumu La sivyo utachezewa na utatoka bila
Big up Skywalker
I like Nungwi
Pole dada
Nafeel namna unavyoongelea story yako pole sana nimekupenda dada angu
I love Fatma
Sema kuna goma lako na hard mard ni nomaaaaaaaaa kabisa la miaka mia baby tumalaiiiiiii
Dada ake hardmad uyu wote walikua wasanii
Zanzibar Oyeeeeeeeeeh
Mfalme wa Algeria oyeeeeeeeh
Biriani Oyeeeeeeeeh
Anasauti nzur kweli.... i wish apewe kipind kokote... she is very good
mwache kushobokea wazungu Dada Sasa kwani aliimba nyimbo gani mbona Mimi simjui alafu ulipenda rangi nyeupe Sana wapo Sana watoto saiv natakA kuolewa na mzungu
Dada anakipaji kikubwa hadi kerooooo...anajua sana
Dada yangu alipoteza mpaka nyumba baada ya kuachana na mumewe wa ki taliano acheni kabisa na dadaangu alikua hr wa hotel kubwa Zanzibar ila mume aliuza vitu vyake kimya kimya
Maskin dad Allah atakupa rizki tena insha Allah. Ndiomna niliona mdada mkenya alikuw na mwanaume mzungu Norway na wakafungua company akawa anaiba pesa akijua kuna kesho wakiachan itakuwaje? Sasa ni huyu angechukua kisha kueka bank leo angelipata mtaji maskin weeee namuonea huruma kweli maan mtu ulokuw nae akikuacha na akaanza na mweingine ina umiza
Huyu alijifanya zembe mwanmke gani atatoka Kwa mzungu bila gorofa la pesa Huy labda alikua mfanyikazi wake wa ndani Tu sio mkewa ndowa duhhh 🤣
Wakenya na wanageria awajazubaa yan wakiona tu mwanaume aeleweki wanaiba pesa au wanatafuta cha pembeni pia wapate pesa wanajua kuna leo kesho wanaume wanabadilika
@@lovvy854 jmn kaka mbona wajibu hivyo ww wajua kuna watu sijui niseme nn maan kam ni uwoga haiwezekan mtu upo nae uchumba mpk ndoa hujamzoea tu jmn hapan sielew ni nn kilimfanya asijifunze kuw mume si taifa lake na anatakiw afanye nn ila si rizki kaka tumuombeeni dua ajekuapta vyake insha Allah
@@allthingdranabeauty hiyo hata mm hapa nikipata taifa si lang lazima nifungue biashra ya pembeni 4 kwa kipind nipo nae Duka la nguo . Duka la nafaka. Duka la spea za magari maan najua ile inalipa mno . Na vibanda vya chips kam 4 hata akisem kila mtu time yake najua pa kujishikilia yaan wanawake hii iwe fundisho nilion mdada amezalishwa na watoto 2 akaenda nao Norway alipofika alifanywa mfanya kaz na kupigwa tena mbele ya mwanae mkubwa mume akirud kalew balaa yaan alisota mno mie z 3 aliona mwaka na Norway wengi wao alisem hawajui English wanajua lugha yao tu mpk kuja kupata nafas ya kurud na watoto wake alikuja Kenya analia kam katoka wp vile yaan yule dada alihadithia nililia mm mwenzenu kam ni mm nilofanyiwa vile jmn jmn jmn wanawake tusiwe na tamaa na tukipenda tu akishie wafrica wenzetu
@@munaahmed8499 nakuhisi daa na insha'Allah mungu atafanyia wepesi kwenye mihangaiko yake aweze kufanikiwa Kwa njia za kheri lakini itakua funzo kwa wengine maana angekua nimtu amejaribu kujifungulia ata vibiashara vyake viwili vitatu Kwa kando hangeambulia patupu ausio daa
Mwanamke mzuri sana mwenye busara
Story hainogi hufunguki ukaeleweka,Kila story unaikatisha
Pole
ASLKM JAMANI KUSEMA KWELI NIMEMPENDA SANA FATUMA JE NAWEZA KUPATA NO ZAKE?
Unajua nini akili zina kua ndogo my sikulaumu hata mimi hiyo stor yako zina fanana na mimi lkn sasa hivi nna miak 30 namshukru allah nimepata akili najua vip niitafuta maish yangu
Fatma wa Mashariki palace hotel
My sweethrt fetty, love you
Dhuuu inauma pore mamy
Aisee Hatr
Nataka kula biliani yako nikija uko je unapatikana wapi Fatima?
Daaaah dada poleee mimi hiyo hadis yaan kama yangu nilitamani kujiuwa ilikua gundu kwakweli daaah pole sana kila unapo jaribu ngoma drooo
🙏🙏🙏
Fatma anaweza akiwezesha
Huyo binti ninaamini ana hekima nyingi. Anatumia busara nyingi.
Daaah.. Mfalme kanunua hoteli kaifanya sehem yake ya kupumzika???
Hoteli gan
😝😂
Watu sio wakisportsport
PAZURI HAPOOO
Uliogopa au hukushare ki sheria kuchuma hizo mali dada . Ndio maana uliogopa kufuatilia haki yako na ulijua unaweza kushindwa .kwakuwa kama uliolewa kisheria na ulishare kuchuma mali haki yako ungeipata tanzania hata kama yeye ni mzungu haijalishi.
Inawezekana
Very cute.. Hlf kafanana na baby sky
Jamani , wajerumani,waitaliano na waarabu??????
Na warusia!!!!
Kazi mnayo wadada
Nimejifunza dada
Mhmmmm
Nice
Hiyo chuo wanapokea watu wa namn gan wahitim au hawaangalii elimu plz naomba kujua
Mmmh
She looks like primary school classmate Fatma mnonji ,
Why give us 2 reson tell that. sema mpole sana anachosha kumsikiliza nimempenda tu yuko sawa
Mi pia nilisoma nae primary school KINONDONI
She is so cool , we have our memories together, tulisoma kinondoni primary school, she is so sweet and cool, I like her .. am happy to see her again after Decades
Ulimaliza mwaka gani KINONDONI ? Mie nimemaliza nae namkumbuka sana mwalimu SIMBANI 😁
@@kibindankoi9824 ndio
Pole kipenz unaongea ukweli
Duh.. Huyu dada mpole saaaaaaana jamani...
Huyu dada yupo simpo hadi raha
Ni mwanamke mwenye kujieshimu mansha allah
Kujiheshimu bado kwanza engeifunika hiyo minyuzi huko kichwani 😁😁😁
God will restore u
Forgive ur self an the rest of people in ur life
True but forgiving oneself isn't that easy
Jamaaan
Tunataka iyo story twaisubiri