Tazama live #Clouds360 ipo mubashara kutoka nyumbani kwa Baba yake na Ruge Mutahaba (Mikocheni), ambapo ndipo msiba ulipo, mtangazaji ni Babbie Kabae na Masoud Kipanya.
Msiba huu umenigusa hadi mm!! Najisikia kuumia sana! Familia imempoteza mtu muhimu sana!! Mpambanaji,, mtu aliyewainua wengi kimaisha! Kwa msaada wa vitu , na fikra yakinifu! Mungu amevuna zao muhimu sana!
Ayubu 14 1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. 2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe...... Tumepewa siku hizi za kuishi zilizojaa taabu na mahangaiko mengi,tunapopata nafasi ya kusaidia wengine saidia kama hamna kesho, panapotakiwa kushauri shauri,panapotakiwa kuonya onya au kemea, weka alama ya Upendo kwa waliokuzunguka hata utakapoondoka uendelee kuishi ndani yao,ukipata nafasi ya kufurahi furahi....tuendelee kuombeana ,kutiana Moyo na kusaidiana !! Pia tuombeane na itukumbushe kua na sisi siku moja tutaondoka tu !! Nimeona taarifa za msiba wa Ruge wa Clouds nikasikia ndani yangu kushare hili.Mungu akawe mfariji kwa afiwa lakini pia tuendelee kuishi maisha ya toba na imani.🙏
Rest well Ruge , rest easy jembe.. Hatuna bufi kumshukuru Mungu kwa hili pia, ila tutakukumbuka daima. Pole sana kwa familia,rafiki,cloudz,vijana na wote walioguswa.😥
Polen sana wanafamilia wote wa Ruge,clous media pamoja na wazazi na watt , maana mm cmjui nimeumia kama nilishawahi kuonana nae lakin nimuulize mitandaon tu jaman lakin nimeumia sana
Mgeyaweka live aya matangazo kutoka apo michokeni mtaa wa kiko,sauti haisikiki. MOJA KWAMOJA INGEPENDEZA SANA KWANI AMNA SHUGURI NYINGINE UKO MJENGONI ZAIDI YA HILI. TAFADHARI TUWEKE LIVE
R.I.P Ruge Mutahaba. Clouds family Mungu awape Faraja ya kweli wakati huu mugumu. Tuendelee kumuimbea Ndg Joseph Kusaga ambaye yuko kwenye trying moments.
It so hard for me to believe that you have gone brother na mtani wngu.You have done much for this country everybody will have a chance to remember you Brother. You have gone and we are behind you brother so hard to believe on this
Shirika la Valuable Community Health Organization (VCH) linatoa pole kwa Watanzaia wote kwa msiba huu mkubwa uliotukuta kwa mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa CLOUDS MEDIA!! Familia Mungu awafunge mkanda katika kipindi hiki kigumu!
Sikuwahi kuonana na Ruge hata siku moja lakin nilitaman sana kuonana nae n nilisema atakaporudi nitajitahid nionane nae ila haijawa hvyo,Imeniuma ina namuombea sana kwa Mungu akapate pumziko LA milele.
Mosud nakupendaga unaakili na hekima za mungu kabisa ni kweli umeongea maneno mzuri mungu amechukuakitu chakekweli" nasi tuko nyuma yake mungu amlaze mahali pema peponi A men
R,I,p pumzika kwa aman kaka ruge mingu akulaze mahara pema pepon ,bwana alitoa na bwana ,ametwaa jina la bwana kihimidiwe, amen,polen ndugu jamaa na marafiki na watanzania wote,
Msiba huu umenigusa hadi mm!! Najisikia kuumia sana! Familia imempoteza mtu muhimu sana!! Mpambanaji,, mtu aliyewainua wengi kimaisha! Kwa msaada wa vitu , na fikra yakinifu! Mungu amevuna zao muhimu sana!
Ayubu 14
1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe......
Tumepewa siku hizi za kuishi zilizojaa taabu na mahangaiko mengi,tunapopata nafasi ya kusaidia wengine saidia kama hamna kesho, panapotakiwa kushauri shauri,panapotakiwa kuonya onya au kemea, weka alama ya Upendo kwa waliokuzunguka hata utakapoondoka uendelee kuishi ndani yao,ukipata nafasi ya kufurahi furahi....tuendelee kuombeana ,kutiana Moyo na kusaidiana !! Pia tuombeane na itukumbushe kua na sisi siku moja tutaondoka tu !! Nimeona taarifa za msiba wa Ruge wa Clouds nikasikia ndani yangu kushare hili.Mungu akawe mfariji kwa afiwa lakini pia tuendelee kuishi maisha ya toba na imani.🙏
Rest well Ruge , rest easy jembe.. Hatuna bufi kumshukuru Mungu kwa hili pia, ila tutakukumbuka daima. Pole sana kwa familia,rafiki,cloudz,vijana na wote walioguswa.😥
Polen sana wanafamilia wote wa Ruge,clous media pamoja na wazazi na watt , maana mm cmjui nimeumia kama nilishawahi kuonana nae lakin nimuulize mitandaon tu jaman lakin nimeumia sana
msiba huu umenigusa sana sana poleni familia
Poleni sana wafiwa, Ruge tutamkumbuka daima amefanya makubwa sana kwa Taifa.
R.I.P
R.I.P RUGE
Upumzike kwa amani Mr ruge mutahaba. Ulikua mfano mzr kwa vijana nina imani watakukumbuka daima na mchango wako.
Mgeyaweka live aya matangazo kutoka apo michokeni mtaa wa kiko,sauti haisikiki. MOJA KWAMOJA INGEPENDEZA SANA KWANI AMNA SHUGURI NYINGINE UKO MJENGONI ZAIDI YA HILI. TAFADHARI TUWEKE LIVE
Vizur havidum pia vinakua kama somo au njia kwa wengine....Allah akurehem inshaallah..
R.I.P Ruge Mutahaba. Clouds family Mungu awape Faraja ya kweli wakati huu mugumu. Tuendelee kumuimbea Ndg Joseph Kusaga ambaye yuko kwenye trying moments.
R.i.p mr ruge mungu akuweke mahala peponi BY JANUARY FROM MOROGORO
It so hard for me to believe that you have gone brother na mtani wngu.You have done much for this country everybody will have a chance to remember you Brother. You have gone and we are behind you brother so hard to believe on this
Shirika la Valuable Community Health Organization (VCH) linatoa pole kwa Watanzaia wote kwa msiba huu mkubwa uliotukuta kwa mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa CLOUDS MEDIA!! Familia Mungu awafunge mkanda katika kipindi hiki kigumu!
Rip Master plan of entertainment in our country, mungu akuweke anapopataka yeye aaaaamen
Mwenyezi mungu ailaze roho ya Ruge mahali pema peponi!!!
Pumzika kwa amani shujaa wa bongo flava daima tutakukumbuka boss ruge.
Rest in peace Bro, very soon but all is God willing
we need to report dudubaya kwa tcra , mwakyembe , na basata
ili iweje sasa?? Doesnt make sens,
We nae kuma ee msban dude wa nini
Sikuwahi kuonana na Ruge hata siku moja lakin nilitaman sana kuonana nae n nilisema atakaporudi nitajitahid nionane nae ila haijawa hvyo,Imeniuma ina namuombea sana kwa Mungu akapate pumziko LA milele.
Innalillah wainna illayh rajiunah pole saan wanafamily hakika kifo nimlango sote tutapita mlango huo,,,mazuri yako 99%kwakweli tutakukumbuka
Mosud nakupendaga unaakili na hekima za mungu kabisa ni kweli umeongea maneno mzuri mungu amechukuakitu chakekweli" nasi tuko nyuma yake mungu amlaze mahali pema peponi A men
Vizuri havidumu RIP MR RUGE
R,I,p pumzika kwa aman kaka ruge mingu akulaze mahara pema pepon ,bwana alitoa na bwana ,ametwaa jina la bwana kihimidiwe, amen,polen ndugu jamaa na marafiki na watanzania wote,
Pumzika brother
Poleni sana wanafamilia kwa kuondokewa na Kijana wenu, R.I.P Ruge
Pollen sana clauds
Hapo sauti imekaa sawa "Rest where you deserve Ruge" umeacha alama kubwa kwa Taifa hili.
Dah! Ruge mpendwa. Nenda kapumzike kwa AMANI brother. Wewe ni mfano kwetu vijana
ROMA alisema ninja daaa RIP ninja
Umetangulia mpigaji R.I.P
Sauti ipo chini 😭
Rest in peace baba Ruge Mutahaba
Alhamdulilaah .Innailaah wainnailaah rajioun
Ila sauti inakuaga chini sana Chanel yenu jaribuni kubolesha mara nyingi inakuaga ivi
Mungu mpokee Boss Ruge
Jamani BBY poleni Sana
Apumzike kwa Amani Ruge Mutahaba
Rip,inauma sana aiseee
Pole😥😥😥😥
Rest in peace Ruge
RIP Ruge Mutahaba
Umeongea kwa hekima na busara sana masoud kipanya.
Apumzike kwa Amani kaka Ruge, Mungu amempenda Zaidi. Tutamkumbuka kwa Mengi sana huyu kaka jamani
et wazazi wake wapo
Mbele zako nyuma zetu 😢😢😢
Allah amlaze mahala pema peponi
R.I.P BROTHER
R I P the one and only boss Luge
Hakuna saut kabisa
R.I.P
R i p boss
rest in peace brother Ruge
Sauti aiseee, hii clip ni tope tupu
Huskii wekeni mambo vzuri
RIP Ruge
Sauti ipo chini sana please rectify this!
Rest in peace boss ruge
R.I.P
R.I.p ruge
R.I.P King Ziziii{Godz}
Kama sikosei ni 2012 au 2013 Nilikutana naye Moshi aliniambia hakuna linaloshindikana ukiamua unafanya na utafanikiwa!
Rest in peace
eeeeh jamani pumnzika kwa amani baba😭😭😭
Sauti ipo chini sana Engineeeeer solve hiyooooo
Punzka kwa aman Ruge
R.I.P Ruge wetu
RIP
R.I.P Ruge Mutahaba
Mungu amlaze mahali pema pepon amina
R I P
sauti ipo down jamani
Sauti
shilole akapike
Sauti ndogo jamani
Kazi yake mola haina makosa, tulimpenda lakini yeye amempenda zaidi
Ivi ni cm yangu ndiyo haina sauti au
NI MSIBA WETU SOTE AMETANGULIA JEMADARI MPAMBANAJI SHUPAVU ATABAKI KUKUMBUKWA DAIMA DAIMA NA VIZAZI VYOTE VYA TANZANIA NA DUNIA KWA UJUMLA R.IP RUGE
Kifo hakina huruma kabisa
Pigo kubwa san alikuwa msaada muangaza r I p
Sauti ndogo
Saut jaman saut
wanafki wakubwa nyinyi kwanini msingejitolea figo kama kweli mnampenda
R.I.P
R.I.P mpendwa wetu kapumzike kwaa amani umetangulia mpendwa wetu mungu akupunguzie dhambi amina
R.I.P ruge
R.I.P Ruge
R.I.P Ruge
R.I.P Ruge