NJIA 10 ZA KUEPUKA MADENI | Ezden Jumanne
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 24. 11. 2022
- Kila kitu kwenye maisha kinahitaji maarifa fulani hali kadhalika mafanikio ya kifedha yana maarifa maalum ambayo yanahitaji ufuatilie kwa makini ili uweze kuyafikia. Kitu kinachokwamisha au kuchelewesha watu wengi kufanikiwa ni kuandamwa na madeni, sasa katika somo hili Ezden Jumanne anakuchambulia njia 10 zitakazokuepusha na madeni katika maisha yako, hii ni kwa msaada wa kitabu cha Nguvu Ya Pesa - Festo Amos.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
SPONSOR: MY SHOP TANZANIA
WEB: myshop.co.tz
INSTA: / myshop_tz
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: tinyurl.com/voiceovertanzania
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEOđđœ
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?đđœ
czcams.com/channels/Ofv.html...
.
VOICE-OVER CHANNELđđœ
tinyurl.com/matangazo
.
.
#Kuepuka #Madeni #Maishani
KUNUNUA KITABU CHA NGUVU YA PESA:
Wasiliana na Festo Amos kupitia
Namba: (+255) 766 181 367
Bei: 10,000 TZS
Dah hiki kitabu nikija tz nitakuja kununua
@@mwanaimaabdallah7825 Naam muhimu sana ukhty
Wacha nisevu namba kabisaa
Hyo ni bei ya hardcopy??
Asante kwa shule nzuri,safi sana inawezekana nikuchukua hatuađ
Naam kuchukua hatua ndio hatua ya msingi zaidi.
Ezden nakuelewa sana uko wap umeyafanya maisha yangu niyafurahie kabisa kutokana na elimu unayotoa
Njia ya kupunguza maden
Nimejifunza!
Each one teach one team thank you alot... Mungu akubariki bro Ezden
Umepotea sana kaka nilikua cpat notification
Aaah Mwasiti mbona nipo hapa daily ndugu yangu... Karibu tena! Labda bonyeza tena bell notification... OFF & ON tena..
Thanks
Asante mwenyezi mungu akubariki
Kweli kabisa shukran
Umenifunza ki2 broo
ASANTE KAKA KARIBU KWETU MOZ(BEIRA)
Upo vizuri utufundisha Ili Nina seali nahitaj kula bustani ya matunda tatizo vitendea kxđą
We growing family.
Nimeyapeda Sana mafundisho yako kuhusu,Ila Broo nadiwa nashindwa kuelewa nianzie wapi
đȘ
Asantee nimelewaaa nitafanyia kaz
Mm nataka hivi vitabu ili nijifunze zaid
Asante Sana Nawezaje kupata hicho kitabu?
KUNUNUA KITABU CHA NGUVU YA PESA:
Wasiliana na Festo Amos kupitia
Namba: (+255) 766 181 367
Bei: 10,000 TZS
Hlw nipo machimboni leo mwaka 4 sina mafanikio zaidi ni madeni na kukimbia familia nifanyeje
Barikiwa
Asante Sana kwa ushauli wako
Karibu sana...
Aki yaaani Niko omani 3yrs sijasave chochote ni madeni Tu , hata hayaishiđ„
Nashukuru bro ezden
Tuko pamoja ndugu yangu. Zaidi cheki commeny ya kwanza hapo juu ili kuona namna ya kupata hicho kitabu ktakusaidia sana
Iyo orodha ya wenye kudai inaongezeka haipungui
Wewe ndio inabidi uhakikishe haiongezeki. Na uanze kuishughulikia ipungue mpaka ipotee kabisa. Na inawezekana
Nisaidie nianzeje kulipa haya madeni maana nadaiwa sana
Fuatilia hili somo vizuri... Ukihitaji zaidi niandikie WhatsApp
Kituambacho huwaga kina ninyima amani nimaden na ili amani yangu isitoeke najizuiagasana kukopa kitu pasipo na sababu zisizo za lazima
Woiii hata Mimi najikuta nimekopa
Kwakweri sisi wafanyabiashara tunamadeni mengi uwaayaishi sijuikwanini? Vitabu vya nguvu ya pesa hicho nikizuri sana Mimi Niko wiraya ya mureba nitakipaje?
Nahitaji hiki kitabu
Kiunauzwa beigani kaka
KUNUNUA KITABU CHA NGUVU YA PESA:
Wasiliana na Festo Amos kupitia
Namba: (+255) 766 181 367
Bei: 10,000 TZS
@@successpathnetwork Shukrani sana
Nimekuwa nifanya kz Sasa kwa ajili ya kulipa madeni nisaidie Broo
Ntakipataje hicho kitabu?? Pia ni bei gani.
KUNUNUA KITABU CHA NGUVU YA PESA:
Wasiliana na Festo Amos kupitia
Namba: (+255) 766 181 367
Bei: 10,000 TZS
Namba point namba kumi (10)nimeilewa Sanaa "Afya ndo Mtaji mkubwa wa Maisha pasipo Afya nzuri ,hakuna maendeleo !!
ASANTE KAKA KARIBU KWETU MOZ(BEIRA)