samahani mtumishi nimekufwatilia kwa kipindi chako unafundisha maneno ya kweli ,Hadi mim nimembadilika na shukulu kwa mafundisho yako !!! Ila sas kunapenye unakosea ,ni siku ya kuambud kwa sababu biblia inaonyesha vizuri ukiangalia amri ya nne inaelesea na pia mathayo 28 inaelezea ,samahani kama nitakosea Ila yote ni kujifuza ( siku ya kuabundu ni siku ya sabato)
@@paschalcassianoriginal9411 Amen!!! Mungu akulide kwasababu pia mim nimebandilika nilikuwa navaa suluali pia na kusonga Ila kuazia nikufwatilie kwa mafundisho yako nimebandilika naomba ungekuwa kenya uku nairobi wanawake wamepotea san ( Ila mtumishi naomba pia mim muniweke kwa maombi kwasababu Kuna roho inaniambia niende kusaindia Babu yangu kuuza BIBLIA
Mchungaji nashukuru Sana kwa ujumbe unaoutoa kila wakati amenisaidia Sana, nimejua kuvaa suruali ,kusuka nywele,na vinginevyo vingi ni dhambi ubarikiwe Sana🙏🙏🤝🤝🤝
Ahsante sana kaka Ila naomba kujua. Ibada nisku gani maana wewe umesmamia ukweli wa biblia. Navyobfahamu ibada ya biblia ni SABATO Sasa wewe ibada yako nisiku gani. Samahani pia Kama nimeuliza swali baya unisamehe
😢😢😢 ole wangu ninayekula kila chakula pasipokujua kua kina hila, maana kitanipoteza, kiniangamize na kufanya nimuache Muumba. Kwa mapenzi yako Mungu naomba, unipe maarifa ya kukijua chakula chenye hila ili nisiwe mbali na uso wako.
Mungu akubaliki na akutie nguvu mtumishi
Amen. Neno la uzima. Mungu akubariki sana
Mungu aendelee kukuwekea uzio ili adui asikufike mungu apambane nao Kasiano NDAGUKUNDA CHANE
Amen mtumishi Ubarikiwe sana hakika unatujenga na kutufundisha safari ya Mbiguni Mungu akulinde juu ya watu wabaya juu yako
Tunayaweza mambo yote hakika tutachangia kazi ya mungu haitasisima kamwe
Ameen mung azid kukutumia Kam chombo chake
Kwa Mungu hakuna linalo shindikana tutashinda🙏🙏
Amen 🙏🙏🤝
Amen 🙏
Amena🎉🎉
samahani mtumishi nimekufwatilia kwa kipindi chako unafundisha maneno ya kweli ,Hadi mim nimembadilika na shukulu kwa mafundisho yako !!! Ila sas kunapenye unakosea ,ni siku ya kuambud kwa sababu biblia inaonyesha vizuri ukiangalia amri ya nne inaelesea na pia mathayo 28 inaelezea ,samahani kama nitakosea Ila yote ni kujifuza ( siku ya kuabundu ni siku ya sabato)
Hongera Sana endelea kuabudu KATIKA roho na kweli
@@paschalcassianoriginal9411 Amen!!! Mungu akulide kwasababu pia mim nimebandilika nilikuwa navaa suluali pia na kusonga Ila kuazia nikufwatilie kwa mafundisho yako nimebandilika naomba ungekuwa kenya uku nairobi wanawake wamepotea san ( Ila mtumishi naomba pia mim muniweke kwa maombi kwasababu Kuna roho inaniambia niende kusaindia Babu yangu kuuza BIBLIA
Amen
Mchungaji nashukuru Sana kwa ujumbe unaoutoa kila wakati amenisaidia Sana, nimejua kuvaa suruali ,kusuka nywele,na vinginevyo vingi ni dhambi ubarikiwe Sana🙏🙏🤝🤝🤝
Niko tayari kubadilika
🙏🙏🙏🙏
Ahsante sana kaka Ila naomba kujua. Ibada nisku gani maana wewe umesmamia ukweli wa biblia. Navyobfahamu ibada ya biblia ni SABATO Sasa wewe ibada yako nisiku gani. Samahani pia Kama nimeuliza swali baya unisamehe
Sabato n siku ya yako wewe umesema leo n siku yangu naweka wakufu kumuabudu MUNGU wangu
😢😢😢 ole wangu ninayekula kila chakula pasipokujua kua kina hila, maana kitanipoteza, kiniangamize na kufanya nimuache Muumba.
Kwa mapenzi yako Mungu naomba, unipe maarifa ya kukijua chakula chenye hila ili nisiwe mbali na uso wako.