HIKI KIZAZI HAKITA INGIA MBINGUNI NI CHA NYOKA EV PASCHAL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 06. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #0788871769
  • Zábava

Komentáře • 22

  • @DanielNasibu
    @DanielNasibu Před 29 dny

    Mungu akubaliki na akutie nguvu mtumishi

  • @user-bw3pz6vf2n
    @user-bw3pz6vf2n Před měsícem +1

    Amen. Neno la uzima. Mungu akubariki sana

  • @abelkinyuko3131
    @abelkinyuko3131 Před 18 dny

    Mungu aendelee kukuwekea uzio ili adui asikufike mungu apambane nao Kasiano NDAGUKUNDA CHANE

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg Před 29 dny

    Amen mtumishi Ubarikiwe sana hakika unatujenga na kutufundisha safari ya Mbiguni Mungu akulinde juu ya watu wabaya juu yako

  • @SamweliMwita-ul2kh
    @SamweliMwita-ul2kh Před 29 dny

    Tunayaweza mambo yote hakika tutachangia kazi ya mungu haitasisima kamwe

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame Před měsícem

    Ameen mung azid kukutumia Kam chombo chake

  • @user-zc3pm9jw7p
    @user-zc3pm9jw7p Před měsícem

    Kwa Mungu hakuna linalo shindikana tutashinda🙏🙏

  • @user-dz8qh6yb2x
    @user-dz8qh6yb2x Před měsícem

    Amen 🙏🙏🤝

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira8966 Před 28 dny

    Amen 🙏

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 Před měsícem

    Amena🎉🎉

  • @user-ks9ui8td7y
    @user-ks9ui8td7y Před měsícem +2

    samahani mtumishi nimekufwatilia kwa kipindi chako unafundisha maneno ya kweli ,Hadi mim nimembadilika na shukulu kwa mafundisho yako !!! Ila sas kunapenye unakosea ,ni siku ya kuambud kwa sababu biblia inaonyesha vizuri ukiangalia amri ya nne inaelesea na pia mathayo 28 inaelezea ,samahani kama nitakosea Ila yote ni kujifuza ( siku ya kuabundu ni siku ya sabato)

    • @paschalcassianoriginal9411
      @paschalcassianoriginal9411  Před měsícem +1

      Hongera Sana endelea kuabudu KATIKA roho na kweli

    • @user-ks9ui8td7y
      @user-ks9ui8td7y Před 29 dny

      @@paschalcassianoriginal9411 Amen!!! Mungu akulide kwasababu pia mim nimebandilika nilikuwa navaa suluali pia na kusonga Ila kuazia nikufwatilie kwa mafundisho yako nimebandilika naomba ungekuwa kenya uku nairobi wanawake wamepotea san ( Ila mtumishi naomba pia mim muniweke kwa maombi kwasababu Kuna roho inaniambia niende kusaindia Babu yangu kuuza BIBLIA

    • @DancanEsena
      @DancanEsena Před 28 dny

      Amen

    • @user-rj2sh1hg4f
      @user-rj2sh1hg4f Před 27 dny

      Mchungaji nashukuru Sana kwa ujumbe unaoutoa kila wakati amenisaidia Sana, nimejua kuvaa suruali ,kusuka nywele,na vinginevyo vingi ni dhambi ubarikiwe Sana🙏🙏🤝🤝🤝

    • @user-rj2sh1hg4f
      @user-rj2sh1hg4f Před 27 dny

      Niko tayari kubadilika

  • @EdwinEdward-ze2eq
    @EdwinEdward-ze2eq Před 27 dny

    🙏🙏🙏🙏

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před 29 dny

    Ahsante sana kaka Ila naomba kujua. Ibada nisku gani maana wewe umesmamia ukweli wa biblia. Navyobfahamu ibada ya biblia ni SABATO Sasa wewe ibada yako nisiku gani. Samahani pia Kama nimeuliza swali baya unisamehe

    • @vokehmanmtotowamungu2888
      @vokehmanmtotowamungu2888 Před 29 dny

      Sabato n siku ya yako wewe umesema leo n siku yangu naweka wakufu kumuabudu MUNGU wangu

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před měsícem

    😢😢😢 ole wangu ninayekula kila chakula pasipokujua kua kina hila, maana kitanipoteza, kiniangamize na kufanya nimuache Muumba.
    Kwa mapenzi yako Mungu naomba, unipe maarifa ya kukijua chakula chenye hila ili nisiwe mbali na uso wako.