BILA KUWA NA SIFA HII WEWE SIO MKSTO EV PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #0766998994 #call0688199370

Komentáře • 14

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 2 měsíci

    Nimesulubiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi, bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu...
    Vile vile Yesu alitupenda akatoa nafsi yake kwa ajili yetu nasi tunafaa kujitoa kwa ajili ya wengine. Tuwajali, tuwapende na kuwasaidia wote wenye mahitaji.
    Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi.

  • @emilianagodwine6138
    @emilianagodwine6138 Před 2 měsíci

    Amina Mungu akibariki sana. Nimejifunza vingi kutoka kwako

  • @Charlesmwinamila
    @Charlesmwinamila Před měsícem

    Amina sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana na Mungu

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Před měsícem

    àmina 🙏 sana

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před 2 měsíci

    Kwa mapenzi yako Mungu, kupitia kwa mwanao Yesu kristo, naomba unipe moyo wa kupenda na kujali wenzangu kwa kila hali. Unipe hekima jinsi ya majibu toka kinywa changu kwa wenzangu. Niishi kwa uhalisia wa kutenda kwa wenzangu na kulisoma neno lako kwa wingi.

  • @user-ks9ui8td7y
    @user-ks9ui8td7y Před 2 měsíci

    Amen

  • @user-dz8qh6yb2x
    @user-dz8qh6yb2x Před 2 měsíci

    Amen 🙏

  • @bhavinjani4415
    @bhavinjani4415 Před 2 měsíci

    Amina ubarikiwe

  • @AngelaRamau
    @AngelaRamau Před 2 měsíci

    Ameni 🙏

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 2 měsíci

    Aminaaaaa

  • @marrykigabimk
    @marrykigabimk Před měsícem

    Kweli kabisa🙏🏾

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 Před 2 měsíci

    Mungu akubariki nakukulinda mutumishi wa Mungu🎉🎉🎉

  • @user-zd9hy1yd7c
    @user-zd9hy1yd7c Před 2 měsíci

    Mbona hii namba ya m pesa yasema haija sajiliwa,mimi niko 254

  • @KALENJIN-035
    @KALENJIN-035 Před 2 měsíci +1

    Kindly separate your music account and talk show
    I like your songs but with this man am out