''MSIGWA AMEONDOKA PEKEE YAKE/TUNAMJUA/TUTASHINDANA NAE KIVYOVYOTE'',....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 17

  • @MATHAYONMOLLEL
    @MATHAYONMOLLEL Před 6 dny +1

    Sawa tu si siasa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před 7 dny +1

    Safi sana mwenyekiti tutamjibu atakavyo kuja

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6w Před 5 dny +1

    Mdude nimemuona hhhhhh

  • @johncharles323
    @johncharles323 Před 3 dny

    Huku kwetu madaftali ya kudum ya kujiandikisha hayapo ndo malengo maovu ya ccm ili washinde uchaguzi ,

  • @johncharles323
    @johncharles323 Před 3 dny

    Msigwa ni covid 19 km kina mdee na wenzake hana maana yoyote tumpuuze tu ,

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6w Před 5 dny

    Mdude hhhhhhhhhh dah

  • @zebedayokatamaduni9676

    Pamoja

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 7 dny

    Yamekuwa hayo tena hahahaha, leo hamumjui Msigwa?? badilikeni mtafika mbali

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 6 dny

    Acheni uchochezi tafuteni sera za Kuongea mbona hamna watu.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 4 dny

    Mlianza wenyewe majungu ndani ya chama muacheni aondoke

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 7 dny

    huyu umamliki ndo zoea lake alianzia kuwa mamluki was wa hehe wakati ye sio mhehe na ameaibisha wahehe Dana mkwawa alikataa kuwatii wazungu na

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 7 dny

    Kama wamesajili tutarajie katiba mpya maana musigwa atamshauri samia ifikapo October 2024 katiba itakuwa tiyali

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 7 dny +2

    Unaowasema akina Zito na wenzake ni CCM B tunawaongezea na Msigwa likiwa ni boya jingine.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 7 dny

    Hata wewe bwana nyasa waweza kuwa unatudanganya wanasiasa hamtabiriki watu kama lisu kidogo ndo naweza kumwamini

  • @user-hj4sn8vl4r
    @user-hj4sn8vl4r Před 7 dny

    Kwani ni lazima wewe uongee!???

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před 7 dny

    ACHA KUPAYUKA MSIGWA AMEFANYA MAAMUZI SAHIHI CHAMA CHENU MIAKA YOTE MWENYEKITI NI MBOYE IGENI KWA MH ZITTO NA ACT WAZALENDO MNAKERWA NA MATUMIZI YA SERIKALI WAKATI MBOYE AMEKIFANYA CHADEMA CHAMA CHA FAMILIA