KIJANA WA KIGOMA ATENGENEZA MFANO HELICOPTER BAADA YA GARI NA PIKIPIKI YAKE ''SIBAHATISHI MIMI''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2020

Komentáře • 50

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 Před 4 lety +3

    Nakubali spirit yako unajiamini sana Zuberi "lazima ndege itapaa"

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před 4 lety +1

    Mashallah mashallah Allahubariq na akupe uwezo wa kufikia ndoto zako bwamdogo uko na kipaji

  • @johnmbogo3708
    @johnmbogo3708 Před 3 lety +2

    Creative, innovative, inventive, talented +critical thinker! Kuna jamaa anabisha kwenye comments tumeona! Kijana sifa zote anazo, la sivyo asingeweza! Wanaomvunja moyo wanafikri kila mtu anaweza! 💪💪🤙🏿hongera saaana, usirudi nyuma hata kidogo, tena ONGEZA!✍️✍️

  • @wasingyakirivwa4681
    @wasingyakirivwa4681 Před 4 lety

    Je suis congolais, vraiment je suis très fière de votre créativité. Que Dieu t'offre les désirs de ton coeur.

  • @SalumSaid-jx9pm
    @SalumSaid-jx9pm Před 9 měsíci

    Saf sana mungu akubariki na utimize ndoto zako mashaallah nice

  • @user-jk5ir4ke3z
    @user-jk5ir4ke3z Před 3 lety +2

    Ata hivyo vitoi mdogo wangu unawexa ukatengeneza ukauza

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Před rokem +1

    Hapo kwenye ndege nakushauri nenda Shule kasome

  • @asantejonson7323
    @asantejonson7323 Před 4 lety

    Hongera sana dogo

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Před 4 lety +2

    Ulaya ungesomeshwa na ungetengeneza vitu vikibwa Sana tatizo nchi hii siasa Sana

    • @aliyussuf9126
      @aliyussuf9126 Před 2 lety

      Natamani hta kulia kwa sauti kubwa ila hakuna wakusikia kweli tanzania uchumi tumeukalia hlafu eti tuko uchumi wa kati kweli wakati wenye uwezo wakazi wamekaa nyumbani

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 2 lety

    Serkal msaidie uyu kijana.wazungu wakija kumchukua wala msijute iki ni kipaji na azina ktk nchi yetu.msaidieni jamani🙏🙏🙏🙏

  • @abelimembe6990
    @abelimembe6990 Před 8 měsíci

    Safii Sana kijana

  • @juliusakili1757
    @juliusakili1757 Před 3 lety

    Hongera saana zuberi. Natamani siku moja nikuone umeunda kitukikubwa na kumuuzia hata yule anaekuvunja moyo

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 Před 4 lety +2

    Fata utaratibu ili utengeneze mabom tuache kutegemea wazungu na wachina asikutishe mtu kuwa hiyo ni mbaya

    • @yuvencepatrice792
      @yuvencepatrice792 Před rokem

      Kwan mchina anatutisha kipi badal ya kuwalaumu wamarecan unawalaum wattez😥😥🤔🤔

  • @abdukadiliissa8076
    @abdukadiliissa8076 Před 4 lety +1

    Tuwape ujuzi zaidi wenda tukatengeza vitu vingi hapa nchini Serikali wapi???

  • @abdukadiliissa8076
    @abdukadiliissa8076 Před 4 lety

    More creative Broe

  • @MelkisedekiSamson-kd7gw
    @MelkisedekiSamson-kd7gw Před 4 měsíci

    Serikali iangalie kwa jicho la tatu hawa vijana,huyu angekuwa kwa wenzetu huko ulaya asingekuwa hivyo alivyo

  • @yuvencepatrice792
    @yuvencepatrice792 Před rokem

    Kazi nzuri unazofanya lkn watu wasio Gus watakuponda sana et mana niona kwangu

  • @ashaa4896
    @ashaa4896 Před 4 lety

    👍

  • @shrefa123moosa7
    @shrefa123moosa7 Před 2 lety

    hikikipaji serikali ingezingatia bc ingeleta faida hp nchin

  • @gibsonntamamilo490
    @gibsonntamamilo490 Před 3 lety

    Huyu dogo noma sana.

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 4 lety +1

    Duuuu

  • @joshuapaschal5541
    @joshuapaschal5541 Před 3 lety

    Level to level en highway

  • @user-ws5hq2xt7d
    @user-ws5hq2xt7d Před 9 měsíci

    Bg

  • @ibrahimmgimba6856
    @ibrahimmgimba6856 Před 2 lety

    Naomba nmba ya uyo dogo

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před 2 lety

    Duh

  • @allybilali9212
    @allybilali9212 Před 2 lety

    Huyu dogo n nouma sana

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 Před 4 lety +1

    Tengeneza basi ulete watoto wetu wachezee

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Před rokem

    Tukuze vipaji ivi

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 Před 2 lety

    DOGO ungana na Masoudi Kipanya,

  • @Cheffhood
    @Cheffhood Před 4 lety

    Anahitaji gia kuzungusha propela kwa ukali zaidi ili iweze kuruka

  • @issaibrahim5319
    @issaibrahim5319 Před 3 lety +1

    Jamaa mbona unakomaa na vitu vya kitoto

    • @yusuphkassimu227
      @yusuphkassimu227 Před 2 lety +2

      Kila alie juu razima mwanzo alionekana chizi naomba acha dharau

    • @charlesmugisha6529
      @charlesmugisha6529 Před 2 lety +1

      Iki ni kipaji usikichezee.

    • @firdausqutty2067
      @firdausqutty2067 Před 2 lety +1

      Vyako vyakikubwa vipo wapi

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Před 2 lety

      ni mjinga tu anaweza kukomenti huu upuuzi yani wew unahisi hapo anafanya vitu vya kitoto huoni kuwa anakitu kikubwa cha kusaidiwa afike kutengeneza magari na pikipiki kwa haidia hizo alizonazo anaweza kutransiform na kuwa vitu vikubwa

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 Před 2 lety

      Yaani hata ingepaa basi!

  • @ahmadrashid2166
    @ahmadrashid2166 Před rokem

    this man should be taken to military baracks so that he should make out own bombs and mizails

  • @muhammadj1998
    @muhammadj1998 Před 4 lety +1

    Kama haijapaa umefeli kjna

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Před 2 lety

      ndo maana anakwambia bado na anauwakika itapaa mbona upo kama jinga wew alafu majina ya kina mwamedi mnamatatizo gani

  • @mudriqhamidu6031
    @mudriqhamidu6031 Před 3 lety

    Dogo hao wanaosema hvyo wajinga cz,ww umeweza, hiko kidogo , je wao wauize waliwahi kuvifanya hata hvyo vitu vidogo❓