KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA
Vložit
- čas přidán 4. 11. 2018
- Kijana aliyemalizaelimu ya msingi (Darasa la saba) na kushindwa kuendelea na elimu ya sekondari atengeneza ndege Kibiti, Mkoani Pwani.
MCL Digital imefanya mahojiano na kijana huyo baada ya kuiona ndege aliyoiunda kando kando ya barabara ya kuelekea kibiti, Pwani
Hongera sana kijana Mungu akutangulie sana ufanikiwe zaidi na marengo yako yatimiee 🙏🏾🙏🏾🙏🏾💕😍💕🥰
Vipaji kama hivi vinapatikana katika taifa maskini kifikra. Siasa chafu. Daaah God bless
I would love to get an update on this guy’s progress. What a BRILLIANT MIND. I’d love to get in touch.
Kama Umemuona madenge mtukutu...... gonga like hpo chin
Hapo kweli umenena
Bora kujaribu ukashindwa kuliko kutojaribu kabisa. Mwanzo wake unaelekea kushindwa. Ametumia njia ndefu sana. Akijitahid atafikia lengo lake. Inshaallah.
Nimependa uthubutu wa kijana wetu ila kuna kitu watu tunakikosa hasa tunapofikilia kutengeneza ndege. Tunapo ongelea ndege tunaongelea kuweza kucontrol mawimbi pamoja na uzito wa chombo chenyewe kuelea angani yani law of axis. Hizi ndizo principal zinazo govern ndege kuruka. Kutengeneza umbo LA ndege LA nje sio mafanikio kutengeneza ndege, tukiwekeza nguvu kwenye kutengeneza ndege inaho fuata law of axis tutakuwa tumefanikiwa sana.
Hongera sana muone waziri Majaliwa ataweza kukupa sapoti
Mungu azidi kukupa ufahamu tz Sasa inakuja juu yapasa serikali uchukue vijana kama kuwaendeleza sio mpka kitu kitoke Kwa mzungu wtz tunaweza
Woooow!! Mtu mwenye kipaji kama hicho ndio wana hitaji msaada sio mnatuletea habari za wasenge tu wapelekeni jela waka wasaidie wafungwa
kinacho endelea mioyoni mwa watu wengi ni ukimya;tena ukimya wa uzuni.hamu ya kutaka kusikia japo neno moja hamu ya kua nawe japo siku moja;hamu ya kuona japo tabasamu moja na hamu ya uwepo wako japo mara moja;hakika hatuna jibu ni kwanini umeiacha hii dunia mapema hivi,tena kwa wakati ambao wengi hawakujiandaa kukuambia na kukuaga kwa neno kwaheri;lakini taratibu tena kwa hakika tunaanza kukumbuka si habari ya kifo chako tuu;bali pia habari ya maisha uliyoyaishi.Na kizuri zaidi,stori za maisha yako hutupatia kumbukumbu nzuuuri ambazo hakika si rahisi kuzisahau.MZEE MENGI PUMZIKA AMANI.
Mashallah, uyu kijana anakipaji sana.
Hatari Sana angekua ulayau bc angepata bonge ya shavu yani wangemwendeleza na sisi tungekua na kiwanda cha kutengeza ndege👏👏👏
kasida
Safi sana rais msaidia hivi ndio viwanda vyetu
Huyu kijana serikali ikimsaidia kumsomesha na kumuendeleza kipaji chake kuwa engineer wa Ndege tutakuwa tumepata hazina nzuri kwenye nchi yetu.
Jmn wenye uwezo ambao mungu kawajalia heb wasaidien ao vjana daaah ninge kuwa na uwezo wa kifedha ningewatafuta watu kama awa
Watanzania na waafrika kwa ujumla tusidharau shule. Huyu kijana asomeshwe kwanza ili kipaji chake kizae matunda. Shule kwanza !
Mwenyez MUNGU amzidishie ubunifu mkubwa zaidi
Hongera sana mungu atakuinua inshaallah
Kutengeneza ndege sio kazi kazi ni kuiwezesha ipae juu
kaza mwana ipo siku utatusua Mungu sio Asuman
Mungu amuongoze kajitahidi sanaa
Safi sana domi piga kaza
MTU kam huyu angekuwa ulay angekuwa mtu mmoj mzul
Big up sana dogo wangu
Hawa kwenye vipaji wakusanywe watengewe sehem marum
Hivi viongozi wa sanaa wako wapiii hawaonii au
Hongera kwa kipaji lakini usijidanganye wala kudanganya wengine kurusha ndege ni sayansi lazima usome ili ufanye kitu cha uhakika coz ni usafiri hatari hauhitaji kubahatisha
Unastshili support kwa sababu unapenda na umejaribu
Inchi za wenzetu kipaj kingeendelezwa lakin kwetu tz ni siasa za ovyo mpaka misibani
imesemwa kuwa ukifanya kitu kwa kutumia kipaji chako utatengeneza pesa nyingi zaidi ya kufanya kile unachosoma
Hongera fahari yet kijana
tangu mmeanza kutengeneza haya mandege mbona hayarukiiiiiii, mimi huku ninalo trekta linavuna karanga lakini halitembei njooni
GOMBA TV
Duh hamna kitu hapo
Atakamatwa na kuswekwa ndani huyo! Sheria zetu nazijua mwenyewe😅😅
Kiroboto nzuusi hahahaaa
not for this country, watakupoteza mda c mrefu
HAHAHA
Hongera kijana
Hyo ndege haiwez kupaa
Hongera sana kijana,serikali nadhani wamekuona
I like the innovation
woooooh nice jamani pia hongera
Good yummy
Ongera Sana mungu akuongoze
safi sana tunakimbilia siasa jamani
uyo dalasa la saba kwel mbaba huyo sema safi 2
Yani kaishia la saba
Elewa kiswahili sio anasoma darasa la saba ila ameishia darasa LA saba
mungu akubariki kaka
usijali kaka Bongo wakizinguwa siku hizi maskolaship kibao ulichokifanya tuhapo tosha ila ndo hawachelewi kukubadilisha uraiya
Serikali inawekeza kwa wasomi, wanaishia kutuibia tu wananchi na kutoka vitambi..! Ebu tubadilike Wa Afrika
Haya tena wenye mapikipiki makubwa mmesikia huyo kijana basi chungeni mapikipiki yenu jamaa anataka injini huyo
Tanzania vipaji vingi ila serikali yatu sijuh haion haya yan huwa inatuumiza sana watu kama hawa wanakuja kupotea sababu ya poor management an
watu wajuzi wapo lakin promo anapewa mtu kama pierre mlevi duh Tz bado sana
Silver Richard tulia ww kama unaweza na ww toka ki vyako acha wivu
hapo uko vizuri
Yaani kuna watu wengine wapo kwa ajili ga kukatisha watu tamaa tu, tubadilike.
K
Huyu mpelekeni hata ufundi body wa ndege tu..pelekeni Jkt
Hiii bungu kibiti iraa safiii Sana kijana
Tatizo serikali haiwapi support kuendeleza ubunifu wao
Watu kama awa walikua wapangiwe fungu lao kwa aji ya maendeleo ya baadae Co fungu wanapangiwa kina ndugai kutibiwa India mamilion ya pesa Africa bhana
Hapo tatizo niku zariwa tanzania alafu ukawana kipaji
Aswaaaaaaa🙄🙄
Kijana yupo vizuri, swala lakuruka ni lingine acheni unafki na wivu bana, mshaanza mambo yenu, nyie hata hiyo mmeiwezaaaa
waafrica tuacheni huu ujinga jameni. shule kwanza !!hapa hamna helicopter tusidanganyane !!!!
hongera
ubarikiweeeeee sanaaaa kjanaaaaa
Haya wale wa kuunda helcopt kule chuo cha science vipi isharuk mwezenu std 7 tuu anakalibia kuirusha ya kwake na ishatolewa nje 😀😀😀🤣🤣🤣
Mwambieni aionyeshe inapaa BP sio alete maneno anatamaa sana huyu
anazungua ilo niumbo la ndege suo ndeg
daaaah good idea
Hongera
shafti inayozungusha propera ya helcopter lazima iwe ni chuma iliyochanganywa na almasi ,bila hiyo itaruka lakini haitahimili its lets Atari, chungulia kwenye u tube andika hivi how helcopter fly utajionea mwenyewe
huyu jamaa ni nomaa sana
msifanye masihara na injini ya ndege jaman huwez tumia vifaa vya pikipiki na magari kuunda ndege na ukategemea iruke
Alikiba in blood anataka injini ya pikipiki yenye plopera tena cckubwa
kwa iman yangu inawezekana maana mimi mwenyewe ni
mtaaram ya ayo mambo kingine chakuongezea iyo panga ya juu ni nyepesi sana inaweza kichomoka kama ikiwezekan kuruka ivyoo tu
Anaruka kaka itategemeana na mtengenezaji ametengenezaje hapo tu ndio shida,
maana wapo wanaofauru kudizin bodi la nje lakini matekeo ya utendaji kazi wake wanakwama.
Wew Dada fala maik uwa MTU unavyo muoj unampa sjielez vzl sasa ona mpaka unaboa
Alitaka aonekane
Hili haliwezi likapaa maana hajaelewa misingi ya aeronautics. Panga sio panga tu, sharti liwe na shepu fulani liweze kuti pressure tofauti juu na chini. Vijana kama hawa wanafaa wachukuliwe kwenye shule za taaluma za ufundi maana wana interest na bidii ya mchwa.
mfadhili akasome FANI aipendayo
Serekali impe sapoti kwani magufuli alisema tanzania ya viwanda ndio hivyo sas
Sawa mzee baba
Dah!! Mungu akuongezee Akali ufike Mbali na kipaji chako hicho..
Duuuuuuh safi sana
Talented boy
noma sana kijan
Huyu ni la 7 tuu lkn wanaojiita wasomi hata njiti za kiberit hawajui
daaah huyu noma
Prince hance Sam
yn uyu angekuwa ulaya daah kwanza angethaminika nakuendelea kupewa kipaumbele ila kwakiwa ni tz bx atapuudhia na kudharaulika na ndomana tz inaweza tokea mtu anakipaji lakini kipaji kikapotea ivi,ivi
Usi cheze na Tz kuna vijana wenye uwezo lakin utawala una pewa madaraka katika inch ya tz una tuzingua vijana na shaur wana siasa .waache sifa za kusifia chama vijana tuna wajibika alafu wazee wa vyama wana tunyonya wana tupa ujira mdogo Sana kwenye ajira zao serikalin ......kila siku ni misifa tu.
MUNGU BABA ndani ya taifa lake takatifu anaonekana na anazidi kufuta aibu ya umaskini na hatma tuliyokuwa tumepewa ya kuonekana tuko bara la giza
Angeenda bungeni badala ya piere liguid
sawa ameunda, je atakaetoa kibali chakuirusha angani yupo? au niurembo tu.
Hapo sasa ndo shda inaanzia
saruti babu mungu ata kusaidia
duuh saaf saana
👏
Kwa Tanzania wangewaangalia awa vijana wana kitu ndani yake
Angekuwa ni w nchi Kama Kenya angewezeshwa lakini Tz subutu
Omari Jumaa
Yupo vizur
jamaa.anaweza
Africa we have different en potential talents the problem is corrupted leaders selfish
ila wa tz mnakatisha tamaa sana juzi tu nimechimba bahari tukaifanya choo ila sijataka kuwambia make mnakejeri
hiyo siyo helkopta ni bodi la helkopta... kuirusha hiyo ni mpaka yesu arudi... hiyo inarushwa na kani mwinuko. cha kukushauri ni kujuana na wadau wa hizo mbishe wakusogeze kipaji unacho mdogo wangu ila matirio changamoto.
👍👍
👏👏
Billy Gates bilionea mkubwa wa dunia hana elimu kubwa, ni darasa la pili tu lakini ndiye inventor wa kompyuta tunayotumia leo. Huyu kijana anahitaji guidance ndogo tu + mtaji (fedha na vitendea kazi vingine) ili aweze kutoa kilichoko ndani yake kwa ajili ya manufaa ya watu wengi!
Mashallah
Yani tayari Tutakua tuna ndege ngapi sasa
Nimecheka hadi baas yaaani hamna kitu hapa, msekule tuu
Hahhahaaha tz Hamna kituu,,wanaongea sanaa
Safi
Anaweza wampeleke china
Naomba mnisaidie mawasiliano ya huyu kijana naombeni plz