KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 11. 2018
  • Kijana aliyemalizaelimu ya msingi (Darasa la saba) na kushindwa kuendelea na elimu ya sekondari atengeneza ndege Kibiti, Mkoani Pwani.
    MCL Digital imefanya mahojiano na kijana huyo baada ya kuiona ndege aliyoiunda kando kando ya barabara ya kuelekea kibiti, Pwani

Komentáře • 194

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 Před 5 lety +7

    Hongera sana kijana Mungu akutangulie sana ufanikiwe zaidi na marengo yako yatimiee 🙏🏾🙏🏾🙏🏾💕😍💕🥰

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa Před 5 lety +10

    Vipaji kama hivi vinapatikana katika taifa maskini kifikra. Siasa chafu. Daaah God bless

  • @wilma1866
    @wilma1866 Před 3 lety +4

    I would love to get an update on this guy’s progress. What a BRILLIANT MIND. I’d love to get in touch.

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 Před 5 lety +21

    Kama Umemuona madenge mtukutu...... gonga like hpo chin

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 3 lety +1

    Bora kujaribu ukashindwa kuliko kutojaribu kabisa. Mwanzo wake unaelekea kushindwa. Ametumia njia ndefu sana. Akijitahid atafikia lengo lake. Inshaallah.

  • @afratrad7214
    @afratrad7214 Před 4 lety +4

    Nimependa uthubutu wa kijana wetu ila kuna kitu watu tunakikosa hasa tunapofikilia kutengeneza ndege. Tunapo ongelea ndege tunaongelea kuweza kucontrol mawimbi pamoja na uzito wa chombo chenyewe kuelea angani yani law of axis. Hizi ndizo principal zinazo govern ndege kuruka. Kutengeneza umbo LA ndege LA nje sio mafanikio kutengeneza ndege, tukiwekeza nguvu kwenye kutengeneza ndege inaho fuata law of axis tutakuwa tumefanikiwa sana.

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Před rokem

    Hongera sana muone waziri Majaliwa ataweza kukupa sapoti

  • @mimanatamelchior3825
    @mimanatamelchior3825 Před 5 lety +17

    Mungu azidi kukupa ufahamu tz Sasa inakuja juu yapasa serikali uchukue vijana kama kuwaendeleza sio mpka kitu kitoke Kwa mzungu wtz tunaweza

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 5 lety +6

    Woooow!! Mtu mwenye kipaji kama hicho ndio wana hitaji msaada sio mnatuletea habari za wasenge tu wapelekeni jela waka wasaidie wafungwa

  • @olathom7ya756
    @olathom7ya756 Před 5 lety +1

    kinacho endelea mioyoni mwa watu wengi ni ukimya;tena ukimya wa uzuni.hamu ya kutaka kusikia japo neno moja hamu ya kua nawe japo siku moja;hamu ya kuona japo tabasamu moja na hamu ya uwepo wako japo mara moja;hakika hatuna jibu ni kwanini umeiacha hii dunia mapema hivi,tena kwa wakati ambao wengi hawakujiandaa kukuambia na kukuaga kwa neno kwaheri;lakini taratibu tena kwa hakika tunaanza kukumbuka si habari ya kifo chako tuu;bali pia habari ya maisha uliyoyaishi.Na kizuri zaidi,stori za maisha yako hutupatia kumbukumbu nzuuuri ambazo hakika si rahisi kuzisahau.MZEE MENGI PUMZIKA AMANI.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +5

    Mashallah, uyu kijana anakipaji sana.

  • @bbw95tanzania68
    @bbw95tanzania68 Před 5 lety +2

    Hatari Sana angekua ulayau bc angepata bonge ya shavu yani wangemwendeleza na sisi tungekua na kiwanda cha kutengeza ndege👏👏👏

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 5 lety +12

    Safi sana rais msaidia hivi ndio viwanda vyetu

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 Před 5 lety +3

    Huyu kijana serikali ikimsaidia kumsomesha na kumuendeleza kipaji chake kuwa engineer wa Ndege tutakuwa tumepata hazina nzuri kwenye nchi yetu.

  • @hermankoba4970
    @hermankoba4970 Před 5 lety +11

    Jmn wenye uwezo ambao mungu kawajalia heb wasaidien ao vjana daaah ninge kuwa na uwezo wa kifedha ningewatafuta watu kama awa

  • @yohanalaiser2667
    @yohanalaiser2667 Před 4 lety +10

    Watanzania na waafrika kwa ujumla tusidharau shule. Huyu kijana asomeshwe kwanza ili kipaji chake kizae matunda. Shule kwanza !

  • @athumanomary1171
    @athumanomary1171 Před 4 lety +1

    Mwenyez MUNGU amzidishie ubunifu mkubwa zaidi

  • @asiahamisi3880
    @asiahamisi3880 Před 4 lety +1

    Hongera sana mungu atakuinua inshaallah

  • @emanuelchidobi8121
    @emanuelchidobi8121 Před 4 lety

    Kutengeneza ndege sio kazi kazi ni kuiwezesha ipae juu

  • @alexjeremia7686
    @alexjeremia7686 Před 5 lety +6

    kaza mwana ipo siku utatusua Mungu sio Asuman

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Před 5 lety +1

    Mungu amuongoze kajitahidi sanaa

  • @mikapmwalimu4555
    @mikapmwalimu4555 Před 5 lety +4

    Safi sana domi piga kaza

  • @kalelehamad6702
    @kalelehamad6702 Před 5 lety +13

    MTU kam huyu angekuwa ulay angekuwa mtu mmoj mzul

  • @kuswaimsumali5755
    @kuswaimsumali5755 Před 5 lety

    Big up sana dogo wangu

  • @ramadhaniallysigalatena8124

    Hawa kwenye vipaji wakusanywe watengewe sehem marum

  • @omaryyusuph7868
    @omaryyusuph7868 Před 4 lety

    Hongera kwa kipaji lakini usijidanganye wala kudanganya wengine kurusha ndege ni sayansi lazima usome ili ufanye kitu cha uhakika coz ni usafiri hatari hauhitaji kubahatisha
    Unastshili support kwa sababu unapenda na umejaribu

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 Před 5 lety +3

    Inchi za wenzetu kipaj kingeendelezwa lakin kwetu tz ni siasa za ovyo mpaka misibani

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Před 5 lety +3

    imesemwa kuwa ukifanya kitu kwa kutumia kipaji chako utatengeneza pesa nyingi zaidi ya kufanya kile unachosoma

  • @dalshmak_tv
    @dalshmak_tv Před 2 lety

    Hongera fahari yet kijana

  • @gombatv7046
    @gombatv7046 Před 5 lety +5

    tangu mmeanza kutengeneza haya mandege mbona hayarukiiiiiii, mimi huku ninalo trekta linavuna karanga lakini halitembei njooni

  • @kirobotonzuusi3246
    @kirobotonzuusi3246 Před 5 lety +13

    Atakamatwa na kuswekwa ndani huyo! Sheria zetu nazijua mwenyewe😅😅

  • @hamisjuma543
    @hamisjuma543 Před 5 lety +8

    not for this country, watakupoteza mda c mrefu

  • @hasanially9384
    @hasanially9384 Před rokem

    Hongera kijana

  • @hans_tech0015
    @hans_tech0015 Před měsícem

    Hyo ndege haiwez kupaa

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 Před 5 lety

    Hongera sana kijana,serikali nadhani wamekuona

  • @alvangidion9366
    @alvangidion9366 Před 5 lety

    I like the innovation

  • @jojo_linkissabiny5238
    @jojo_linkissabiny5238 Před 5 lety

    woooooh nice jamani pia hongera

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 Před 2 lety +1

    Good yummy

  • @user-pf6sq3jf3w
    @user-pf6sq3jf3w Před 5 lety

    Ongera Sana mungu akuongoze

  • @oprahmpondela2898
    @oprahmpondela2898 Před 5 lety +1

    safi sana tunakimbilia siasa jamani

  • @MRTECH-er1zo
    @MRTECH-er1zo Před 5 lety +4

    uyo dalasa la saba kwel mbaba huyo sema safi 2

    • @nellywizzy7034
      @nellywizzy7034 Před 5 lety

      Yani kaishia la saba

    • @salimmoha7962
      @salimmoha7962 Před 5 lety

      Elewa kiswahili sio anasoma darasa la saba ila ameishia darasa LA saba

  • @brakahhamis6621
    @brakahhamis6621 Před 5 lety

    mungu akubariki kaka

  • @ernestsinje9221
    @ernestsinje9221 Před 5 lety +1

    usijali kaka Bongo wakizinguwa siku hizi maskolaship kibao ulichokifanya tuhapo tosha ila ndo hawachelewi kukubadilisha uraiya

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Před rokem

    Serikali inawekeza kwa wasomi, wanaishia kutuibia tu wananchi na kutoka vitambi..! Ebu tubadilike Wa Afrika

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před 5 lety +10

    Haya tena wenye mapikipiki makubwa mmesikia huyo kijana basi chungeni mapikipiki yenu jamaa anataka injini huyo

  • @user-de6ys8dj5j
    @user-de6ys8dj5j Před 9 měsíci

    Tanzania vipaji vingi ila serikali yatu sijuh haion haya yan huwa inatuumiza sana watu kama hawa wanakuja kupotea sababu ya poor management an

  • @silverrichard2975
    @silverrichard2975 Před 4 lety +1

    watu wajuzi wapo lakin promo anapewa mtu kama pierre mlevi duh Tz bado sana

    • @thetycoon8799
      @thetycoon8799 Před 4 lety

      Silver Richard tulia ww kama unaweza na ww toka ki vyako acha wivu

  • @mosesdidiovfx3098
    @mosesdidiovfx3098 Před 5 lety

    hapo uko vizuri

  • @mussakituku4190
    @mussakituku4190 Před 5 lety +1

    Yaani kuna watu wengine wapo kwa ajili ga kukatisha watu tamaa tu, tubadilike.

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 Před 5 lety +3

    Huyu mpelekeni hata ufundi body wa ndege tu..pelekeni Jkt

  • @allymkamba1115
    @allymkamba1115 Před 5 lety

    Hiii bungu kibiti iraa safiii Sana kijana

  • @christinamjema262
    @christinamjema262 Před 4 lety

    Tatizo serikali haiwapi support kuendeleza ubunifu wao

  • @mangulymanguly139
    @mangulymanguly139 Před 4 lety

    Watu kama awa walikua wapangiwe fungu lao kwa aji ya maendeleo ya baadae Co fungu wanapangiwa kina ndugai kutibiwa India mamilion ya pesa Africa bhana

  • @petrombilinyi9063
    @petrombilinyi9063 Před 5 lety +17

    Hapo tatizo niku zariwa tanzania alafu ukawana kipaji

    • @erickmwangonda7814
      @erickmwangonda7814 Před 4 lety

      Aswaaaaaaa🙄🙄

    • @witnesssamuel4907
      @witnesssamuel4907 Před 4 lety

      Kijana yupo vizuri, swala lakuruka ni lingine acheni unafki na wivu bana, mshaanza mambo yenu, nyie hata hiyo mmeiwezaaaa

  • @altheboss5722
    @altheboss5722 Před 3 lety

    waafrica tuacheni huu ujinga jameni. shule kwanza !!hapa hamna helicopter tusidanganyane !!!!

  • @milnaybilldon7193
    @milnaybilldon7193 Před 5 lety

    hongera

  • @samjcb7896
    @samjcb7896 Před 5 lety

    ubarikiweeeeee sanaaaa kjanaaaaa

  • @erickmnyalu553
    @erickmnyalu553 Před 5 lety +2

    Haya wale wa kuunda helcopt kule chuo cha science vipi isharuk mwezenu std 7 tuu anakalibia kuirusha ya kwake na ishatolewa nje 😀😀😀🤣🤣🤣

  • @mustafakalyan8008
    @mustafakalyan8008 Před 4 lety +1

    Mwambieni aionyeshe inapaa BP sio alete maneno anatamaa sana huyu

  • @afrikayetu6554
    @afrikayetu6554 Před 5 lety +1

    anazungua ilo niumbo la ndege suo ndeg

  • @mussaelikana6477
    @mussaelikana6477 Před 4 lety

    daaaah good idea

  • @felisterapornary2612
    @felisterapornary2612 Před 5 lety

    Hongera

  • @luckychanneltv8762
    @luckychanneltv8762 Před 5 lety +5

    shafti inayozungusha propera ya helcopter lazima iwe ni chuma iliyochanganywa na almasi ,bila hiyo itaruka lakini haitahimili its lets Atari, chungulia kwenye u tube andika hivi how helcopter fly utajionea mwenyewe

  • @dandystar9971
    @dandystar9971 Před 5 lety +1

    huyu jamaa ni nomaa sana

  • @Alikibainblood1994
    @Alikibainblood1994 Před 5 lety +1

    msifanye masihara na injini ya ndege jaman huwez tumia vifaa vya pikipiki na magari kuunda ndege na ukategemea iruke

    • @selestinmussa5202
      @selestinmussa5202 Před 5 lety

      Alikiba in blood anataka injini ya pikipiki yenye plopera tena cckubwa
      kwa iman yangu inawezekana maana mimi mwenyewe ni
      mtaaram ya ayo mambo kingine chakuongezea iyo panga ya juu ni nyepesi sana inaweza kichomoka kama ikiwezekan kuruka ivyoo tu

    • @fidelisludago3372
      @fidelisludago3372 Před 5 lety

      Anaruka kaka itategemeana na mtengenezaji ametengenezaje hapo tu ndio shida,
      maana wapo wanaofauru kudizin bodi la nje lakini matekeo ya utendaji kazi wake wanakwama.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 5 lety +2

    Wew Dada fala maik uwa MTU unavyo muoj unampa sjielez vzl sasa ona mpaka unaboa

  • @georgembugua1882
    @georgembugua1882 Před 4 lety

    Hili haliwezi likapaa maana hajaelewa misingi ya aeronautics. Panga sio panga tu, sharti liwe na shepu fulani liweze kuti pressure tofauti juu na chini. Vijana kama hawa wanafaa wachukuliwe kwenye shule za taaluma za ufundi maana wana interest na bidii ya mchwa.

  • @asafubuheri6900
    @asafubuheri6900 Před 5 lety +3

    mfadhili akasome FANI aipendayo

  • @hassaniomary5262
    @hassaniomary5262 Před 5 lety +2

    Serekali impe sapoti kwani magufuli alisema tanzania ya viwanda ndio hivyo sas

  • @mirajramadhan151
    @mirajramadhan151 Před 5 lety

    Sawa mzee baba

    • @fadhilkhamis8971
      @fadhilkhamis8971 Před 5 lety

      Dah!! Mungu akuongezee Akali ufike Mbali na kipaji chako hicho..

  • @roidatadey8656
    @roidatadey8656 Před 5 lety

    Duuuuuuh safi sana

  • @bafaello2619
    @bafaello2619 Před 4 lety

    Talented boy

  • @saiclassicofficial3138

    noma sana kijan

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem

    Huyu ni la 7 tuu lkn wanaojiita wasomi hata njiti za kiberit hawajui

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Před 5 lety +2

    daaah huyu noma

  • @janethedward7967
    @janethedward7967 Před 5 lety

    yn uyu angekuwa ulaya daah kwanza angethaminika nakuendelea kupewa kipaumbele ila kwakiwa ni tz bx atapuudhia na kudharaulika na ndomana tz inaweza tokea mtu anakipaji lakini kipaji kikapotea ivi,ivi

  • @johngavile5106
    @johngavile5106 Před 4 lety

    Usi cheze na Tz kuna vijana wenye uwezo lakin utawala una pewa madaraka katika inch ya tz una tuzingua vijana na shaur wana siasa .waache sifa za kusifia chama vijana tuna wajibika alafu wazee wa vyama wana tunyonya wana tupa ujira mdogo Sana kwenye ajira zao serikalin ......kila siku ni misifa tu.

  • @thamanihalisi381
    @thamanihalisi381 Před 5 lety

    MUNGU BABA ndani ya taifa lake takatifu anaonekana na anazidi kufuta aibu ya umaskini na hatma tuliyokuwa tumepewa ya kuonekana tuko bara la giza

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 Před 5 lety +1

    Angeenda bungeni badala ya piere liguid

  • @albertremmy3479
    @albertremmy3479 Před 5 lety +2

    sawa ameunda, je atakaetoa kibali chakuirusha angani yupo? au niurembo tu.

  • @masnondofundi9215
    @masnondofundi9215 Před 5 lety

    saruti babu mungu ata kusaidia

  • @clementsapanjo9159
    @clementsapanjo9159 Před 5 lety

    duuh saaf saana

  • @Dan1one1
    @Dan1one1 Před 4 lety

    👏

  • @mariethamagoti1338
    @mariethamagoti1338 Před 5 lety

    Kwa Tanzania wangewaangalia awa vijana wana kitu ndani yake

  • @omarijumaa8786
    @omarijumaa8786 Před 5 lety +1

    Angekuwa ni w nchi Kama Kenya angewezeshwa lakini Tz subutu

  • @ismailgerald6282
    @ismailgerald6282 Před 4 lety

    Yupo vizur

  • @abdallhbakally5766
    @abdallhbakally5766 Před 5 lety

    jamaa.anaweza

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Před 5 lety

    Africa we have different en potential talents the problem is corrupted leaders selfish

  • @worldrapamako3960
    @worldrapamako3960 Před 5 lety

    ila wa tz mnakatisha tamaa sana juzi tu nimechimba bahari tukaifanya choo ila sijataka kuwambia make mnakejeri

  • @midoseneta4780
    @midoseneta4780 Před 5 lety

    hiyo siyo helkopta ni bodi la helkopta... kuirusha hiyo ni mpaka yesu arudi... hiyo inarushwa na kani mwinuko. cha kukushauri ni kujuana na wadau wa hizo mbishe wakusogeze kipaji unacho mdogo wangu ila matirio changamoto.

  • @francismutinda3634
    @francismutinda3634 Před 4 lety

    👍👍

  • @emmanuelnyembela719
    @emmanuelnyembela719 Před 4 lety

    👏👏

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 Před 4 lety

    Billy Gates bilionea mkubwa wa dunia hana elimu kubwa, ni darasa la pili tu lakini ndiye inventor wa kompyuta tunayotumia leo. Huyu kijana anahitaji guidance ndogo tu + mtaji (fedha na vitendea kazi vingine) ili aweze kutoa kilichoko ndani yake kwa ajili ya manufaa ya watu wengi!

  • @youngteo7154
    @youngteo7154 Před 3 lety

    Mashallah

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 5 lety

    Yani tayari Tutakua tuna ndege ngapi sasa

  • @Moses-Kuria
    @Moses-Kuria Před 4 lety

    Nimecheka hadi baas yaaani hamna kitu hapa, msekule tuu

  • @mabubakitambi1612
    @mabubakitambi1612 Před 4 lety

    Hahhahaaha tz Hamna kituu,,wanaongea sanaa

  • @saidisalum2120
    @saidisalum2120 Před 5 lety

    Safi

  • @pascalpambahernando5612

    Anaweza wampeleke china

  • @abdulrisassy2488
    @abdulrisassy2488 Před 5 lety

    Naomba mnisaidie mawasiliano ya huyu kijana naombeni plz