Mashaallah,huyu anatakiwa aendelezwe serikali/wadhamin lazma imuagalie,,,isije wakamchukuwa watu was nje, wakasema wamemfundisha wao kumbe kipaji chake asilia
Kazi iko safi sana na serikali igeuke na kuwaangalia vijana wenye vpaji na kuangalia namna ya kuwasaidia ili mwisho wa siku na sisi tuwe tunazalisha bidhaa zetu wenyewe.
Napenda Sana Kuwashukuru Mild Ayo Tv Kwa kuendelea Kumtangaza Kijana Wetu Ombi Langu ni Moja Waziri Alimuita kijana ila hatujasikia chochote Naomb Basi Nyie Mchukue Jukum la Kumuendeleza
aisee serikali haimuoni huyu kijana ??mbona akiwezeshwa anakua bonge la mbunifu na kuitangaza Tanzania kwa kua anatengeneza vitu halisi kwa kutumia vifaa vyake mwenyewe na sio kununua
kuhusu redio kawaida sana hata runzewe kuna kijana tena ni mlevu wa miguu anautwa kopa hedi....alitengeneza na mpaka me nikawa mtangazaji hapo tena....kweli alikamatwa et zinaingiliana na redio kwizera ya ngara
Ila waha ni wabishi jamani kila swali analoulizwa dogo anabisha Kwanza alafu ndio anajibu we kama unabisha msikilize utasiki "Aaaa" katika kila swali. 🤣🤣🤣Jocks, Ongera Sana mtanzania mwenzangu
Dah dogo yuko vizuri Allah akuwekee wepesi katika hili, lakini pia tafuta na akhera yako, ukitoka katika shughuli zako unamtafuta mwalimu anakuwa anakufundisha masomo ya dini ili umfaham mola wako, rengo ili ufanye ibada zako kwa usahihi.
2. Mmawa umenewo, ine ndinali ndekha ndikusinkhasinkha za moyo wanga wakale komanso momwe angelo adadza kwa ine mu 1993. Ine ndinali kukankha wilibara, ine ndimaperekera simenti pa malo omanga kuti ndipeze chinachake ndidye. Nyumba ya banja lathu linali ndi nyali yamphepo imodzi yokha basi ndipo pamene ife tinalibe mafuta, mayi anga ankatulutsa chingwe cha nsalu ndikuchiviika mu mphika wa mafuta a kanjedza ndikuchiyatsa ngati nyali. Nyumba yathu inalibe khomo ndipo usiku, timipando tinaikidwa kuti nyama ndi njoka zisalowe m'nyumba. 3. Koma Mulungu Wamphamvuyonse anandiveka ine chofunda Chake cha chisomo ndipo kunanenedwa kuti panthawi yoikika, ine ndikanati ndikalalikire zinsinsi zomwe ine sindinadziwe kotero kuti kwa aliyense wokhulupirira mwa ine akhale nawo moyo wosatha ndi kuti amuna onse a mafuko ndi mitundu ndi chinenedwe adzabwera kwa ine kuti akhale ndi moyo wosatha. Zinthu izi zakwaniritsidwa ndipo pemphero langa limafika pa mpando wachifumu wa chisomo cha Mulungu. Nditawona zithunzi za Mkazi wa Reza Ponce, ine ndinalira ndipo ine ndinatumizira kwa iwo kuchita kwa ulosi womwe anawuchita pa mawondo pake ndipo chiwanda cha khunyu chinamuchokera pompo. 46. Mu 1993, ine ndinaona paradaiso wa Mulungu ndi aneneri ake ataphimbidwa ndi mtambo woyera koma maparadaiso a zipembedzo sapezeka kulikonse. Ndipo chipulumutso sichingapezedwe kudzera mu zitsutso kapena zokambirana kapena kupyolera mu chipembedzo chachikale cha makolo anu koma chipulumutso ndicho kuzindikira mneneri wamoyo wa nthawi yanu ndipo ndi mneneri uyu amene adzakuuzani zomwe inu muyenera kuchita kuti inu mupulumutsidwe, monga pambuyo panu, anthu onga inu adalandira aneneri mu nthawi yawo ndipo anapulumutsidwa. Ndipo mutatha kuwerenga kapena kumvetsera ine, inu muli ndi zisankho ziwiri: kapena mumwalira mu Chisilamu, Chihindu, Chibuddha, Chikhristu kapena Chiyuda ndikupita ku gehena, kapena inu mumatsata mneneri wamoyo wa nthawi yanu kupita kumwamba ndipo ine ndine mneneri uyu, Ine amene ndikuyankhula nanu. 36. Simoni Petro anati kwa mbuye wake Yesu Khristu: "Inu Rabbi, Inu ndinu Khristu, mwana wa Mulungu wamoyo" ndipo Ambuye anati kwa iye: "Iwe ndiwe Petro ndipo pathanthwe ili la vumbulutso, Ine ndidzamanga Mpingo wanga". Ilo linali thanthwe ndi malo apamwamba pa vumbulutso lonse mu nthawi ya Ambuye Yesu. Thanthwe la vumbulutso mu 1415 linali kunena kuti: "Iwe, John Huss, kwa nthawi yathu ino, iwe ndiwe Khristu, mwana wobadwa yekha wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso mu 1545 linali kukhoza kunena: "Iwe Martin Luther, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso pakati pa 1933 ndi 1965 linali kunena kuti: "Iwe, William Branham, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso kuyambira pa April 24, 1993, likhoza kunena kuti: "Iwe, Kacou Philippe, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Kuzindikira Mulungu mwa munthu m'nthawi ya moyo wanu liri thanthwe komanso maziko apamwamba a chikhulupiriro cha moyo wosatha. www.philippekacou.org
Minaulizaje watu wa kigoma hua mnakula samaki gani hata sisi tukule ndio tuzae watoto wenye akili kama hawa kigoma zamani najua kigoma utagoma zaidi kumbe duuu akilitupu
jmn try ur best utengenezeee radio sababu kunaaa mafrikaa kutokaaa west africa alitengenzaaa radio station yakee alikujaa kufikaaa mbali saaanaa aliendaa hadi MIT (marekani) soo pambanaaa utafikaaa mbali.
Hii ni kipaji sema pamoja kipaji huyu jamaa kakosa vitu vyake vya msingi kutoa kipaji chake kutoka hapa 1. Elimu 2. Fedha itachukua muda ama kupoteza muda wake kwa maana hamna anayemthamini ,sisi tulio wengi tunaitaji faida kuliko kutoa kitu cha kumsimamisha mmoja .
Kigoma Mashaallah Mumebarikiw vipaji vingi tu Mziki mnavyo, mpira mnavyo na wabunifu mnao Hongeren Wazawa wa Kigoma
aksnte kwa niaba
Aboubakar Massooud Safi mwanangu... #kigoma Sana bless
Leka tutigite najivunia nakumis kigoma
Nikweli
kijana Fanya jambo kwa kujiamini usiogope MTU muogope mungu tu.Hongera sana hiyo redio iendeleze.Mungu akubariki.
Hongera sana dogo Mungu atakusaidia upate wafadhili ujiendeleze.
Mashaallah,huyu anatakiwa aendelezwe serikali/wadhamin lazma imuagalie,,,isije wakamchukuwa watu was nje, wakasema wamemfundisha wao kumbe kipaji chake asilia
Kama unaamini kigoma Kuna vipaji vingi tofaut..gonga like
Ilitakiwa uendelee kutengeneza hiyo radio ili wakija kukukamata ndio watagundua namna ya kuendeleza kipaji chako
Chalii yuko vzr angepata veta angekua injinia mzr..sema ndio ivo mi mwenyewe sielew ningemtoa
Watanzania tulio wengi ni wajinga, tunafurahia upumbavu wa akina dudu baya tunaacha mambo ya msingi kama haya. Sio ya kupuuza
Kimeniuma,Hv serikali inaacha vipaji kama hv,hii ni azina ya Taifa,
Kweli kabisa
Dah dogo ana tisha. Mungu amtangulie.
Hiyo ndo Kigoma mkoa ulojaaa vipaji alhamdulillah
Umejuaje
Husein Idd nimetokea mkoa wakigoma ujiji posta darajani kama unapajua,,,,navipaji nivingi havielezeki natumai nawe unafaham
Ni kweli kabisa. Kigoma kuna vipaji vya kutosha.
Hongera sana ndugu yangu kwa kipaji kizuri ulichonacho
Nyi nyi watanzania bado amujsjua uyu siyo wakusomeshwa veta no uyu lijitolee taifa likamuombee nafas FEKON how! SANLG .nk hawe MTU mkubwa zaid kisha akisomeshwa halud bongo aje kutengeneza hapa hapa hm
akayasomee madin chuma
Uhundwaji wake na nk. Kisha
Halud hm
Avata star255 kwel kabisa
Kweli kabc
Hongera sn Alla akufungulie njia ufike mbali
unahitaji kusoma, hapo una cheza na toys , ukipewa shule utajua kuunda real objects that can transform your knowledge into money chain..!nice work kid
Kazi iko safi sana na serikali igeuke na kuwaangalia vijana wenye vpaji na kuangalia namna ya kuwasaidia ili mwisho wa siku na sisi tuwe tunazalisha bidhaa zetu wenyewe.
Tengeneza radio iyo ili ikupe kiki na uta sikika mbaali zaid na kwa uwezo wa mungu mambo yatakua poa tu charii.
Kigoma acha tutigite,, hongera brother
Timotheo Joram mwenye maona hafi nilazima yatimie
Napenda Sana Kuwashukuru Mild Ayo Tv Kwa kuendelea Kumtangaza Kijana Wetu Ombi Langu ni Moja Waziri Alimuita kijana ila hatujasikia chochote Naomb Basi Nyie Mchukue Jukum la Kumuendeleza
Dgo hongera sana uko vizuri.
Ni vile tu sina uwezo but ningekupa support mdg wangu.
Ila mungu yu pamoja na ww bhn.
Hongera sana dogo upo vizuri sana
Kama umeskia umbunifu mpya , gonga LIKE yako hapa 😀😀😀😀
Noma sana
😁😁😁
Dogo Muombe Mungu tu utakufundisha sio hayo MAVETA YA BONGO Walimu wenyewe hamna kitu
Hongera sana
aisee serikali haimuoni huyu kijana ??mbona akiwezeshwa anakua bonge la mbunifu na kuitangaza Tanzania kwa kua anatengeneza vitu halisi kwa kutumia vifaa vyake mwenyewe na sio kununua
Etiiiiiiii
Dogo talent sana jmn mwenye uwezo amsaidie
Interview inayofuata utakuwa unamuoji huku mnaendesha,yn kubwa kuliko>
kuhusu redio kawaida sana hata runzewe kuna kijana tena ni mlevu wa miguu anautwa kopa hedi....alitengeneza na mpaka me nikawa mtangazaji hapo tena....kweli alikamatwa et zinaingiliana na redio kwizera ya ngara
Mohamed Mwenyeinda eti kawaida wa tz kumkubali mtu inakuwa n shida fanya basi ww kama ni rahisi tukuone
Very talented
Tz tunasapoti vitu vya starehe, tech kama hizi tunapuuza, konki liq
ametoboa kabla yake
jmn tengenezaa radio yako utafikaaa mbali
Kigoma oyeeee jamani muna koswa katika Africa yetu Tanzania watu kama hawo
Make a CZcams channel doing things like this. There is a demand for it.
Ingekuwa nchi nyingine wangemsapot ila tz mh watamtafutia skendo akaozee jela
Wa Tz tujalib kukuza vipaj vyetu tuxipende kuxhabikia vit vya nchi nyingne wakt hata xx tunaweza
Kabisaaa
Pamoja sana dogo nmekusoma
Masha Allah zubeir❤❤
Mung akujalie mway
Yupo vizuri dogo
Ila waha ni wabishi jamani kila swali analoulizwa dogo anabisha Kwanza alafu ndio anajibu we kama unabisha msikilize utasiki "Aaaa" katika kila swali. 🤣🤣🤣Jocks, Ongera Sana mtanzania mwenzangu
Tanzania mkowapi wakuu wa nchi china pia ilianza ivi saivi wanatuuzia vitu wakati tukikuza vipaji vyetu tunatengeneza wenyew
Serikali imwangalie kwa kwa jicho la tatu anawezaaa
Ndiyo kawaida ya kigoma Kukatishana ramaa
Dogo uko vizuri bonge talent , serikali ikusapot
So kwa mwaka huu
Naipenda Tanzania
Alaf nimeambiw ety wazir mkuu alikuja akamchukua Ni kweli jaman😁
Duh..kipaji sana
Tunatafuta sana vijana wabunifu kama hawa big up kijana
Bro mchukue huyo hapo
Uzur dogo anajitambua so hatokwama
Unakipaji dogo ila Tz yetu unaweza kusahulika
Mashallah 🥰 piki piki mpyaaa
Home boy duuuh nomaaa k town
kigoma big up kwenu
Endelea kukaza msuli dogo M Mungu ni mwema
sana dg
Tatizo la afrika hatusamini vipaji sirikali zetu hazikuelewi asaa
Mungu aibark Kaz ya mikono yako kijana
Dah dogo yuko vizuri Allah akuwekee wepesi katika hili, lakini pia tafuta na akhera yako, ukitoka katika shughuli zako unamtafuta mwalimu anakuwa anakufundisha masomo ya dini ili umfaham mola wako, rengo ili ufanye ibada zako kwa usahihi.
Abdulrahman mussa Lonka k..,
Kabisa
Ndoto zake zimetimia naona radio ashaitengeneza
Hongera kwa kaz nzur kijana
Daahh kaz yote iyo elfu hamsini
hongera unajitahidi
Mimi nime zaliwa kigoma maisha duni kigoma. Hali hio naelewa. Nitafute kwanamba hii on WhatsApp +1204 615 4043 ningefulahi ukienda shule.
hpn chezea kigoma
dogo kajitaidi kinoma
kigoma
Hongera sana nyota ndogo huonekana asubuhi, unakipaji cha ajabu sana ila kinahitaji kulelewa zaidi, ila zaidi ya yote mtafute Yesu kwanza
Amtaftie wapi?
Akamtafute wap.huyo yesu toka alipoahdi ataludi jiiiiii mbaka leo
@@aishaomar4012 hahahaha😆😆😆😆
Bongo bado labda china
Hyo namba mloweka feki au
hiyo ndio kigoma yetu
2. Mmawa umenewo, ine ndinali ndekha ndikusinkhasinkha za moyo wanga wakale komanso momwe angelo adadza kwa ine mu 1993. Ine ndinali kukankha wilibara, ine ndimaperekera simenti pa malo omanga kuti ndipeze chinachake ndidye. Nyumba ya banja lathu linali ndi nyali yamphepo imodzi yokha basi ndipo pamene ife tinalibe mafuta, mayi anga ankatulutsa chingwe cha nsalu ndikuchiviika mu mphika wa mafuta a kanjedza ndikuchiyatsa ngati nyali. Nyumba yathu inalibe khomo ndipo usiku, timipando tinaikidwa kuti nyama ndi njoka zisalowe m'nyumba.
3. Koma Mulungu Wamphamvuyonse anandiveka ine chofunda Chake cha chisomo ndipo kunanenedwa kuti panthawi yoikika, ine ndikanati ndikalalikire zinsinsi zomwe ine sindinadziwe kotero kuti kwa aliyense wokhulupirira mwa ine akhale nawo moyo wosatha ndi kuti amuna onse a mafuko ndi mitundu ndi chinenedwe adzabwera kwa ine kuti akhale ndi moyo wosatha. Zinthu izi zakwaniritsidwa ndipo pemphero langa limafika pa mpando wachifumu wa chisomo cha Mulungu. Nditawona zithunzi za Mkazi wa Reza Ponce, ine ndinalira ndipo ine ndinatumizira kwa iwo kuchita kwa ulosi womwe anawuchita pa mawondo pake ndipo chiwanda cha khunyu chinamuchokera pompo.
46. Mu 1993, ine ndinaona paradaiso wa Mulungu ndi aneneri ake ataphimbidwa ndi mtambo woyera koma maparadaiso a zipembedzo sapezeka kulikonse. Ndipo chipulumutso sichingapezedwe kudzera mu zitsutso kapena zokambirana kapena kupyolera mu chipembedzo chachikale cha makolo anu koma chipulumutso ndicho kuzindikira mneneri wamoyo wa nthawi yanu ndipo ndi mneneri uyu amene adzakuuzani zomwe inu muyenera kuchita kuti inu mupulumutsidwe, monga pambuyo panu, anthu onga inu adalandira aneneri mu nthawi yawo ndipo anapulumutsidwa. Ndipo mutatha kuwerenga kapena kumvetsera ine, inu muli ndi zisankho ziwiri: kapena mumwalira mu Chisilamu, Chihindu, Chibuddha, Chikhristu kapena Chiyuda ndikupita ku gehena, kapena inu mumatsata mneneri wamoyo wa nthawi yanu kupita kumwamba ndipo ine ndine mneneri uyu, Ine amene ndikuyankhula nanu.
36. Simoni Petro anati kwa mbuye wake Yesu Khristu: "Inu Rabbi, Inu ndinu Khristu, mwana wa Mulungu wamoyo" ndipo Ambuye anati kwa iye: "Iwe ndiwe Petro ndipo pathanthwe ili la vumbulutso, Ine ndidzamanga Mpingo wanga". Ilo linali thanthwe ndi malo apamwamba pa vumbulutso lonse mu nthawi ya Ambuye Yesu. Thanthwe la vumbulutso mu 1415 linali kunena kuti: "Iwe, John Huss, kwa nthawi yathu ino, iwe ndiwe Khristu, mwana wobadwa yekha wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso mu 1545 linali kukhoza kunena: "Iwe Martin Luther, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso pakati pa 1933 ndi 1965 linali kunena kuti: "Iwe, William Branham, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso kuyambira pa April 24, 1993, likhoza kunena kuti: "Iwe, Kacou Philippe, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Kuzindikira Mulungu mwa munthu m'nthawi ya moyo wanu liri thanthwe komanso maziko apamwamba a chikhulupiriro cha moyo wosatha.
www.philippekacou.org
Duh noma sana
Good sana
Huyu dogo wampe saport jaman vip serikali yetu dogo anakipaji huyu jamani
Talented boy..God bless you👊
Beatrice Kamenge kamenge it's true
kiyambe
Beatrice Kamenge mzima jamani
Vizur
endeleza kipaji chako na uku ukitafuta soko.
Endelea kuumua kubwa zaidi ya hiyo ipakie mshikaki 😂
😅😅🙆🤭
sitengeneze vidogo atengeneze itakayo kuwa zinatumika piya
unaumua
SI KWAMBA WADHAMIN HAMNA ILA VETA YA VIPAJI KAMA HIV TZ HAMNA
nikweli ukimpeleka veta hata hawaez kumwendeleza huyu atakuwa mwalim wao😂
veta ndio utaenda kuariabu kipaji kipaji trust me
King msaport basi
Good
Huyu jamaa kama ni China anatisha Sana'a kipaji cha hali ya juu
Nice
Minaulizaje watu wa kigoma hua mnakula samaki gani hata sisi tukule ndio tuzae watoto wenye akili kama hawa kigoma zamani najua kigoma utagoma zaidi kumbe duuu akilitupu
jmn try ur best utengenezeee radio sababu kunaaa mafrikaa kutokaaa west africa alitengenzaaa radio station yakee alikujaa kufikaaa mbali saaanaa aliendaa hadi MIT (marekani) soo pambanaaa utafikaaa mbali.
Huyo hatakiwai darasani tena yeye tayali ana ujuz.i huyo apewe mtaji ili apanue akili yake
Hii ni kipaji sema pamoja kipaji huyu jamaa kakosa vitu vyake vya msingi kutoa kipaji chake kutoka hapa 1. Elimu 2. Fedha itachukua muda ama kupoteza muda wake kwa maana hamna anayemthamini ,sisi tulio wengi tunaitaji faida kuliko kutoa kitu cha kumsimamisha mmoja .
Dah anaweza kwakweli
Ongeraa
Nomaa
Kigoma stand up
Wazee wa kuumua
Sema mshikaji anafrahisha zaid anavoongea
50000
Achana nao hao ni wasenge2
Pambana
Wale waha gonga like zenu kwa dogo
💃💃💃kigoma juuuuu
Ah, dogo anatisha. Iko siku atamiliki kiwanda huyu. Acheni kuzuiya hata akifkiria kubuni mtu.
Sialienda dar huyu ilikuaje huko?
hongelasanadogo kigomahapatokifala naminikonyuma nakuja
Masai
Eti nimesha iuwa saizi haipotena duniani🤣
ahaaaa dah
Dogo upo vizuri
iki nikipaji
Kaka yako bomu
Mbon hajaiwash
agreeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Chrisspinus Mgambah ◐.̃◐