Kijana wa Kigoma atengeneza Pikipiki kubwa, ametengeneza Radio Station amebomoa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 02. 2019

Komentáře • 157

  • @aboubakarmassooud6908
    @aboubakarmassooud6908 Před 5 lety +28

    Kigoma Mashaallah Mumebarikiw vipaji vingi tu Mziki mnavyo, mpira mnavyo na wabunifu mnao Hongeren Wazawa wa Kigoma

  • @khalidahmed8774
    @khalidahmed8774 Před 5 lety +4

    kijana Fanya jambo kwa kujiamini usiogope MTU muogope mungu tu.Hongera sana hiyo redio iendeleze.Mungu akubariki.

  • @Lemalali85
    @Lemalali85 Před 4 lety +5

    Hongera sana dogo Mungu atakusaidia upate wafadhili ujiendeleze.

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 Před 4 lety +2

    Mashaallah,huyu anatakiwa aendelezwe serikali/wadhamin lazma imuagalie,,,isije wakamchukuwa watu was nje, wakasema wamemfundisha wao kumbe kipaji chake asilia

  • @niceone9392
    @niceone9392 Před 5 lety +16

    Kama unaamini kigoma Kuna vipaji vingi tofaut..gonga like

  • @markmichael2938
    @markmichael2938 Před 5 lety +17

    Ilitakiwa uendelee kutengeneza hiyo radio ili wakija kukukamata ndio watagundua namna ya kuendeleza kipaji chako

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 Před 5 lety +10

    Chalii yuko vzr angepata veta angekua injinia mzr..sema ndio ivo mi mwenyewe sielew ningemtoa

  • @majiminze4135
    @majiminze4135 Před 5 lety +34

    Watanzania tulio wengi ni wajinga, tunafurahia upumbavu wa akina dudu baya tunaacha mambo ya msingi kama haya. Sio ya kupuuza

  • @shabanishabani2453
    @shabanishabani2453 Před 5 lety +3

    Dah dogo ana tisha. Mungu amtangulie.

  • @gggjjahhhh9419
    @gggjjahhhh9419 Před 5 lety +17

    Hiyo ndo Kigoma mkoa ulojaaa vipaji alhamdulillah

    • @hussenidd5092
      @hussenidd5092 Před 5 lety

      Umejuaje

    • @gggjjahhhh9419
      @gggjjahhhh9419 Před 5 lety +1

      Husein Idd nimetokea mkoa wakigoma ujiji posta darajani kama unapajua,,,,navipaji nivingi havielezeki natumai nawe unafaham

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Před 4 lety

      Ni kweli kabisa. Kigoma kuna vipaji vya kutosha.

  • @hamisishabani8864
    @hamisishabani8864 Před 2 lety +1

    Hongera sana ndugu yangu kwa kipaji kizuri ulichonacho

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 5 lety +12

    Nyi nyi watanzania bado amujsjua uyu siyo wakusomeshwa veta no uyu lijitolee taifa likamuombee nafas FEKON how! SANLG .nk hawe MTU mkubwa zaid kisha akisomeshwa halud bongo aje kutengeneza hapa hapa hm
    akayasomee madin chuma
    Uhundwaji wake na nk. Kisha
    Halud hm

  • @asheryissa6100
    @asheryissa6100 Před 5 lety +3

    Hongera sn Alla akufungulie njia ufike mbali

  • @joelndaliche8626
    @joelndaliche8626 Před 5 lety +5

    unahitaji kusoma, hapo una cheza na toys , ukipewa shule utajua kuunda real objects that can transform your knowledge into money chain..!nice work kid

    • @thepointofculture5392
      @thepointofculture5392 Před 5 lety +1

      Kazi iko safi sana na serikali igeuke na kuwaangalia vijana wenye vpaji na kuangalia namna ya kuwasaidia ili mwisho wa siku na sisi tuwe tunazalisha bidhaa zetu wenyewe.

  • @shabanishabani2453
    @shabanishabani2453 Před 5 lety +2

    Tengeneza radio iyo ili ikupe kiki na uta sikika mbaali zaid na kwa uwezo wa mungu mambo yatakua poa tu charii.

  • @timotheojoram8714
    @timotheojoram8714 Před 5 lety +7

    Kigoma acha tutigite,, hongera brother

  • @wazalendocom6660
    @wazalendocom6660 Před 5 lety +3

    Napenda Sana Kuwashukuru Mild Ayo Tv Kwa kuendelea Kumtangaza Kijana Wetu Ombi Langu ni Moja Waziri Alimuita kijana ila hatujasikia chochote Naomb Basi Nyie Mchukue Jukum la Kumuendeleza

  • @raphaelkasagula977
    @raphaelkasagula977 Před 4 lety

    Dgo hongera sana uko vizuri.
    Ni vile tu sina uwezo but ningekupa support mdg wangu.
    Ila mungu yu pamoja na ww bhn.

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Před rokem

    Hongera sana dogo upo vizuri sana

  • @debosstv43
    @debosstv43 Před 5 lety +26

    Kama umeskia umbunifu mpya , gonga LIKE yako hapa 😀😀😀😀

  • @eliusandrew3762
    @eliusandrew3762 Před 4 lety +2

    Dogo Muombe Mungu tu utakufundisha sio hayo MAVETA YA BONGO Walimu wenyewe hamna kitu

  • @rehemaabudararehemaabudara4897

    Hongera sana

  • @ibrahtv5592
    @ibrahtv5592 Před 5 lety +7

    aisee serikali haimuoni huyu kijana ??mbona akiwezeshwa anakua bonge la mbunifu na kuitangaza Tanzania kwa kua anatengeneza vitu halisi kwa kutumia vifaa vyake mwenyewe na sio kununua

  • @hermankoba4970
    @hermankoba4970 Před 5 lety +3

    Dogo talent sana jmn mwenye uwezo amsaidie

  • @georgemandevu2134
    @georgemandevu2134 Před 5 lety +5

    Interview inayofuata utakuwa unamuoji huku mnaendesha,yn kubwa kuliko>

  • @mohamedmwenyeinda
    @mohamedmwenyeinda Před 5 lety +3

    kuhusu redio kawaida sana hata runzewe kuna kijana tena ni mlevu wa miguu anautwa kopa hedi....alitengeneza na mpaka me nikawa mtangazaji hapo tena....kweli alikamatwa et zinaingiliana na redio kwizera ya ngara

    • @glorynguma3593
      @glorynguma3593 Před 5 lety

      Mohamed Mwenyeinda eti kawaida wa tz kumkubali mtu inakuwa n shida fanya basi ww kama ni rahisi tukuone

  • @mudyklg6238
    @mudyklg6238 Před 5 lety +2

    Very talented

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 5 lety +17

    Tz tunasapoti vitu vya starehe, tech kama hizi tunapuuza, konki liq
    ametoboa kabla yake

  • @na0m1fes51
    @na0m1fes51 Před 4 lety +2

    jmn tengenezaa radio yako utafikaaa mbali

  • @bonifasirameckkingstoni5045

    Kigoma oyeeee jamani muna koswa katika Africa yetu Tanzania watu kama hawo

  • @yellooh
    @yellooh Před 4 lety +1

    Make a CZcams channel doing things like this. There is a demand for it.

  • @teddykassinde4608
    @teddykassinde4608 Před 5 lety +9

    Ingekuwa nchi nyingine wangemsapot ila tz mh watamtafutia skendo akaozee jela

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 Před 5 lety +5

    Masha Allah zubeir❤❤

  • @famitoissanawanda7011
    @famitoissanawanda7011 Před 4 lety +1

    Yupo vizuri dogo

  • @bongodigital35
    @bongodigital35 Před 2 lety

    Ila waha ni wabishi jamani kila swali analoulizwa dogo anabisha Kwanza alafu ndio anajibu we kama unabisha msikilize utasiki "Aaaa" katika kila swali. 🤣🤣🤣Jocks, Ongera Sana mtanzania mwenzangu

  • @michaelgamba6698
    @michaelgamba6698 Před 5 lety +1

    Tanzania mkowapi wakuu wa nchi china pia ilianza ivi saivi wanatuuzia vitu wakati tukikuza vipaji vyetu tunatengeneza wenyew

  • @ernestbatta597
    @ernestbatta597 Před 5 lety +1

    Serikali imwangalie kwa kwa jicho la tatu anawezaaa

  • @nasracebu7072
    @nasracebu7072 Před 5 lety +1

    Ndiyo kawaida ya kigoma Kukatishana ramaa

  • @sumahmvellah7476
    @sumahmvellah7476 Před 5 lety

    Dogo uko vizuri bonge talent , serikali ikusapot

  • @levocatusiisaka225
    @levocatusiisaka225 Před 5 lety +1

    Naipenda Tanzania

  • @niceone9392
    @niceone9392 Před 5 lety +1

    Alaf nimeambiw ety wazir mkuu alikuja akamchukua Ni kweli jaman😁

  • @robertfabian3030
    @robertfabian3030 Před 5 lety +1

    Duh..kipaji sana

  • @michaelplacidius2199
    @michaelplacidius2199 Před 5 lety +2

    Tunatafuta sana vijana wabunifu kama hawa big up kijana

  • @nellywizzy7034
    @nellywizzy7034 Před 5 lety +3

    Uzur dogo anajitambua so hatokwama

  • @zakiamaungazakia720
    @zakiamaungazakia720 Před 5 lety +2

    Unakipaji dogo ila Tz yetu unaweza kusahulika

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Před 2 lety

    Mashallah 🥰 piki piki mpyaaa

  • @youngnelly6272
    @youngnelly6272 Před 5 lety +1

    Home boy duuuh nomaaa k town

  • @salmayussuf6711
    @salmayussuf6711 Před 4 lety

    kigoma big up kwenu

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Před rokem

    Endelea kukaza msuli dogo M Mungu ni mwema

  • @ibrahimahmady1971
    @ibrahimahmady1971 Před 5 lety +1

    sana dg

  • @fatumanasoro5057
    @fatumanasoro5057 Před rokem

    Tatizo la afrika hatusamini vipaji sirikali zetu hazikuelewi asaa

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Mungu aibark Kaz ya mikono yako kijana

  • @abdulrahmanmussalonka4935

    Dah dogo yuko vizuri Allah akuwekee wepesi katika hili, lakini pia tafuta na akhera yako, ukitoka katika shughuli zako unamtafuta mwalimu anakuwa anakufundisha masomo ya dini ili umfaham mola wako, rengo ili ufanye ibada zako kwa usahihi.

  • @danielmotta5703
    @danielmotta5703 Před 2 lety

    Ndoto zake zimetimia naona radio ashaitengeneza

  • @nelsonkihwele7856
    @nelsonkihwele7856 Před 5 lety

    Hongera kwa kaz nzur kijana

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety

    Daahh kaz yote iyo elfu hamsini

  • @nasrasaid6854
    @nasrasaid6854 Před 5 lety

    hongera unajitahidi

  • @umojatunzwetv
    @umojatunzwetv Před 4 lety +1

    Mimi nime zaliwa kigoma maisha duni kigoma. Hali hio naelewa. Nitafute kwanamba hii on WhatsApp +1204 615 4043 ningefulahi ukienda shule.

  • @jovieejohn9443
    @jovieejohn9443 Před 5 lety +1

    hpn chezea kigoma

  • @feresimon5325
    @feresimon5325 Před 5 lety +2

    dogo kajitaidi kinoma

  • @shiruclever1679
    @shiruclever1679 Před 5 lety +1

    kigoma

  • @pastormoseschami9167
    @pastormoseschami9167 Před 5 lety +1

    Hongera sana nyota ndogo huonekana asubuhi, unakipaji cha ajabu sana ila kinahitaji kulelewa zaidi, ila zaidi ya yote mtafute Yesu kwanza

  • @brunomombe2801
    @brunomombe2801 Před 5 lety +1

    Hyo namba mloweka feki au

  • @johnwalker9996
    @johnwalker9996 Před 5 lety +1

    hiyo ndio kigoma yetu

  • @coulibalysiaka6162
    @coulibalysiaka6162 Před 4 lety

    2. Mmawa umenewo, ine ndinali ndekha ndikusinkhasinkha za moyo wanga wakale komanso momwe angelo adadza kwa ine mu 1993. Ine ndinali kukankha wilibara, ine ndimaperekera simenti pa malo omanga kuti ndipeze chinachake ndidye. Nyumba ya banja lathu linali ndi nyali yamphepo imodzi yokha basi ndipo pamene ife tinalibe mafuta, mayi anga ankatulutsa chingwe cha nsalu ndikuchiviika mu mphika wa mafuta a kanjedza ndikuchiyatsa ngati nyali. Nyumba yathu inalibe khomo ndipo usiku, timipando tinaikidwa kuti nyama ndi njoka zisalowe m'nyumba.
    3. Koma Mulungu Wamphamvuyonse anandiveka ine chofunda Chake cha chisomo ndipo kunanenedwa kuti panthawi yoikika, ine ndikanati ndikalalikire zinsinsi zomwe ine sindinadziwe kotero kuti kwa aliyense wokhulupirira mwa ine akhale nawo moyo wosatha ndi kuti amuna onse a mafuko ndi mitundu ndi chinenedwe adzabwera kwa ine kuti akhale ndi moyo wosatha. Zinthu izi zakwaniritsidwa ndipo pemphero langa limafika pa mpando wachifumu wa chisomo cha Mulungu. Nditawona zithunzi za Mkazi wa Reza Ponce, ine ndinalira ndipo ine ndinatumizira kwa iwo kuchita kwa ulosi womwe anawuchita pa mawondo pake ndipo chiwanda cha khunyu chinamuchokera pompo.
    46. Mu 1993, ine ndinaona paradaiso wa Mulungu ndi aneneri ake ataphimbidwa ndi mtambo woyera koma maparadaiso a zipembedzo sapezeka kulikonse. Ndipo chipulumutso sichingapezedwe kudzera mu zitsutso kapena zokambirana kapena kupyolera mu chipembedzo chachikale cha makolo anu koma chipulumutso ndicho kuzindikira mneneri wamoyo wa nthawi yanu ndipo ndi mneneri uyu amene adzakuuzani zomwe inu muyenera kuchita kuti inu mupulumutsidwe, monga pambuyo panu, anthu onga inu adalandira aneneri mu nthawi yawo ndipo anapulumutsidwa. Ndipo mutatha kuwerenga kapena kumvetsera ine, inu muli ndi zisankho ziwiri: kapena mumwalira mu Chisilamu, Chihindu, Chibuddha, Chikhristu kapena Chiyuda ndikupita ku gehena, kapena inu mumatsata mneneri wamoyo wa nthawi yanu kupita kumwamba ndipo ine ndine mneneri uyu, Ine amene ndikuyankhula nanu.
    36. Simoni Petro anati kwa mbuye wake Yesu Khristu: "Inu Rabbi, Inu ndinu Khristu, mwana wa Mulungu wamoyo" ndipo Ambuye anati kwa iye: "Iwe ndiwe Petro ndipo pathanthwe ili la vumbulutso, Ine ndidzamanga Mpingo wanga". Ilo linali thanthwe ndi malo apamwamba pa vumbulutso lonse mu nthawi ya Ambuye Yesu. Thanthwe la vumbulutso mu 1415 linali kunena kuti: "Iwe, John Huss, kwa nthawi yathu ino, iwe ndiwe Khristu, mwana wobadwa yekha wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso mu 1545 linali kukhoza kunena: "Iwe Martin Luther, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso pakati pa 1933 ndi 1965 linali kunena kuti: "Iwe, William Branham, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso kuyambira pa April 24, 1993, likhoza kunena kuti: "Iwe, Kacou Philippe, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Kuzindikira Mulungu mwa munthu m'nthawi ya moyo wanu liri thanthwe komanso maziko apamwamba a chikhulupiriro cha moyo wosatha.
    www.philippekacou.org

  • @boazsamwel6111
    @boazsamwel6111 Před 5 lety

    Duh noma sana

  • @beatricekamengekamenge5543

    Huyu dogo wampe saport jaman vip serikali yetu dogo anakipaji huyu jamani

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 Před 5 lety

    Vizur

  • @khalidahmed8774
    @khalidahmed8774 Před 5 lety +1

    endeleza kipaji chako na uku ukitafuta soko.

  • @adinanikarata3115
    @adinanikarata3115 Před 5 lety +1

    Endelea kuumua kubwa zaidi ya hiyo ipakie mshikaki 😂

  • @alfasonkikoti2150
    @alfasonkikoti2150 Před 4 lety

    sitengeneze vidogo atengeneze itakayo kuwa zinatumika piya

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 Před 5 lety +2

    unaumua

  • @jaffarymohammed6043
    @jaffarymohammed6043 Před 5 lety +3

    SI KWAMBA WADHAMIN HAMNA ILA VETA YA VIPAJI KAMA HIV TZ HAMNA

    • @mistere6601
      @mistere6601 Před 5 lety +1

      nikweli ukimpeleka veta hata hawaez kumwendeleza huyu atakuwa mwalim wao😂

  • @Alikibainblood1994
    @Alikibainblood1994 Před 5 lety +2

    veta ndio utaenda kuariabu kipaji kipaji trust me

  • @bonychange3304
    @bonychange3304 Před 2 lety

    Good

  • @patrickjakson1164
    @patrickjakson1164 Před 4 lety

    Huyu jamaa kama ni China anatisha Sana'a kipaji cha hali ya juu

  • @romakibasa7057
    @romakibasa7057 Před 4 lety

    Nice

  • @bonifacemollel4401
    @bonifacemollel4401 Před 5 lety

    Minaulizaje watu wa kigoma hua mnakula samaki gani hata sisi tukule ndio tuzae watoto wenye akili kama hawa kigoma zamani najua kigoma utagoma zaidi kumbe duuu akilitupu

  • @na0m1fes51
    @na0m1fes51 Před 4 lety

    jmn try ur best utengenezeee radio sababu kunaaa mafrikaa kutokaaa west africa alitengenzaaa radio station yakee alikujaa kufikaaa mbali saaanaa aliendaa hadi MIT (marekani) soo pambanaaa utafikaaa mbali.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před 2 lety

    Huyo hatakiwai darasani tena yeye tayali ana ujuz.i huyo apewe mtaji ili apanue akili yake

  • @stanleykagoa6190
    @stanleykagoa6190 Před 5 lety

    Hii ni kipaji sema pamoja kipaji huyu jamaa kakosa vitu vyake vya msingi kutoa kipaji chake kutoka hapa 1. Elimu 2. Fedha itachukua muda ama kupoteza muda wake kwa maana hamna anayemthamini ,sisi tulio wengi tunaitaji faida kuliko kutoa kitu cha kumsimamisha mmoja .

  • @dennisngulwa3185
    @dennisngulwa3185 Před 4 lety

    Dah anaweza kwakweli

  • @beera.g5302
    @beera.g5302 Před 3 lety

    Ongeraa

  • @chikoperotvtv2236
    @chikoperotvtv2236 Před 4 lety

    Nomaa

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 Před rokem

    Kigoma stand up

  • @rashidimuhibu6832
    @rashidimuhibu6832 Před 5 lety +1

    Wazee wa kuumua

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety

    Sema mshikaji anafrahisha zaid anavoongea

  • @rehemamohamed3732
    @rehemamohamed3732 Před 5 lety +1

    50000

  • @cdcd4153
    @cdcd4153 Před 4 lety

    Achana nao hao ni wasenge2
    Pambana

  • @schoolboy1614
    @schoolboy1614 Před 4 lety

    Wale waha gonga like zenu kwa dogo

  • @omaar5693
    @omaar5693 Před 4 lety

    Ah, dogo anatisha. Iko siku atamiliki kiwanda huyu. Acheni kuzuiya hata akifkiria kubuni mtu.

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob3414 Před 5 lety

    Sialienda dar huyu ilikuaje huko?

  • @florenctuza6638
    @florenctuza6638 Před 4 lety

    hongelasanadogo kigomahapatokifala naminikonyuma nakuja

  • @daudimelau9283
    @daudimelau9283 Před 5 lety

    Masai

  • @ashurasss1044
    @ashurasss1044 Před 3 lety

    Eti nimesha iuwa saizi haipotena duniani🤣

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    ahaaaa dah

  • @rajabuhassani1105
    @rajabuhassani1105 Před 4 lety

    iki nikipaji

  • @josephleomashauri5107
    @josephleomashauri5107 Před 5 lety +4

    Kaka yako bomu

  • @naslamgollowatuacheee9852

    Mbon hajaiwash

  • @chrisspinusmgambah7381

    agreeeeeeeeeeeeeeeeeeee