Uyo chalii ni noma..! sema ushaur kidogo ni kwamba ukimaliza interview bac ruhusu watoe mawasiliano yao ili kuongeza kipato chao kwa mfano mm nipo makonde Uyo chalii huyo africana nampataje?? Ili ni join nae saloon kwake paris home saloon???
Dah Chalii yangu Smart Marahaa Saloon nishakupitia hapo nikanyoa Nywele na Ndevu siku nyingine,..!! Nyie machalii wengine ukitaka kupendeza hiyo ni Africana Mbezi Beach Kituo cha Kwenda Mjini unasuka kidogo tu umefika hapo, Mie mteja ambaye hakutarajia kama naweza kunyoa hapo nje yaani, ila kutafuta ni kusaidiana hauwezi fanikiwa peke yako. Jioni nampitia anipe namba yake niwawekee hapa by saa11 mtaipata.
dada unasauti nzuri MashaAllah
asante kwa kufika kwetu A CITY, #hiiniyetusote;;;;~
Hii n ngedembwee kweli
kaz nzuri sn
Arusha wanaweza tengeneza taifa lao😁😁😁🙌
dah hawajamaa hatamm nashindwa kuwaelewa kabisa
JUMANNE MFAUME kwakwel maan wanajitegemea kwa kila kitu adi lugha wanayo
hiyo manzi ni imekaa nzuri chalii
Hahhahahahahahaha mimecheka sana hawa jamaaa lugha yao duuuu
Mtoto cute 😜😂😂😂
Hapo wivu kazima
hahah
Saumu nimekufwatilia sana
Mtoto Piruuu 😂😂😂🙌
daaaaaah wewe ni kungwi kweli kweli ...your the best presenta kwa camera na kuongea
😄😂ety we rud ndan kwanz, usitoke nje ntakwita😄😂😂😂
Hii arusha baada ya miaka 5 kutakuwa na lugha yao
Sio mchezo
Kwann
Lily Mangi nikweli kabisa hawajamaa kama sio watanzania nalugha zaajabu kinoma
😂😂😂😄
Lily Mangi comment yako imeniongezea siku kwa kucheka
Arushaa. ni jamaica asewe
Njoo mama yoyo😄😄😄😄
Ktu ni piruuuuuuh😂😂😂 chuga one iyoooh
Piruuuuuuuuu
Uyo chalii ni noma..! sema ushaur kidogo ni kwamba ukimaliza interview bac ruhusu watoe mawasiliano yao ili kuongeza kipato chao kwa mfano mm nipo makonde Uyo chalii huyo africana nampataje?? Ili ni join nae saloon kwake paris home saloon???
Hahaha
Rest in peace Dada yetu ?pumzika kwa Amani ulikuwa unafanya kazi zako kwa furaha mwenyezi mungu akupunguzie adhabu
Kweli fundi mkweli kunyiz sababu kichwa chako humuuachii 😂😂😂😂👌 pambeeeeee
hicho kiti badilisha kava au fua unajisifiaaa halafu kiti kichafuu
Baridi lanani? Alie elewa aniambie
Haaaaaa mbavu zangu miye .wateja hawu takuwa unawapata ju hali hiyo ningumu
Outside - Nje
Baridi ya yesu joto la shetani yani
nimeipenda hii aisee
Hawa waarusha wanafurahisha sana, muwe mnahoji A town tu
Hiv Arusha ni Tanzania kwelii hii lugha wanaitolea wapi???
Kungwi unajua unacho kifanya
Jaje!!
😁😁😁😁😁😁 chari wa ara
😂😂😂 boya sana ww 😂😂
Ngendembwe 😂😂😂
She’s beautiful
Mkeo supu ama kila mtu anainywa
Kugwi unamashauzi
Yanisanya nifuguwe
Dah Chalii yangu Smart Marahaa Saloon nishakupitia hapo nikanyoa Nywele na Ndevu siku nyingine,..!!
Nyie machalii wengine ukitaka kupendeza hiyo ni Africana Mbezi Beach Kituo cha Kwenda Mjini unasuka kidogo tu umefika hapo, Mie mteja ambaye hakutarajia kama naweza kunyoa hapo nje yaani, ila kutafuta ni kusaidiana hauwezi fanikiwa peke yako.
Jioni nampitia anipe namba yake niwawekee hapa by saa11 mtaipata.
Kwa zigo mwamba wee uwa tuu
cheza comedy wewe jitume msela
Fatuma unanikosha ww
kungwi mungu aku bless kama yote
Dingii pambania iyo kombe ni yako wengne chinja
Wakawaida mbn
Kungwi una mbwembwe ww
yechu yechu mzaz
😂😂😂😂😂😂😂😂 St.German
Huyu mwamba kawaka dahhh
Safiii
atakuja mwizi hapo atoe hiyo elfu miatano aondoke na zaidi
huyu jamaa ata uwamalaia asee
Oi chaliangu ebu fanya mpango wa manamba yako aise nataka nitimbe hapo masaluni aise.
Kungwi leo kichwa wazi ujapendeza
Nimecheka kwa sauti
😂😂😂😂📻 💇
Bi dada ukivaa hijabu unapendeza zaidi
Eti jaje oda tu
Dhuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
k4
🤣🤣🤣