DSM GARI ZA BATA, KIGOMA ZA KAZI, UNAAMBIWA PROBOX KIGOMA ZINAITWA MCHOMOKO, “HADI MIZIGO TUNABEBA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 08. 2021
  • Inawekana kwa Mikoa mingine gari aina ya Probox ikawa inamatumizi mengine tofauti na gari aina hizi zinavyotumika kwa Mkoa wa Kigoma.
    Ukifika Kigoma pengine ukiulizia Magari haya kwa jina la PROBOX unaweza usilipate kabisa, kwajina maarufu Kigoma wanaita MCHOMOKO gari lenye uwezo wakubeba abiria watano na mizigo mingi lakini inafaida kubwa kibiashara na mkombozi wa abiria.

Komentáře • 54

  • @barakatv9315
    @barakatv9315 Před 2 lety +7

    Ukiona hivyo ujue kigoma iko juu , magari kwao Jambo la kawaida

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 2 lety +2

    PROBOX ....... Kwao ni KENYA zinabeba Miraa, binaadam, MBUZI, kila kitu

  • @marcouruva3912
    @marcouruva3912 Před 2 lety +5

    Kitambo xana tang niondoke pande izzo..Mungu nijalie afya niweze kurud tena mkoa wa kigoma axeee..

  • @pasquallungwa3517
    @pasquallungwa3517 Před 2 lety +3

    Sio probox tu hata toyota wish lake zone ndio kazi yake

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 Před 2 lety +1

    Sio hiasi my friend. Ni Hiace!

  • @kingmtz5740
    @kingmtz5740 Před 2 lety +5

    Mkoa wa mara maeneo ya nyamongo zinatumika sawa nahapo kigoma,wanaotumia kama gari za kutembelea ni wachache.

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 Před 2 lety +2

      Hata mie cjui wanashangaa nn 7bu hizo ndo znabeba abiria Tarime

    • @kingmtz5740
      @kingmtz5740 Před 2 lety +1

      @@danielmkama24 yap

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 Před 2 lety

      @@danielmkama24 kabisa yaan ukitka kuwai Sirari au Trime usafri wa fasta ni mchomokoo,daah nimemiss sana Sirariii

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 Před 2 lety

    Hapo ni kazi kazi🔥🔥

  • @dagraskaragane4730
    @dagraskaragane4730 Před 2 lety +1

    Millard Ayo mpaka KSL nooma saana big up

  • @admerarobert3485
    @admerarobert3485 Před 2 lety

    Home hapo daaa umenikumbusha mbali Sana from Zanzibar

  • @mgedzirpm1541
    @mgedzirpm1541 Před 2 lety +1

    Njombe kitambo sana kaka, mpaka wakati wake umeisha, katambo sana

  • @egesilo8373
    @egesilo8373 Před 2 lety +1

    Safi

  • @kubyjuma4843
    @kubyjuma4843 Před 2 lety +1

    Dah! My home place

  • @rugenzirugenzi3562
    @rugenzirugenzi3562 Před 2 lety

    kweli kabisa magari kama hayo niya kazi

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Daladala za Kenya, nazikubali sana

  • @jumaahusein2204
    @jumaahusein2204 Před 2 lety

    Kenya hayo magari ndo kazi zake hzo🙂

  • @allthings1302
    @allthings1302 Před 2 lety +1

    Hata Geita zinaitwa michomoko

  • @ramadhanbarakaonlinetv677

    Mzee nyumban hujiji nenda kafanye ntavyuu na Mzee mwibaizi akupe history ya kigoma ujiji yule Mzee mzawa

  • @happyjohn5882
    @happyjohn5882 Před 2 lety

    Hahaaàaaa hizi gari hata SIRARII- TARIME,RORYA,NYAMONGO NK kwa upande wa Tz, ISBANIA - MIGORI Kenya au Keanja zinatumika sana Sana'a zinaitwa hivyo hivyo mchomokaa nimemiss Tarimee daah, SIRARI TO Tarime buku 3000 tuu ndiyo maana boda ya Sirari,isbania imechngamka kuliko ya Namangaa,,

  • @kelvincray2345
    @kelvincray2345 Před 2 lety +3

    Hizo nazo ni gari za bata njoo geita migodini uone prado zinafanya kazi gani

  • @neemaamosi7761
    @neemaamosi7761 Před 2 lety +1

    Pigeni kazi

  • @officiallnobystar
    @officiallnobystar Před 2 lety

    hizi uku njombe ni
    tax To ama za kukatia majani ya nguruwe

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 Před 2 lety +2

    Iyo IASI ndio HIACE au?

    • @mkemiamagege8477
      @mkemiamagege8477 Před 2 lety

      Ndio hivyo ni Hiace na sio IASI bro. Dogo kajimix kaisha kuwa mbembe.

  • @piusthobias880
    @piusthobias880 Před 2 lety

    Hata hvyo ni gari imara Sana zinadum

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 Před 2 lety +1

    Gx 100 kigoma inabeba ndizi ukifika utashangaa

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před 2 lety

    Duh

  • @aminaamos2778
    @aminaamos2778 Před rokem

    Jaman mwenye namba ya huyo mtangazaji anisaidie ndg zang

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 Před 2 lety

    Imenichukua muda kutambua ias ndio hiace

  • @edwinyusuph7283
    @edwinyusuph7283 Před 2 lety +1

    Hata huku kwetu nyamongo ndio daladala zetu

  • @faruhostllc1552
    @faruhostllc1552 Před 2 lety +1

    Jina la Mchomoko la kitambo sana miaka ya 90 kwa watu wa Kanda ya ziwa wanalijua, haswa watu wa Mara na Kagera ndio ulikuwa usafiri mkuu kwenda nje ya miji au vijijini. Lilianzia kwenye magari ya Peugeot. Kanda ya ziwa Probox ndio daladala sasa kwenda vijijini

  • @pachamc5145
    @pachamc5145 Před 2 lety

    Sio kigoma tuu

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 Před 2 lety

    Sasa kama barabara ni lami kwanini gari ni chache no

  • @richardmajeba9309
    @richardmajeba9309 Před 2 lety

    umesaau kuuriza kwatajili wanapereka shingapi

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Před 2 lety

    Mchomoko kg# kasulu

  • @kisimachamovemixzadjmackdj1555

    kwetu kasulu

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před rokem

    Oyoooo

    • @mariamuewoi6836
      @mariamuewoi6836 Před rokem

      Nikitaka kupata probox ya pesa kidogo kama 300000?

  • @Nesrev95
    @Nesrev95 Před 2 lety

    GARI AINA HIYASIIII🙄

  • @kingsanya6860
    @kingsanya6860 Před 2 lety

    Wewe nenda tarime nying kuriko uko

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 Před 2 lety

    Mnaishije vumbi hilo ndio mana hamko tanzania Muko wapi vile ??

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 2 lety

    Nawaza hiyo probox na hali ya barabara za huko kigoma, matengenezo siyatakuwa yakila mara? ?

  • @rachelkasole8938
    @rachelkasole8938 Před 2 lety

    😆😆😆jmn