DSM GARI ZA BATA, KIGOMA ZA KAZI, UNAAMBIWA PROBOX KIGOMA ZINAITWA MCHOMOKO, “HADI MIZIGO TUNABEBA”
Vložit
- čas přidán 15. 08. 2021
- Inawekana kwa Mikoa mingine gari aina ya Probox ikawa inamatumizi mengine tofauti na gari aina hizi zinavyotumika kwa Mkoa wa Kigoma.
Ukifika Kigoma pengine ukiulizia Magari haya kwa jina la PROBOX unaweza usilipate kabisa, kwajina maarufu Kigoma wanaita MCHOMOKO gari lenye uwezo wakubeba abiria watano na mizigo mingi lakini inafaida kubwa kibiashara na mkombozi wa abiria.
Ukiona hivyo ujue kigoma iko juu , magari kwao Jambo la kawaida
PROBOX ....... Kwao ni KENYA zinabeba Miraa, binaadam, MBUZI, kila kitu
Kitambo xana tang niondoke pande izzo..Mungu nijalie afya niweze kurud tena mkoa wa kigoma axeee..
Karibu
Mimi yafika miaka 18 sasa nipite hayo maeneo , niko South Africa
Sio probox tu hata toyota wish lake zone ndio kazi yake
Sio hiasi my friend. Ni Hiace!
Mkoa wa mara maeneo ya nyamongo zinatumika sawa nahapo kigoma,wanaotumia kama gari za kutembelea ni wachache.
Hata mie cjui wanashangaa nn 7bu hizo ndo znabeba abiria Tarime
@@danielmkama24 yap
@@danielmkama24 kabisa yaan ukitka kuwai Sirari au Trime usafri wa fasta ni mchomokoo,daah nimemiss sana Sirariii
Hapo ni kazi kazi🔥🔥
Millard Ayo mpaka KSL nooma saana big up
Home hapo daaa umenikumbusha mbali Sana from Zanzibar
Njombe kitambo sana kaka, mpaka wakati wake umeisha, katambo sana
Safi
Dah! My home place
kweli kabisa magari kama hayo niya kazi
Daladala za Kenya, nazikubali sana
Nissan 😂😂😂
Kenya hayo magari ndo kazi zake hzo🙂
Hata Geita zinaitwa michomoko
Mzee nyumban hujiji nenda kafanye ntavyuu na Mzee mwibaizi akupe history ya kigoma ujiji yule Mzee mzawa
Hahaaàaaa hizi gari hata SIRARII- TARIME,RORYA,NYAMONGO NK kwa upande wa Tz, ISBANIA - MIGORI Kenya au Keanja zinatumika sana Sana'a zinaitwa hivyo hivyo mchomokaa nimemiss Tarimee daah, SIRARI TO Tarime buku 3000 tuu ndiyo maana boda ya Sirari,isbania imechngamka kuliko ya Namangaa,,
Hizo nazo ni gari za bata njoo geita migodini uone prado zinafanya kazi gani
Pigeni kazi
hizi uku njombe ni
tax To ama za kukatia majani ya nguruwe
Iyo IASI ndio HIACE au?
Ndio hivyo ni Hiace na sio IASI bro. Dogo kajimix kaisha kuwa mbembe.
Hata hvyo ni gari imara Sana zinadum
Gx 100 kigoma inabeba ndizi ukifika utashangaa
😆😆😆
Duh
Jaman mwenye namba ya huyo mtangazaji anisaidie ndg zang
Imenichukua muda kutambua ias ndio hiace
Hata huku kwetu nyamongo ndio daladala zetu
Wa Tarime 2juane apa
@@danielmkama24 hahaaa tupo hapaa
Jina la Mchomoko la kitambo sana miaka ya 90 kwa watu wa Kanda ya ziwa wanalijua, haswa watu wa Mara na Kagera ndio ulikuwa usafiri mkuu kwenda nje ya miji au vijijini. Lilianzia kwenye magari ya Peugeot. Kanda ya ziwa Probox ndio daladala sasa kwenda vijijini
Sio kigoma tuu
Sasa kama barabara ni lami kwanini gari ni chache no
umesaau kuuriza kwatajili wanapereka shingapi
Mchomoko kg# kasulu
kwetu kasulu
Oyoooo
Nikitaka kupata probox ya pesa kidogo kama 300000?
GARI AINA HIYASIIII🙄
Wewe nenda tarime nying kuriko uko
Mnaishije vumbi hilo ndio mana hamko tanzania Muko wapi vile ??
TZ bhana, mbona jiji la Dar ni hivyo hivyo tu, mfano Tandika - shida tu.
Huyu jamaaa fara
Wapi ww msenge kigoma mojb
Nawaza hiyo probox na hali ya barabara za huko kigoma, matengenezo siyatakuwa yakila mara? ?
😆😆😆jmn