Huu ndio muonekano wa Vanessa Mdee baada ya kufanya upasuaji wa jicho lake lililokuwa halioni

Sdílet
Vložit

Komentáře • 38

  • @Obedon.
    @Obedon. Před 11 dny +4

    god bless Sana Dada yetu ❤❤

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 Před 8 dny

    Waoo jamn nimefrai sana jamn alone tu❤

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 11 dny +1

    God is good

  • @sandrabahibitugu5267
    @sandrabahibitugu5267 Před 11 dny

    Hongera Dada❤❤❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 11 dny

    Pole na mungu akuponye haraka

  • @subiramsonge5129
    @subiramsonge5129 Před 8 dny +1

    Ni ndoto ya kila mwanamke kupata mwanaume kama rotimi ila waliopo ni akina bamboo wana shidooo 😂😂😂

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarlounge Před 10 dny

    god bless you vee money

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Před 11 dny +6

    Coz amepata mume mwema mcha mungu sio kama wanaume wengi wasanii wa hapa bongo

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 Před 11 dny +3

      Acha ujuwaji hivi unawajuwa wa popo? unayajuwa maisha ambayo v anaishi?

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney Před 11 dny +2

      Unajuwa mwanaume mchamung faiza????

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před 11 dny +1

      Umejuaje kama ni mcha Mungu?

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 Před 11 dny

      Acha kutupanga mcha Mungu yup😅😅 matatoo maheren kuzaa bila ndoa

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před 11 dny +1

      @@sosbrayantbenjamin9701 🤣🤣🤣🤣Ukiwa na hela hata kama ni jambazi malaya watakuita mcha Mungu

  • @ProsperUlungi
    @ProsperUlungi Před 11 dny +1

    Madhala ya kubandika kope

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 Před 11 dny +4

    Mpopo kagoma kumuoa hataki siku wakija kuachana wakagawane mali 😂😂 kazi kumzalisha tu yani wanaishi ugirlfriend na uboyfriend awaishi eti ni mume na mke kufuatana na sheria ya United States 🇺🇸 kama auna ndoa

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před 11 dny

      Sijakielewa Kiswahili chako

    • @anicyaedward6257
      @anicyaedward6257 Před 11 dny

      It's just matter of time atamuoa tu japo V hasingeanzq mzalia no mbili aiseee ndoa muhimu sana especially kwa v aliyesemaga kaachana na jux coz hawana ndoa 😢. But we pray for them ciz I love them ❤❤

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Před 11 dny

      Uchawi huo!!

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Před 11 dny

      😂🎉😂🎉😂🎉😂😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 Před 11 dny +1

      @@rumdeesonsoa1811😂😂😂 nyoko sana ww nimecheka eti sielw

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před 11 dny +1

    Ndoa lini au ni kuzalishwa tu...😂chezea wanigeria

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Před 11 dny +1

      Shida unaishi Karne ya 20 Bado unaamini mbaka leo kwamba ndoa ndo Kila kitu kwenye maisha?😃 Wazazi wangu wameishi pamoja miaka na miaka na Wala hawajaoana, ishu ni kuishi maisha ya amani na mtu unayempenda maswala ya ndoa Wala hayana umuhimu huo kwa Dunia ya Sasa Tena hasa kwa wenzetu

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Před 10 dny

      @@Oldskulgemini9991 si wazazi wako hao au?

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Před 10 dny

      @@agwalubifaridah7079 wanawake tegemezi siku zote ndo Huwa wanalilia ndoa wanawake wengi Saivi sio tegemezi wa maisha, wanawake ni wengi kuliko wanaume, wanaume hao hao pia Kuna ambao wameamua kuwa wanawake, wengine wameamua kuishi maisha ya playboy yani Hawaii na wengi wao wa hivyo ni wale walio na maisha mazuri zaidi, ndoa ni jambo jema lakini sio kitu cha kustua Tena kwa zama hizi za Sasa, wanawake wenzako wapo wengi ambao wanamaisha Yao mazuri na hawaitaki kusikia kuhusu ndoa. Tafiti zangu nilizofanya nimegundua wanawake wanaoongoza kulilia ndoa wengi hawana maisha wanaegemea mwanaume Aje amuoe kwake yeye ndo mafanikio Sasa maisha yenyewe ya Sasa haya ni magumu, ni ngumu Sana mwanaume kukubali kubeba mzigo wakati yeye mwenyewe anaona kabisa uhalisia wa maisha sio rafiki kwa sasa

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Před 10 dny

      @@agwalubifaridah7079 hao wanaweza wasioane na wakaishi maisha marefu Sana na Wala hakuna shida yeyote, maisha yanabadilika hatuishi kwa kukalili tunaishi na wakati

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před 10 dny +1

      @Oldskulgemini9991pole sanaaa broo sasa kwa taarifa yako dunia ya leo ndo inahitaji ndoa ili urasmi uwepo sku mkiachana ijulikane mchango wavile mlivopata kisha mgawane sasa ww endelea na umbulula wa 77 ukidhan ndo maisha..