Mpopo kagoma kumuoa hataki siku wakija kuachana wakagawane mali 😂😂 kazi kumzalisha tu yani wanaishi ugirlfriend na uboyfriend awaishi eti ni mume na mke kufuatana na sheria ya United States 🇺🇸 kama auna ndoa
It's just matter of time atamuoa tu japo V hasingeanzq mzalia no mbili aiseee ndoa muhimu sana especially kwa v aliyesemaga kaachana na jux coz hawana ndoa 😢. But we pray for them ciz I love them ❤❤
Shida unaishi Karne ya 20 Bado unaamini mbaka leo kwamba ndoa ndo Kila kitu kwenye maisha?😃 Wazazi wangu wameishi pamoja miaka na miaka na Wala hawajaoana, ishu ni kuishi maisha ya amani na mtu unayempenda maswala ya ndoa Wala hayana umuhimu huo kwa Dunia ya Sasa Tena hasa kwa wenzetu
@@agwalubifaridah7079 wanawake tegemezi siku zote ndo Huwa wanalilia ndoa wanawake wengi Saivi sio tegemezi wa maisha, wanawake ni wengi kuliko wanaume, wanaume hao hao pia Kuna ambao wameamua kuwa wanawake, wengine wameamua kuishi maisha ya playboy yani Hawaii na wengi wao wa hivyo ni wale walio na maisha mazuri zaidi, ndoa ni jambo jema lakini sio kitu cha kustua Tena kwa zama hizi za Sasa, wanawake wenzako wapo wengi ambao wanamaisha Yao mazuri na hawaitaki kusikia kuhusu ndoa. Tafiti zangu nilizofanya nimegundua wanawake wanaoongoza kulilia ndoa wengi hawana maisha wanaegemea mwanaume Aje amuoe kwake yeye ndo mafanikio Sasa maisha yenyewe ya Sasa haya ni magumu, ni ngumu Sana mwanaume kukubali kubeba mzigo wakati yeye mwenyewe anaona kabisa uhalisia wa maisha sio rafiki kwa sasa
@@agwalubifaridah7079 hao wanaweza wasioane na wakaishi maisha marefu Sana na Wala hakuna shida yeyote, maisha yanabadilika hatuishi kwa kukalili tunaishi na wakati
@Oldskulgemini9991pole sanaaa broo sasa kwa taarifa yako dunia ya leo ndo inahitaji ndoa ili urasmi uwepo sku mkiachana ijulikane mchango wavile mlivopata kisha mgawane sasa ww endelea na umbulula wa 77 ukidhan ndo maisha..
god bless Sana Dada yetu ❤❤
Waoo jamn nimefrai sana jamn alone tu❤
God is good
Hongera Dada❤❤❤❤
Pole na mungu akuponye haraka
Ni ndoto ya kila mwanamke kupata mwanaume kama rotimi ila waliopo ni akina bamboo wana shidooo 😂😂😂
god bless you vee money
Coz amepata mume mwema mcha mungu sio kama wanaume wengi wasanii wa hapa bongo
Acha ujuwaji hivi unawajuwa wa popo? unayajuwa maisha ambayo v anaishi?
Unajuwa mwanaume mchamung faiza????
Umejuaje kama ni mcha Mungu?
Acha kutupanga mcha Mungu yup😅😅 matatoo maheren kuzaa bila ndoa
@@sosbrayantbenjamin9701 🤣🤣🤣🤣Ukiwa na hela hata kama ni jambazi malaya watakuita mcha Mungu
Madhala ya kubandika kope
Alisemaga amepata ajali
Mpopo kagoma kumuoa hataki siku wakija kuachana wakagawane mali 😂😂 kazi kumzalisha tu yani wanaishi ugirlfriend na uboyfriend awaishi eti ni mume na mke kufuatana na sheria ya United States 🇺🇸 kama auna ndoa
Sijakielewa Kiswahili chako
It's just matter of time atamuoa tu japo V hasingeanzq mzalia no mbili aiseee ndoa muhimu sana especially kwa v aliyesemaga kaachana na jux coz hawana ndoa 😢. But we pray for them ciz I love them ❤❤
Uchawi huo!!
😂🎉😂🎉😂🎉😂😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂
@@rumdeesonsoa1811😂😂😂 nyoko sana ww nimecheka eti sielw
Ndoa lini au ni kuzalishwa tu...😂chezea wanigeria
Shida unaishi Karne ya 20 Bado unaamini mbaka leo kwamba ndoa ndo Kila kitu kwenye maisha?😃 Wazazi wangu wameishi pamoja miaka na miaka na Wala hawajaoana, ishu ni kuishi maisha ya amani na mtu unayempenda maswala ya ndoa Wala hayana umuhimu huo kwa Dunia ya Sasa Tena hasa kwa wenzetu
@@Oldskulgemini9991 si wazazi wako hao au?
@@agwalubifaridah7079 wanawake tegemezi siku zote ndo Huwa wanalilia ndoa wanawake wengi Saivi sio tegemezi wa maisha, wanawake ni wengi kuliko wanaume, wanaume hao hao pia Kuna ambao wameamua kuwa wanawake, wengine wameamua kuishi maisha ya playboy yani Hawaii na wengi wao wa hivyo ni wale walio na maisha mazuri zaidi, ndoa ni jambo jema lakini sio kitu cha kustua Tena kwa zama hizi za Sasa, wanawake wenzako wapo wengi ambao wanamaisha Yao mazuri na hawaitaki kusikia kuhusu ndoa. Tafiti zangu nilizofanya nimegundua wanawake wanaoongoza kulilia ndoa wengi hawana maisha wanaegemea mwanaume Aje amuoe kwake yeye ndo mafanikio Sasa maisha yenyewe ya Sasa haya ni magumu, ni ngumu Sana mwanaume kukubali kubeba mzigo wakati yeye mwenyewe anaona kabisa uhalisia wa maisha sio rafiki kwa sasa
@@agwalubifaridah7079 hao wanaweza wasioane na wakaishi maisha marefu Sana na Wala hakuna shida yeyote, maisha yanabadilika hatuishi kwa kukalili tunaishi na wakati
@Oldskulgemini9991pole sanaaa broo sasa kwa taarifa yako dunia ya leo ndo inahitaji ndoa ili urasmi uwepo sku mkiachana ijulikane mchango wavile mlivopata kisha mgawane sasa ww endelea na umbulula wa 77 ukidhan ndo maisha..