Video není dostupné.
Omlouváme se.

Hizi ndizo protocol za jeshi/polisi wa kuzuia Maandamano, Mbobezi aeleza kwa kina, itakufungua akili

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 49

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 Před měsícem +5

    Huyu jamaa ni askari huyuu😂😂 anajua sanaa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +8

    Dj smaa Yan tumeshiba Sana ...uyu askari katufungua akili kabisa..na katuelekeza vizuri Sana...safi dj smaa na uyo askari..nimemuelewa sana safi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +5

    Nayapenda ayo mambo Mimi jaman..Ili kujifungua akili... safiiiiiiiiiiiiiiiiii sana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před měsícem +7

    Vipindi Bora Sana hivi.... FUSE na GPS

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 Před měsícem +2

    Iki Ni Kipindi Pendwa Sana

  • @user-gu3ez2if8k
    @user-gu3ez2if8k Před měsícem +5

    Tanzania tuna police force hatuna police service ndo maana wakikukamata makofi mengi virungu vingi ila tungekuwa tuna police service km wakenya tungekuwa tunaandamana hata sisi

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před měsícem +1

      Acha kufuata hizo vitu za mitandao, nimeishi Kenya miaka 10 polisi akikukamata hujajitetea makofi, kuna mwamba alipigwa hadi kafa bila kusikilizwa. Tatizo la polisi ni everywhere on earth.

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před měsícem +2

    Super smaa,,,ila ingependeza ungempa nafasi zaid uyo broh aongee zaid ilikuwa nafasi chache chache sana ndo umulize

    • @djsma255
      @djsma255 Před měsícem +2

      Sawa, shida ukicha point ipite ukasubiri mbele unaisahau, na pia nikuwa tafsiria wasio na uelewa mzuri, ila nimepokea maoni

  • @user-gu3ez2if8k
    @user-gu3ez2if8k Před měsícem +4

    Uyo anaongea tyuu sio Kwa Tanzania hii ambayo askari police anapiga popotee pale

  • @princeyabili789
    @princeyabili789 Před měsícem +1

    I love it ❤100%

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před měsícem +2

    ❤djsma,sky,hell mwinuka,Ally masubi satute kwenu humu ndani kwenye channel wasikilizaji wako vizuri siku mwalikeni Yule mchambuzi anaitwa mlangi huwa anahojiwa na gangana

  • @Calis2451
    @Calis2451 Před měsícem +1

    Big up

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Před 9 dny

    Upo sahihi ndg unatupa elimu sana

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před měsícem +1

    Pamoja 🇴🇲

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 Před měsícem +1

    Mwamba kaeleza vzr

  • @user-gu3ez2if8k
    @user-gu3ez2if8k Před měsícem +2

    Kenya wakikukamata ni story nyingi huku unapandishwa kwny gari lao defender ila Kwa Tanzania ukikamatwa hakyanan utajuta maji utaita mma

  • @user-je6xm3zf3d
    @user-je6xm3zf3d Před měsícem

    🔥🔥🔥🔥

  • @sakitiyesse5973
    @sakitiyesse5973 Před měsícem

    Jamaa kaongea uhalisia wote

  • @eliyanibitanga4770
    @eliyanibitanga4770 Před měsícem +1

    10 10

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před měsícem +1

    Hata wale wanajeshi wa congo walio kimbia vita takribani wanajeshi thelathini wanehukumiwa kifo! Ni kweli kabisa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +2

    Dj smaa..uyo jamaa ni askari??mana naona nayeye anaelimisha vizur nayo

    • @zahorsuleyman7617
      @zahorsuleyman7617 Před měsícem +1

      Najibu kwa faida ya wengine,Huwezi kuelezea hayo kama sio askari,Hakuna msomi wakiwango chochote kile anae elewa hayo kama simuhusika,Huyo ni askari pia ni msomi/Yaani ni afsa wa rank yoyote Ile.

  • @kingnass6410
    @kingnass6410 Před měsícem

    Dj smaa asante kwa hii my question is ikitokea umepata nafasi ya kuingia kwenye maandamano utakubali kukitoa kile unachokiona kwenye maandamano?

  • @user-gu3ez2if8k
    @user-gu3ez2if8k Před měsícem +1

    Kwa Tanzania hakuna kitu km Iko aaaiiiisseee yaan wakikukamata ht hujafika kwny gari lao Tyr ushaiva Kwa makofi mengi na virungu vingi

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d Před měsícem

    Binafsi nimejifunza meengi sana lakini Kimsingi Hapa Bongo Askari Hawafuati kipengele hata Kimoja katika hivyo Wao hujiona wapo juu ya Sheria Baasi mPaka Yatokee mambo ya kiwazi wazi Sana kama lile la mwangosi ndo kunakuwa na Hukumu kama hiyo

  • @MosesMwakinunu
    @MosesMwakinunu Před měsícem +1

    I🎉

  • @urafikitv8458
    @urafikitv8458 Před měsícem

    Huyu mtangazaji ni very complicated si umwache msimuliaje awe huru wewe kazi yako ni kumuongoza msimuliaji

  • @Zaikadena
    @Zaikadena Před měsícem

    Acha porojo co kwa nchi hii ww uku police awafuati izo Sheria mzee

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před měsícem

    Dj Smaa mbona haja ongea about Mama Samia kuhusu IMF?
    Na pia budget ya 2024 iliyo pitishwa ndani yake kuna nini?
    Na ni kweli kuhusu Bandari kuchukuliwa?

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 Před měsícem

    DJ Sma hufai kum interview mtu axeh.
    Unaboa sana.
    Yan unamu interrupt mzungumzaji kwa ujuaji wako axeh.
    Em jifunze kwa Sky,
    Very calm japo anajua majibu ya mtu anayemhoji.

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 Před měsícem

    AK 47 (Kalashnikov ) ni salaha bora sana!

  • @ramadhaningulinga217
    @ramadhaningulinga217 Před měsícem

    Dj sma usichokijua sheria ya kumiliki silah akuruhusu kuiacha popote pale hivyo unaweza kwenda nayo kokokote no excuse 😢😢

    • @djsma255
      @djsma255 Před měsícem +1

      Hata nyumbani kwako kwenye safe huruhusuwi kuiacha?

  • @user-od8tg1yt3g
    @user-od8tg1yt3g Před měsícem +1

    tatizo dj sma unaongea sana muache mtu aelezee kwa kina ww unadakia

    • @djsma255
      @djsma255 Před měsícem +1

      Usisikilize

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Před měsícem +2

      Dj sma anauliza ili msikilizaji upate kuelewa kiundani zaidi.Ila watu wenye negative mind,hua hamkosi kutaka kusahihisha,hata sehem ambayo mtu hajakosea.

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassor Před měsícem +1

    Jmn tupeni link ya kujiunga group WhatsApp sbb wengi tunafatilia hii Chanel

    • @djsma255
      @djsma255 Před měsícem +1

      Number si ipo mwisho wa video kwenye maelekezo utqpata jinsi yakujiunga