MIMI MARS: LA LA,ALICHOFANYA VANESSA MDEE HATUKUTEGEMEA, KASEMA WATANZANIA WASUBIRI, SIMBA KWENYE DM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Ni kitambo kidogo Mimi Mars hajakaa kwenye EXCLUSIVE Interview na Millard Ayo, hizi ni dakika 26 za kufunguka kwa Mimi Mars kuhusu goma lake jipya la 'La la" lililovunja rekodi, kasimulia ilivyokuwa baada ya kwenda Atlanta kumsalimia Vanessa na Mtoto wake, Simba kwenye DM na mengine.

Komentáře • 141

  • @JupiterLoveAI
    @JupiterLoveAI Před 2 lety +29

    My favourite presenter! Can't afford to miss your interviews! Much love from Kenya.

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 Před 2 lety +7

    Millard hakuna kama wewe.. big up broo🥰🥰🔥

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 2 lety +6

    Mimimars na vee money 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘ma fav pretty girls

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Před 2 lety +8

    Tunampenda maria wetu 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 Před 2 lety +4

    Unacheka kama kimkadashian
    Mariiia wa jua kali binti wa Yesu 😊love you so much sister you are international figure

  • @shekinahmurhububa7980
    @shekinahmurhububa7980 Před 2 lety +4

    You speak verywell.i usually views your interviews.
    You're professional.
    You make even your guest comfortable.i like that upp she feels safety around you.
    Watching 👀from Sweden🇸🇪.I like that.well done men

  • @dlinecydoris8916
    @dlinecydoris8916 Před 2 lety +1

    Jaman kaka Millard unaijua kazi yako vizuri jaman💕
    Mimi mars ur ma fav musician ever🤍

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 Před 2 lety +5

    Millard hongera mno, unajua broo

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 Před 2 lety +3

    Minmars nampenda muda wote anacheka 💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @veronicaLuoga-vl2id
    @veronicaLuoga-vl2id Před 27 dny

    Your like your sister we love you mimimars always your are good like your sis*** v
    Congrats........

  • @bahatimwakilima3273
    @bahatimwakilima3273 Před 2 lety +5

    Uko vzr mno ktk kazi yako Allah akutunze Milard

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před 2 lety +7

    My favorite Mimi Mars ❤️❤️❤️

  • @safari23
    @safari23 Před rokem

    The lady is absolutely gorgeous

  • @majdimpaka1079
    @majdimpaka1079 Před 2 lety +9

    Appreciate Millard ayo

  • @salomeezekiel5985
    @salomeezekiel5985 Před 2 lety +11

    Jaman nampenda Sana minmars
    Ulitisha Sana kwenye jua kali
    Na napenda Sana nyimbo yaKo ya mua ni🔥

  • @malengawaburudani
    @malengawaburudani Před 2 lety +7

    Professionalism na creativity ndo kitu nakipenda kwenye interviews zako kitu ambacho kimeniinspire sana katika kazi sana .Zidi kupiga kazi safi, love nyingi kutoka 254 Kenya

  • @ashatimo4666
    @ashatimo4666 Před 2 lety +4

    Goooooooood ayo

  • @alimungamunga2277
    @alimungamunga2277 Před 2 lety +3

    Mimi Mars l love you so much

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Před 2 lety +6

    Beautiful girl damn❤️

  • @eddalazaro9088
    @eddalazaro9088 Před 2 lety +8

    Nampenda sana huyu dada❤️❤️

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 Před 2 lety +13

    can't miss mallard interviews from 254

  • @saidkuwingwa485
    @saidkuwingwa485 Před 2 lety +12

    Millard anajua sana kumfanya mtu kuwa confortable sana kwenye interview inamfanya mtu afunguke zaidi na hata kama kuna kitu mtu hataki kuweka wazi anajitahidi kumpa privacy yake bila kumforce huyu jamaa ni level nyingine

  • @gibsonmuniha9909
    @gibsonmuniha9909 Před 2 lety +14

    Mazee Ayo we hunibamba sana na interviews zako, much love from Westlands Nairobi.

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 2 lety +4

      pamoja sana mpaka mwisho Gibson ! peleka salam kwa Watu wangu wa Westlands

    • @carolineotieno8154
      @carolineotieno8154 Před 2 lety +1

      Mwambie wakenya tunampenda Sana

  • @ilhammohammed4192
    @ilhammohammed4192 Před 2 lety +3

    Waw nawependa sn hii Familiar ya kina Venessa jmn...😘😘😘😍😍😍Nakubali Interview zko Bruh wng

  • @mrpaulbinezekiel110
    @mrpaulbinezekiel110 Před 2 lety +8

    Ayo uko vzr kwa interview zako nakufatiliaga sana..

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Před 2 lety +2

    Mimi nakupendeni sana jmn nyie watu! Big up mirad ayo hata sijutiag kumaliza zangu MB ktk Chanel yko . Wafanya vitu kwa usahihi mno na wala hukurupuk.

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Před 2 lety +1

    Waooh nemeenjoy

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Interview ya kizazi sana brother Millard 👍

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    NAPENDA SANA KAZI ZAKO BROTHER MILLAND AYO ILA MIMI MARS NIMZURI SANA TENA SAAANA. 🇰🇪🇨🇿

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Před 2 lety +3

    So much love from Tanganyika

  • @kellenalex6231
    @kellenalex6231 Před 2 lety +6

    😊mashaallah jamani 🥰

  • @winnyngugi7066
    @winnyngugi7066 Před 2 lety +5

    Wooow...I love de interview😂😂Millard I say ure de best...napenda interview zako sana...God bless u man🙏love u from Kenya❤️❤️

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 2 lety

      Muchlove kwako Winny !! shukrani sana, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @seifkhan9519
    @seifkhan9519 Před 2 lety +2

    I like her

  • @wechetalkshow
    @wechetalkshow Před 2 lety +2

    Ayo Mimi hufurahia sana vipindi vyako.

  • @dottoluhanya4684
    @dottoluhanya4684 Před 2 lety +1

    Nice

  • @gracepius1102
    @gracepius1102 Před 2 lety +2

    nmefurah kukuona Millard bt nmemmis vido❤

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 2 lety +1

      Asante Grace, yupo sana mchek kwenye playlist ya HABARI ZA MASTAA kajaa tele

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 Před 2 lety +3

    Safe sound

  • @matronamshanga3642
    @matronamshanga3642 Před 2 lety +2

    Watching from 🇱🇷🇱🇷.

  • @zuuqueenhilson3135
    @zuuqueenhilson3135 Před 2 lety +2

    Kali sn

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 Před 2 lety +4

    Tunaooshi huku... Tunamiss sana sana tena sana vyakula vya bongo aisee

  • @mwajumampwemwende7143
    @mwajumampwemwende7143 Před 2 lety +1

    Interview zako bro nitamu sanaaaa,,,,,,,,

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 Před 2 lety +6

    Mimi mars chuga queen

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 Před 2 lety +2

    Nimependa sna kka ulivyo jibu comment za wadau wako. Hongera sna, nakukubali Millard Ayo

  • @bronzejeru2814
    @bronzejeru2814 Před 2 lety +3

    Tupo Asia tunakuwakilisha mama

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety +5

    Awoooooooooote!!! 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @edinanoel6151
    @edinanoel6151 Před rokem +1

    Ila milard😂

  • @doreenkihampa7204
    @doreenkihampa7204 Před 2 lety +3

    Noma Sana brother pongezi kwa hii manzi💪hatushindwi sisi❤️

  • @user-cq6jc6rq1l
    @user-cq6jc6rq1l Před rokem

    Murembo ❤❤❤

  • @SaraMAVE-jt2mx
    @SaraMAVE-jt2mx Před 7 měsíci

    Namu penda sana mimi mars kutoka kongo

  • @omanmobile5746
    @omanmobile5746 Před 2 lety +2

    Nampenda sana huyu dada jmn nikirudi tz nitamsaka tupige hata picha❤❤❤❤

  • @jacklinesuwi7646
    @jacklinesuwi7646 Před 2 lety +2

    Millard comment yako pliz🥰🥰🥰

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Před 2 lety +1

    Upo vizur kaka hongra akunaga kama wew

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 Před 2 lety +3

    Ayo unanikosha sana nahiyo sauti Yako ya zege nakukubali sana big

  • @ericklyimo131
    @ericklyimo131 Před 2 lety +10

    Big up interview ✊✊✊

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 2 lety +4

    Amazing interview 👌🏽

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g Před 4 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Před 2 lety +3

    Mimi Mars mdogo angu wa damu ujue!mpare mwenzangu na wa Ar mwenzangu nakupendaaa dogo

  • @SHADRICKSHABANI
    @SHADRICKSHABANI Před 6 měsíci

    🤝

  • @todaysnewton4104
    @todaysnewton4104 Před 2 lety +2

    Contact zako Millard naziomba kna jambo

  • @AdenBoySuline-zm9if
    @AdenBoySuline-zm9if Před 10 měsíci

    Let's enjoy 🙌😂

  • @glorysamola1151
    @glorysamola1151 Před 2 lety +3

    Wa kwanza leo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 2 lety +1

      hongera sana kwa kuwa wa kwanza kutazama Glory, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 Před 2 lety +3

    Kweli huyu ni crush wa millad

  • @gracejengo1344
    @gracejengo1344 Před 2 lety +1

    Millard.. nimesikiliza.. Moyoni kimoyo kama umemdondokea Mimimars Vileeee 😂🤭Nisamehe lakini....

  • @wansibho554
    @wansibho554 Před 2 lety +2

    Watching all the way from China, Interview safi💥

  • @peninajulius8861
    @peninajulius8861 Před rokem +2

    Millard ulikuwa unampenda sana Vanessa( rafiki) umemuulizia kama mtu uliyemmiss sana

  • @queensiku
    @queensiku Před 2 lety +1

    🔥🔥

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 Před 2 měsíci

    Ilibidi nirudi kuangalia iyo nymbo kwnz😅 kweli bhana mdundo ni wa ukwee kabsa

  • @cyriln191
    @cyriln191 Před 2 lety +2

    Kidizain Millard unamipango hapa.

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Před rokem

    I just loved the way she talked she very nice and I wish I can get a sister like her to be honest 👌🥰🥰🥰🥰♥️♥️❤️🌹💋🔥

  • @renathaboniphace8524
    @renathaboniphace8524 Před 2 lety +1

    ❤❤

  • @lilyelisante5635
    @lilyelisante5635 Před 2 lety +1

    🥰

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 2 lety +3

    Millard nipe namba yako

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 Před 2 lety +5

    Ila mimi Mars ni mzur balaa
    Hilo pini la lala nimelikubal
    Interview ya kibabe 🙌💪

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 2 lety

      Asante kwa kutazama Kefa, pamoja mpaka mwisho !

  • @dariokisitu9134
    @dariokisitu9134 Před rokem +1

    ayo ni levo za mbere kabisaa

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 Před 2 lety +2

    Amshuru Mario tu haijawahi kufanya nyimbo kama hii bila Mario kiukweli Mario anahote mashaili nimusanii WA kisasa kila ngombo afafanyalo noma.......... Naogopa na armo noma

  • @bigirumanalululouise4540

    ❤️❤️❤️

  • @happynessgodfrey9936
    @happynessgodfrey9936 Před 2 lety +1

    🥰🥰

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 2 lety +2

    Mery..wa lukasi

  • @saidhamis4120
    @saidhamis4120 Před 2 lety +4

    Mars mbna kama anaruka viunzi sana😂😂😂😂😂

  • @accuratehallunaire8541
    @accuratehallunaire8541 Před 2 lety +1

    Kuikagua simu ya mtu ulie naye kwny mahusiano ni kulazimisha kutafta sabab za kuachana., kwnn ujihangaishe kuztafta km kwl unampenda, pia ikiwa hajaonesha dalil za kutotaka kuendelea na ww?

  • @zebakimuzic
    @zebakimuzic Před 2 lety +4

    Hujawahi kuniangusha milady ayo🤬🤬🤬🤬

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 Před 2 lety +2

    Mwanangu Amanda in NY na yeye Anasema wabongo na yeye hawaendani... Naelewa na huyu binti kabisaa...

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Před rokem

    Hiv watumnajua huyu dada ni kama Miladi

  • @victorburetta2972
    @victorburetta2972 Před 2 lety +2

    💪💪

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 2 lety +4

    Huyu mtt mzuri kuliko dada yake

  • @hadijajaphari4550
    @hadijajaphari4550 Před 2 lety +3

    Wapili...hahahaaaa

  • @doricedaniel3563
    @doricedaniel3563 Před rokem

    Sikuwahi kumfuailia huyu dada kwenye mziki ila sasa namuangalia kwenye jua kali ndo nimeanz kumfuatilia vizur duh unaniacha hoi sana binti mlokole 😂😂😂

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Před 2 lety +3

    Millard iyo tano mliyopeana ni sign ya freemason msipende kuitumia mtajikuta pabaya bila kujua,ushauri tu

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 Před 2 lety +4

    Mimi mars usiseme kupata mtto bado ufikirie now unamiaka mingapi usije ukamlea mtto uzeeni

    • @vanessarobyn4584
      @vanessarobyn4584 Před 2 lety +2

      Jaman ebu muacheni huyu binti anaukubwa upi jamani umri wake ata miaka 29 bado jamani du TZ

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před 2 lety +3

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před 2 lety +1

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @Quee2662
      @Quee2662 Před 2 lety +7

      Haaaa we uliezaa mapema umefaidi nn acheni ushamba kuzaaa kuzaa ukizaaa wewe inatosha

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Před 2 lety +5

    Uzuri mzuri ila wa mbele 😁😁

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Před 2 lety

      Umemaanisha nini my dear

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 Před 2 lety

      @@swaumdodoma7591 bongo bahati mbaya

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Před 2 lety

      @@miriamwinston9908 😁😁😁😁shoga au wewe umemuelewa unielewesheee

    • @omanmobile5746
      @omanmobile5746 Před 2 lety

      Acha roho mbaya nyoko wewe.kwani bi harusi anapambwa nyuma😏😏😏😏kuma nyoko tena koma kabisa

    • @musason1680
      @musason1680 Před 2 lety

      🤣🤣🤣

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Před 2 lety +3

    Mimi mars bhana anahisi atapata dili kama la dada ake

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Před 2 lety +3

    😆😆😆😆