MIMI MARS: LA LA,ALICHOFANYA VANESSA MDEE HATUKUTEGEMEA, KASEMA WATANZANIA WASUBIRI, SIMBA KWENYE DM
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Ni kitambo kidogo Mimi Mars hajakaa kwenye EXCLUSIVE Interview na Millard Ayo, hizi ni dakika 26 za kufunguka kwa Mimi Mars kuhusu goma lake jipya la 'La la" lililovunja rekodi, kasimulia ilivyokuwa baada ya kwenda Atlanta kumsalimia Vanessa na Mtoto wake, Simba kwenye DM na mengine.
My favourite presenter! Can't afford to miss your interviews! Much love from Kenya.
pamoja mpaka mwisho Doreen ! muchlove 254
Q
Nice one❤❤ brother
Millard hakuna kama wewe.. big up broo🥰🥰🔥
Mimimars na vee money 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘ma fav pretty girls
Tunampenda maria wetu 🥰🥰🥰🥰🥰
Unacheka kama kimkadashian
Mariiia wa jua kali binti wa Yesu 😊love you so much sister you are international figure
You speak verywell.i usually views your interviews.
You're professional.
You make even your guest comfortable.i like that upp she feels safety around you.
Watching 👀from Sweden🇸🇪.I like that.well done men
Jaman kaka Millard unaijua kazi yako vizuri jaman💕
Mimi mars ur ma fav musician ever🤍
Millard hongera mno, unajua broo
Minmars nampenda muda wote anacheka 💞💞💞💞💞💞💞💞
Your like your sister we love you mimimars always your are good like your sis*** v
Congrats........
Uko vzr mno ktk kazi yako Allah akutunze Milard
Amen, asante sana Bahati
My favorite Mimi Mars ❤️❤️❤️
asante kwa kutazama Maryam !!!
The lady is absolutely gorgeous
Appreciate Millard ayo
shukrani Majdi, pamoja sana mpaka mwisho
Jaman nampenda Sana minmars
Ulitisha Sana kwenye jua kali
Na napenda Sana nyimbo yaKo ya mua ni🔥
Professionalism na creativity ndo kitu nakipenda kwenye interviews zako kitu ambacho kimeniinspire sana katika kazi sana .Zidi kupiga kazi safi, love nyingi kutoka 254 Kenya
I agree with you
asante sana Malenga, tuko pamoja mpaka mwisho
@@millardayoTZA karibu, zidi kusukuma kazi
Goooooooood ayo
Mimi Mars l love you so much
Beautiful girl damn❤️
Nampenda sana huyu dada❤️❤️
asante kwa kutazama Edda !!
can't miss mallard interviews from 254
muchlove Doreen ! tuko pamoja mpaka mwisho
Millard anajua sana kumfanya mtu kuwa confortable sana kwenye interview inamfanya mtu afunguke zaidi na hata kama kuna kitu mtu hataki kuweka wazi anajitahidi kumpa privacy yake bila kumforce huyu jamaa ni level nyingine
asante sana Saida, pamoja mpaka mwisho
@@millardayoTZA😊
Mazee Ayo we hunibamba sana na interviews zako, much love from Westlands Nairobi.
pamoja sana mpaka mwisho Gibson ! peleka salam kwa Watu wangu wa Westlands
Mwambie wakenya tunampenda Sana
Waw nawependa sn hii Familiar ya kina Venessa jmn...😘😘😘😍😍😍Nakubali Interview zko Bruh wng
Ayo uko vzr kwa interview zako nakufatiliaga sana..
Shukrani Paul, tuko pamoja mpaka mwisho
Mimi nakupendeni sana jmn nyie watu! Big up mirad ayo hata sijutiag kumaliza zangu MB ktk Chanel yko . Wafanya vitu kwa usahihi mno na wala hukurupuk.
Waooh nemeenjoy
Interview ya kizazi sana brother Millard 👍
NAPENDA SANA KAZI ZAKO BROTHER MILLAND AYO ILA MIMI MARS NIMZURI SANA TENA SAAANA. 🇰🇪🇨🇿
pamoja sana Ndugu yangu
So much love from Tanganyika
pamoja sana mpaka mwisho Mary
😊mashaallah jamani 🥰
asante kwa kutazama Kellen
Wooow...I love de interview😂😂Millard I say ure de best...napenda interview zako sana...God bless u man🙏love u from Kenya❤️❤️
Muchlove kwako Winny !! shukrani sana, tuko pamoja mpaka mwisho
I like her
Ayo Mimi hufurahia sana vipindi vyako.
Nice
nmefurah kukuona Millard bt nmemmis vido❤
Asante Grace, yupo sana mchek kwenye playlist ya HABARI ZA MASTAA kajaa tele
Safe sound
Watching from 🇱🇷🇱🇷.
🙌 🙌 🙌
Kali sn
Tunaooshi huku... Tunamiss sana sana tena sana vyakula vya bongo aisee
nadili na wingstop tu upande huo
Interview zako bro nitamu sanaaaa,,,,,,,,
Mimi mars chuga queen
Nimependa sna kka ulivyo jibu comment za wadau wako. Hongera sna, nakukubali Millard Ayo
Tupo Asia tunakuwakilisha mama
Awoooooooooote!!! 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Ila milard😂
Noma Sana brother pongezi kwa hii manzi💪hatushindwi sisi❤️
au sio au sio 👊🏿
Murembo ❤❤❤
Namu penda sana mimi mars kutoka kongo
Nampenda sana huyu dada jmn nikirudi tz nitamsaka tupige hata picha❤❤❤❤
Ni mdogo wake huyo sio vanessa
@@rizoibrahimovich8217 oooh kumbe shukrani brother❤❤❤
Millard comment yako pliz🥰🥰🥰
Upo vizur kaka hongra akunaga kama wew
Ayo unanikosha sana nahiyo sauti Yako ya zege nakukubali sana big
pamoja sana Hamza, shukrani
Big up interview ✊✊✊
👊🏿👊🏿
Amazing interview 👌🏽
pamoja sana Faudhia
❤❤❤❤
Mimi Mars mdogo angu wa damu ujue!mpare mwenzangu na wa Ar mwenzangu nakupendaaa dogo
🤝
Contact zako Millard naziomba kna jambo
Let's enjoy 🙌😂
Wa kwanza leo
hongera sana kwa kuwa wa kwanza kutazama Glory, tuko pamoja mpaka mwisho
Kweli huyu ni crush wa millad
Millard.. nimesikiliza.. Moyoni kimoyo kama umemdondokea Mimimars Vileeee 😂🤭Nisamehe lakini....
Watching all the way from China, Interview safi💥
muchlove Wansibho !
Millard ulikuwa unampenda sana Vanessa( rafiki) umemuulizia kama mtu uliyemmiss sana
🔥🔥
Ilibidi nirudi kuangalia iyo nymbo kwnz😅 kweli bhana mdundo ni wa ukwee kabsa
Kidizain Millard unamipango hapa.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nyoosha maelezo
I just loved the way she talked she very nice and I wish I can get a sister like her to be honest 👌🥰🥰🥰🥰♥️♥️❤️🌹💋🔥
❤❤
🥰
Millard nipe namba yako
Ila mimi Mars ni mzur balaa
Hilo pini la lala nimelikubal
Interview ya kibabe 🙌💪
Asante kwa kutazama Kefa, pamoja mpaka mwisho !
ayo ni levo za mbere kabisaa
Amshuru Mario tu haijawahi kufanya nyimbo kama hii bila Mario kiukweli Mario anahote mashaili nimusanii WA kisasa kila ngombo afafanyalo noma.......... Naogopa na armo noma
❤️❤️❤️
🥰🥰
Mery..wa lukasi
Mars mbna kama anaruka viunzi sana😂😂😂😂😂
umeona sio 😁
Kuikagua simu ya mtu ulie naye kwny mahusiano ni kulazimisha kutafta sabab za kuachana., kwnn ujihangaishe kuztafta km kwl unampenda, pia ikiwa hajaonesha dalil za kutotaka kuendelea na ww?
Hujawahi kuniangusha milady ayo🤬🤬🤬🤬
Mwanangu Amanda in NY na yeye Anasema wabongo na yeye hawaendani... Naelewa na huyu binti kabisaa...
Hiv watumnajua huyu dada ni kama Miladi
💪💪
Huyu mtt mzuri kuliko dada yake
Wapili...hahahaaaa
pamoja mpaka mwisho Hadija
Sikuwahi kumfuailia huyu dada kwenye mziki ila sasa namuangalia kwenye jua kali ndo nimeanz kumfuatilia vizur duh unaniacha hoi sana binti mlokole 😂😂😂
Millard iyo tano mliyopeana ni sign ya freemason msipende kuitumia mtajikuta pabaya bila kujua,ushauri tu
We umejuaje dear
Mimi mars usiseme kupata mtto bado ufikirie now unamiaka mingapi usije ukamlea mtto uzeeni
Jaman ebu muacheni huyu binti anaukubwa upi jamani umri wake ata miaka 29 bado jamani du TZ
@@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake
@@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake
Haaaa we uliezaa mapema umefaidi nn acheni ushamba kuzaaa kuzaa ukizaaa wewe inatosha
Uzuri mzuri ila wa mbele 😁😁
Umemaanisha nini my dear
@@swaumdodoma7591 bongo bahati mbaya
@@miriamwinston9908 😁😁😁😁shoga au wewe umemuelewa unielewesheee
Acha roho mbaya nyoko wewe.kwani bi harusi anapambwa nyuma😏😏😏😏kuma nyoko tena koma kabisa
🤣🤣🤣
Mimi mars bhana anahisi atapata dili kama la dada ake
😆😆😆😆