Pogba amuambia haya Diamond baada ya kuungana naye kuishangilia Ufaransa kwenye mechi yake na Ureno!

Sdílet
Vložit

Komentáře • 91

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před 18 dny +16

    Diamond big up for putting us kenyan on the world map

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk Před 18 dny +14

    Mi ni mtanzania lakini kusema ukweli Daimond plutnum anapendwa sana 254.

  • @emmanuelnyakunga8320
    @emmanuelnyakunga8320 Před 18 dny +12

    Diamond ft Pogba coming Soon.😂

  • @Pemba680
    @Pemba680 Před 18 dny +12

    Musimfananishe Simba na vitu vya ajabu ajabu

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 Před 18 dny +14

    HUYU MWAMBAA NOMAAA 🎉🎉ASIMBAAA

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b Před 18 dny +3

    Majini ya Harmonize hawatoshi kwa Simba la Masimba😅😅😅😅😅

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo Před 18 dny +16

    Simba na wanawe

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před 18 dny +2

    Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8p Před 18 dny +21

    We mmakonde haujui me Simba la masimba dangote

  • @stanslausjohn8791
    @stanslausjohn8791 Před 18 dny +23

    Diamond ni jitu la mafanikio tu Wakat yule Mlapanya harmonize ni jitu la majungu

    • @user-hk2oz2eg4j
      @user-hk2oz2eg4j Před 18 dny +2

      Mwenye roho mbaya hapati mafanikio.

    • @ianbryse1417
      @ianbryse1417 Před 17 dny +1

      😂😂😂😂 ulishaona wap mmakonde kafika ulaya 😂

  • @LihogosaMicrocredit-n7y

    Pogba to be bunned from Football for long term
    This is the European strategies
    To underrate the African players in highest platfom to the world you will understand me in 2030

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 Před 17 dny

    Simba much respect 🔥🔥

  • @bingobilaly7808
    @bingobilaly7808 Před 18 dny +3

    Internet iko bzy na kenya sisi tunakomboa inch tuko busy

  • @DjsmokyUrban
    @DjsmokyUrban Před 18 dny +5

    Haikua uvue nguo sahio....😮ni swala la baadae...

  • @wartv730
    @wartv730 Před 18 dny +2

    Ommy dimpoz na wanyama , ommy dimpoz na Ronaldo ommy dimpoz na wayne Rooney

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cx Před 18 dny +5

    ❤❤❤❤

  • @LihogosaMicrocredit-n7y

    Hizi, ni mbinu za Wazungu kuwaondoa ktk reli wachezaji wa Kiafrika na wenye asili ya Afrika. Mtanielewa 2030

  • @CristianiMamboleo-j8d
    @CristianiMamboleo-j8d Před 18 dny +8

    Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Před 18 dny

      Acha Shobo we mkenya diamond ni Mtanzania 😅

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před 18 dny

      ​@@saleemsuleiman2220Kama wanamtaka bora wawe wanasema anaiwakilisha vyema EAST AFRICA hapo tutawaelewa😂😂

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Před 18 dny

      @@rosemahenge9071 wajinga sana hawajui hata kujificha kwenye kichaka 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před 18 dny +1

      @@saleemsuleiman2220 🤣🤣tuwazoee tu majirani zetu vizuri vyote vya kwao

  • @user-ix1zs6gm1b
    @user-ix1zs6gm1b Před 18 dny +5

    Numba moja

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan5968 Před 18 dny +5

    wa kwanz npw lik

  • @omarkatesh3299
    @omarkatesh3299 Před 18 dny +1

    Sio makonde ana hangaika na wanawake wenye matako tanzania kuwa valisha pete daily.

    • @RoyaltyFamily-nk2km
      @RoyaltyFamily-nk2km Před 17 dny

      Sio wanawake tu bali ni wanawake wenye matako makubwa😂😂😂

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před 16 dny

    Bgp simba diamond platnumz

  • @clementrobert-s5s
    @clementrobert-s5s Před 17 dny

    Simba🙌🙌

  • @avitrujweka2113
    @avitrujweka2113 Před 17 dny +1

    👑🤴🦁🔥🌎🔥

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Před 18 dny

    Big 👆 sanaa mond usije bongo zarau

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi Před 18 dny +1

    Balaaaa

  • @ericnzaro9138
    @ericnzaro9138 Před 18 dny +1

    Asante sana diamond kwa kuipeperusha bendera yetu ya kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @adambakari9276
    @adambakari9276 Před 17 dny

    Kukutana na mtu sio kwamba ndo kuunga urafiki😂 mnaweza kukutana mkapiga story kisha kila mtu akala 50 zake ommy dimpo alienda had OT akakutana na wachezaji kibao wa man u na akampa de gea jez ya taifa mbona hamku liongelea saaaama

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Před 17 dny

    😂😂😂 kwauo mtepesho.

  • @SaidTsuma-je8dv
    @SaidTsuma-je8dv Před 18 dny

    simbaa 🔥🔥🔥

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Před 16 dny

    Sasa Popobawa sasa hivi ana ustar gani bhana

  • @IbrahStaneliy
    @IbrahStaneliy Před 18 dny

    Simba❤❤❤❤❤❤

  • @JemimaNyange-si8cr
    @JemimaNyange-si8cr Před 18 dny

    Simba for life

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt Před 18 dny +1

    Wabongo bana bado sana😂 kupiga picha tuu ishakuwa trending

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 Před 18 dny

      na w kapige kama n rahis

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 18 dny

      @@exaverysimon1064 sina ushamba huo!na ningekuwa nao ningesha jaza cm mana kazi yangu nakutana kila mtu maarufu

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm Před 17 dny

    Simbaa

  • @godluckgmanartist-ju7jp

    Simba ni simba tu wacha waongee endelea kupasua mawingu mwamba wa Tanzanian🎉

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Před 18 dny

    Pogba aside akamuahalibu kijana wetu kwa madawa😂

  • @justnice8156
    @justnice8156 Před 18 dny

    Kumbee walikuwa club

  • @leeheyon
    @leeheyon Před 18 dny +3

    no way Pogba juju 😂

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Před 18 dny

    Atafuta kiki uyoo kalipa pesa ili mradi atume video kakutana na pogba 😂😂😂

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před 18 dny +3

    Sasa iyo duza ya nini mondi nae mkurugenzi wa ovyo sana huyu 😂😂

  • @japhetsilungwe4719
    @japhetsilungwe4719 Před 18 dny +1

    Mvuta unga mwenzake

  • @user-wi2sk8uj5s
    @user-wi2sk8uj5s Před 18 dny +1

    Diamond is a Kenyan artist big up bro endelea kutuwakilisha sisi

  • @Abby_Shawn_KE
    @Abby_Shawn_KE Před 18 dny

    😂😂msichokijuwa Brotherhood inamaanisha undugu na umoja ambayo jina jinginie ni Freemason, sio ajabu kumuona mchoma mkaa hapa kwetu amekaa na Rick Ross,

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Před 18 dny

    Ommy dimpoz ndio baba yao

  • @humbleshoal
    @humbleshoal Před 18 dny

    Jamani kwan diamond anavuta unga?

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Před 18 dny +1

    Harm majung t vichek vy bange

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru Před 18 dny +3

    Paul pogba kwasasa ni kama chokora hana chochote 😅😅😅

    • @DjsmokyUrban
      @DjsmokyUrban Před 18 dny +1

      Kamshike kalio😮

    • @BraveMajaliwa-gf7ru
      @BraveMajaliwa-gf7ru Před 18 dny

      @@DjsmokyUrban hahaha 😆 😂 🤣 kama mashabiki tukimuona diamond platnumz ba Paul pogba tunaona wanatengeneza team ya umalaya tu ila kwa brand ya maana never 😆 😂 🤣

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r Před 18 dny +2

    Nmambo ykawaida acheniii ujing mtu wenu Yuko na sifaa

  • @JeanMalilo
    @JeanMalilo Před 18 dny +5

    Wana huziana dawa za kulevya

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 18 dny +8

    Washirikina wamekutana

  • @its_khalidy_46
    @its_khalidy_46 Před 18 dny +2

    Sasa na hii ni habari!?? Pogba mwenyewe jobless apo majobless wamekutana!😂

    • @prudentjm3039
      @prudentjm3039 Před 18 dny +3

      We mwenye kaz hebu nenda Dubai kale bata uwafundishe maisha hao jobless 😂😂

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p Před 18 dny +2

      Mbn masikini huwaga mnachuk sana 😂😂😂

  • @espoiraklonda8664
    @espoiraklonda8664 Před 18 dny +2

    watanzania mnapenda kutia kakitu kadogo mkalete kama vile ni vitu vikubwa hakuna mtu ambaye anaongea na watu vizuri hapa ufaransa kama huyo jamaa pogba na anaingia mara nyingi sana tu ni vitu vya kawaida hakuna kitu cha ajabu hapo

    • @AcksunBonifas-mj2sw
      @AcksunBonifas-mj2sw Před 18 dny +2

      mondi mkariiiiiiiiiiii❤❤❤😂

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p Před 18 dny +2

      Kama n rahisi kaongee naye na wewe 😂😂😂au kistuli mwenzio akaongee naye#lamasimba forever

    • @hirizonetz9558
      @hirizonetz9558 Před 18 dny +2

      Mpeleke baba Yako akaongee nae Kama ni kawaida tu

    • @ramayonline2281
      @ramayonline2281 Před 18 dny +1

      Nasubiria kuona video yko ukiongea na Pogba kama ni rahic 😂😂😂

  • @CristianiMamboleo-j8d
    @CristianiMamboleo-j8d Před 18 dny +9

    Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi

  • @CristianiMamboleo-j8d
    @CristianiMamboleo-j8d Před 18 dny +6

    Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi

  • @CristianiMamboleo-j8d
    @CristianiMamboleo-j8d Před 18 dny +2

    Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi