Tanzania yachaguliwa kuwa nchi ya kwanza Afrika kufanya filamu na Korea Kusini

Sdílet
Vložit

Komentáře • 66

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Před měsícem +6

    Idris anajueleza vizuri sana❤

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 29 dny +5

    Ingekuwa kiswahili angeongea Steven Nyerere 😎😎

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před měsícem +8

    Hongera kwa Idris Sultan kuchapa kingereza swafi. Wasanii wajifunze lugha inasaidia hata kusaini mikataba

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Před měsícem +1

    ❤❤Idris sounded really good

  • @Babyzay178
    @Babyzay178 Před měsícem +2

    Wemasepetu wangu mimi 🥰 🥰 🥰

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam818 Před 29 dny +2

    Woooooow❤❤sarang hae

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před 29 dny +1

    Wema sepetu and idriss sultan loves

  • @vero57
    @vero57 Před 29 dny

    Well done, indrisa 👌👊👏🇹🇿🇹🇿

  • @mohamedlegacy255
    @mohamedlegacy255 Před 29 dny

    Itaewoon class is also my favorite kdrama❤

  • @user-qk7bn8dj4z
    @user-qk7bn8dj4z Před 28 dny

    Broo unawezaaaa

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 Před měsícem +1

    Tanzania itafik mbal sn

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před 29 dny +1

    Lkn wema sio msanii

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 29 dny +1

    iddy na x wake x anachekelea tu kusikia sauti ya iddy unazani badae nini kinatokea 😁😁

  • @CreyMomo
    @CreyMomo Před 29 dny +1

    Stivu hadi wachina wanakupita urefu😂😂😂

  • @CreyMomo
    @CreyMomo Před 29 dny

    Wataelewana sasa😮

  • @vero57
    @vero57 Před 29 dny +1

    TANZANIA OYEEEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🏾👌👊👏👏

  • @OlgaChirezi-qt1pg
    @OlgaChirezi-qt1pg Před měsícem +1

    Wakorea wame tupiga mazee so kweli

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před měsícem +2

      Pole sana kwa kusumbuliwa na negative mind

    • @Awatee
      @Awatee Před měsícem

      😂😂😂​@@mosesnyelo1380

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 Před 29 dny

      Big up keep going ❤❤❤

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f Před měsícem +1

    Wapi we lee min ho na gabo I akutane wakimtaka mwanamke mmoja 😅😅😅

    • @BoazDillu
      @BoazDillu Před měsícem

      😂😂😂 😢 ni huzini

  • @frocoissango8973
    @frocoissango8973 Před 28 dny

    Wehusi ni😂nyani tu nishasema nami nikiwemo

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před měsícem

    Mapambano bado yanaendelea....

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 Před měsícem +2

    Yan sisi tunafurahi kufka hapo lkn sio kwa umaarufu ni kwa mchongo tushapigwa za uso hapo, ukiona sehemu hapo Nigeria na S/Africa wajafka mjue sisi tumeibiwa pakubwa hyo ni vumba macho tu 😢😢

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 29 dny

    Kwa Jumong atakuwemo?

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem

    Achatu nikoment vingine 😂 Wema na Idris si mrudiane jamani?😢

  • @goodlegacytv5068
    @goodlegacytv5068 Před 29 dny

    Mjuba anatiririka ngeri ni kwere yani

  • @deusmtiri6341
    @deusmtiri6341 Před měsícem

    nothing to say

  • @tomsijohni
    @tomsijohni Před měsícem +1

    Mbona atuoni film tunaona pictures zenu au ndo film hizo 😂

    • @isihaqkerdehaqker1403
      @isihaqkerdehaqker1403 Před měsícem

      @@tomsijohni kaah ss watu wameend juzi hiyo filam imetengezwa lini...na sijui km kutakua na film wameenda kujifunz jinsi ya kutengeneza hizo films zenyewe ss

    • @tomsijohni
      @tomsijohni Před 29 dny

      @@isihaqkerdehaqker1403 ongera sana 👊

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před měsícem +1

    GPS huu ni upuuzitu anayekuibia lazima akubembereze .Tanzania niwazembe kweli tunapigwa upofu kizembetu

    • @birianination7097
      @birianination7097 Před měsícem

      Umasikini wa fukara ni kiburi na kujikuta anajua

    • @husseinc
      @husseinc Před měsícem +1

      ni kweli mtu anaweza kutoa kidogo iliakupigeparefu.

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Před 29 dny

      Ndo.hapo sasa wacha tumpe yeye domo.kaya urais tuone atafanya nini,tatizo kupayuka kwingi,tangu Tanzania kupata uhuru walishawahi kwenda Korea kikazi za uigizaji

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před 29 dny

    Shida mnachagua hao wenye majina mnaacha vijana wenye uwezo uwezo na hisia za kuigiza wapo Sasa wema na kasauti watakua wanamuwekea Mac mdomoni make anabebwa sana

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před 29 dny

      Kumbuka hata hao waliokwenda nao wanastahili sababu walishafanya mengi kwenye tasnia kusema hawafai ni kuwashushia heshima, pia hao ndio wamepambana sana kujikomba komba mpaka leo wanaipata hiyo nafasi je hao vijana walikuwa wapi kipindi wao wanazungushwa zungushwa kwenye majukwaa na wanasiasa lengo ilikuwa kupata nafasi kama hiyo ambayo leo wameipata halafu mnakuja na mada za vijana wenye uwezo ambao wamekaa tu majumbani mwao wanasubiria kutengenezewa njia

  • @isihaqkerdehaqker1403
    @isihaqkerdehaqker1403 Před měsícem

    Nadhan wamechaguliwa watu sahihi..Mariam Ismail cjamuona hapo🤔, I wish angekuwepo nae

  • @boasliberath5798
    @boasliberath5798 Před měsícem

    Wapi clam vevo

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před měsícem +2

    ukiona Nigeria/SA ajafanya lolote na hao jua sio pesa ni mchongo.

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 29 dny

    Huyo nyerere na wema wameenda kufanya nn sio kama waigizaj, hapo waigizaj wawili tu Anna na gambo Hao wengine wamekula tu pesa za serikal na ambazo awangemsaidia yule mwanafunzi, mlemavu akaenda shule

  • @user-oq8hw1et9r
    @user-oq8hw1et9r Před měsícem

    Wema ana tikisa kichwa sijui kama anaelewa 🤷🏾‍♀️

  • @husseinc
    @husseinc Před měsícem +2

    hii ni baada ya kuwapa madini na bandali!!

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 Před měsícem +1

    Idris ni mshamba hajui kuvaa

  • @khadijaismail5013
    @khadijaismail5013 Před 25 dny

    Tanzania oyee❤❤

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Před 29 dny

    Tanzania bana yunapewa sifa za kijinga sana alaf tunafurah wenzetu wanavumbua vifaa mbalimbali ww inafurahia maigizo