Yan sisi tunafurahi kufka hapo lkn sio kwa umaarufu ni kwa mchongo tushapigwa za uso hapo, ukiona sehemu hapo Nigeria na S/Africa wajafka mjue sisi tumeibiwa pakubwa hyo ni vumba macho tu 😢😢
@@tomsijohni kaah ss watu wameend juzi hiyo filam imetengezwa lini...na sijui km kutakua na film wameenda kujifunz jinsi ya kutengeneza hizo films zenyewe ss
Ndo.hapo sasa wacha tumpe yeye domo.kaya urais tuone atafanya nini,tatizo kupayuka kwingi,tangu Tanzania kupata uhuru walishawahi kwenda Korea kikazi za uigizaji
Shida mnachagua hao wenye majina mnaacha vijana wenye uwezo uwezo na hisia za kuigiza wapo Sasa wema na kasauti watakua wanamuwekea Mac mdomoni make anabebwa sana
Kumbuka hata hao waliokwenda nao wanastahili sababu walishafanya mengi kwenye tasnia kusema hawafai ni kuwashushia heshima, pia hao ndio wamepambana sana kujikomba komba mpaka leo wanaipata hiyo nafasi je hao vijana walikuwa wapi kipindi wao wanazungushwa zungushwa kwenye majukwaa na wanasiasa lengo ilikuwa kupata nafasi kama hiyo ambayo leo wameipata halafu mnakuja na mada za vijana wenye uwezo ambao wamekaa tu majumbani mwao wanasubiria kutengenezewa njia
Huyo nyerere na wema wameenda kufanya nn sio kama waigizaj, hapo waigizaj wawili tu Anna na gambo Hao wengine wamekula tu pesa za serikal na ambazo awangemsaidia yule mwanafunzi, mlemavu akaenda shule
Idris anajueleza vizuri sana❤
Ingekuwa kiswahili angeongea Steven Nyerere 😎😎
Hongera kwa Idris Sultan kuchapa kingereza swafi. Wasanii wajifunze lugha inasaidia hata kusaini mikataba
😂hahah
❤❤Idris sounded really good
Wemasepetu wangu mimi 🥰 🥰 🥰
Woooooow❤❤sarang hae
Anyenga-seo👋
Wema sepetu and idriss sultan loves
Well done, indrisa 👌👊👏🇹🇿🇹🇿
Itaewoon class is also my favorite kdrama❤
Broo unawezaaaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
Tanzania itafik mbal sn
Lkn wema sio msanii
iddy na x wake x anachekelea tu kusikia sauti ya iddy unazani badae nini kinatokea 😁😁
Stivu hadi wachina wanakupita urefu😂😂😂
😅😅😅
Wataelewana sasa😮
TANZANIA OYEEEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🏾👌👊👏👏
Wakorea wame tupiga mazee so kweli
Pole sana kwa kusumbuliwa na negative mind
😂😂😂@@mosesnyelo1380
Big up keep going ❤❤❤
Wapi we lee min ho na gabo I akutane wakimtaka mwanamke mmoja 😅😅😅
😂😂😂 😢 ni huzini
Wehusi ni😂nyani tu nishasema nami nikiwemo
Mapambano bado yanaendelea....
Yan sisi tunafurahi kufka hapo lkn sio kwa umaarufu ni kwa mchongo tushapigwa za uso hapo, ukiona sehemu hapo Nigeria na S/Africa wajafka mjue sisi tumeibiwa pakubwa hyo ni vumba macho tu 😢😢
Kwa Jumong atakuwemo?
Achatu nikoment vingine 😂 Wema na Idris si mrudiane jamani?😢
Mjuba anatiririka ngeri ni kwere yani
nothing to say
Mbona atuoni film tunaona pictures zenu au ndo film hizo 😂
@@tomsijohni kaah ss watu wameend juzi hiyo filam imetengezwa lini...na sijui km kutakua na film wameenda kujifunz jinsi ya kutengeneza hizo films zenyewe ss
@@isihaqkerdehaqker1403 ongera sana 👊
GPS huu ni upuuzitu anayekuibia lazima akubembereze .Tanzania niwazembe kweli tunapigwa upofu kizembetu
Umasikini wa fukara ni kiburi na kujikuta anajua
ni kweli mtu anaweza kutoa kidogo iliakupigeparefu.
Ndo.hapo sasa wacha tumpe yeye domo.kaya urais tuone atafanya nini,tatizo kupayuka kwingi,tangu Tanzania kupata uhuru walishawahi kwenda Korea kikazi za uigizaji
Shida mnachagua hao wenye majina mnaacha vijana wenye uwezo uwezo na hisia za kuigiza wapo Sasa wema na kasauti watakua wanamuwekea Mac mdomoni make anabebwa sana
Kumbuka hata hao waliokwenda nao wanastahili sababu walishafanya mengi kwenye tasnia kusema hawafai ni kuwashushia heshima, pia hao ndio wamepambana sana kujikomba komba mpaka leo wanaipata hiyo nafasi je hao vijana walikuwa wapi kipindi wao wanazungushwa zungushwa kwenye majukwaa na wanasiasa lengo ilikuwa kupata nafasi kama hiyo ambayo leo wameipata halafu mnakuja na mada za vijana wenye uwezo ambao wamekaa tu majumbani mwao wanasubiria kutengenezewa njia
Nadhan wamechaguliwa watu sahihi..Mariam Ismail cjamuona hapo🤔, I wish angekuwepo nae
Watu sahihi hapo ni idris tu hao wengine sio maproducers
@@fj8317 Gabo
Wapi clam vevo
🤣🤣🤣Bongo sihami
ukiona Nigeria/SA ajafanya lolote na hao jua sio pesa ni mchongo.
Wapi clam vevo
Huyo nyerere na wema wameenda kufanya nn sio kama waigizaj, hapo waigizaj wawili tu Anna na gambo Hao wengine wamekula tu pesa za serikal na ambazo awangemsaidia yule mwanafunzi, mlemavu akaenda shule
Wema ana tikisa kichwa sijui kama anaelewa 🤷🏾♀️
Wema anajua ngeri zaidi ya idriss ndo nikuambie
Chuki yako kwa wema haitakusadia chochote
Hamjui wema huyo
@@user-bl7ex4ld6x ni kweliiii kabisa ety
Ana Kiengereza balaaa huyo dada tena gramma
hii ni baada ya kuwapa madini na bandali!!
Idris ni mshamba hajui kuvaa
Wewe uliekua si mshamba umefika wapi !
Wewe mjanjA inatosha
Tanzania oyee❤❤
Tanzania bana yunapewa sifa za kijinga sana alaf tunafurah wenzetu wanavumbua vifaa mbalimbali ww inafurahia maigizo