Kutana na vijana wasomi ambao wamechukua fursa ya kilimo cha mahindi lishe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2018
  • Mahindi lishe ni mahindi ambayo yana utajiri wa vitamin A kwa wingi, Pia ni kilimo ambacho uzalishaji wake ni wa kufuata kanuni bora wa kilimo bora, Uhitaji wake katika soko ni mkubwa kutokana na wazalishaji wake kuwa wachache na hio ni kati ya sababu zilizo wapelekea vijana hawa wasomi kufanya kilimo cha Mahindi lishe.

Komentáře • 48

  • @jonathansangau1051
    @jonathansangau1051 Před 6 lety +4

    vyema sana kuona Vijana wakifanya kazi
    asante digital farm

  • @thabitishabani4153
    @thabitishabani4153 Před 6 lety +4

    Hongera man lazaro 🙏🏼

  • @AIG7187
    @AIG7187 Před 3 lety +2

    Kilimo chetu sehemu yetu
    #Vijana tusonge

  • @lewismutayoba9993
    @lewismutayoba9993 Před 6 lety +2

    nice 1 broooo

  • @juicebytes8040
    @juicebytes8040 Před 6 lety +2

    Super B

  • @mumaheza151
    @mumaheza151 Před rokem

    Nakubali sana

  • @shiapearls840
    @shiapearls840 Před 5 lety +4

    Too much music in your videos. It disturbs when listening.

  • @costasmpalaza4695
    @costasmpalaza4695 Před 6 lety +2

    safi

  • @chiefandrewkidulile3028
    @chiefandrewkidulile3028 Před 6 lety +2

    Hongereni sana .Mafunzo mazuri

  • @francenestory4089
    @francenestory4089 Před 5 lety

    Good work

  • @deodathkawonga9058
    @deodathkawonga9058 Před 6 lety +2

    Bravo ,...

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  Před 6 lety

      Thank vey much, Keep in touch with DF, subscribe to the channel and you can also share the link.

  • @dicksonalex6389
    @dicksonalex6389 Před 6 lety +2

    Good job broos ,kee it up guyz

  • @moshezanzibar25
    @moshezanzibar25 Před rokem +1

    Nakaribia kunua shamba lenye takribani heka tatu hapo Tanga naombeni ushauri hua mnazalisha kwa kumwagilia au kwa mwaka bidhaa zenu?

  • @michaelchacha7413
    @michaelchacha7413 Před 6 lety +2

    big up brothers

  • @godknowgosbert8807
    @godknowgosbert8807 Před 5 lety +3

    Hanakitu cha maana mlichoelezea zaidi ya kupiga stor

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  Před 5 lety

      sawa sawa, tunashukuru kwa comment yako, endelea kuwa na digital farms, kwa yote yahusuyo kilimo bora na cha kisasa.

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  Před 5 lety

      unaweza itazama na hii pia, comment yako ni muhimu kwetu,
      czcams.com/video/X7Ry-gfS2ho/video.html

  • @nassercrewalkindi7899
    @nassercrewalkindi7899 Před 3 lety +1

    Mbona hamkusema ni mbolea ipi mnatumia jina la mbolea pia, Mara ngapi mkulima atumie

  • @bahatimalimoja7976
    @bahatimalimoja7976 Před 6 lety +3

    Good presentation, but you need to be language specific

  • @derickmungongo1944
    @derickmungongo1944 Před 6 lety +2

    kilimo ni sayansi,,,hongereni sana kuelekea kujikwamua na umaskini na kukabiliana na tatzo la ajira, kilimo ni fursa pekee.. hongereni sana

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  Před 6 lety

      Asante sana, Lengo letu ni kufikisha elimu iliyo ya msingi kuhusu kilimo, endele kuwa na digital farm

  • @muhsinsalum2305
    @muhsinsalum2305 Před 4 lety +1

    Lkn hamjtuambia hekari moja inaweza kutoa gunia ngapi

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  Před 4 lety

      Muhsin Salum kwa ekari moja ni gunia 17 hadi 24, hutegemea sana na matunzo shambani.

  • @Moon-wf2ec
    @Moon-wf2ec Před 4 lety

    Penda sana hiikz jmn

  • @mariustebuka1648
    @mariustebuka1648 Před 6 lety +3

    Produce now!!

  • @malwarepeter
    @malwarepeter Před 6 lety

    good work

  • @phphacongo4715
    @phphacongo4715 Před 3 lety

    Tunawezajee pata mbegu za mahind lishe

  • @kefamarandu1107
    @kefamarandu1107 Před 3 lety

    Tatizo ni soko la hayo mahindi hakuna nimelima heka kumi hapa nilikosa pa kupeleke

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan9813 Před 5 lety +2

    Naomba namba yako tafadhalii

  • @kanudasitta9281
    @kanudasitta9281 Před 5 lety +1

    Sio mbaya idea nzurii siwaping ila mmefeli kabisa nyie kama watalaam mnaingiaje shamban mmependeza hvyo kama mnaingia ofisin mpka na tai kabisa hapo mmi nimewazalau ndo mnavyofundishwa hvyo sua

    • @barakaluvanda7941
      @barakaluvanda7941 Před 5 lety +2

      😂😂

    • @emmanuelnzagalila3053
      @emmanuelnzagalila3053 Před 4 lety +2

      Kaka Kila kitu kinaenda na wakati mkulima wa kisasa sio lazma kukaa mda wote kachafuka,Kuna mda wakuchafuka,Kuna mda wa tathmini na Kuna mda wa kufanya majumuisho kwa kle unachokifanya hvo bas mkulima wa kisasa kuwa smart nao pia unwaklisha usasa sasa,utaona mkulima kavaa vzur anakuelmisha masuala ya klimo Bora yaan mpaka unamwamini kwa kile anachokuelimisha

    • @nyemondagalla608
      @nyemondagalla608 Před 3 lety

      Si kila fundi lazima achafuke,
      Sikila Mkilima lazima awe nasugu,
      Sikila mwalim lazima achafuke na chaki,
      Achana na imani kila alievaa SuTi ana hela.

  • @amonzachary3918
    @amonzachary3918 Před 4 lety

    Wazee mnafanya kazi nzuri ila pia mnafel nyie kama wataalam wa kilimo mnaingia vp shamban na nguo za kwenye sherehe kwa nni msinge vaa protective gears ili muwe kwenye usalama zaid na pia kama wataalamu nyie mnavyovaa hvyo shamban mnainspire nni wakulima juu ya usalama wao,Ebu mda mwingine kuwen civilized do the right thing at the right time so kufaa michomekeo huku mko shamban