Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi
Sana
Very nice wamewaza kitu kizuri
Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko
Mawasiliano ya feed the future
Hongera egno...kazi nzuri huyu mzee nampata...mpe pongezi
Prakseda Melkior Asante sana, pongezi zitamfikia mzee wetu Mzee Fransic huyo.
Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!
REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.
Nc idea
omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo
nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo
Kilimo ni lugha yetu
#Vijana tusonge mbele
#Ndio ndio
mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.
mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo
Isia zangu nikilimo
Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?
Ahsante sana Kwa elimu nzuri