- 10
- 93 490
Digital farms
Tanzania
Registrace 27. 01. 2015
Digitalfarm ni taasisi ambayo lengo lake kuu, ni kuhakikisha unapata taarifa ambazo ni sahihi kwa wakulima wote, nakuwa sauti ya wakulima, hili kufikia malengo ya kufanya kilimo ambacho ni endelevu, tija na chenye manufaa.
Video
KILIMO CHA HOHO, KINACHO ZINGATIA TECHNOLOJIA BORA ZA UZALISHAJI KWA MKULIMA.
zhlédnutí 15KPřed 4 lety
Kutana na wakulima wa hoho, wanao zingatia technoloia bora za uzalishaji wa mazao shambani ambao, wamenufaika na mradi wa feed the future mboga na matunda Tanzania.
Kutana na vijana wasomi ambao wamechukua fursa ya kilimo cha mahindi lishe
zhlédnutí 18KPřed 6 lety
Mahindi lishe ni mahindi ambayo yana utajiri wa vitamin A kwa wingi, Pia ni kilimo ambacho uzalishaji wake ni wa kufuata kanuni bora wa kilimo bora, Uhitaji wake katika soko ni mkubwa kutokana na wazalishaji wake kuwa wachache na hio ni kati ya sababu zilizo wapelekea vijana hawa wasomi kufanya kilimo cha Mahindi lishe.
Kutana na Elisalia Swai, Mfugaji wa samaki sato, jinsi anavyo endesha, mradi wake kisasa.
zhlédnutí 49KPřed 6 lety
Ufugaji wa samaki umekuwa ukija kwa kasi, kutokana na mahitaji ya protini katika miili yetu na kufanya uhitaji wake sokoni kuwa mkubwa,na kufanya wazalishaji wa samaki kupata faida nzuri, kupitia miradi yao.
Digital Farm na Malengo yako ya kilimo bora.
zhlédnutí 702Před 6 lety
Tuna uhakika unapenda kufanya Kilimo chenye tija na endelevu, karibu tupo tayari kwa hilo, kuhakikisha malego yako ya ufugaji yanafikiwa.
Digitalfarm tunafika ulipo, kwa ushauri na utaalamu zaidi.
zhlédnutí 133Před 6 lety
Karibu Digitalfarm
MBINU ZA KUHIFADHI UDONGO
zhlédnutí 301Před 6 lety
Hapa Mkulima Utapata kujua, mbinu tofauti za kufanya au kudhibiti rutuba, Iliyopo kwenye udongo, kwa kumsikiliza Mtaalamu wa Sayansi udongo, kutoka chuo kikuu cha kilimo (SUA)
Ukuaji wa sekta ya ufugaji kuku
zhlédnutí 375Před 6 lety
Pata kufaham jinsi mbavyo sekta ya ufugaji kuku, inakua na jinsi ambavyo unavyo weza kuwa sehemu ya ukuaji wa sekta hii, kwa kushiriki ipasavyo katika sekta hii.
Egno Gerald Ndunguru Live Stream
Před 6 lety
KILIMO CHA MATANGO
zhlédnutí 3,9KPřed 6 lety
UZALISHAJI WA MATANGO NDANI YA GREEN HOUSE, KWA KUHUDUMIA NA KUTUNZA MIMEA KWA MAFANIKO.
JUSTIN KIJANA ALIYE TUMIA UBUNIFU WAKE KUTENGENEZA KIFAA CHA KUTOTOLESHEA SAMAKI
zhlédnutí 4,3KPřed 6 lety
Kupitia Elimu aliyo nayo, Justin amaeajribu kutengeneza kifaa kidogo cha kutotoreshea vifaranga wa samaki aina ya kambare.
Na mimi nipo morogoro naomba no ya huyo dada
Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi
Napenda sana ufugaji wa samaki
Hongera ndugu yangu kwa kazi nzuri
Ahsante sana Kwa elimu nzuri
Hongera sana dada! Nami naanza safari hii msaada wako wahitajika
Nakaribia kunua shamba lenye takribani heka tatu hapo Tanga naombeni ushauri hua mnazalisha kwa kumwagilia au kwa mwaka bidhaa zenu?
Saf
Nakubali sana
)
Naomba namba yake yasim
Naomba namba yako
Great job
Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko
Tunawezajee pata mbegu za mahind lishe
Tatizo ni soko la hayo mahindi hakuna nimelima heka kumi hapa nilikosa pa kupeleke
Umelimia wap
Very nice wamewaza kitu kizuri
Binti wa kichaga uko vizuri sana,hongera sana
Kuna taarifa nyingi haziko kamili...ameanza na mtaji kiasi gani..hicho Chakula anachanganya nini na nini na gharama zake...je soko likoje na wastani anauza kwa bei gani size gani na faida au hasara..so hii story ilikuwa vipandevipande tu.
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana na Dada Elisalia Swai kwa namba +255 719 404 267.
Mbona hamkusema ni mbolea ipi mnatumia jina la mbolea pia, Mara ngapi mkulima atumie
Isia zangu nikilimo
Naomba kupata mawasiliano nae
Kilimo chetu sehemu yetu #Vijana tusonge
Kilimo ni lugha yetu #Vijana tusonge mbele
Sana
The D.O.P Filmed this short documentary is really deal , . Great cinematography, really professional video, good depth field, great shots , good cutaways . Well done 👍
SofiproFXmedia Mak CEO we are so hapo to her from you, we real appreciate.
Naomba msaada wa namna ya kuzifanyia usafi wa kubadirisha maji pale maji yanapokuwa yamechafuka au kukaa kwa muda mrefu. Naomba majibu kwa namba ya 0625386121 Mungu awabariki
mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo
nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo
Mawasiliano ya feed the future
Natamani sana kufuga samaki, tatizo sina eneo
Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?
Asante kwa ushauri
Kianzio cha chini ni kiasi Gan
Ungeuliza mtajai sh ngap
Good..
Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi
Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.
Nimekipenda kipindi aisee.. 1 of the best.
tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms
Hongera egno...kazi nzuri huyu mzee nampata...mpe pongezi
Prakseda Melkior Asante sana, pongezi zitamfikia mzee wetu Mzee Fransic huyo.
Nc idea
omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo
Nice work boss
herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.
#Ndio ndio
mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.
Ndiyo ndiyo
seto tv Karibu sana watu wa nguvu seto tv
Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!
REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.
Karibu Sana!
Tunashukuru sana kwa elimu.
Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,
Penda sana hiikz jmn
Vichekesho
Nashukuru kwa ushauri
Lkn hamjtuambia hekari moja inaweza kutoa gunia ngapi
Muhsin Salum kwa ekari moja ni gunia 17 hadi 24, hutegemea sana na matunzo shambani.
Wazee mnafanya kazi nzuri ila pia mnafel nyie kama wataalam wa kilimo mnaingia vp shamban na nguo za kwenye sherehe kwa nni msinge vaa protective gears ili muwe kwenye usalama zaid na pia kama wataalamu nyie mnavyovaa hvyo shamban mnainspire nni wakulima juu ya usalama wao,Ebu mda mwingine kuwen civilized do the right thing at the right time so kufaa michomekeo huku mko shamban
Amon Zachary Kabisa yaan!