Komentáře •

  • @alexmsigwa5612
    @alexmsigwa5612 Před 3 lety +2

    Nimelima sana tena nimebolesha sana kiukweli kabisa mahindi hayana soko la uhakika kiujumla mtaalam hakilipi.

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety +2

      Kilimo sio kulima tu, mkulima Bora ni yule anaefahamu taarifa za somo na kuweka mipango ya jinsi ya kupata soko hata kabla hujalima.

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety +2

      *Taarifa za Soko*

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety

      *Taarifa za Soko*

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety

      *Taarifa za Soko*

    • @christianhuberty8464
      @christianhuberty8464 Před 3 lety

      Mhhhhh

  • @emanuelsombya841
    @emanuelsombya841 Před 3 lety +1

    Mko vizuli sana ningependa kufahamu kwaambao tunaishi sehemu ambazo mvua zinakua zakusuasua na ninapenda kulima kilimo chakujikwamua ambacho nichakisasa ni hiro tu

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety

      Tunaweza kuwasiliana 0764148221

  • @mwanahawa6362
    @mwanahawa6362 Před 2 lety +1

    Hatree

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 Před 3 lety +1

    Bado mbolea ya kuzalisha bado unaweka bei ya chini sana

  • @christianhuberty8464
    @christianhuberty8464 Před 3 lety +7

    Kilimo cha mahindi mchanganuo wake pia unaweza kuwa kama hivi
    Kwa heka moja
    Mbegu ni pakt nne hadi tano ... Kila pakt ni shlng elfu 12 jumla ni 60 elfu
    Mbolea ya kupandia ni dap kwa tabora ni 65 kwa mfuko na inatumika mifuko miwili , kukuzia ni urea , mifuko miwili na mfuko ni elfu 58 , mbolea ya kubebeshea ni can , elfu 45 ni mifuko miwili , kwa jumla mbegu na mbolea ni shiling jumla ni laki tatu na elfu 36 pamoja na usafiri ni laki tatu na 76 , , kukodi ni elfu hamsini , kusafisha shamba ni 30 elfu , kulima ni elfu hamsini , jumla ni laki moja na thelasini , hapo bado dawa , kupanda , palizi , kuvuna , nk mambo ni meng
    Ila kilimo jinsi unavyolima sehem kubwa na garama zinapungua

  • @majaliwamasumbuko8234

    Naomba kuuliza miche elf kumi ya mahindi inaweza ikachukua eneo gani kwa ajir ya kilimo cha kumwagilia?

  • @SalumPius-xw4dr
    @SalumPius-xw4dr Před rokem

    Kupiga halo ndio nin

  • @berthasangwa351
    @berthasangwa351 Před 4 lety +2

    Naomba kujua jinsi ya upandaji wa mahindi mpaka uje upate gunia 25 au 30

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 4 lety

      Tuwasiliane 0764148221

  • @corneljoseph6653
    @corneljoseph6653 Před rokem

    Asant kwa elimu mawasiliano yako kiongozi tuulize vizuli

  • @user-oj3ml1eu8i
    @user-oj3ml1eu8i Před 7 měsíci

    🤔🤔

  • @christianhuberty8464
    @christianhuberty8464 Před 3 lety

    Eneo kivip bro wakati mbegu unayopanda inatakiwa iendane na eneo ulilopo ....???

  • @OmariMwamsimu-gu7pr
    @OmariMwamsimu-gu7pr Před 9 měsíci +1

    Ni kiasi gani cha mbolea ya samadi ambacho mkulima anapaswa kuweka kila shimo?

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 9 měsíci

      Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi 0764 148 221

  • @abduliaboud7287
    @abduliaboud7287 Před 3 lety +1

    Na maharage je inakuwaje

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety +1

      Ntaelezea pia

    • @abduliaboud7287
      @abduliaboud7287 Před 3 lety +1

      @@RubabaTv kwa mawasiliano zaid ili kupata taarifa zaid tunakupataje wkt no zn sn

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety

      0764148221

  • @materaalex1841
    @materaalex1841 Před 3 lety +2

    Nahisi kama nimechelewa ila naomba nipate mawasiliano yako kiongozi

    • @RubabaTv
      @RubabaTv Před 3 lety

      Bado ujachelewa Sana karibu 0764148221

  • @aminielgoodluck4144
    @aminielgoodluck4144 Před 10 měsíci

    Hayo magunia ni mahindi ya kishapukuchuchuliwa ama?

  • @fredysombe1035
    @fredysombe1035 Před 3 lety +1

    know

    • @samsimbaza6490
      @samsimbaza6490 Před 3 lety

      Mkoa wa kigoma kuna baadhi ya maeneo ambayo unakuta yana miaka mingi sana hayajalimwa ukiweka mbolea ya urea mazao yanaingia sasa nini tatizo

  • @neemaneema6825
    @neemaneema6825 Před 3 lety

    ila kaka mimi.nawaza kulima.kweli.yaani.goja.nichukuwe.naba.yako

  • @jishoshamahega7043
    @jishoshamahega7043 Před 3 lety +1

    Namba yako ili kujua mambo mengi kutoka kwako

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi2333 Před 3 lety +1

    Asante sana tupatie namba ya simu please

  • @joelmchomvu4836
    @joelmchomvu4836 Před 3 lety +1

    Mbona hamniunganishi na watsp