Mko vizuli sana ningependa kufahamu kwaambao tunaishi sehemu ambazo mvua zinakua zakusuasua na ninapenda kulima kilimo chakujikwamua ambacho nichakisasa ni hiro tu
Hatree
Bado mbolea ya kuzalisha bado unaweka bei ya chini sana
Kilimo cha mahindi mchanganuo wake pia unaweza kuwa kama hivi
Kwa heka moja
Mbegu ni pakt nne hadi tano ... Kila pakt ni shlng elfu 12 jumla ni 60 elfu
Mbolea ya kupandia ni dap kwa tabora ni 65 kwa mfuko na inatumika mifuko miwili , kukuzia ni urea , mifuko miwili na mfuko ni elfu 58 , mbolea ya kubebeshea ni can , elfu 45 ni mifuko miwili , kwa jumla mbegu na mbolea ni shiling jumla ni laki tatu na elfu 36 pamoja na usafiri ni laki tatu na 76 , , kukodi ni elfu hamsini , kusafisha shamba ni 30 elfu , kulima ni elfu hamsini , jumla ni laki moja na thelasini , hapo bado dawa , kupanda , palizi , kuvuna , nk mambo ni meng
Ila kilimo jinsi unavyolima sehem kubwa na garama zinapungua
Naomba kuuliza miche elf kumi ya mahindi inaweza ikachukua eneo gani kwa ajir ya kilimo cha kumwagilia?
Kupiga halo ndio nin
Naomba kujua jinsi ya upandaji wa mahindi mpaka uje upate gunia 25 au 30
🤔🤔
Eneo kivip bro wakati mbegu unayopanda inatakiwa iendane na eneo ulilopo ....???
Ni kiasi gani cha mbolea ya samadi ambacho mkulima anapaswa kuweka kila shimo?
Na maharage je inakuwaje
@@RubabaTv kwa mawasiliano zaid ili kupata taarifa zaid tunakupataje wkt no zn sn
Hayo magunia ni mahindi ya kishapukuchuchuliwa ama?
know
Mkoa wa kigoma kuna baadhi ya maeneo ambayo unakuta yana miaka mingi sana hayajalimwa ukiweka mbolea ya urea mazao yanaingia sasa nini tatizo
Mbona hamniunganishi na watsp
Nimelima sana tena nimebolesha sana kiukweli kabisa mahindi hayana soko la uhakika kiujumla mtaalam hakilipi.
Kilimo sio kulima tu, mkulima Bora ni yule anaefahamu taarifa za somo na kuweka mipango ya jinsi ya kupata soko hata kabla hujalima.
*Taarifa za Soko*
*Taarifa za Soko*
*Taarifa za Soko*
Mhhhhh