SABAYA AWEKWA HURU KUGOMBEA UONGOZI, AFUTIWA KESI ZOTE, WAKILI WAKE AELEZA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 2. 05. 2024
  • đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 64

  • @jamsonkanyiki6038
    @jamsonkanyiki6038 Pƙed 18 dny +4

    Bwana mdogo yote yameisha. Mama hakupe kazi Umsaidie.
    KAZI IENDELEE.đŸ‡č🇿

    • @MonayLai
      @MonayLai Pƙed 16 dny

      mhhhhh ivi hatuna wenye kuhitaji kazi hizo hadi zimsubiri mtu aliyetesa watu na kuzulumu mali zao?

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Pƙed 17 dny +1

    Wakili msomi Moses mahuna hongera sana brother wangu tunayetoka kijiji kimoja wewe ni kichwa na kuelewa sana kwa kumalizia hii kesi

  • @karyori69
    @karyori69 Pƙed 18 dny +7

    Babake mwenyekiti wa CCM Arusha!

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Pƙed 18 dny +4

    WAKENYA WANASEMA MAMBO IMECHEMUKA

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Pƙed 18 dny +5

    Panga yako mwanadam lakini munguanapanga yake

  • @flaviankitowa5439
    @flaviankitowa5439 Pƙed 17 dny

    Pole sabaya mungu yupo omba sana mungu ukumbuke walikunyonga ulipotea kabisa hapo ni mkono wa mungu tu wabaya hao usiwamini hata kidogo

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Pƙed 17 dny

    Safii sana nduguyangu sabaya mungu atakupigania tu mpaka utarudi tena ktk wazifaa wako

  • @josephbuddoh1577
    @josephbuddoh1577 Pƙed 17 dny

    Mungu ni mwema hakika yametimia

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 Pƙed 17 dny

    Anafaa sana sabaya ni jembe

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 Pƙed 17 dny

    Mosses Mauna hongera zako umeupiga sana sabaya gombea chochote unaweza mama sabaya huyo mpe nafasi hao ndio majembe wa ccm ndio sababu kubwa yeye kubandikizwa makesi, hongera sabaya karibu tena

  • @user-pw8ci6rg4y
    @user-pw8ci6rg4y Pƙed 18 dny +1

    Ila kiukweli sabaya alitesa watu mungu ndo anajua sabaya hafai kua kiongoz

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Pƙed 16 dny

      Sabaya ndio anatakiwa kwenye nchi ya viongozi wezi kama Tanzania.

  • @S__Official24
    @S__Official24 Pƙed 16 dny

    😼Kaka yk mkuu wa mkoa anaimani atapata kz siku yoyote maana sio poa roho zao sawa hao

  • @thamu3133
    @thamu3133 Pƙed 18 dny +6

    Wapeeee tunataka ilo jembe ndan ya serikal

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 Pƙed 16 dny

    Kina Godlisten Malisa, Lema na Chadema wengine wapuuzi wapuuzi aibu imewashukia sasa,, sijui mtaficha wapi sura zenu shwain nyinyi

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Pƙed 18 dny +1

    Hata mafuru wa dodoma wata muachia ila

  • @MonayLai
    @MonayLai Pƙed 16 dny

    kfutwa kesi hakuondoi ukweli kuwa huyu alihusika na tuhuma nyingi za uvamizi ubabe
    na utesaji watu

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we Pƙed 18 dny +4

    Mi ni team sabaya

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Pƙed 18 dny +2

    Safafi

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Pƙed 18 dny +3

    Kwa hiyo kama hakupatikana na hatia basi yeye Bado ni mkuu wa wilaya....

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Pƙed 18 dny

    Natamani kumiona sabaya toeni namba yake

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 Pƙed 18 dny

    Duu DBP yaonyesha kakusa mchuzi wake kwa sababu imeonyesha amekuja kufuta rufaa siku ya kikao ajabu kubwa DBP miaka 5 DBP ala mchuzi

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l Pƙed 18 dny +5

    Apo ndipo unapo ifaham ccm vizuri

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Pƙed 18 dny

      Alipoachiwa mbowe gaidi hukutaja ccm kuma wewe

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Pƙed 18 dny

      Ni kweli kabisa ccm mahakama ni yao ,jeshi ni lao wanakinga hata akiuwa madamu ni kiongozi hana MAKOSA, halafu tuamini kwamba ccm ni watu wapeda haki ,bila katiba mpya watanzania hatutapata haki hadi kiama

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Pƙed 18 dny +2

      @@emmanuelmlowe-ew7gx elimu YA MJINGA NI MATUSI,

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Pƙed 18 dny

    Kuna majaji sasa wame mfunga mama na watoto wake huko moshi mashamba huko morogoro

  • @loiseyelukumay7760
    @loiseyelukumay7760 Pƙed 17 dny

    The whole saga was dead on arrival

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Pƙed 18 dny +1

    Hivi ccm hawana watu hadi jamaa alazimishe kuwa kiongozi?

  • @drdd774
    @drdd774 Pƙed 18 dny

    Kuna sub.. inafata!!!!😅😅

  • @hamisinyanga4579
    @hamisinyanga4579 Pƙed 17 dny

    Sabaya no mtoto wa magufuli.ndio maĂĄna akaandamwa

  • @AgustinoJoseph-jq7or
    @AgustinoJoseph-jq7or Pƙed 18 dny +4

    Samiaa mpee kazii sabayaa atakusaidiaaa

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Pƙed 18 dny +1

    Mnamsafisha muuaji!!!??? But God is alive

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Pƙed 18 dny +3

    Wahuni tunaita deal done soon Mama Anamuingiza kwenye mfumo,Msisahau tunapanga timu ya Ushindi

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Pƙed 18 dny +2

    Ubabe,una mwisho,aliumiza,watu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Pƙed 18 dny +1

    Aibu ya Taifa. Mama Samia Mama yetu are you really incharge?????

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Pƙed 18 dny

      Kuma wewe,alipoachiwa mbowe kesi ya ugaid hukumtaja samia .ulifrahi wengine tulinuna,leo zam yako kununa sisi tukenue.sabaya hoyeeeĂšee jembe jembe jembe lingine laja

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Pƙed 18 dny

      Gbea tukuchague chapu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Pƙed 18 dny

      Sabaya njoo,ulipakaziwa makesi na watu wa chadema walifanya wao uhalifu wakajitambulosha kwajina la sabaya

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Pƙed 18 dny +1

    TUNAMSUBIRI KWA MWENYEZI MUNGU ,KWASABABU SOTE WATANZANIA TUNAJUWA YAKWAMBA HIYO NI MUHALIFU ,,MAHAKAMA ZA TANZANIA HAZIAMINIKI TENA

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Pƙed 18 dny +1

    IMEISHA HIYO TUNA SUBIR ZUHURA AFANYE UNYAMA WAKE MWAMBA ARUD MZIGON 😂😂😂

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 Pƙed 18 dny +3

    Wachaga jiandaeni

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Pƙed 18 dny +1

    ILA KUSEMA UKWEL KAMA SABAYA AKIRUD MADARAKAN ANAWEZA KUWA KAMA MAKONDA MAANA ATATAKA AJI SUCRIFICE ILI KUJISAFISHA SO ANAWEZA FANYA MAKUBWA SANA MAANA UWEZO ANAO

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827 Pƙed 18 dny

    Dar safi sana chuma kinarudi hichooo Mungu mwema

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Pƙed 18 dny +2

    Mabaya uliyofanya kamwe hayatafutika ilo ulijue kabisaa

  • @jimpazclimpaz1794
    @jimpazclimpaz1794 Pƙed 18 dny +3

    Huyu hafai kuwa kiongozi ni kibaka

    • @felixluguga645
      @felixluguga645 Pƙed 18 dny

      Kaka mbona kauli kali sana juu ya mtu.Wewe kwani msafi hapo ulipo??

    • @simonmwashambela3233
      @simonmwashambela3233 Pƙed 18 dny

      Acha wivu kwan ww unajua unayo funya acha ubaguz

    • @alphoncewilliam4325
      @alphoncewilliam4325 Pƙed 18 dny

      Pole Acha chuki

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Pƙed 18 dny +1

      Kiufupi hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa😂😂😂

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Pƙed 18 dny +1

      ​@@alphoncewilliam4325Hakuna chuki hapo aliyoyafanya yeye mwenyewe anajua, hatutaki viongozi wa namna yake katika uomgozi wa Mama Samia.

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Pƙed 17 dny

    Shabaha ni jembe mama mrudishe mwanao jamani Mungu mtendee huyu kijana

  • @stephenmuthama-bl3eq
    @stephenmuthama-bl3eq Pƙed 18 dny +1

    Nonsense of a judiciary, this man is a thug !

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Pƙed 18 dny

    Huyo jamaa ni jembe kweli kweli