SABAYA AWEKWA HURU KUGOMBEA UONGOZI, AFUTIWA KESI ZOTE, WAKILI WAKE AELEZA
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 2. 05. 2024
- đȘđđđđđđđđ ©2024 đŸđđđđđ đŽđđ
đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ
.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Bwana mdogo yote yameisha. Mama hakupe kazi Umsaidie.
KAZI IENDELEE.đčđż
mhhhhh ivi hatuna wenye kuhitaji kazi hizo hadi zimsubiri mtu aliyetesa watu na kuzulumu mali zao?
Wakili msomi Moses mahuna hongera sana brother wangu tunayetoka kijiji kimoja wewe ni kichwa na kuelewa sana kwa kumalizia hii kesi
Babake mwenyekiti wa CCM Arusha!
Kwahyo
WAKENYA WANASEMA MAMBO IMECHEMUKA
Panga yako mwanadam lakini munguanapanga yake
Pole sabaya mungu yupo omba sana mungu ukumbuke walikunyonga ulipotea kabisa hapo ni mkono wa mungu tu wabaya hao usiwamini hata kidogo
Safii sana nduguyangu sabaya mungu atakupigania tu mpaka utarudi tena ktk wazifaa wako
Mungu ni mwema hakika yametimia
Anafaa sana sabaya ni jembe
Mosses Mauna hongera zako umeupiga sana sabaya gombea chochote unaweza mama sabaya huyo mpe nafasi hao ndio majembe wa ccm ndio sababu kubwa yeye kubandikizwa makesi, hongera sabaya karibu tena
Ila kiukweli sabaya alitesa watu mungu ndo anajua sabaya hafai kua kiongoz
Sabaya ndio anatakiwa kwenye nchi ya viongozi wezi kama Tanzania.
đźKaka yk mkuu wa mkoa anaimani atapata kz siku yoyote maana sio poa roho zao sawa hao
Wapeeee tunataka ilo jembe ndan ya serikal
Kabisa
Kina Godlisten Malisa, Lema na Chadema wengine wapuuzi wapuuzi aibu imewashukia sasa,, sijui mtaficha wapi sura zenu shwain nyinyi
Hata mafuru wa dodoma wata muachia ila
kfutwa kesi hakuondoi ukweli kuwa huyu alihusika na tuhuma nyingi za uvamizi ubabe
na utesaji watu
Mi ni team sabaya
mbwa wwe
Safafi
Kwa hiyo kama hakupatikana na hatia basi yeye Bado ni mkuu wa wilaya....
Natamani kumiona sabaya toeni namba yake
Duu DBP yaonyesha kakusa mchuzi wake kwa sababu imeonyesha amekuja kufuta rufaa siku ya kikao ajabu kubwa DBP miaka 5 DBP ala mchuzi
Apo ndipo unapo ifaham ccm vizuri
Alipoachiwa mbowe gaidi hukutaja ccm kuma wewe
Ni kweli kabisa ccm mahakama ni yao ,jeshi ni lao wanakinga hata akiuwa madamu ni kiongozi hana MAKOSA, halafu tuamini kwamba ccm ni watu wapeda haki ,bila katiba mpya watanzania hatutapata haki hadi kiama
@@emmanuelmlowe-ew7gx elimu YA MJINGA NI MATUSI,
Kuna majaji sasa wame mfunga mama na watoto wake huko moshi mashamba huko morogoro
The whole saga was dead on arrival
Hivi ccm hawana watu hadi jamaa alazimishe kuwa kiongozi?
Kuna sub.. inafata!!!!đ đ
Sabaya no mtoto wa magufuli.ndio maĂĄna akaandamwa
Samiaa mpee kazii sabayaa atakusaidiaaa
Akili kubwa sana
NAUNGA MKONO HOJA
Mnamsafisha muuaji!!!??? But God is alive
Wahuni tunaita deal done soon Mama Anamuingiza kwenye mfumo,Msisahau tunapanga timu ya Ushindi
Ubabe,una mwisho,aliumiza,watu
Mbabe ni Mungu alieamua haki.
Aibu ya Taifa. Mama Samia Mama yetu are you really incharge?????
Kuma wewe,alipoachiwa mbowe kesi ya ugaid hukumtaja samia .ulifrahi wengine tulinuna,leo zam yako kununa sisi tukenue.sabaya hoyeeeĂšee jembe jembe jembe lingine laja
Gbea tukuchague chapu
Sabaya njoo,ulipakaziwa makesi na watu wa chadema walifanya wao uhalifu wakajitambulosha kwajina la sabaya
TUNAMSUBIRI KWA MWENYEZI MUNGU ,KWASABABU SOTE WATANZANIA TUNAJUWA YAKWAMBA HIYO NI MUHALIFU ,,MAHAKAMA ZA TANZANIA HAZIAMINIKI TENA
IMEISHA HIYO TUNA SUBIR ZUHURA AFANYE UNYAMA WAKE MWAMBA ARUD MZIGON đđđ
Wachaga jiandaeni
ILA KUSEMA UKWEL KAMA SABAYA AKIRUD MADARAKAN ANAWEZA KUWA KAMA MAKONDA MAANA ATATAKA AJI SUCRIFICE ILI KUJISAFISHA SO ANAWEZA FANYA MAKUBWA SANA MAANA UWEZO ANAO
Dar safi sana chuma kinarudi hichooo Mungu mwema
Mabaya uliyofanya kamwe hayatafutika ilo ulijue kabisaa
Hana baya huyu kamanda
Huyu hafai kuwa kiongozi ni kibaka
Kaka mbona kauli kali sana juu ya mtu.Wewe kwani msafi hapo ulipo??
Acha wivu kwan ww unajua unayo funya acha ubaguz
Pole Acha chuki
Kiufupi hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaađđđ
â@@alphoncewilliam4325Hakuna chuki hapo aliyoyafanya yeye mwenyewe anajua, hatutaki viongozi wa namna yake katika uomgozi wa Mama Samia.
Shabaha ni jembe mama mrudishe mwanao jamani Mungu mtendee huyu kijana
Nonsense of a judiciary, this man is a thug !
Huyo jamaa ni jembe kweli kweli