KIJANA ALIYEPATA HASARA ya MILIONI 200 ALIA na MKURUGENZI wa JIJI la ARUSHA -ALIA kwa RC MAKONDA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • KIJANA ALIYEPATA HASARA ya MILIONI 200 ALIA na MKURUGENZI wa JIJI la ARUSHA -ALIA kwa RC MAKONDA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 83

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @PatriciaMatowo
    @PatriciaMatowo Před měsícem +6

    Kaka pole mungu akupe wepesi wa kuyapokea lakini mungu yupo

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 Před měsícem +4

    Ndugu yangu Mh . Makonda , una kazi kubwa sana ya kusuluhisha hili lakini kutoka na Maelezo ya huyu kijana , basi haki itendeke.🤷‍♀️

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +2

    Pole sana kijana

  • @gmdigitostore8550
    @gmdigitostore8550 Před 22 dny +2

    Ujanja mwingi, sio mzuri kwenye biashara.. ulitakiwa kukubaliana na waliokupangisha kwanza.

  • @Ab113tech
    @Ab113tech Před měsícem +2

    Huyo Mkurugenzi Muhuni Sana !

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Před měsícem +2

    Pole kaka yupo Makonda hapo watatapika hakika hapo Kuna jambo nyuma ya pazia

  • @ThadeusWilibald
    @ThadeusWilibald Před měsícem +5

    Ungekuwa mwelewa ungepeana ile 40,000,000 kwa wale wa mama. Ni ngumu. Leo nikupangishe alafu utake kuwa mmiliki halali bila kupitia mimi nilie kupangisha. Mkurugenzi, ocd, na mkuu wa wilaya wapo sawa.

  • @user-rg1qu2iu3r
    @user-rg1qu2iu3r Před 6 dny

    Mpe Mr Makonda namba yako pole mwanangu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 13 dny

    Ni kweli kabisa Thadeus uwezi kumiliki jengo la mtu mwingine wewe ukachukua jukumucla kujenga gholofa sehem ambayo sio yako. Mkurugenzi OCD DC wako sahihi kabisa huo ni ukorofi. Yeye alikuwa MPANGAJI tu. Pole sana baba.

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi Před měsícem

    Kaka Pole sana kwa yote.
    Mwakilishi wa Rais wetu na mtendaji asiyemumunya maneno mh.makonda.
    Nakushauri mwone hapo arusha natumaini haki yako utaipata tuu.
    Utawala Mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan ni wa haki na sheria.Pole sana ndugu yangu.

  • @magrethyoseph3034
    @magrethyoseph3034 Před měsícem

    Pole kija Mungu Mwema Akutetee

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před měsícem +2

    dah kaka ninamaana wew umiliki ata panga wew sikunyingine kata watu wawili ata mapanga wataludi nyuma

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Před měsícem +2

    Hapana hivyo vibanda miaka kumi ikiisha tangu mwaka 2000. Baada ya hapo vibanda vilirud jiji na wakaanza kulipa Kodi jiji...

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před měsícem +1

    Ungekumbuka ungemrekod yani dah Pole sana kaka ila mtetezi wa wanyonge yupo makonda atakusaidia

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před 17 dny +1

    Km ulikuwa mwema kwanini ukuwatafuta waliokupangisha uliwadhalau

  • @bettyphares9046
    @bettyphares9046 Před 29 dny

    Duuuu pole sana kaka,mheshimiwa wetu mama Samia alijua hali mbayar inayoendelea Arusha ndio maana Mungu akampa jicho la kumuona Mheshimiwa Makonda utapata ufumbuzi kaka usijali.

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Před měsícem

    Daaah maisha sio poa! Watu ni wabaya sana!

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Před měsícem +2

    Hao watu watatu mkuu wa wilaya OCD mkurugenzi tunasubri break 📰

  • @angelmawalla4827
    @angelmawalla4827 Před měsícem +1

    Mwamdishi umefanya vizuri lakini hujabance story je wale wawekezaji kwa Nini hujawasikiliza ambao kimsingi ndio walimpangisha huyu na sio mkurugenzi
    Je huoni kama kijana anajichanganya kuwa na mikataba miwili bila sababu za msingi??

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 Před 12 dny

      Huy noel na mke wake nawajua vizurialiwazulumu wawekezaj

  • @WinfridaFabian
    @WinfridaFabian Před měsícem +3

    Brother haukua na bastola?kama ingekua mm labda dalali awe ana roho kama ya lissu ndo angekuepo hai

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem +2

    Huo ni mtandao uliosukwa ...ndiyo maana mfanyabiashara alikuwa anakwama kila anapoenda ! Ila nyuma ya pazia tumuulize Mfanyabiashara wetu anajihusisha na siasa ? Ana uhusiano na wanasiasa ?

  • @user-vi9xf1gk9o
    @user-vi9xf1gk9o Před měsícem

    Regards

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z Před měsícem +2

    Mkurugenzi huyo ni mwizi mkubwa analalamikiwa na watu kibao

  • @faithreed861
    @faithreed861 Před 25 dny +1

    Nenda kwa Makonda

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Před měsícem +1

    Dc hawez kukusaidia kwenye hilo, akiwa afsa tarafa mimi nilinuang'anywa kila kitu changu, na nilikuwa nafanya biashara kama yako... Hapakuwa na order ya mahakama yoyote... Hao madalali wanachezaga madeal na mapai na ofsn.. mimi nilinyang'anywa kila kituuu.. Huo ni wizi.... Na mkurugenzi hapo hana kosa

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 Před měsícem

    😢😢😢pole kaka

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před měsícem +1

    Tatizo lako limeisha mbele ya makonda mpenda haki

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Před 16 dny +1

    arusha kuna wizi kinoma sio mkoa huo hakuna uongozi yaaan makonda kareveals wizi mwing sana arusha na watu wa arusha na viongozi wamezoea wizi

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Před měsícem +1

    Usihofu mh Makonda atakusaidia kabisaa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem +1

    sasa kama ww ungekua kiongozi ungechukua hatua gani kwa DC. OCD na mkulugenzi mimi OCD ningemshusha cheo kutoka OCD mpka inspector mkaguzi msaidizi DC nae hafai kua DC mgulugenz nae hafai kua hapo

  • @florageofrey9486
    @florageofrey9486 Před 18 dny

    Kwanza pole sana sana ila mie nazani baada ya kuongea na mkurugenzi ulitakiwa urudi kwa wamama mlio kubaliana mkaingia mkataba na ukakubaliana kuwa utalipa na mtakatana maana tatizo linaonekana limeanzia kwa hao wamama nazani walihisi unawatapeli ndo wakawahi huko maana inaonesha ww umelipia na wao wamelipia na hao wamama ndo wanatambulika kama wamiliki
    Pili hao madalali unatakiwa ukawadai vitu vyako kwani sidhani kama kunasheria iliwaruhusu waviuze, Mungu Naomba akusaidie

  • @elishamungaya8038
    @elishamungaya8038 Před měsícem +1

    Ukweli huu ni uonevu wa wazi kabisa kwani aliye kwa upinzani haruhusiwi kufanya biashara . Pole sana mdogo wangu pambana usijali, je hao akina mama ni kina nani kwa majina tujue profile zao huwenda tukajua who is behind the move hizi

  • @angelmawalla4827
    @angelmawalla4827 Před měsícem +1

    Pia huyo kijana anasema uongo je ana hiyo mikataba ya miaka kumi anayoisema anayo?? Ameionyesha kwako au ni Hadithi tu

    • @yusuphsanga7194
      @yusuphsanga7194 Před 16 dny

      Hiyo mikataba yq miaka kumi hakuna ambaye alipewa ndio maana wote waliokuwepo ktk eneo hilo waliambia watakaa kwa miaka kumi kisha hiyo miaka ikiisha ndio watapatiwa mikataba ili waanze kulipia manispaa mipind inakuja mikataba ndio ikamkuta huyu sasa

  • @marrypius576
    @marrypius576 Před 19 dny

    Hiv huy mkurugenzi si yule alimpigia makonda magoti au😂😂😂😂😂

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 Před měsícem

    Wewe mtangazaji kiswahili kipi unachotumia KUFANYAGA....
    WA MAMA WAWILI.. Hiki ni kiswahili au upotoshaji

  • @moyowangu1561
    @moyowangu1561 Před měsícem +2

    Kwanini usiende mahakamani?

  • @FloraGervans-xy5fk
    @FloraGervans-xy5fk Před měsícem

    Makonda tunaomba ufatilie pia ofice za mkuu wa wilaya zina dhuluma sana

  • @florageofrey9486
    @florageofrey9486 Před 18 dny

    Hofu yangu mkienda mkakuta wale wamama walikua wanalipa jiji kama kawaida na nyie mpo kama wapangaji wao kwani mwisho wa siku biashara ni mtu anavyoweza kuikuza faida yake

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Před 25 dny

    Tuna Imani na makonda msaidie huyo kijana arusha imeoza matapeli watupu kama ila inasema vijana wajiajili arafu wanatapeliwa

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Před měsícem

    Wewe kubali uliwazunguka

  • @ludovickbenjamin6104
    @ludovickbenjamin6104 Před 18 dny

    Hao wotee wanatakiwaa kuswekwa ndani wotee.
    Na hao madalali ndo matapeli

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Před měsícem

    Daaaaaaaah! Tutapataje kupona tusipoujali ukovu mkuu namna hii?

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Před měsícem

    Asilimia kubwa ya watumishi wa CCM yote ni mijizi. You can't trust this party anymore, wanadhani nchi ni yao. Rushwa! Rushwa! Rushwa !

  • @user-qi6ql1lp9k
    @user-qi6ql1lp9k Před měsícem +1

    Mkulugenzi anamashaka

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před 17 dny

    Faida za utaperi ukubali matokeo

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Před měsícem

    Jeshi linasimamiaje zoezi ambalo halina order ya mahakama?? Duuu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před 20 dny

    Mambo kama haya tukiyafumbia macho tunaumiza wafanyabiashara wetu rushwa ni adui wa haki

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před měsícem

    Hizi mangwepe auction Arusha ni mtihani mkubwaa kwa wananchi wa Arusha

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před 17 dny

    Hata mm nilimwamini mtu akanizunguka arusha watu jamani wayo tamaa

  • @paulkamete2947
    @paulkamete2947 Před 29 dny

    Ocd Jamani anahusika nin na wafanya biashara! Naombeni ufafanuzi

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před 20 dny

    Mkurugenzi huyu ni shida kwenye jiji la arusha

  • @DM_15
    @DM_15 Před 19 dny

    Bahati mbaya huyomkurugenzi saahii yupokwenye hari ngumu tia tim kwa mkuu wamkoa baba huyo mjuba anatamaa sana

  • @godsonkilewo5098
    @godsonkilewo5098 Před 23 dny

    Kijana ajifunze!!! Ana mkono mfupi 🤣🤣

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 Před měsícem +1

    Ulitaka kudhulumu eneo la mwekezaji... Wamama wajane... Ambapo wanapata hela kidogo ya chakula... Hakuna mtu anaokota nyumba stendi ndogo... Dhuluma uliianza wewe...

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l Před měsícem

    Dc huyo hafai hata kuwepo ofisini

  • @Ab113tech
    @Ab113tech Před měsícem

    Sema Serekali yetu 🤣🤣🤣

  • @faithreed861
    @faithreed861 Před 25 dny

    Rushwa imejaa hapo.hakuna kingine

  • @amonmethod
    @amonmethod Před měsícem

    Huu ni unyama hamna utu😭

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 Před měsícem

    Na pia ndugu mtangazaji sakata la stendi ndogo arusha wawekezaji hawakupewa kwa miaka 10.. Walipewa wajenge kisha wakaanza kulipa kodi... So kuna wawekezaji stendi ndogo ambapo kila baada ya miaka 3 mikataba yao inahuishwa na jiji lakini kuanzia mwaka jana kumekuwa na figisu sana jiji... Kama utapenda kujua mtafute kiongozi wa stendi ndogo na akuonyeshe mikataba ya jiji.. Na wawekezaji...
    Na hili jambo lilisuluhishwa na waziri mkuu mwaka 2016..je yeye alipataje vibanda stendi ndogo?! Mwanzoni kabla ya kuzunguka na kwenda jiji.

  • @AugustinoHaule-sh4fi
    @AugustinoHaule-sh4fi Před 26 dny

    Kaka makonda saidia huyo kinjana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem

    Kama Mh.RC Makonda ataamua kulivalia njuga swala hili,kwa kweli wateule wa Rais wamekalia kuti kavu. Fikiria kwa Mkurugenzi,DC,OCD,na aliyeuza fream inaonekana ni chain moja! Je, ni wangapi wanafanyiwa haya?!

    • @furahafranscicah4312
      @furahafranscicah4312 Před 25 dny

      Tuko wengi hata mimi nimefanyiwa hivyo hivyo na huyo dalali pia ni mtu hana office … wala kibali chochote mimi ni miaka 2 nafuatilia😢😢😢

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Před měsícem

    Dawa hapo nenda kwa Makondaa... Hao wawekezaji ni feki na mkataba wao uliisha tangu 2020. Wanakosesha serikali mapato.. Nenda kwa Makonda kaka

    • @veronicamedukenya7416
      @veronicamedukenya7416 Před měsícem

      Kama kweli ni wawekezaji feki wanafanya nini mpaka leo stendi ndogo?! Kwamba yeye ambaye amekuja na kuwakuta kina mama na vibanda vyao ana haki kuliko hao wamama?! Je hao wamama haki yao iko wapii?! Yeye noel akubali aliona ni wepesi kudhulumu wamama... Sasa imegeuka tofauti ajipambanie na aende mahakamani kama anahisi ana hakii

    • @angelmawalla4827
      @angelmawalla4827 Před měsícem

      Wewe acha uchochezi wewe mwenyewe ulitolewa mbona usiende kwa Makonda

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 Před měsícem +1

    Stendi ndogo tayari kuna wawekezaji na pia wewe ulikuwa mpangaji wa mwekezaji wamama wawili... So wewe ulitakiwa kuwalipa kina mama na kina mama waendelee kulipa manispaa... Lakini kwa sababu uliona ni rahisi kuwadhulumu wamama... Na kupata/ kuchukua kwa hujuma vibanda vyao stendi ndogo lakini jua nao wanamlilia Mungu na wamepata haki yao...

    • @kingbkmusic
      @kingbkmusic Před měsícem

      Alfu ww kama ndo mumemufanyia huyu brother hamufiki 2026 tutazika na jengo litabaki kwahiyo ujanja weka mufuko mukabizi bro Mari yake na hili nionyo sio ombi✅

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 Před měsícem +1

    Acheni kuonea watu madaraka hayo ya napita mmemtia hasara sana huyu jamaa makonda wasaidie watu kama hawa

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před měsícem

    Mheshimiwa Makonda yaelekea Arusha mafisadi mengi sana, pambana nayo hayo majizi