MHE FREEMAN MBOWE AIVURUGA JIMBO LA MUHEZA APOKELEWA KWA KISHINDO

Sdílet
Vložit

Komentáře • 13

  • @Nicolasmosereta
    @Nicolasmosereta Před 2 dny

    Bravo

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBaha Před 2 dny

    Peoples power

  • @user-jt5we5hg4v
    @user-jt5we5hg4v Před 2 dny

    Nyomi balaaa

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před 2 dny

    Nyie viongozi mnaokutana na watu wengi hivyo msishikane mikono na watu tumeni salamu ya IBRAHIM TRAORE.

  • @philemonsnyanda9450

    Endelea kuinua vipaji kamanda

  • @halikumbeyemsiwayinga9482

    Lema is a great Gentleman for real

  • @user-lt1nr4tk9r
    @user-lt1nr4tk9r Před 2 dny

    Haya nimapenz pasipo mtu kupewa kitu

  • @FrankMwakatundu-cu6bd

    ASANTE SANA WANA WA MHEZA NIMEWAPENDA KWA MWITIKIO WETU MUNGU AWABARIKI SANA. BAADA YA HAPO SASA KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGIZI 2024 NA 2025

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 3 dny

    Asante wananchi wa Tanga,jinsi mnavyohamasika hivyo kuhudhulia mikutano ya chadema, jitume kujiandikisha hivyo hivyo kwenye daftari la kupiga kura ili uchaguzi ukifika wote tukainyoe ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais.

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni Před 2 dny

    Furaha yangu ni kwamba Msigwa nae ametama humu alafu akaishia kukunja sura... Maana anaona chadema ndyo kwaaaaanza inazidi kua nanguvu

  • @user-fh1wg4jv9i
    @user-fh1wg4jv9i Před 3 dny

    Hawa wananchi wemedhihilisha upendo wa kweli najua hamujawapatia ata mia mbovu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před 3 dny

    Mheza Kumekucha

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 2 dny

    Tanga mmetuheshimisha sana nadhani sisisem matumbo joto