Asante wananchi wa Tanga,jinsi mnavyohamasika hivyo kuhudhulia mikutano ya chadema, jitume kujiandikisha hivyo hivyo kwenye daftari la kupiga kura ili uchaguzi ukifika wote tukainyoe ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais.
Bravo
Peoples power
Nyomi balaaa
Nyie viongozi mnaokutana na watu wengi hivyo msishikane mikono na watu tumeni salamu ya IBRAHIM TRAORE.
Endelea kuinua vipaji kamanda
Lema is a great Gentleman for real
Haya nimapenz pasipo mtu kupewa kitu
ASANTE SANA WANA WA MHEZA NIMEWAPENDA KWA MWITIKIO WETU MUNGU AWABARIKI SANA. BAADA YA HAPO SASA KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGIZI 2024 NA 2025
Asante wananchi wa Tanga,jinsi mnavyohamasika hivyo kuhudhulia mikutano ya chadema, jitume kujiandikisha hivyo hivyo kwenye daftari la kupiga kura ili uchaguzi ukifika wote tukainyoe ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais.
Furaha yangu ni kwamba Msigwa nae ametama humu alafu akaishia kukunja sura... Maana anaona chadema ndyo kwaaaaanza inazidi kua nanguvu
Hawa wananchi wemedhihilisha upendo wa kweli najua hamujawapatia ata mia mbovu
Mheza Kumekucha
Tanga mmetuheshimisha sana nadhani sisisem matumbo joto