🔴LIVE : BAVICHA TAIFA WANAONGEA MUDA HUU MAKAO MAKUU KINONDONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024

Komentáře • 4

  • @joachimkalungwana8654

    Watu

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před 5 dny +1

    Hakuna watu wasiyojulikana Tanzania SENSA 2022 iliwabainisha Watanzania wote kwa kazi na jinsia zao bali ni uhuni wa serikali tu, ni kwa nini watu waoonekana kuongea/kukosoa kitu chochote cha serikali ndo hao wanatekwa na watu wasiojulikana???
    Kwanini waoimba mama mama wao hawatekwi?????
    kwa maoni yangu serikali ndo inahusika na matendo yote hayo kwa maana ni miaka zaidi ya 8 sasa maswala ya utekaji yakiwepo lakini hakuna siku serikali ilishawahi kutoka hadharani na kusema kuwahusu na ni juhudi gani imechukua kukabiliana nao. katika mazingira hayo serikali inawezaje kujitoa katika utekaji??

  • @joachimkalungwana8654

    Aulizwe yule katibu wa ccm aliyesema wakati wakipotea polisi wasiwatafute