ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2024
- Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex
Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa. - Sport
Mwamba huyu hapa Ali Shaban Kamwe 🎉🎉🎉
Tunakupenda sanaa msemaji wetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kam mnakubaliana na mim nipen like zanguu
Dah! Ali kamwe nakukubar xana bro kwenye interview zako
Napnda Sana @janne ukimhoji ally kamwe naamn naww Huwa unaenjoy
Pokea mauwayako semaji wetu wayanga tunakupenda Sana tena sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kusema ukweli hii tasnia imebadilika sana hatulizimiki tena kukodolea macho camera 🎉🎉🎉🎉🎉
Professor Pacome Paaaaaaaaa💚💛💚💛💚
Mungu akuongoze Ally kamwe unanikumbusha Jerry muro tunakuombea maisha marefu uwe nasi daima endelea kuwakera
I am from london but wee jamaa unajua sanaa
Huyu dada nyie hamjamchunguza mzur sana mashallah mm nishanza kupenda
Na anajua kuhoji
Bichwa una madini sanaa,,,,mdgo lkn akili kubwa sana..tuna proud na wewe na tunakupemda sana
Dada jane umependeza ulivyo vaa🎉❤
Sema Inshaallah
Semaji la Kimataifa, Unajua Mpiraaaa
Hohohohoho benchika tushamalizana naye rulani mokwena naye wamlete
Ila yule hawawez kumleta maana hajaifunga yanga kwa mkapa hohohoho wasaidizi wanaondoka kwenda kumuuguza mke wa kocha hohohohoho mbona ile kipind alivyo ondoka hakuondoka nao, ila ally bahna kombe kubwa wameshiriki watu wengi hohohohohoh mean team nying tunapata wivu sana
Nawasikia vizuri nikiwa zambia
Yaani Ally kamwe nnavomkubaali hata afanye interview ya masaa sabiini alfu mie ntamskiza tyuu may Almight protect you Ibn Shaaban Kamwe
Yaani wewe kama mimi tu
😅😅😅😅😅😅😂😂😂jobe jobe Ali acha ujinga bana
Kweli
😢😢
😮
@@vailethmsigwa1987
Sasa nenda kwa semaji la simba 😂😂😂😂😂😂 jamani
Nawapenda Bure🎉
Mikimbio na midondoko
Sema we jamaa wewe 😂😂😂, umekuja wakati mzuri sana Yanga mwanang💪🏽💪🏽, Hakuna interview yako hata moja naacha kuangalia ukiwepo😂😂😂, jamaa ni smart ni smart af comedian💪🏽💪🏽🔥🔥😂😂
nakupenda jane kishai
Sikiliza sauti ila mwangalie huyo dada. Hii interview ni tamu sana
Difference between balele jean vs po Omar jobe, baleke has ball control, management and compitable compered to jobe
Unajua mpira sana.. yote 9 huyo mdada anajua sana kuendesha kipindi ukiachilia uzuri wake.
Duuuh huyu mshua anajua bwana Hadi mtangazaji kaduwaa🎉
Mamaenu nawapendaga sn nyie M/Mungu awekeni pamoja Inshaallah
Du! Hatr
Mwamba anajua
Uyo Ally kamwe bajaji tuu wenzake wanampandaa
💚💛💚
Kamwe anatongoza hapo hapo eti ukipenda ua? Demu no ukipenda boga penda na ua lake,, kwa hiyo kapenda ofisi lazima ampende mwenye ofisi pia
🎉🎉🎉
Mikimbio vs midondoko hahahah ally kamwe wewe ni kichwa kingine
Wee jeni Hebu naomba nijiweke kama hamna alienitanguliajaman we mdada unajuasana nataman uwe mkee wg
Jobe ana midondoko sio mikimbio hehehehe 😆 😄 Halaand mtupu
JOBE sasa izi kejer tumezidisha kwa watan😂😂
😂😂😂ila alikamwe ety wanaenda kupika uji uko na vituko ngoja baba ako atakususia ataki umuite my wako utapewa urthi uko jangwanii😂
😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Haland 😅😅😅 mtupu
😂😂😂 mikimbio na midondoko😂😂😂😂
Camera mbovu 😢
Anakitu mwilin alikqmwe
Kuna muda unatupanga Semaji......ona konkon kikowapi
🤣🤣🤣
Unamcheka bosi wako
😂😂😂😂😂alikamwe noma sana
Kamwe unatisha baba acha aendelee kubwabwaja anae jiita semaji
atamchukue mara 100 hatutashutuka hata maramoja ,katika kitu nilichokua naogopa nikuingia nusu fainali ya CAF au mngechukua kombe la shirikisho ,kiukweli nilifurai Sana mlipokosa ivyo vitu , arafu kiukweli hamtaweza kuishusha brand ya SIMBA ,mtateseka Sana kuhusu ilo SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
Unateseka ukiwa wapi 😂😂😂😂
bado haujasema
😂😂😂 huyu jamaa kapagawa, brand hipi kubwa hapa TZ zaidi ya YANGA
ngoja tutakuonesha kuwa haitatuchukuwa miaka sisi kuingia nusu kama wewe
Tangu jina la ligi kuu libadilike kutoka Vodacom Hadi NBC Hakuna kijitimu kimebeba kombe la NBC zaidi ya Yanga.
Na sasa Yanga atachukua na CRDB
Vodacom+Azam Cups = Zilipendwa
Daaah maskini wee mngelikua mnaju athari ya kukimbilia kusajili wageni na kuwaacha ndugu zenu wakati tuna vijana wazuri tu ni kupewa nafasi lakini nyie timu kubwa nyote mchezaji mgeni mnavyomshobokea ilibaki kidogo kuue kabisa kipaji cha fei toto mkaona mayele ni bora kuliko ndugu yetu mnaaribu vipaji vya vijana wetu wao waende wapi kuanzia golkipa mpak midfield wote wageni amkeni jamani
Chama niwa zamzibar
Wajiongeze na wenyewe wakatafute maisha nje ya Tz kama wanaweza....kama hawawezi waendelee kuwa wapenzi watazamaji, dunia ni ya Mungu na ni haki ya wanadamu kutafuta maisha popote pale midhali hauvunji sheria za pahala husika...wageni nao ni watu wa Mungu na wanatafuta maisha yao.
Hko ni choyo cha fkra tu ingekua timu yenu inafanya vzri hayo msingesema hayo
Msheli,metacha, baka,mwamnyeto,kibwana,kibabage, jobu,mauya,mzinze hao sio watanzania?
Naona huoleweki, football ni Sayansi na ni biashara.