ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2024
  • Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex
    Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.
  • Sport

Komentáře • 80

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 17 dny +8

    Mwamba huyu hapa Ali Shaban Kamwe 🎉🎉🎉

  • @user-if7rb1su9j
    @user-if7rb1su9j Před 17 dny +12

    Tunakupenda sanaa msemaji wetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kam mnakubaliana na mim nipen like zanguu

  • @Mmenga_junior
    @Mmenga_junior Před 17 dny +7

    Dah! Ali kamwe nakukubar xana bro kwenye interview zako

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567 Před 17 dny +5

    Napnda Sana @janne ukimhoji ally kamwe naamn naww Huwa unaenjoy

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Před 10 dny

    Pokea mauwayako semaji wetu wayanga tunakupenda Sana tena sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hassanswale
    @hassanswale Před 17 dny +6

    Kusema ukweli hii tasnia imebadilika sana hatulizimiki tena kukodolea macho camera 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před 17 dny +1

    Professor Pacome Paaaaaaaaa💚💛💚💛💚

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe Před 16 dny

    Mungu akuongoze Ally kamwe unanikumbusha Jerry muro tunakuombea maisha marefu uwe nasi daima endelea kuwakera

  • @pauluspaulinus419
    @pauluspaulinus419 Před 16 dny +1

    I am from london but wee jamaa unajua sanaa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 17 dny +4

    Huyu dada nyie hamjamchunguza mzur sana mashallah mm nishanza kupenda

  • @DismasWilliam-cp3qe
    @DismasWilliam-cp3qe Před 17 dny +7

    Bichwa una madini sanaa,,,,mdgo lkn akili kubwa sana..tuna proud na wewe na tunakupemda sana

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 Před 17 dny +1

    Dada jane umependeza ulivyo vaa🎉❤

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před 17 dny +1

    Sema Inshaallah

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 Před 17 dny +1

    Semaji la Kimataifa, Unajua Mpiraaaa

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Před 16 dny +1

    Hohohohoho benchika tushamalizana naye rulani mokwena naye wamlete
    Ila yule hawawez kumleta maana hajaifunga yanga kwa mkapa hohohoho wasaidizi wanaondoka kwenda kumuuguza mke wa kocha hohohohoho mbona ile kipind alivyo ondoka hakuondoka nao, ila ally bahna kombe kubwa wameshiriki watu wengi hohohohohoh mean team nying tunapata wivu sana

  • @EmmaSichone-vg9gy
    @EmmaSichone-vg9gy Před 17 dny +4

    Nawasikia vizuri nikiwa zambia

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Před 17 dny +18

    Yaani Ally kamwe nnavomkubaali hata afanye interview ya masaa sabiini alfu mie ntamskiza tyuu may Almight protect you Ibn Shaaban Kamwe

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 17 dny +1

    Nawapenda Bure🎉

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 Před 17 dny +3

    Mikimbio na midondoko

  • @danielkomba5202
    @danielkomba5202 Před 16 dny

    Sema we jamaa wewe 😂😂😂, umekuja wakati mzuri sana Yanga mwanang💪🏽💪🏽, Hakuna interview yako hata moja naacha kuangalia ukiwepo😂😂😂, jamaa ni smart ni smart af comedian💪🏽💪🏽🔥🔥😂😂

  • @mudimkagila5252
    @mudimkagila5252 Před 17 dny

    nakupenda jane kishai

  • @yohanalucas656
    @yohanalucas656 Před 16 dny

    Sikiliza sauti ila mwangalie huyo dada. Hii interview ni tamu sana

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce Před 16 dny

    Difference between balele jean vs po Omar jobe, baleke has ball control, management and compitable compered to jobe

  • @AntipaseJohn
    @AntipaseJohn Před 17 dny +1

    Unajua mpira sana.. yote 9 huyo mdada anajua sana kuendesha kipindi ukiachilia uzuri wake.

  • @KisagaMbalu
    @KisagaMbalu Před 16 dny

    Duuuh huyu mshua anajua bwana Hadi mtangazaji kaduwaa🎉

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před 17 dny

    Mamaenu nawapendaga sn nyie M/Mungu awekeni pamoja Inshaallah

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 Před 17 dny +3

    Du! Hatr

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 Před 17 dny +3

    Mwamba anajua

  • @jaylalitz7771
    @jaylalitz7771 Před 12 dny

    Uyo Ally kamwe bajaji tuu wenzake wanampandaa

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před 17 dny

    💚💛💚

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Před 17 dny

    Kamwe anatongoza hapo hapo eti ukipenda ua? Demu no ukipenda boga penda na ua lake,, kwa hiyo kapenda ofisi lazima ampende mwenye ofisi pia

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Před 17 dny

    🎉🎉🎉

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk Před 16 dny

    Mikimbio vs midondoko hahahah ally kamwe wewe ni kichwa kingine

  • @SalimuOmary-dt7to
    @SalimuOmary-dt7to Před 17 dny

    Wee jeni Hebu naomba nijiweke kama hamna alienitanguliajaman we mdada unajuasana nataman uwe mkee wg

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Před 17 dny

    Jobe ana midondoko sio mikimbio hehehehe 😆 😄 Halaand mtupu

  • @ItzNketiah
    @ItzNketiah Před 17 dny

    JOBE sasa izi kejer tumezidisha kwa watan😂😂

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 17 dny +2

    😂😂😂ila alikamwe ety wanaenda kupika uji uko na vituko ngoja baba ako atakususia ataki umuite my wako utapewa urthi uko jangwanii😂

  • @SelestineEdward
    @SelestineEdward Před 17 dny +2

    Haland 😅😅😅 mtupu

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 Před 16 dny

    😂😂😂 mikimbio na midondoko😂😂😂😂

  • @meckraudndelwa-jv8co
    @meckraudndelwa-jv8co Před 17 dny

    Camera mbovu 😢

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 17 dny

    Anakitu mwilin alikqmwe

  • @nelsonlugaimukamu6611
    @nelsonlugaimukamu6611 Před 17 dny

    Kuna muda unatupanga Semaji......ona konkon kikowapi

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 16 dny

    🤣🤣🤣

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 Před 17 dny

    Unamcheka bosi wako

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 17 dny

    😂😂😂😂😂alikamwe noma sana

  • @NicksonKyalaaliko
    @NicksonKyalaaliko Před 16 dny

    Kamwe unatisha baba acha aendelee kubwabwaja anae jiita semaji

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 17 dny

    atamchukue mara 100 hatutashutuka hata maramoja ,katika kitu nilichokua naogopa nikuingia nusu fainali ya CAF au mngechukua kombe la shirikisho ,kiukweli nilifurai Sana mlipokosa ivyo vitu , arafu kiukweli hamtaweza kuishusha brand ya SIMBA ,mtateseka Sana kuhusu ilo SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 Před 17 dny

    Tangu jina la ligi kuu libadilike kutoka Vodacom Hadi NBC Hakuna kijitimu kimebeba kombe la NBC zaidi ya Yanga.
    Na sasa Yanga atachukua na CRDB
    Vodacom+Azam Cups = Zilipendwa

  • @MpandaMohamedAbdallah
    @MpandaMohamedAbdallah Před 17 dny +1

    Daaah maskini wee mngelikua mnaju athari ya kukimbilia kusajili wageni na kuwaacha ndugu zenu wakati tuna vijana wazuri tu ni kupewa nafasi lakini nyie timu kubwa nyote mchezaji mgeni mnavyomshobokea ilibaki kidogo kuue kabisa kipaji cha fei toto mkaona mayele ni bora kuliko ndugu yetu mnaaribu vipaji vya vijana wetu wao waende wapi kuanzia golkipa mpak midfield wote wageni amkeni jamani

    • @mwinyisarai-rm5oo
      @mwinyisarai-rm5oo Před 17 dny

      Chama niwa zamzibar

    • @hassanmakame
      @hassanmakame Před 17 dny

      Wajiongeze na wenyewe wakatafute maisha nje ya Tz kama wanaweza....kama hawawezi waendelee kuwa wapenzi watazamaji, dunia ni ya Mungu na ni haki ya wanadamu kutafuta maisha popote pale midhali hauvunji sheria za pahala husika...wageni nao ni watu wa Mungu na wanatafuta maisha yao.

    • @ziadamuhunzi6210
      @ziadamuhunzi6210 Před 17 dny

      Hko ni choyo cha fkra tu ingekua timu yenu inafanya vzri hayo msingesema hayo

    • @ElishaMwenga-ti7of
      @ElishaMwenga-ti7of Před 17 dny

      Msheli,metacha, baka,mwamnyeto,kibwana,kibabage, jobu,mauya,mzinze hao sio watanzania?

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 17 dny

      Naona huoleweki, football ni Sayansi na ni biashara.