MSIKILIZE SHETANI WA YANGU AKITOA AHADI ZAKE ZA SIKU YA DEBI KATI YA TIMU YAKE YA YANGA NA SIMBA.
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2024
- Shabiki wa yanga namba moja ambae anajulikana kama shetani wa yanga, siku zote amekuwa mtua wa kutoa ahadi pindi timu yake inapokuta an simba sport club kwenye ligi kuu tanzania bara.
Kumbe anazo akili sana🎉😂❤
Jamaa mjinga sanaa😅😅😅😅😅😅😅
che Malone mchezaji mzuri
Umekuja kucheza na maiti