TUIOMBEE SIMBA| BADO WANA NAFASI YA KUSHINDA UBINGWA KAMA YANGA ATAFUNGWA MECHI ZOTE ZILIZOSALIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 52

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Před měsícem +5

    Oscar umesahau msim ulipoanza ulisema yanga watamaliza nafasi ya 5??? Haya sasa tuambie kimetokea nini

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 Před měsícem +6

    Osca atakuwa amesha kunywa konyagi tayar sio bure

  • @kitaurosalim6562
    @kitaurosalim6562 Před měsícem +1

    Angalieni hesabu zenu.Hamjazipata vizuri.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem +3

    Simba wanatakiwa kutengeneza timu siyo ubabaishaji huu

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před měsícem +2

    Azam atashika nafasi ya pili Oscar acha kuwadanganya makolo wenzio

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl Před měsícem +1

    Asante. Huyo. Oscar. Oscar. Ameshakunywa. Huyo. Ni. Mlevi. Sana

  • @JohnMakao-is9fm
    @JohnMakao-is9fm Před měsícem +1

    Ubingwa upi wa nafasi ya pili au moja

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před měsícem +2

    Kwiki Oscar mwehu😂😂😂😂😂😂

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před měsícem +4

    SIMBA NAFASI 3 Haina MAOMBI🤣🤣🤣🤣

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před měsícem +3

    Azam atakuwa mshindi wa pili

  • @ScardySangah
    @ScardySangah Před měsícem +2

    Simba hata akimfunga Azam, halafu Azam akashinda mechi zake zilizobaki zote na Simba akashinda zote bado Simba atamaliza nafasi ya 3

    • @barakahenry8888
      @barakahenry8888 Před měsícem

      Umeona eee!
      Ugumu wa mtani kuipata nafasi ya pili.
      Utofauti wa magoli yaani Goal difference bado inampatia nafasi kubwa Azam kumaliza nafasi ya pili hata kama ktk hyo mechi yao atashinda Simba na baada ya hapo kila mmoja ashinde mechi zake zote.

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 Před měsícem +1

      Si kweli. Simba akimfunga Azam na akishinda mechi zilizobaki atafikisha point 71. Azam akifungwa na Simba na akashinda mechi zilizobaki atafikisha point 69. Simba atashika nafasi ya pili. Lakini na pia Yanga akishinda mechi tatu kati ya tano zilizobaki atakuwa amekuwa bingwa kwa kufikisha point 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yeyote.

    • @user-jr4md1dw3v
      @user-jr4md1dw3v Před měsícem

      Mnazungumzia kushindwa tu. Muonekano uliopo Kila timu kati ya 3 za juu itapata droo.

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 Před měsícem

    Kama huna wachezaji wazuri omba mpaka matako yapike viraka hupati ng,oooo

  • @daudiyaqhambe5837
    @daudiyaqhambe5837 Před měsícem

    Mchungaji mashimo alisema mwanzo wa msimu yanga atachukua nafasi ya tatu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem +1

    Duuh sema Madunduka wamevurugwa

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 Před měsícem +1

    Shirikisho walifuta

  • @alfredkatuma426
    @alfredkatuma426 Před měsícem

    Oscar ni tapeli

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. Před měsícem +1

    azam akimpiga simba anamzid point 4 ak draw anamzid point 1 akipigwa azam anazidiwa na simba point 2 mbona ni hesabu nyepesi.

  • @YussufMussa-sg5bv
    @YussufMussa-sg5bv Před měsícem +1

    Simba hawezi kuwa bingwa kwa mcmu huu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    KWA WAAMUZI KAMA WALE WALIOCHEZESHA SIMBA NA TABORA ,KWA UCHEZESHAJI ULE SIMBA ANAFUNGA AZAM

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před měsícem

    Huyu naye mjinga sanaaaaa

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem +1

    Boli linatembea amecheza na nani? Amecheza na timu ya 15 na 16

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 Před měsícem +2

    Kweli vichaa ni wengi ??!

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před měsícem

    Simba anacheza asl

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před měsícem

    Oscar unaongea kwel,,,simba chini ya mgunda azam ana kaz kubwa hachomoki

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před měsícem +1

    Hii ni Abunwasi

  • @leonardmadelemo3043
    @leonardmadelemo3043 Před měsícem

    Wewe Oscar na Baba levo acheni kupotosha umma mpaka sasa simba akishinda mech zake zote pamoja na hicho kiporo na Azam pia ashinde mech zake zote bado azam atakuwa juu ya simba by any how...,bado simba aombe maombi azam adondoshe point si chin ya michezo na zaid ili simba ipate upenyo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před měsícem

    BANGI SIO SAFII🤣🤣🤣YANGA TO LOSE ??

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian Před měsícem

    Uyu oscari alisema yanga atakuwa nafasi ya tatu

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před měsícem

    Edo wewe mtu wa mpira!! Azam akipata nafasi yapili, narudisha kadi yangu uanachama CCM!!!

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před měsícem

    JAMANI KWA SASA TATIZO LA SIMBA KUMALIZA NAFASI YA PILI NI AZAM FC NA WALA SIYO VINGINEVYO...!

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před měsícem

    Watatoa sare hao

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před měsícem +1

    Mgunda sikocha

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Před měsícem

    Acheni ukuda na unafiki

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Před měsícem

    Kesho simba na azam wana droo

  • @thirdsurveyor7784
    @thirdsurveyor7784 Před měsícem +8

    Wewe Oscar si ulisema Simba bingwa, Azam namba 2 na Yanga namba 3?

    • @Taito-brand
      @Taito-brand Před měsícem +1

      Kak alisema yanga ya. Tano ya tatu alimpa singida na 4 ihefu kak😂😂😂😂

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 Před měsícem +1

      Ameshasahau😂

    • @ulicydickson6816
      @ulicydickson6816 Před měsícem +1

      Amejisahau

    • @AbubakariKisweka
      @AbubakariKisweka Před měsícem +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤ ​@@Taito-brand

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem +1

    Yanga anahitaji pointi 8 tu

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 Před měsícem

    MNA VITUKO SIMBA ATAPATA UBINGWA POINT HATAZICHUKUA WAPI NA JE YANGA HATAFUNGWA ZOTE?

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 Před měsícem

    Team MP Points
    Azam 25 57
    Simba 24 53
    Next Game
    Azam vs Simba
    Simba akishinda mechi na Azam msimamo utakua hivi
    Team MP Points
    Azam 26 57
    Simba 25 56
    Simba akicheza mechi yake ya kipolo, msimamo utakua hivi
    Team MP Points
    Simba 26 59
    Azam 26 57

  • @ScardySangah
    @ScardySangah Před měsícem

    Simba hata akimfunga Azam, halafu Azam akashinda mechi zake zilizobaki zote na Simba akashinda zote bado Simba atamaliza nafasi ya 3